Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mahakama yatoa onyo la pili mgomo wa madaktari

    Report Post
    Results 1 to 12 of 12
    1. #1
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1209
      Likes Given
      1253

      Default Mahakama yatoa onyo la pili mgomo wa madaktari

      Mahakama kuu ya Tanzania Kitengo cha kazi jana imetoa onyo kwa Chama cha Madaktari Nchini (MAT) kuzingatia amri ya Mahakama hiyo iliyotolewa siku ya Ijumaa tarehe 22 Juni 2012 ya kusitisha na kutoshiriki katika mgomo na kumtaka Rais wa Chama cha Madaktari kutangaza kutii amri hiyo kupitia vyombo vya habari.

      nakala ya onyo hii hapa



      IN THE HIGH COURT OF TANZANIA
      LABOUR DIVISION OF THE HIGH COURT
      AT DAR ES SALAAM

      MISCELLANEOUS APPLICATION NO. 73 OF 2012
      ATTORNEY GENERAL .............................. ... APPLICANT
      VERSUS
      MEDICAL ASSOCIATION OF TANZANIA (MAT) .............. RESPONDENT

      COURT ORDERS


      I have heard both parties orally. From the submissions, it is evident that the respondent's President was served late i.e yesterday with the exparte interim injuction order. The respondents are heraby warned that they should comply with court orders. It's hereby ordered that the respondent should comply with court orders; and the President should address the compliance through the media. It is so ordered.



      S.C. Moshi
      JUDGE
      26/06/2012



      FOR NAKALA YENYE SIGNAURE CLICK HERE http://www.wavuti.com/uploads/3/0/7/...rder_today.pdf
      Rogie likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,439
      Rep Power : 975
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1811

      Default Re: Mahakama yatoa onyo la pili mgomo wa madaktari

      Siasa na maisha ya Binadamu ni vitu viwili tofauti.

      Hakuna mgomo mbaya kama mgomo Baridi, kwani unaweza kumlazimisha Ng'ombe kwenda mtoni lakini huwezi kumlazimisha kunywa maji.

      Hivyo hata hawa Watumishi Mahakama inaweza kuwalazimisha kwenda kazini lakini wakasaini na kisha kutokufanya kazi inayotakiwa na huwezi kumshika mkono kumwambia "Haya mwandikie huyu dawa, mchome sindano, mfanyie operesheni nk. nk. nk."

      Kinachotakiwa ni hekima kutoka pande zote mbili na kugundua madhara yanayopatikana kutokana naubabe wanaofanya katik ya Serkali na Madakitari.



      MIZAMBWA
      INANIUMA SANA!!!
      doup likes this.
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    4. #3
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Mahakama yatoa onyo la pili mgomo wa madaktari

      Quote By mizambwa
      Siasa na maisha ya Binadamu ni vitu viwili tofauti.

      Hakuna mgomo mbaya kama mgomo Baridi, kwani unaweza kumlazimisha Ng'ombe kwenda mtoni lakini huwezi kumlazimisha kunywa maji.

      Hivyo hata hawa Watumishi Mahakama inaweza kuwalazimisha kwenda kazini lakini wakasaini na kisha kutokufanya kazi inayotakiwa na huwezi kumshika mkono kumwambia "Haya mwandikie huyu dawa, mchome sindano, mfanyie operesheni nk. nk. nk."

      Kinachotakiwa ni hekima kutoka pande zote mbili na kugundua madhara yanayopatikana kutokana naubabe wanaofanya katik ya Serkali na Madakitari.



      MIZAMBWA
      INANIUMA SANA!!!
      kweli kabisa ulichokisema.

    5. #4
      Riwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2007
      Location : Dar es salaam
      Posts : 1,564
      Rep Power : 8230
      Likes Received
      1603
      Likes Given
      808

      Default Re: Mahakama yatoa onyo la pili mgomo wa madaktari

      Anajitia aibu tu Jaji mzimaa hata logic haelewi....MAT wameshasema hawahusiki lolote na mgomo huu. Mgomo unaratibiwa na jumuiya ya maDaktari, kama wanatoa amri juu ya mgomo basi waelekeze kwa jumuiya ya maDaktari...lakini hawa bado tu wameng'ang'ana na MAT!
      All things are DIFFICULT before they are EASY - Thomas Fuller

    6. #5
      Ndumbayeye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2009
      Posts : 1,069
      Rep Power : 738
      Likes Received
      98
      Likes Given
      807

      Default Re: Mahakama yatoa onyo la pili mgomo wa madaktari

      Quote By riwa
      anajitia aibu tu jaji mzimaa hata logic haelewi....mat wameshasema hawahusiki lolote na mgomo huu. Mgomo unaratibiwa na jumuiya ya madaktari, kama wanatoa amri juu ya mgomo basi waelekeze kwa jumuiya ya madaktari...lakini hawa bado tu wameng'ang'ana na mat!
      mchezo wa kujificha huo hautowasaidia, kama ndio viongozi wa mat wajiuzulu mara moja

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1209
      Likes Given
      1253

      Default Re: Mahakama yatoa onyo la pili mgomo wa madaktari

      tatizo hii nchi hakuna anayetaka kuwajibika ndio maana serikali imekua ikikimbilia mahakamani kila siku........
      doup likes this.

    9. #7
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,439
      Rep Power : 975
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1811

      Default Re: Mahakama yatoa onyo la pili mgomo wa madaktari

      Quote By Ndumbayeye
      mchezo wa kujificha huo hautowasaidia, kama ndio viongozi wa mat wajiuzulu mara moja

      wanaotakiwa kujiuzulu ni Viongozi wote wa Serikali, Kuanzia Raisi hadi mjumbe wa nyumba kumi; kwani haiwezekani kila mara tuwe na migomo isiyo kuwa na maana kisha wao wanaingiza Siasa. unapokimbilia Mahakamani katika suala linalohusu maisha ya Binadamu hapo elewa kuwa tayari umeingiza siasa.

      Mahakama ina utaratibu wake, ukipeleka kesi leo itapangiwa tarehe, hivyo ndivyo inavyokuwa kwa hili suala la madr. wakipangiwa tarehe ina maana suala lao halijapata mwafaka na hata wakienda kazini hawatafanya kazi kwa moyo mnyofu hivyo ni hatari ya kuweka mkasi katika tumbo la mgonjwa wakati wa operesheni.

      TUWE MAKINI SANA KATIKA SUALA LINALOHUSU UHAI wa BINADAMU TUSICHANGANYE na SIASA.

      KINACHOTAKIWA ni SERIKALI na MADR. KUKETI NA KUPATA SULUHU na SIYO KWNDA MAHAKAMANI.




      MIZAMBWA
      NABII MTARAJIWA!!!
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    10. #8
      Neylu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 1,493
      Rep Power : 650
      Likes Received
      629
      Likes Given
      614

      Default Re: Mahakama yatoa onyo la pili mgomo wa madaktari

      Sasa kwa kumteka mwenyekiti wa Jumuiya ya Madktari na kumpa kipigo kikali Dr. Steven Ulimboka, nadhani madaktari wametibuliwa upyaaa.....

    11. #9
      Anold's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2010
      Posts : 726
      Rep Power : 608
      Likes Received
      73
      Likes Given
      26

      Default Re: Mahakama yatoa onyo la pili mgomo wa madaktari

      Quote By neylu
      Sasa kwa kumteka mwenyekiti wa Jumuiya ya Madktari na kumpa kipigo kikali Dr. Steven Ulimboka, nadhani madaktari wametibuliwa upyaaa.....
      Hao madaktari tunaishi nao huku mitaani na wanafahamika??

    12. #10
      Neylu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 1,493
      Rep Power : 650
      Likes Received
      629
      Likes Given
      614

      Default Re: Mahakama yatoa onyo la pili mgomo wa madaktari

      Quote By Anold
      Hao madaktari tunaishi nao huku mitaani na wanafahamika??
      Una maana gani? Sijakuelewa nini umemaanisha..

    13. #11
      MD25's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 27th January 2012
      Location : Mugumu, Serengeti
      Posts : 1,914
      Rep Power : 0
      Likes Received
      540
      Likes Given
      66

      Default Re: Mahakama yatoa onyo la pili mgomo wa madaktari

      Huyo Judge wa magamba anatapatapa, inampasa angetoa court order ya kumzuia JK kusafiri kwenda Canada ili atulie hapa nchini ku solve mgogoro aliouanzisha.

    14. #12
      doup's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2009
      Location : N/A
      Posts : 697
      Rep Power : 661
      Likes Received
      53
      Likes Given
      43

      Default Re: Mahakama yatoa onyo la pili mgomo wa madaktari

      Quote By asigwa
      tatizo hii nchi hakuna anayetaka kuwajibika ndio maana serikali imekua ikikimbilia mahakamani kila siku........
      Si inajua itaamlisha, mahakama ni kichaka cha mafisadi na mtandao wao, kwa wanyonge ndio inageuka kuwa mbwa mwitu.
      Arusha ni mwanga wa TUMAINI jipya

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...