Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Afisa mkuu wa polisi dar apewa kipigo na madaktari na kuvunjwa meno

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 34 of 34
    1. #1
      C programming's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Location : kenya
      Posts : 622
      Rep Power : 468
      Likes Received
      111
      Likes Given
      7

      Question Afisa mkuu wa polisi dar apewa kipigo na madaktari na kuvunjwa meno

      Leo katika taarifa ya habali iliyorusha itv ilimuonesha afisa mkuu wa polisi kitengo cha interijensia
      kutokana na kufika hospitali na kujitambulisha afisa usalama ametumwa na kamanda mkuu kuchunguza mwili wa dk.steven ulimboka ......baada ya muda alijikuta na akipatiwa kipigo na meno yake mawili yalivunjika....na madaktari waliokuwa wakimuhudumia dk.ulimboka..........source itv news
      BIG Banned likes this.


    2. #21
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,486
      Rep Power : 5056
      Likes Received
      804
      Likes Given
      1889

      Default Re: Afisa mkuu wa polisi dar apewa kipigo na madaktari na kuvunjwa meno

      Quote By luvara View Post
      Serikali hasa katika awamu hii ya nne imewafanyia mengi mazuri madari, hata hivyo inaonekana hawaoni chochote kizuri walichofanyiwa. Mtaka yote kwa pupa hukosa ...... Nawaomba watumie busara. Kwanini kuwaacha watanzania wagojwa kufa kwa maradhi, kisa mafao ya ziada. Kumbukeni mmesoma kwa kodi za watanzania wanyonge na wao walikuwa na mategemeo makubwa kwenu. Haya! Nawashauri madaktari muache mgomo mara moja na muonyeshe uzalendo wa hali ya juu. Kama kuna kazi baadhi yenu wameona zinalipa zaidi .. Vilevile wajiepushe kujichukulia sheria mkoni kama kuwapiga askari.
      Kwenye Red, mkuu hayo ndiyo mnalishwa na kumeza propaganda za serikali bila kuangalia au kufikiria. Kuna madai zaidi ya kumi mkuu, mafao ni mojawapo, basi kama serikali haiwezi kuwalipa mafao yanayowapa moyo iboreshe mazingira ya kazi, iongeze dawa, inunue vifaa vya kufanyia kazi! Haiingii akili wewe hapo ukiwa kama Daktari mgonjwa unayemtibu anapoteza maisha kwa kukosa pamba za kusafishia, sindano au vifaa ambavyo gharama yake inaweza isifike hata elfu kumi lakini unashangaa mtu anapoteza maisha mbele yako. Kisaikolojia daktari mwenyewe anaweza kuathirika kwani uwezo wa kumtibu anao, lakini vitendea kazi hakuna huku akiangalia serikali inamatumizi ya kianasa.
      Uzalendo huanzia kwa viongozi wenyewe, mimi nawewe ni walipa kodi tena pengine kwa kulazimishwa lakini ingekuwa tunapewa fedha zote za basic salary harafu ndiyo tukalipe kodi, huenda serikali ingekuwa imeshauza hadi barabara maana ningekuwa radhi kujitolea kuipeleka hiyo fedha kwenye moja ya hospitali kusaidia walau kero moja.
      Mkuu ningefurahi zaidi kama ungepitia ile orodha ya madai ya madaktari nauhakika hata kama unatibiwa private hospitals, inakugusa moja kwa moja kwani una ndugu, jamaa, rafiki na majirani wanaoumia pengine wanapoteza maisha kwa kukosa vitu tajwa hapo juu.
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    3. #22
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,384
      Rep Power : 2663
      Likes Received
      3053
      Likes Given
      13989

      Default

      Kwa iyo alikua anataka kumfanyia postmortem mtu aliye hai?

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
      FirstLady1 likes this.

    4. #23
      Pwito's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 176
      Rep Power : 399
      Likes Received
      32
      Likes Given
      70

      Default

      Quote By C programming View Post
      Leo katika taarifa ya habali iliyorusha itv ilimuonesha afisa mkuu wa polisi kitengo cha interijensia
      kutokana na kufika hospitali na kujitambulisha afisa usalama ametumwa na kamanda mkuu kuchunguza mwili wa dk.steven ulimboka ......baada ya muda alijikuta na akipatiwa kipigo na meno yake mawili yalivunjika....na madaktari waliokuwa wakimuhudumia dk.ulimboka..........source itv news
      Ila na wewe ni muongooooo, yaani hiyo TV yako ilikuonyesha pale hata damu katoka? Ndo maana hata mkitoa habari za kweli watu wanapuuzia sababu wote wapuuzi tu mnapenda attention sana za watu

    5. #24
      Tausi Mzalendo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd May 2010
      Location : Solomon Island
      Posts : 1,457
      Rep Power : 891
      Likes Received
      681
      Likes Given
      865

      Default Re: Afisa mkuu wa polisi dar apewa kipigo na madaktari na kuvunjwa meno

      Quote By kasigila View Post
      watu wana hasira anaenda kienyejienyeji

      nimeshangaa polisi wanajua kulinda raia kwa kuwaweka mahabusi kuwalinda dhidi ya hasira kali za raia wenzao halafu wanashindwa kujilinda wenyewe!makubwa!
      "You were born an original. Don't die a copy." —John Mason

    6. #25
      Kizamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th September 2011
      Posts : 398
      Rep Power : 472
      Likes Received
      101
      Likes Given
      3

      Default Re: Afisa mkuu wa polisi dar apewa kipigo na madaktari na kuvunjwa meno

      Madaktari wana huruma sana, wamemvunja tu men mawili! Nilitegemea wamemvunja miguu yte miwili na kumchoma sindano ya sumu.


    7. #26
      Kankwale's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 83
      Rep Power : 379
      Likes Received
      13
      Likes Given
      8

      Default Re: Afisa mkuu wa polisi dar apewa kipigo na madaktari na kuvunjwa meno

      Kamanda kova alisema raia wasijichukulie sheria mkononi.Radio call aliyoitumia bwana usalama.inasemekana aliongea kuwa ''Hajafa' 'akimaanisha anatoa taarifa kwa waliomtuma

    8. #27
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,660
      Rep Power : 4023
      Likes Received
      2943
      Likes Given
      5072

      Default Re: Afisa mkuu wa polisi dar apewa kipigo na madaktari na kuvunjwa meno

      Quote By mchemsho View Post
      Jamaa alitoka nduki utadhani amekanyaga moto, eti tiss
      Njaa za hawa watu bwana..zinawafanya wanatumika kwenye mambo yasiyo na tija yoyote kwa nchi hii.Yale yenye tija wala hawayafuatilii
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    9. #28
      mkandaboy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 172
      Rep Power : 408
      Likes Received
      32
      Likes Given
      24

      Default Re: Afisa mkuu wa polisi dar apewa kipigo na madaktari na kuvunjwa meno

      Quote By luvara View Post
      Serikali hasa katika awamu hii ya nne imewafanyia mengi mazuri madari, hata hivyo inaonekana hawaoni chochote kizuri walichofanyiwa. Mtaka yote kwa pupa hukosa ...... Nawaomba watumie busara. Kwanini kuwaacha watanzania wagojwa kufa kwa maradhi, kisa mafao ya ziada. Kumbukeni mmesoma kwa kodi za watanzania wanyonge na wao walikuwa na mategemeo makubwa kwenu. Haya! Nawashauri madaktari muache mgomo mara moja na muonyeshe uzalendo wa hali ya juu. Kama kuna kazi baadhi yenu wameona zinalipa zaidi .. Vilevile wajiepushe kujichukulia sheria mkoni kama kuwapiga askari.
      Dont be narrow minded and stop thinking inside the box...Issue si mafao tu,mafao ni fraction tu ya madai ya madaktari. Unajua jinsi huduma zilivyo mbovu kwenye vituo vya serikali weye? au wewe ni wale mnaotibiwa nje ya nchi muumwapo hata mafua tu? Serikali DHAIFU, Raisi DHAIFU, Bunge DHAIFU, Mahakama DHAIFU, Hata ww DHAIFU?????????

    10. #29
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 15,046
      Rep Power : 3721
      Likes Received
      3618
      Likes Given
      5870

      Default Re: Afisa mkuu wa polisi dar apewa kipigo na madaktari na kuvunjwa meno

      Quote By Ndumbayeye View Post
      madai makuu ni hela, hayo mengine ni kurembesha tu
      wewe mwenye unajitahidi ili angalau maisha yawe mazuri
      iweje wao wasitetee masilahi yao?????
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..
      Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma

    11. #30
      Ndebile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2011
      Posts : 1,274
      Rep Power : 681
      Likes Received
      261
      Likes Given
      63

      Default

      Quote By luvara View Post
      Serikali hasa katika awamu hii ya nne imewafanyia mengi mazuri madari, hata hivyo inaonekana hawaoni chochote kizuri walichofanyiwa. Mtaka yote kwa pupa hukosa ...... Nawaomba watumie busara. Kwanini kuwaacha watanzania wagojwa kufa kwa maradhi, kisa mafao ya ziada. Kumbukeni mmesoma kwa kodi za watanzania wanyonge na wao walikuwa na mategemeo makubwa kwenu. Haya! Nawashauri madaktari muache mgomo mara moja na muonyeshe uzalendo wa hali ya juu. Kama kuna kazi baadhi yenu wameona zinalipa zaidi .. Vilevile wajiepushe kujichukulia sheria mkoni kama kuwapiga askari.
      Kweli serikali ya awamu ya nne imefanya mazuri hadi twiga wakapanda ndege hadi arabuni- hii niliiona kwenye sinema ya 'Madagascar'

    12. #31
      Duduwasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 2,630
      Rep Power : 6254
      Likes Received
      526
      Likes Given
      421

      Default Re: Afisa mkuu wa polisi dar apewa kipigo na madaktari na kuvunjwa meno

      Quote By Ndebile View Post
      Kweli serikali ya awamu ya nne imefanya mazuri hadi twiga wakapanda ndege hadi arabuni- hii niliiona kwenye sinema ya 'Madagascar'
      Who Said Penguin Can't fly?...... I like to Move move it you like to move move it we like to.... Move it!Mkuu huwa Naipenda Sana hiyo Kitu

    13. #32
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 529
      Rep Power : 541
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default Re: Afisa mkuu wa polisi dar apewa kipigo na madaktari na kuvunjwa meno

      Quote By MTU WA VITA View Post
      Sijauzunishwa kabisa na kupigwa kwa huyo polisi zaidi sana nahisi alikja kutaka kumalizia dr wamelaaniwa hawa wakija tena wapatiwe zaidi yahicho
      ni kweli mzee, unamawazo kama yangu. mimi pia nahisi alitumwa kummalizia ili kupoteza ushahidi kabisaa. amekoma

    14. #33
      telitaibi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Posts : 459
      Rep Power : 450
      Likes Received
      83
      Likes Given
      79

      Default Re: Afisa mkuu wa polisi dar apewa kipigo na madaktari na kuvunjwa meno

      patashika kibao

    15. #34
      afrique's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Location : mwanza
      Posts : 274
      Rep Power : 405
      Likes Received
      46
      Likes Given
      8

      Default Re: Afisa mkuu wa polisi dar apewa kipigo na madaktari na kuvunjwa meno

      mbona hawakumuonyesha kwenye tv jinsi alivyoumizwa!

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...