Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kuteremshwa(kushuswa)kwa mishahara, inakubalika kisheria?

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Kuteremshwa(kushuswa)kwa mishahara, inakubalika kisheria?

      Tafadhali wanasheria tunaomba msaada hapa.
      Kuna jambo limetokea kwa ngazi moja ya ajira serikali kuu. Awali ngazi hii ilikuwa ya kimadaraka zaidi hivyo MISHAHARA ilikuwa mikubwa kulinganisha na kazi zingine. Ilipofika mwaka 2003 ngazi hii ilirudishwa kuwa Kama utumishi wa kawaida ila sijui ni bahati mbaya au njema hawakushusha ngazi ya mshahara. Hivyo mpaka 2008 watu waliajiriwa kwa mshahara mkubwa.
      Sasa imekuja barua ya kuwashusha MISHAHARA wafanyakazi hawa toka ngazi ya TGS F mpaka E, ni tofauti ya shilingi 200,000,hii itaanza kwa mwezi huu wa Saba.

      SWALI LANGU: hii iko sahihi KISHERIA? Au niseme sheria inasemaje?

      Note: wafanyakazi hawa wamekopa kwenye mabenki kwa mshahara ule wa awali, wakikatwa watakuwa na negative kwenye account zao.

    2. Study Abroad

    3. #2
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,050
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      258

      Default Re: Kuteremshwa(kushuswa)kwa mishahara, inakubalika kisheria?

      Wako sahihi. Na wale waliolipwa kimakosa walitakiwa warudishe hizo pesa kwa kukatwa kidogokidogo. TGSF inaanzia shillingi ngapi mkuu?

    4. #3
      KakaJambazi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 5th June 2009
      Posts : 4,244
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1069
      Likes Given
      935

      Default Re: Kuteremshwa(kushuswa)kwa mishahara, inakubalika kisheria?

      Mi nikafikiri kuteremshwa kwa aya.

    5. #4
      KIDUNDULIMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2010
      Posts : 559
      Rep Power : 555
      Likes Received
      70
      Likes Given
      241

      Default Re: Kuteremshwa(kushuswa)kwa mishahara, inakubalika kisheria?

      mi naona serikari haiko sahihi.Kilichotakiwa kufanyika ni kuacha kufanya nyongeza ya mshahara mpaka hapo wenzao walioanza na TGSF watakapowafikia la sivyo wawapeleke kwenye majukumu yanayoendena na mishahara wanayopokea sasa

    6. #5
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Kuteremshwa(kushuswa)kwa mishahara, inakubalika kisheria?

      Quote By KIDUNDULIMA
      mi naona serikari haiko sahihi.Kilichotakiwa kufanyika ni kuacha kufanya nyongeza ya mshahara mpaka hapo wenzao walioanza na TGSF watakapowafikia la sivyo wawapeleke kwenye majukumu yanayoendena na mishahara wanayopokea sasa
      Kimsingi MISHAHARA hiyo iligota, haipandi mpaka sasa walipoamua kuwashusha.
      Sasa can they go to court agaist govt?

    7. Miaka 50

    8. #6
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Kuteremshwa(kushuswa)kwa mishahara, inakubalika kisheria?

      Quote By georgeallen
      Wako sahihi. Na wale waliolipwa kimakosa walitakiwa warudishe hizo pesa kwa kukatwa kidogokidogo. TGSF inaanzia shillingi ngapi mkuu?
      Mmmm.....
      Mkataba wa ulisema ngazi hiyo? Kosa ni Lao.
      Unatakaje nikitaja pesa.

    9. #7
      Mtoboasiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th August 2009
      Location : Am at Large!
      Posts : 3,598
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1153
      Likes Given
      745

      Default

      Quote By Remmy
      Mmmm.....
      Mkataba wa ulisema ngazi hiyo? Kosa ni Lao.
      Unatakaje nikitaja pesa.
      Mshahara uliotolewa kutokana na sheria halali ya wakati huo hauwezi kupunguzwa hata kama mhusika ameshushwa cheo!

    10. #8
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Kuteremshwa(kushuswa)kwa mishahara, inakubalika kisheria?

      Quote By Mtoboasiri
      Mshahara uliotolewa kutokana na sheria halali ya wakati huo hauwezi kupunguzwa hata kama mhusika ameshushwa cheo!
      Barua toka kwa katibu mkuu utumishi za kushusha mshahara zimewafikia.
      Je wanaweza kwenda mahakamani?

    11. #9
      ARDEAN's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Kuteremshwa(kushuswa)kwa mishahara, inakubalika kisheria?

      Nitaanza kwa kusema kwamba kilichofanyika sio sahihi. Kabla hatujaenda kwenye vifungu vya sheria Civil Service Act, 2003 na pengine Employment and Labour Relations Act, 2004 ili kuona kama Mwajiri anayo mandate ya kushusha mshahara wa mwajiriwa, tujiulize haya:

      Kwamba, ajira ni mkataba/ makubaliano kati ya mwajiri na mwajiriwa. Mwajiri alipotangaza kazi alitoa sifa na pengine masharti ya ajira. Mwajiriwa akaona kuwa anazo sifa, akaomba kazi hiyo. Akasahiliwa na kufaulu. Baada ya hapo, bila shaka alipewa barua ya kufaulu kwake na kuonyesha kuwa amekubaliwa kuajiriwa. Barua hiyo ndio inatoa masharti ya ajira ikiwemo malipo (yaani mshahara). Kwa stage hii, muomba kazi halazimishwi au halazimiki kuajiriwa. Anaangalia masharti ya ajira yenyewe lakini kikubwa anaangalia mshahara (How much do you offer me). Hiki ni kigezo kikubwa sana cha mtu kukubali kuajiriwa. Inawezekana kuwa wakati wa ajira hii, mtu alishwahi kupata offer nyingine mahali pengine. Kwa kulinganisha mishahara ya sehemu mbili tofauti, bilashaka unachagua sehemeu iliyonona kidogo. Mtu huyu (Mwajiri) akikubadilikia kesho na kutoa mshahara tofauti atakuwa amekuumiza na kukupotezea opportunities za mahali pengine.

      Hivyo basi, kwa mantiki hiyo, Mwajiriwa hawezi kukurupuka na akasema leo nashusha msharahara wako bila kukushirikisha na wewe ukatoa idhini au maoni yako. Akifanya hivyo, atakuwa amevunja mkataba wa ajira na atakuwa amekiuka sheria na hata katiba ya nchi. Mwajiriwa hana budi kuchukua hatua.
      Remmy and King'asti like this.

    12. #10
      Cartoons's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th July 2012
      Posts : 77
      Rep Power : 359
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By ARDEAN
      Nitaanza kwa kusema kwamba kilichofanyika sio sahihi. Kabla hatujaenda kwenye vifungu vya sheria Civil Service Act, 2003 na pengine Employment and Labour Relations Act, 2004 ili kuona kama Mwajiri anayo mandate ya kushusha mshahara wa mwajiriwa, tujiulize haya:

      Kwamba, ajira ni mkataba/ makubaliano kati ya mwajiri na mwajiriwa. Mwajiri alipotangaza kazi alitoa sifa na pengine masharti ya ajira. Mwajiriwa akaona kuwa anazo sifa, akaomba kazi hiyo. Akasahiliwa na kufaulu. Baada ya hapo, bila shaka alipewa barua ya kufaulu kwake na kuonyesha kuwa amekubaliwa kuajiriwa. Barua hiyo ndio inatoa masharti ya ajira ikiwemo malipo (yaani mshahara). Kwa stage hii, muomba kazi halazimishwi au halazimiki kuajiriwa. Anaangalia masharti ya ajira yenyewe lakini kikubwa anaangalia mshahara (How much do you offer me). Hiki ni kigezo kikubwa sana cha mtu kukubali kuajiriwa. Inawezekana kuwa wakati wa ajira hii, mtu alishwahi kupata offer nyingine mahali pengine. Kwa kulinganisha mishahara ya sehemu mbili tofauti, bilashaka unachagua sehemeu iliyonona kidogo. Mtu huyu (Mwajiri) akikubadilikia kesho na kutoa mshahara tofauti atakuwa amekuumiza na kukupotezea opportunities za mahali pengine.

      Hivyo basi, kwa mantiki hiyo, Mwajiriwa hawezi kukurupuka na akasema leo nashusha msharahara wako bila kukushirikisha na wewe ukatoa idhini au maoni yako. Akifanya hivyo, atakuwa amevunja mkataba wa ajira na atakuwa amekiuka sheria na hata katiba ya nchi. Mwajiriwa hana budi kuchukua hatua.
      that's true.

    13. #11
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Kuteremshwa(kushuswa)kwa mishahara, inakubalika kisheria?

      Quote By ARDEAN
      Nitaanza kwa kusema kwamba kilichofanyika sio sahihi. Kabla hatujaenda kwenye vifungu vya sheria Civil Service Act, 2003 na pengine Employment and Labour Relations Act, 2004 ili kuona kama Mwajiri anayo mandate ya kushusha mshahara wa mwajiriwa, tujiulize haya:

      Kwamba, ajira ni mkataba/ makubaliano kati ya mwajiri na mwajiriwa. Mwajiri alipotangaza kazi alitoa sifa na pengine masharti ya ajira. Mwajiriwa akaona kuwa anazo sifa, akaomba kazi hiyo. Akasahiliwa na kufaulu. Baada ya hapo, bila shaka alipewa barua ya kufaulu kwake na kuonyesha kuwa amekubaliwa


      kuajiriwa. Barua hiyo ndio inatoa masharti ya ajira ikiwemo malipo (yaani mshahara). Kwa stage hii, muomba kazi halazimishwi au halazimiki kuajiriwa. Anaangalia masharti ya ajira yenyewe lakini kikubwa anaangalia mshahara (How much do you offer me). Hiki ni kigezo kikubwa sana cha mtu kukubali kuajiriwa. Inawezekana kuwa wakati wa ajira hii, mtu alishwahi kupata offer nyingine mahali pengine. Kwa kulinganisha mishahara ya sehemu mbili tofauti, bilashaka unachagua sehemeu iliyonona kidogo. Mtu huyu (Mwajiri) akikubadilikia kesho na kutoa mshahara tofauti atakuwa amekuumiza na kukupotezea opportunities za mahali pengine.

      Hivyo basi, kwa mantiki hiyo, Mwajiriwa hawezi kukurupuka na akasema leo nashusha msharahara wako bila kukushirikisha na wewe ukatoa idhini au maoni yako. Akifanya hivyo, atakuwa amevunja mkataba wa ajira na atakuwa amekiuka sheria na hata katiba ya nchi. Mwajiriwa hana budi kuchukua hatua.

      Asante sana mkuu kwa mawazo.
      This is silly government.

    14. #12
      KIDUNDULIMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2010
      Posts : 559
      Rep Power : 555
      Likes Received
      70
      Likes Given
      241

      Default Re: Kuteremshwa(kushuswa)kwa mishahara, inakubalika kisheria?

      Quote By Remmy
      Kimsingi MISHAHARA hiyo iligota, haipandi mpaka sasa walipoamua kuwashusha.
      Sasa can they go to court agaist govt?
      hapa panahitaji wataalamu wa masuala ya sheria za kazi ili waweze kuwasaidia
      Remmy likes this.

    15. #13
      Mangaline's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 999
      Rep Power : 613
      Likes Received
      205
      Likes Given
      54

      Default Re: Kuteremshwa(kushuswa)kwa mishahara, inakubalika kisheria?

      Wakikatwa wasihesabiwe wakati wa sensa

    16. #14
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Kuteremshwa(kushuswa)kwa mishahara, inakubalika kisheria?

      Quote By Mangaline
      Wakikatwa wasihesabiwe wakati wa sensa
      Wameamua kutokufanya kazi kwa ufanisi. Na watatoa huduma kwa ulegevu tena kwa malipo.

    17. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...