Wakuu, natafuta copy ya The Finance Bill, 2012. Nimejaribu kupekuwa kwenye tovuti ya Bunge bila mafanikio. Kwa yeyote mwenye nayo au anayejua namna/mahali pa kuipata kirahisi, tafadhali naomba msaada.
Wakuu, natafuta copy ya The Finance Bill, 2012. Nimejaribu kupekuwa kwenye tovuti ya Bunge bila mafanikio. Kwa yeyote mwenye nayo au anayejua namna/mahali pa kuipata kirahisi, tafadhali naomba msaada.
nadhani bado hawajaiweka kwenye mtandao!
...........Uwanja wa siasa katika nchi karibu zote za Kiafrika, ni uwanja uliotekwa na majambazi ambao wanafanya wanachotaka, vile wanavyotaka..........Jenerali Ulimwengu, Raia Mwema Namba 278.
Follow Us Here