Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Traffic - huu ndio utaratibu au magumashi

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      Kizamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th September 2011
      Posts : 389
      Rep Power : 466
      Likes Received
      97
      Likes Given
      3

      Default Traffic - huu ndio utaratibu au magumashi

      Habari za jioni wana JF wenzangu na wapenda maendeleo wote kwa ujumla.

      Ijumaa jioni, nikiwahi mjadala wa kufunga bajeti nilikamatwa kwa traffic. Nikiwa katika hali ya kuwahi kuangalia bajeti nikitokea Mwenge kuja ubungo, nilipita kwenye service road inayotokea sisimizi ambapo traffic waliokuwa wamejibanza walinikama. Nilikuwa sina jinsi ila kuwa chanzo cha mapato ya taifa letu, walifanya kazi yao.

      Niliandikiwa buku 30 kwenye fomu ya "notification of traffic offences" na kwa sababu sikuwa na kiasi cha kutosha ilibidi nitafute Mpesa karibu, kilichonishngaza wakati wa kulipa niliona ile pesa inasokoteshwa kwenye origina ya ile fomu na mimi kupewa kopy yake. Ilibid nidai risiti ya serikali ambapo niliambiwa inabidi nisubiri yule traffic, ambaye nilisoma jina lake "Mwamakule", amalize kazi ndipo tuongozane mpaka ostabay polisi ndipo niandikiwe, nikala na matisho mengine mengine kwamba nikifika naweza kuwekwa ndani na mambo mengine aliyoongea, nikaona isiwe so, nikala kona.

      Ishu yangu:
      Je hii fomu ya traffic offences ni sawa na risiti halali ya serikali. Inafanyiwa oditing? je ni haki yangu kupewa risiti pale au kuzungushwa. Ni lazima kuwa makini kwani unaweza kuta buku 30 yangu either ilinywewa laga au kusuuzia rungu. Naomba mnielimishe nyie wenye experince na haya mambo ya traffic, sio kwamba nawalaumu kwa kufanya kazi yao.

      Mwito wangu kwa wapenda maendeleo:
      1. Ujue haki yako. Sio tu uende kwa mjumbe uambiwe leta buku kumi ili uandikiwe barua na wewe utoe tu, jua bia ya srikali ni shilingi ngapi.
      2. Mnaonaje wana CDM wenzangu kwamba tutakavochukua nchi 2015 tuwashauri traffic na watumishi wengine wa serikali kwamba kama anaenda sehemu ambayo anajua atapokea malipo kwa naiaba ya serikali ni vema akwa na kitabu cha risiti halali ya serikali. Hii itasaidia kuondoa mianya ya kupoteza mapato ya serikali.
      3. Nakushauri wewe unayesoma hii thread ingia CDM kwani utajifunza mengi. Mimi ni kama mwezi tu nimejiunga CDM na kuweza kuhudhuria vikao na wanachama wengine na nikajifunza mengi sana.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Kimox Kimokole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2010
      Posts : 833
      Rep Power : 621
      Likes Received
      400
      Likes Given
      1963

      Default Re: Traffic - huu ndio utaratibu au magumashi

      ushaliwa weye
      " A politician thinks of the next "Election" while a LEADER thinks of the next "Generation" - Nelson 'Madiba' Mandela 1999


    4. #3
      mhalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 565
      Rep Power : 600
      Likes Received
      139
      Likes Given
      121

      Default Re: Traffic - huu ndio utaratibu au magumashi

      notification of traffic offences ni taarifa ya traffic police ya kuelezea dereva ana kosa fulani na sio risiti na haifanyiwi auditing.
      pesa alikwenda kuitumia.

    5. #4
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,657
      Rep Power : 716
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: Traffic - huu ndio utaratibu au magumashi

      Kwanini na wewe ulitanua? mtu makini anaheshimu sheria na taratibu za nchi, hakuna sababu inayoweza kuhalalisha uvunjaji wa sheria na walikulipisha kiasi kidogo adhabu kwa kosa hilo kwanza una kula wiki segerea then fain 250,000/ ukitanua unachelewa zaidi ukikamwa kuliko ungefata sheria, Na foleni mara nyingi zinaletwa na watu kama nyie mnaodhani ninyi ndo mnaharaka kuliko wengine na ndo Ubinafsi unapo anzia hapo
      georgeallen likes this.

    6. GP
      #5
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 918
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Traffic - huu ndio utaratibu au magumashi

      mi niliwai kupita ile ya upande wa pili kuingilia mawasiliano kutokea pale kona ya chuo, askari wakanikamata, wakakuta gari ina makosa mengine, nikapelekwa ubungo ndani polisi wakataka 40K, nikawaambia sina nna 20K wakakomaa kinoma na vitisho vingi!,
      nikawaambia natoa 40K ila nataka risiti ya serikali ile ya njano wakaniambia niende magomeni watanipa risiti huko, yani longolongo jingi, but nilienda magomeni nikalipa na wakanipa risiti, nikarudi ubungo kuchukua ndinga, jamaa kuwaonyesha risiti walinimaindi kimtindo nimewanyima hela ya dezo!.
      actually niliamua kwenda kulipia magomeni kwakua bado nilikua na mizunguko so ile faini ilikua inaniwezesha kupiga misele kwa wiki nzima bila kukamatwa tena.
      TRAFIKI BONGO NJAA TUPU.

    7. Miaka 50

    8. #6
      mhalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 565
      Rep Power : 600
      Likes Received
      139
      Likes Given
      121

      Default Re: Traffic - huu ndio utaratibu au magumashi

      pia sijui kwanini traffic akikusimamisha lazima akuulize kazi yako?

    9. #7
      KakaKiiza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Location : Here Where you see me!!
      Posts : 6,046
      Rep Power : 16329
      Likes Received
      2224
      Likes Given
      1261

      Default Re: Traffic - huu ndio utaratibu au magumashi

      Namimi nikiwa traffic oysterbay niliona wanaokatiwa kwenye hicho kitabu wanapewa copy waendekulipia juu ili wapewe risti kama ameandika inamaana ataenda kulipia mwenyewe oysterbay sema risti ndo atabaki nayo!!
      Its only crazy who will be against to CDM!,only a fool who will fly CCM flag while is hungry!!

    10. GP
      #8
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 918
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Traffic - huu ndio utaratibu au magumashi

      Quote By KakaKiiza
      Namimi nikiwa traffic oysterbay niliona wanaokatiwa kwenye hicho kitabu wanapewa copy waendekulipia juu ili wapewe risti kama ameandika inamaana ataenda kulipia mwenyewe oysterbay sema risti ndo atabaki nayo!!
      HAKUNA KITU KAMA HICHO MKUU!,
      hizo hela wananywea BIYA, kwanza inasemekana wana vitabu feki, kwahiyo kua makini.
      wewe just imagine kakukamata ubungo alafu anakwambia uende ostabei na wewe ulikua unatanua uwai kimara stop ova kwa mtitu kula mbuzi choma na mpwa Fidel80, unapiga mahesabu kwenda ostabei kweli?, wanakwambia vile ili uone ni usumbufu then uwape tu hela wakuandikie notification feki.
      mi nilikomaa nao nikapewa risiti yangu!.

    11. #9
      Kizamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th September 2011
      Posts : 389
      Rep Power : 466
      Likes Received
      97
      Likes Given
      3

      Default Re: Traffic - huu ndio utaratibu au magumashi

      JF Bronze Member Array

      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 702
      Rep Power : 478
      Likes Received99
      Likes Given36

      Re: Traffic - huu ndio utaratibu au magumashi

      Kwanini na wewe ulitanua? mtu makini anaheshimu sheria na taratibu za nchi, hakuna sababu inayoweza kuhalalisha uvunjaji wa sheria na walikulipisha kiasi kidogo adhabu kwa kosa hilo kwanza una kula wiki segerea then fain 250,000/ ukitanua unachelewa zaidi ukikamwa kuliko ungefata sheria, Na foleni mara nyingi zinaletwa na watu kama nyie mnaodhani ninyi ndo mnaharaka kuliko wengine na ndo Ubinafsi unapo anzia hapo

      Bob G, ishu hapa si kukamatwa na kutanua, ishu hapa ni kulipa hela kwa traffic na kupewa risiti halali ya serikali ili kulinda mapato. Unavosema kupigwa segerea na mambo mengine huna tofauti na yule traffic Mwamakula. No any logic hapa unapodai risiti ya serikali unaaambiwa utapelekwa mahabusu. I dont think it is right. Hatutaki ujanjaujanja sasa hivi.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...