Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Swali la Kizushi; Bangi ikikamatwa inachomwa, Cocaine Inakwenda wapi???

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 9,008
      Rep Power : 2642
      Likes Received
      2308
      Likes Given
      2079

      Default Swali la Kizushi; Bangi ikikamatwa inachomwa, Cocaine Inakwenda wapi???

      Nimekaaa nikatafakari sana baada ya leo kusikia kuwa eti ni siku ya Kupiga vita madawa ya kulevya; nikamsikiliza na Lukuzi nae, mmmmhhhh nikajiuliza hivi, kila siku tunaona madawa mbali mbali yakikamatwa ikiwa ni pamoja na Bangi, Cocaine na mengineyo; Juzi hapa wakakamata bangi kilo mia nne, shamba la bangi Korogwe likachomwa moto na kwingineko; Je Cocaine na madawa ambayo yako imported huwa yanapelekwa wapi? Yamehifadhiwa wapi na kwa ajili gani????
      afrique likes this.
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???


    2. #2
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 9,008
      Rep Power : 2642
      Likes Received
      2308
      Likes Given
      2079

      Default Re: Swali la Kizushi; Bangi ikikamatwa inachomwa, Cocaine Inakwenda wapi???

      Naskiliza bunge wanasema kilo elfu kumi za Cocaine zilikamatwa, swali ni je ziko wapi??? zilichomwa? zilitupwa? mmmmm
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    3. #3
      Sting's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2011
      Location : Mafichoni
      Posts : 715
      Rep Power : 547
      Likes Received
      142
      Likes Given
      52

      Default Re: Swali la Kizushi; Bangi ikikamatwa inachomwa, Cocaine Inakwenda wapi???

      Zinabwiwa

    4. #4
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 9,008
      Rep Power : 2642
      Likes Received
      2308
      Likes Given
      2079

      Default Re: Swali la Kizushi; Bangi ikikamatwa inachomwa, Cocaine Inakwenda wapi???

      Duh hii kali, sikujua bhana MANI unasemaje?
      Quote By Sir. Burn View Post
      Zinabwiwa
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    5. #5
      MANI's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 22nd February 2010
      Location : CHINI YA MBUYU
      Posts : 1,956
      Rep Power : 966
      Likes Received
      583
      Likes Given
      656

      Default Re: Swali la Kizushi; Bangi ikikamatwa inachomwa, Cocaine Inakwenda wapi???

      Quote By Elli View Post
      Duh hii kali, sikujua bhana MANI unasemaje?
      Zinageuka unga wa sembe ndio maana hakuna mtu anafungwa kwenye issue's hizi !
      Elli likes this.
      " TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA"


    6. #6
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 9,008
      Rep Power : 2642
      Likes Received
      2308
      Likes Given
      2079

      Default Re: Swali la Kizushi; Bangi ikikamatwa inachomwa, Cocaine Inakwenda wapi???

      Hahahaaa kaaazi kweli kweli
      Quote By MANI View Post
      Zinageuka unga wa sembe ndio maana hakuna mtu anafungwa kwenye issue's hizi !
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    7. #7
      kussy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2010
      Posts : 277
      Rep Power : 513
      Likes Received
      33
      Likes Given
      16

      Default

      Quote By Elli View Post
      Nimekaaa nikatafakari sana baada ya leo kusikia kuwa eti ni siku ya Kupiga vita madawa ya kulevya; nikamsikiliza na Lukuzi nae, mmmmhhhh nikajiuliza hivi, kila siku tunaona madawa mbali mbali yakikamatwa ikiwa ni pamoja na Bangi, Cocaine na mengineyo; Juzi hapa wakakamata bangi kilo mia nne, shamba la bangi Korogwe likachomwa moto na kwingineko; Je Cocaine na madawa ambayo yako imported huwa yanapelekwa wapi? Yamehifadhiwa wapi na kwa ajili gani????
      Huwa yanaharibiwa kwenye tanuri za Twiga Cement Wazo hill
      Elli likes this.

    8. #8
      Ginner's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Posts : 630
      Rep Power : 537
      Likes Received
      125
      Likes Given
      7

      Default Re: Swali la Kizushi; Bangi ikikamatwa inachomwa, Cocaine Inakwenda wapi???

      Anapewa bakhresa aweke kwenye unga na vinywaji kuwalisha waswahili......ivi nyie hali ya nchi ilivyo, na wananchi hawachukui hatua yoyote hamuhisi ni uzezeta....kiukweli wadanganyika haya madawa yanatuhusu...tumepumbazwa akili zetu si za kawaida
      Elli likes this.

    9. #9
      Belik's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 10
      Rep Power : 355
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Swali la Kizushi; Bangi ikikamatwa inachomwa, Cocaine Inakwenda wapi???

      Na Meno,Pembe za Ndovu vipi ziko wapi sijasikia zikichomwa Kama Kenya
      Elli likes this.

    10. #10
      leroy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2010
      Posts : 328
      Rep Power : 590
      Likes Received
      89
      Likes Given
      94

      Default Re: Swali la Kizushi; Bangi ikikamatwa inachomwa, Cocaine Inakwenda wapi???

      Quote By Elli View Post
      Nimekaaa nikatafakari sana baada ya leo kusikia kuwa eti ni siku ya Kupiga vita madawa ya kulevya; nikamsikiliza na Lukuzi nae, mmmmhhhh nikajiuliza hivi, kila siku tunaona madawa mbali mbali yakikamatwa ikiwa ni pamoja na Bangi, Cocaine na mengineyo; Juzi hapa wakakamata bangi kilo mia nne, shamba la bangi Korogwe likachomwa moto na kwingineko; Je Cocaine na madawa ambayo yako imported huwa yanapelekwa wapi? Yamehifadhiwa wapi na kwa ajili gani????
      Nadhani hupelekwa Bungeni, wengi wa wabunge ni Walaji wa hii Bidhaa.
      Elli likes this.
      A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people.

    11. #11
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 9,008
      Rep Power : 2642
      Likes Received
      2308
      Likes Given
      2079

      Default Re: Swali la Kizushi; Bangi ikikamatwa inachomwa, Cocaine Inakwenda wapi???

      Hahhahahaaaa utani mwingine kama kweli vile, ina maana ile kulala lala ovyo na kuropoka na kupitisha bajeti kumbe ni kwa ajili hii? kaazi kweli
      Quote By leroy View Post
      Nadhani hupelekwa Bungeni, wengi wa wabunge ni Walaji wa hii Bidhaa.
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    12. #12
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 9,008
      Rep Power : 2642
      Likes Received
      2308
      Likes Given
      2079

      Default Re: Swali la Kizushi; Bangi ikikamatwa inachomwa, Cocaine Inakwenda wapi???

      kama vile kuna point hapa eeeehhhhh, mie simo
      Quote By Ginner View Post
      Anapewa bakhresa aweke kwenye unga na vinywaji kuwalisha waswahili......ivi nyie hali ya nchi ilivyo, na wananchi hawachukui hatua yoyote hamuhisi ni uzezeta....kiukweli wadanganyika haya madawa yanatuhusu...tumepumbazwa akili zetu si za kawaida
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    13. #13
      afrique's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Location : mwanza
      Posts : 274
      Rep Power : 405
      Likes Received
      46
      Likes Given
      8

      Default Re: Swali la Kizushi; Bangi ikikamatwa inachomwa, Cocaine Inakwenda wapi???

      kuna madawa ya kulevya yalikamatwa mbeya,kufikishwa kituo cha polisi yamepungua,je!yalienda wapi na yalikuwa mikononi mwa polisi!
      Elli likes this.

    14. #14
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 9,008
      Rep Power : 2642
      Likes Received
      2308
      Likes Given
      2079

      Default Re: Swali la Kizushi; Bangi ikikamatwa inachomwa, Cocaine Inakwenda wapi???

      Naikumbuka sana ile story na mengine yalikamatwa Mazimbu Morogoro achilia mbali zile kilo kadhaa zilziokamatwa Mtwara, mmmh ukifuatilia sana unaweza kuumwa kichwa bure
      Quote By afrique View Post
      kuna madawa ya kulevya yalikamatwa mbeya,kufikishwa kituo cha polisi yamepungua,je!yalienda wapi na yalikuwa mikononi mwa polisi!
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...