Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nataka kumshtaki rais na wabunge wa CCM naombeni msaada wa kisheria

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,673
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      886
      Likes Given
      586

      Default Nataka kumshtaki rais na wabunge wa CCM naombeni msaada wa kisheria

      Waungwa naombeni msaada wa kisheria ili niwashtaki rais na wabunge wa ccm kwa kushindwa kulinda katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.

      Mkumbuke kwa mujibu wa viapo walivyokula ni kwamba waliapa kuilina na kuitetea sasa mamlaka ya kuanzisha mchakato wa katiba mpya wameupata wapi? Wameikanyaga katiba kama walitaka kuibadili katiba walitakiwa kwanza watunge sheria waiingize kwenye katiba ya sasa ili iwaruhusu kuibadili.

      Ni hatari sana kuwa na viongozi wa namna hii ma dk na maprof wanafanya makosa ya wazi namna hii tukiwachekea watakuja kuibadili hata hiyo wanayodai kuileta.

      Naombeni wanasheria mnipe msaada ni kesi ya muundo gani, ni pesa kiasi gani na ni mahakama gani natakiwa kisheria kuifungulia?

      Msinielewe vibaya kuna mambo mengi katika nchi hii yanaendeshwa kienyeji ili kuwa mfano nimeamua kuuza shamba langu ili kuwakumbusha utawala wa sheria ni vitendo na si kwenye vyombo vya habari.

      NB: sihitaji msaada wa kifedha.

      Nawasilisha.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.


    2. #2
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,876
      Rep Power : 3641
      Likes Received
      1150
      Likes Given
      288

      Default Re: Nataka kumshtaki rais na wabunge wa CCM naombeni msaada wa kisheria

      Ndugu yangu kwa Sheria zilizopo ni kwamba Rais hashtakiwi kwa jambo lolote alilolifanya kama Rais wa Nchi. Hata hivyo, kwa mambo yake binafsi huwezi pia kumshtaki mpaka atakapomaliza kipindi chake cha Uongozi.

      Kwa Wabunge, Sheria ipo wazi kwamba huwezi kumshtaki Mbunge (au Wabunge) kwa jambo lolote alilolifanya ndani ya Bunge. Sheria inaweka wazi kwamba hakuna jambo lolote linaweza kuhojiwa na Mahakama ambalo limefanywa na Bunge. Huo ndio upuuzi wa Sheria zetu!!
      Last edited by TUMBIRI; 6th December 2011 at 09:34.
      Ringo Edmund likes this.

    3. #3
      KIKUNGU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Posts : 614
      Rep Power : 1989
      Likes Received
      392
      Likes Given
      520

      Default Re: Nataka kumshtaki rais na wabunge wa CCM naombeni msaada wa kisheria

      Mchakato wa katiba hii ndio haswa mahari pakee pa kubadilisha sheria hizi,kwani ni afadhali huyu m.k.w.e.r.e mwenye ubongo mgado kuliko kuja kupata raisi mwenye tahira ya akili maana atauza hata ile nyumba nyeupe pale magogoni na akabaki huru.
      Last edited by KIKUNGU; 6th December 2011 at 09:42. Reason: misspelling
      Ringo Edmund likes this.

    4. #4
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,673
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      886
      Likes Given
      586

      Default Re: Nataka kumshtaki rais na wabunge wa CCM naombeni msaada wa kisheria

      Quote By TUMBIRI View Post
      Ndugu yangu kwa Sheria zilizopo ni kwamba Rais hashtakiwi kwa jambo lolote alilolifanya kama Rais wa Nchi. Hata hivyo, kwa mambo yake binafsi huwezi pia kumshtaki mpaka atakapomaliza kipindi chake cha Uongozi.
      kaka nakushukuru kwa kunipa mwanga kwa sababu kwa hasira nilizo nazo nilishatafuta na mteja wa shamba,siwezi kwenda hata mahakama ya kimataifa?
      mbona dowans walitupeleka nje?
      naomba upekuepekue makabrasha yako ya sheria,kama haiwezekani niandae tu mashtaka nisubiri katiba mpya.
      Kwa Wabunge, Sheria ipo wazi kwamba huwezi kumshtaki Mbunge (au Wabunge) kwa jambo lolote alilolifanya ndani ya Bunge. Sheria inaweka wazi kwamba hakuna jambo lolote linaweza kuhojiwa na Mahakama ambalo limefanywa na Bunge. Huo ndio upuuzi wa Sheria zetu!!
      asante kaka nitasubiri katiba mpya ngoja niandae mashtaka niweke kabatini siku itakuja tu.
      na wewe hebu pekuapekua makabrasha yako ya shria ili ikiwezekana niwapeleke hata kule walipotupeleka dowans.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    5. #5
      Watu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,073
      Rep Power : 781
      Likes Received
      243
      Likes Given
      138

      Default Re: Nataka kumshtaki rais na wabunge wa CCM naombeni msaada wa kisheria

      Quote By Ringo Edmund View Post
      Waungwa naombeni msaada wa kisheria ili niwashtaki rais na wabunge wa ccm kwa kushindwa kulinda katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.

      Mkumbuke kwa mujibu wa viapo walivyokula ni kwamba waliapa kuilina na kuitetea sasa mamlaka ya kuanzisha mchakato wa katiba mpya wameupata wapi? Wameikanyaga katiba kama walitaka kuibadili katiba walitakiwa kwanza watunge sheria waiingize kwenye katiba ya sasa ili iwaruhusu kuibadili.

      Ni hatari sana kuwa na viongozi wa namna hii ma dk na maprof wanafanya makosa ya wazi namna hii tukiwachekea watakuja kuibadili hata hiyo wanayodai kuileta.

      Naombeni wanasheria mnipe msaada ni kesi ya muundo gani, ni pesa kiasi gani na ni mahakama gani natakiwa kisheria kuifungulia?

      Msinielewe vibaya kuna mambo mengi katika nchi hii yanaendeshwa kienyeji ili kuwa mfano nimeamua kuuza shamba langu ili kuwakumbusha utawala wa sheria ni vitendo na si kwenye vyombo vya habari.

      NB: sihitaji msaada wa kifedha.

      Nawasilisha.
      Mtafute mtikila anaweza kukusaidia kwa hili huwa ni mzuri kwa kesi dhidi ya serikali


    6. #6
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,673
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      886
      Likes Given
      586

      Default Re: Nataka kumshtaki rais na wabunge wa CCM naombeni msaada wa kisheria

      Quote By KIKUNGU View Post
      Mchakato wa katiba hii ndio haswa mahari pakee pa kubadilisha sheria hizi,kwani ni afadhali huyu m.k.w.e.r.e mwenye ubongo mgado kuliko kuja kupata raisi mwenye tahira ya akili maana atauza hata ile nyumba nyeupe pale magogoni na akabaki huru.
      kaka nina hasira utafikiri nini,
      mpaka nimeamua kuliuza shamba laangu kwani sioni haja ya kuwaachia urithi watoto ambao watakuja kunyanganywa na mafisadi kwa kigezo cha kwamba wameshindwa kuliendeleza.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    7. #7
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,673
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      886
      Likes Given
      586

      Default Re: Nataka kumshtaki rais na wabunge wa CCM naombeni msaada wa kisheria

      Quote By Watu View Post
      Mtafute mtikila anaweza kukusaidia kwa hili huwa ni mzuri kwa kesi dhidi ya serikali
      naomba namba yake kaka.
      niko moto vibaya.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    Similar Topics

    1. Naombeni msaada wa Kisheria
      By MGOGOHALISI in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 1
      Last Post: 22nd November 2011, 09:51
    2. Naombeni msaada wa kisheria katika hili jambo
      By Hiphop in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 5
      Last Post: 28th July 2011, 14:19
    3. Jamani nataka kupanda Mlima Kilimanjaro, naombeni msaada
      By sekulu in forum Business & Economic Forum
      Replies: 9
      Last Post: 6th June 2011, 10:17
    4. Nataka kuacha kazi - Msaada wa kisheria
      By Ozzie in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 6
      Last Post: 2nd June 2011, 07:03
    5. Jamani naombeni msaada wa kisheria
      By Omtata in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 2
      Last Post: 14th December 2010, 21:38

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...