Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: RUSHWA: Laini za uwakala wa TiGO-PESA na M-PESA zauzwa na wafanyakazi kwa dau refu!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 21
    1. #1
      Rich Dad's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 741
      Rep Power : 576
      Likes Received
      100
      Likes Given
      12

      Default RUSHWA: Laini za uwakala wa TiGO-PESA na M-PESA zauzwa na wafanyakazi kwa dau refu!

      HII nchi inakokwenda sijui ni wapi? PCCB wamelala usingizi mzito. Hawana msaada wowote kusaidia kukomesha katabia ka baadhi ya wafanyakazi wa hizi kampuni za simu zenye kuuza laini za uwakala kinyume cha taratibu. Unakuta mtu kakamilisha taratibu zote za usajili, lakini kinachotokea hawa jamaa wana ku-delay makusudi ili uwakatie kitu kidogo. Kwa sasa hawa jamaa wanataka TZS 100,000 hadi TZS 300,000 kwa laini moja.
      Ukijifanya wewe ni mtu wa kufuata taratibu basi jua itakuchukua zaidi ya miezi sita kupata laini. Kila siku utapigwa kalenda kwamba kuna hiki na hiki kinakosekana. Sasa hivi TiGo wanatumia mgogo wa TCRA kwamba ndio wanaobania watu wasipate laini, lakini ukigawa chenji .....fasta ndani ya siku moja au mbili unakuwa umepata line.
      Haya nayasema si kwamba nimehadithiwa, ni kwamba yamenikuta mimi mwenyewe.
      Wadau naombeni tu mnipe taratibu za nani nimuone pale TiGO na Voda ili niwasilishe barua yangu ya malalamiko pamoja na vithibitisho kwa jinsi rushwa inavyokwamisha juhudi za watu kujikwamua na umaskini.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Rich Dad's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 741
      Rep Power : 576
      Likes Received
      100
      Likes Given
      12

      Default RUSHWA: Laini za uwakala wa TiGO-PESA na M-PESA zauzwa na wafanyakazi kwa dau refu!

      Hii nchi inakokwenda sijui ni wapi? PCCB wamelala usingizi mzito. Hawana msaada wowote kusaidia kukomesha katabia ka baadhi ya wafanyakazi wa hizi kampuni za simu zenye kuuza laini za uwakala kinyume cha taratibu. Unakuta mtu kakamilisha taratibu zote za usajili, lakini kinachotokea hawa jamaa wana ku-delay makusudi ili uwakatie kitu kidogo. Kwa sasa hawa jamaa wanataka TZS 100,000 hadi TZS 300,000 kwa laini moja.
      Ukijifanya wewe ni mtu wa kufuata taratibu basi jua itakuchukua zaidi ya miezi sita kupata laini. Kila siku utapigwa kalenda kwamba kuna hiki na hiki kinakosekana. Sasa hivi TiGo wanatumia mgongo wa TCRA kwamba ndio wanaobania watu wasipate laini, lakini ukigawa chenji .....fasta ndani ya siku moja au mbili unakuwa umepata line.
      Haya nayasema si kwamba nimehadithiwa, ni kwamba yamenikuta mimi mwenyewe.
      Wadau naombeni tu mnipe taratibu za nani nimuone pale TiGO na Voda ili niwasilishe barua yangu ya malalamiko pamoja na vithibitisho kwa jinsi rushwa inavyokwamisha juhudi za watu kujikwamua na umaskini.

    4. #3
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,116
      Rep Power : 1387
      Likes Received
      918
      Likes Given
      412

      Default Re: RUSHWA: Laini za uwakala wa TiGO-PESA na M-PESA zauzwa na wafanyakazi kwa dau refu!

      Sasa unataka hao pccb waote habari hizi? Si wape taarifa uone kama watakataa kuifanyia kazi!!!!!!!!!
      Kivumah, mjasiria and CHUAKACHARA like this.
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE

    5. #4
      Rich Dad's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 741
      Rep Power : 576
      Likes Received
      100
      Likes Given
      12

      Default

      Ok- nimeshawapa taarifa!

      Quote By ntamaholo
      Sasa unataka hao pccb waote habari hizi? Si wape taarifa uone kama watakataa kuifanyia kazi!!!!!!!!!

    6. #5
      Akida kaka's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th February 2011
      Posts : 44
      Rep Power : 427
      Likes Received
      2
      Likes Given
      7

      Default Re: RUSHWA: Laini za uwakala wa TiGO-PESA na M-PESA zauzwa na wafanyakazi kwa dau refu!

      mimi ilichukua miezi minne kupata M-PESA nilikwenda tigo wakaniambia huduma imesitishwa hadi August sijui ni kweli hili au ndio wanataka rushwa

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,116
      Rep Power : 1387
      Likes Received
      918
      Likes Given
      412

      Default Re: RUSHWA: Laini za uwakala wa TiGO-PESA na M-PESA zauzwa na wafanyakazi kwa dau refu!

      Quote By rich dad
      ok- nimeshawapa taarifa!
      hapo ndo umetenda haki, sio kuwashutum. Angalia watakavyofanyia kazi japokuwa usha haribu kazi yao, kwani tayari wahusika watakuwa makini, ikumbukwe nao wanapita jf
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE

    9. #7
      Rich Dad's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 741
      Rep Power : 576
      Likes Received
      100
      Likes Given
      12

      Default

      Wape TiGO laki moja uone kama hupati laini ndani ya siku mbili!

      Quote By Akida kaka
      mimi ilichukua miezi minne kupata M-PESA nilikwenda tigo wakaniambia huduma imesitishwa hadi August sijui ni kweli hili au ndio wanataka rushwa
      Reply With Quote

    10. #8
      Rogie's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Location : Darul Islamia
      Posts : 1,917
      Rep Power : 1146
      Likes Received
      485
      Likes Given
      334

      Default Re: RUSHWA: Laini za uwakala wa TiGO-PESA na M-PESA zauzwa na wafanyakazi kwa dau refu!

      kazi ipo
      "You have your people,and I have mine"
      [email protected]

    11. #9
      Mbwambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2008
      Location : Dar es salaam
      Posts : 487
      Rep Power : 632
      Likes Received
      65
      Likes Given
      87

      Default Re: RUSHWA: Laini za uwakala wa TiGO-PESA na M-PESA zauzwa na wafanyakazi kwa dau refu!

      Jamani mbona mnanikatisha tamaa maana jana ndio nimekamilisha Leseni ya Biashara na nimemwomba kijana wangu achukuwe formu zakuomba hizo line sasa kama itanichukuwa miezi sita nitafanyaje jamani?
      Kuna mtu alijitokeza kwamba anasadiai kupata MPESA hapa hapa Jamii forums lakini naona kama haeleweki ?
      JAMANI LINE YENYEWE NI GHALI SANA KAMA MTANDAO WA TIGO NASIKIA NI MILLION NA VODA NI LAKI 4 SASA UTAPATA WAPI TENA ZA KUWAPA JAMANI WATANZANIA TUWE NA HURUMA KIDOGO
      MAISHA NI MAGUMU

    12. #10
      popular's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th November 2011
      Posts : 27
      Rep Power : 383
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: RUSHWA: Laini za uwakala wa TiGO-PESA na M-PESA zauzwa na wafanyakazi kwa dau refu!

      We wape uendelee na mambo yako...!!!
      System imeshaharibika, kama wezi wakubwa hawashikwi we unataka wadogo wafanyeje>....>??
      Kila mtu anatikwa atengeneza system ya kula alipo, kwani si hata pccb wana sehemu zao za kula??
      INGAWA KOSA NI KOSA TU...,Ila system ya kimaisha imeshahalibika,so kuombwa kutoa iyo pesa kwaajili ya Line za PESA so issue,kila sehemu kumehalibika.....!!

    13. #11
      Mshawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th September 2011
      Location : Here
      Posts : 274
      Rep Power : 444
      Likes Received
      37
      Likes Given
      50

      Default Re: RUSHWA: Laini za uwakala wa TiGO-PESA na M-PESA zauzwa na wafanyakazi kwa dau refu!

      Ningependa sana mtu kutoka vodacom aje ajibu hii mambo hapa mana mimi nilikaa miezi 4 bila kupewa till namba ilihali nilishamaliza taratibu zao. waweke wazi kwamba unatakiwa utoe kitu kidogo na kiwe oficially mambo ya nani anamjua nani ndio upate huduma hayana nafasi kwenye biashara ya ushindani. na biashara haitambui kujuana...

    14. #12
      chash's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 441
      Rep Power : 439
      Likes Received
      150
      Likes Given
      152

      Default Re: RUSHWA: Laini za uwakala wa TiGO-PESA na M-PESA zauzwa na wafanyakazi kwa dau refu!

      Nadhani umechelewa sana kutoa lalamiko hadi lime expire. Kwa miezi kadhaa sasa vodacom na tigo hawatoi uwakala direct bali kupitia aggregators au wakala wakuu. Hiyo hakuna popote mtu anaye taka uwakala anaingiliana directly na wafanya kazi wa kampuni hizo.

    15. #13
      Mkare_wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 834
      Rep Power : 582
      Likes Received
      113
      Likes Given
      10

      Default

      Quote By chash
      Nadhani umechelewa sana kutoa lalamiko hadi lime expire. Kwa miezi kadhaa sasa vodacom na tigo hawatoi uwakala direct bali kupitia aggregators au wakala wakuu. Hiyo hakuna popote mtu anaye taka uwakala anaingiliana directly na wafanya kazi wa kampuni hizo.
      Na tigo wamesitisha kusajili mawakala?

    16. #14
      NusuMutu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Mpulungu
      Posts : 421
      Rep Power : 471
      Likes Received
      74
      Likes Given
      20

      Default

      Muwe mnawahisha malalamiko ili 'tukiwalaani' wahusika laana 'ziwashike'

    17. #15
      chash's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 441
      Rep Power : 439
      Likes Received
      150
      Likes Given
      152

      Default Re: RUSHWA: Laini za uwakala wa TiGO-PESA na M-PESA zauzwa na wafanyakazi kwa dau refu!

      Tigo wamesitisha kutengeneza till mpya. Wanataka kwanza wawapokonye wale ambao till zao hazifanyi kazi vizuri waziswap wawape wengine. Baadaye wataendelea kutengeneza till.

    18. #16
      Laptani's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th September 2009
      Location : Arusha
      Posts : 82
      Rep Power : 507
      Likes Received
      12
      Likes Given
      2

      Default Re: RUSHWA: Laini za uwakala wa TiGO-PESA na M-PESA zauzwa na wafanyakazi kwa dau refu!

      Quote By Rich Dad
      Hii nchi inakokwenda sijui ni wapi? PCCB wamelala usingizi mzito. Hawana msaada wowote kusaidia kukomesha katabia ka baadhi ya wafanyakazi wa hizi kampuni za simu zenye kuuza laini za uwakala kinyume cha taratibu. Unakuta mtu kakamilisha taratibu zote za usajili, lakini kinachotokea hawa jamaa wana ku-delay makusudi ili uwakatie kitu kidogo. Kwa sasa hawa jamaa wanataka TZS 100,000 hadi TZS 300,000 kwa laini moja.
      Ukijifanya wewe ni mtu wa kufuata taratibu basi jua itakuchukua zaidi ya miezi sita kupata laini. Kila siku utapigwa kalenda kwamba kuna hiki na hiki kinakosekana. Sasa hivi TiGo wanatumia mgongo wa TCRA kwamba ndio wanaobania watu wasipate laini, lakini ukigawa chenji .....fasta ndani ya siku moja au mbili unakuwa umepata line.
      Haya nayasema si kwamba nimehadithiwa, ni kwamba yamenikuta mimi mwenyewe.
      Wadau naombeni tu mnipe taratibu za nani nimuone pale TiGO na Voda ili niwasilishe barua yangu ya malalamiko pamoja na vithibitisho kwa jinsi rushwa inavyokwamisha juhudi za watu kujikwamua na umaskini.
      Tafuta wakala mkuu (Aggregator) upate usajili wako mara moja au ukipenda wasiliana nami 0754485762 nikupe procedures na utaidhinishwa kuwa wakala kwa muda mfupi sana na ni BURE kabisa.

    19. #17
      Mathematical's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7
      Rep Power : 434
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Re: RUSHWA: Laini za uwakala wa TiGO-PESA na M-PESA zauzwa na wafanyakazi kwa dau refu!

      hii ni kweli kabisa huwa ni kazi sana kuapply hizo line ingawa mimi nlipata zote huu ndo msoto wangu...MPESA nilipitia kwa wakala nikiwa na business licence na mil 1 ikachukua wiki 3 hadi 4 kupata line...sikusumbuka sana.... tigo pesa-nilipitia kwa wakala mkuu kama kawa ila waliniambia imesitishwa had miez mi3 mbele nilingoja nikaapply nikakaa miez mi2 tena hadi kpata hyo line kiukweli tigo wasumbufu sana..zantel na airtel ilichukua 30mins kupata hizo line

    20. #18
      mkonowapaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Posts : 740
      Rep Power : 618
      Likes Received
      291
      Likes Given
      203

      Default Re: RUSHWA: Laini za uwakala wa TiGO-PESA na M-PESA zauzwa na wafanyakazi kwa dau refu!

      yaani acha kabisa juzi nmenunua line ya mpesa standalone laki 5

    21. #19
      Ndukidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 373
      Rep Power : 575
      Likes Received
      141
      Likes Given
      336

      Default Re: RUSHWA: Laini za uwakala wa TiGO-PESA na M-PESA zauzwa na wafanyakazi kwa dau refu!

      Quote By Rich Dad
      HII nchi inakokwenda sijui ni wapi? PCCB wamelala usingizi mzito. Hawana msaada wowote kusaidia kukomesha katabia ka baadhi ya wafanyakazi wa hizi kampuni za simu zenye kuuza laini za uwakala kinyume cha taratibu. Unakuta mtu kakamilisha taratibu zote za usajili, lakini kinachotokea hawa jamaa wana ku-delay makusudi ili uwakatie kitu kidogo. Kwa sasa hawa jamaa wanataka TZS 100,000 hadi TZS 300,000 kwa laini moja.
      Ukijifanya wewe ni mtu wa kufuata taratibu basi jua itakuchukua zaidi ya miezi sita kupata laini. Kila siku utapigwa kalenda kwamba kuna hiki na hiki kinakosekana. Sasa hivi TiGo wanatumia mgogo wa TCRA kwamba ndio wanaobania watu wasipate laini, lakini ukigawa chenji .....fasta ndani ya siku moja au mbili unakuwa umepata line.
      Haya nayasema si kwamba nimehadithiwa, ni kwamba yamenikuta mimi mwenyewe.
      Wadau naombeni tu mnipe taratibu za nani nimuone pale TiGO na Voda ili niwasilishe barua yangu ya malalamiko pamoja na vithibitisho kwa jinsi rushwa inavyokwamisha juhudi za watu kujikwamua na umaskini.
      Usihangaike... peleka takukuru na vielelezo vingine weka hapa..

    22. #20
      Mkare_wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 834
      Rep Power : 582
      Likes Received
      113
      Likes Given
      10

      Default Re: RUSHWA: Laini za uwakala wa TiGO-PESA na M-PESA zauzwa na wafanyakazi kwa dau refu!

      uko sahihi kabisa mtoa mada,me pia yamenikuta

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...