Sheria inayosimamia 'Mihuri' ya serikali
Wadau, kwa heshima na taadhima naomba msaada wenu. Nimekabidhiwa hii ofisi ya serikali kuifungua. Haina muhuri hata mmoja! nimewaomba 'wakubwa' lakini inaonyesha sitapata hivi karibuni. Kwa kuwa shughuli zinahitaji kwenda napata mshawasha wa KUCHONGA mihuri husika. Instinct inaniambia sio sahihi kufanya hivyo. Naamini kuna sheria au mwongozo unaosimamia hili. Wale 'learned brothers/sisters' naomba mnipe mwanga kwenye hili nisipate kesi bure - najua ignorance of the law is not a defence!
Last edited by JamboJema; 14th June 2012 at 10:17.
Uchakavu wa Mahakama si nafuu ya hukumu!
Follow Us Here