pole sana ndugu,
1. kati ya hao waliopunguzwa na wewe umo?
2. kama umo, ni kwamba watatakiwa wakulipe kwa kuvunja mkataba na wala haina kukwepa kwa sababu ni matatizo yao wao na sio yako, na pia sheria inaruhusu kuvunja mkataba kama shughuli ulizao kuwa unafanya ziimeisha au zimesitishwa au haziendelei tena
3. swala la jinsi ya kupunguza sio ishu sana, cha msingi ni wewe kulipwa kwa mkataba kuvunjwa kwa kuwa project haiendelei tena. au wakulipe stahili zako zote kwa hesabu ya miaka yote minne ya ajira yako kama wataweza.
Follow Us Here