Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kubadili jina

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      Voice of Wisdom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2011
      Location : heaven
      Posts : 377
      Rep Power : 465
      Likes Received
      137
      Likes Given
      6

      Default Kubadili jina

      Heshima zenu wakuu, na poleni na majukumu ya wiki nzima.
      Kuna jambo naomba kujuzwa kuhusu kubadili jina. Hii inatokana na ukweli huu "nilipokuwa std 4 tz nilihamishiwa shule huko kenya ambapo nilisoma miaka miwili ( std 4 &5) kisha nikarudi tz, ile shule niliyokuwa mwanzoni nikakuta jina langu kuna mtu analitumia naye yupo std 7. Nikahamia shule ya jirani mwalimu mkuu akanipa jina la mwanafunzi mwingine ambaye alirudia std 6 nikawa nalitumia hadi sasa nipo chuo mwaka wa 2.
      Kuna tetesi nimepata kwamba mtu unaweza kubadili jina. Wajuzi naomba mnijuze, je ni hatua gani natakiwa kuzifuata na je inagharimu fedha yeyote?
      Nawasilisha.


    2. #2
      Kanyigo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 621
      Rep Power : 514
      Likes Received
      41
      Likes Given
      12

      Default Re: Kubadili jina

      haiwezekani!,nyie ndio mnatusumbua watoto wa kimaskini..!

    3. #3
      Parachichi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd July 2008
      Location : North pole
      Posts : 517
      Rep Power : 660
      Likes Received
      79
      Likes Given
      12

      Default Re: Kubadili jina

      wewe sema tuu ulirudia la saba,ili ufaulu!inawezekana,unaenda kuapa mahakamani,unapata certificate pia ya change of name!ila useme jina ni la kwako unataka kubadili,ukisema ulichukua la mtu utazua soo

    4. #4
      Voice of Wisdom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2011
      Location : heaven
      Posts : 377
      Rep Power : 465
      Likes Received
      137
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By KANYIGO. View Post
      haiwezekani!,nyie ndio mnatusumbua watoto wa kimaskini..!
      in short mi ni mtoto wa fukara, my parents ni wakulima wadogo wadogo, mazingira ndo yalisababisha mimi kusoma kenya, na by the way nilisoma community day school

    5. #5
      Voice of Wisdom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2011
      Location : heaven
      Posts : 377
      Rep Power : 465
      Likes Received
      137
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By Parachichi View Post
      wewe sema tuu ulirudia la saba,ili ufaulu!inawezekana,unaenda kuapa mahakamani,unapata certificate pia ya change of name!ila useme jina ni la kwako unataka kubadili,ukisema ulichukua la mtu utazua soo
      nashukuru mkuu kwa ushauri. Kwa kifupi cjawah kurudia darasa since nimeanza vidudu. Huku nitasema kama ulivyonieleza, hapa nimekuwa mtupu ili nipate msaada


    6. #6
      baghozed's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Posts : 124
      Rep Power : 432
      Likes Received
      14
      Likes Given
      34

      Default Re: Kubadili jina

      sasa wataka uwe na jina gani? la kwako asili ama upate jipya?
      na je hilo unalolitumia una cheti chake??
      kama huna cheti cha jina unalolitumia sasa waweza pata cheti cha kuzaliwa kirahisi tu,na ukaendelea kutambuliwa kwa jina hilo,lakini kama wataka kujulikana kwa majina yote basi itabidi uende mahakamani ukaape na kupata kitu kinaitwa DEED POOL ili kukutambua kuwa wa zamani ndo wewe.
      sijui kama umenipata hapo

    7. #7
      Voice of Wisdom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2011
      Location : heaven
      Posts : 377
      Rep Power : 465
      Likes Received
      137
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By baghozed View Post
      sasa wataka uwe na jina gani? la kwako asili ama upate jipya?
      na je hilo unalolitumia una cheti chake??
      kama huna cheti cha jina unalolitumia sasa waweza pata cheti cha kuzaliwa kirahisi tu,na ukaendelea kutambuliwa kwa jina hilo,lakini kama wataka kujulikana kwa majina yote basi itabidi uende mahakamani ukaape na kupata kitu kinaitwa DEED POOL ili kukutambua kuwa wa zamani ndo wewe.
      sijui kama umenipata hapo
      mkuu shukrani, lengo langu ni kutaka kutumia jina langu la asili.
      cheti cha kuzaliwa chenye jina ninalotumia sasa ninacho pia

    8. #8
      baghozed's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Posts : 124
      Rep Power : 432
      Likes Received
      14
      Likes Given
      34

      Default Re: Kubadili jina

      so una vyeti viwili vya kuzaliwa vyenye majina tafauti?
      Cheti cha asili tena usikitumie nenda kaape tu mahakamani upate DEED POLL ON CHANGE OF NAME coz uta renounce and abandon the use of current name na utataja jina utakalotaka utambulike,
      gharama itategemea coz hilo kwa mahakama ni dili waweza ukakaa kwenye benchi ukaletewa tu ukitoa chchote kitu,bt ukitaka haki utajuta kujaribu coz utasumbuliwa tu.

    9. #9
      daisy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd January 2011
      Posts : 107
      Rep Power : 447
      Likes Received
      30
      Likes Given
      149

      Default Re: Kubadili jina

      Quote By voice of wisdom View Post
      Heshima zenu wakuu, na poleni na majukumu ya wiki nzima.
      Kuna jambo naomba kujuzwa kuhusu kubadili jina. Hii inatokana na ukweli huu "nilipokuwa std 4 tz nilihamishiwa shule huko kenya ambapo nilisoma miaka miwili ( std 4 &5) kisha nikarudi tz, ile shule niliyokuwa mwanzoni nikakuta jina langu kuna mtu analitumia naye yupo std 7. Nikahamia shule ya jirani mwalimu mkuu akanipa jina la mwanafunzi mwingine ambaye alirudia std 6 nikawa nalitumia hadi sasa nipo chuo mwaka wa 2.
      Kuna tetesi nimepata kwamba mtu unaweza kubadili jina. Wajuzi naomba mnijuze, je ni hatua gani natakiwa kuzifuata na je inagharimu fedha yeyote?
      Nawasilisha.
      Kwa kiswahili ni sawa kusema kubadili jina.
      Nenda kwa Wakili mueleze hiyo maneno not necessary the whole stori, ila mwambie tu hilo jina ulisomea na sas unahitaji kutumia majina yako uliyopewa either kwa kubatizwa kama wewe ni mtristo au ulipozaliwa. atukutengenezea document inaitwa DEED POLL on change of names utaapa utaipeleka kuisajili kwa msajili wa hati then baada yapo peleka kwenye chuo unachosoma, benki, na sehemu zote ambazo una kitambulisho chenye jina la zamani watakubadilishia majina yako utapata kitambulisho kipya na kuanzia hapo document zako zote zitasomeka kwa majina yako mapya.

    Similar Topics

    1. Tetesi: CCM Kubadili Jina ili Kupata Mvuto.
      By KakaJambazi in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 67
      Last Post: 24th September 2011, 16:11
    2. Naomba kubadili jina
      By Tychicus in forum Utambulisho (Member Intro Forum)
      Replies: 82
      Last Post: 16th January 2011, 20:58
    3. msaada kubadili jina
      By Kafara in forum Tech, Gadgets & Science Forum
      Replies: 4
      Last Post: 19th September 2010, 14:22

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...