Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Je Adhabu Ya Kunyonga Hadi Kufa Imepitwa Na Wakati?

    Report Post
    Page 4 of 11 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 213
    1. #1
      VoiceOfReason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 5,239
      Rep Power : 1894
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      603

      Default Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      "Why do we Kill People who Kill People to Show that Killing People is Wrong ?"

      Je ni sawa kuwa na Hukumu ya Kifo?
      Baada ya yule Chizi wa Norway kuua kadamnasi ya watu (ukizingatia Norway life Sentence ni limited kwa miaka 21 tu) Je ni muhimu kuwa na hukumu ya kifo? Ni nini hasa faida ya hukumu ya kifo?

      Je hukumu ya kifo inafanya watu waogope kutenda maovu kwahiyo ni njia nzuri au ni kuonyesha hata sisi hatuna tofauti na waliofanya hayo maovu?

      I can argue kwamba huenda hukumu ya kifo ni adhabu rahisi sababu badala ya kumfanya mtu ku-suffer kwa kosa lake, tunampumzisha...Je sio vema kumfunga mtu maisha na kumfanyisha kazi ngumu kwa maisha yake yaliyobaki na kila alichonacho au atakachokitengeneza kiende kwa wale aliowatenda....

      What do you think?.....
      Even a Genius Asks Questions....

    2. FemaTV & Radio

    3. #61
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,173
      Rep Power : 31375
      Likes Received
      9577
      Likes Given
      683

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      Quote By VoiceOfReason
      Mkuu there is a good reason kwanini polisi hawaruhusiwi kupeleleza kesi zinazowahusu au daktari kumfanyia operation mtu wa karibu sana na yeye..., Sababu hata decision na maamuzi yao yatakuwa calculated na yatakuwa tofauti na ingekuwa otherwise..., Kwahiyo kama sasa hivi naona death penalty haifai takuwa sipo sawa kubadilisha mawazo yangu itakapo-work against me.... Au unaona its okay tuwaachie watu waliotendwa ndio watunge sheria.....?

      Inabidi maamuzi yetu yawe regardless kwamba yamenikuta mimi au sio mimi na yasiwe driven by emotions and revenge..,
      Ninachosema ni kwamba, pale mtu kitu kinapokukumba si ajabu ukabadili mtazamo wa kitu hicho uliokuwa nao awali kabla ya kukumbwa. Usipinge sana ukweli huu kwa sababu ni kitu kilicho dhahiri kabisa.

      Na mimi sitetei maamuzi yanayosukumwa na visasi au hisia lakini nachotetea ni kwamba experience za watu zisipuuzwe pia. Mtu aliyeuliwa mwanae kinyama na wewe ambaye hujauliwa mwanao mnaweza msiongee lugha moja kwa sababu hamna hiyo shared experience. Na kama hamna shared experience wakati mwingine kuelewana inaweza ikawa tabu kidogo. Sijui umenielewa?
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    4. #62
      sugi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2011
      Posts : 817
      Rep Power : 582
      Likes Received
      82
      Likes Given
      4

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      adhabu ya kifo ni kanuni ya jino kwa jino,kwamba aliyeua naye auawe,sasa kama ni hivyo!basi aliyeiba naye aibiwe,aliyebaka naye abakwe,je tuandae watu maalumu kwa kazi ya kubaka Wabakaji,kama tulivyoandaa watu maalumu kwa kuua wauaji?mi sioni kama adhabu ya kifo inasaidia!maana kifo ni difensive mechanism ya suffering na boby failure!
      VoiceOfReason likes this.

    5. #63
      hengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2011
      Location : BONGO
      Posts : 405
      Rep Power : 483
      Likes Received
      47
      Likes Given
      32

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      Mwl.Nyerere alipitisha adhabu hiyo ya kifo na aliitekeleza ipasavyo.The president was gifted and civilised that is why was accepted wherever the world.I argue let them be killed who kill, the alive we learn the outcomes of killing.

    6. #64
      Chapakazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2009
      Location : Kathmandu
      Posts : 2,910
      Rep Power : 1096
      Likes Received
      256
      Likes Given
      272

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      Quote By afrodenzi
      yap ni sawa kuwa na hukumu ya kifo....
      (kwa watu kama mafataki na wabakaji)

      (ingawa kwa upande wa Dini especially Christianity hairuhusiwi
      kumuhukumu mtu)
      Hapo pekundu napingana na wewe. Hukumu ya kifo ipo kwenye biblia. Kasome sheria za Musa.
      Change begins with YOU

    7. #65
      Chapakazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2009
      Location : Kathmandu
      Posts : 2,910
      Rep Power : 1096
      Likes Received
      256
      Likes Given
      272

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      Hukumu ya kifo ni muhimu sana katika jamii.
      1. Huwezi kuua kwa kukusudia (premeditated murder) alafu uishie gerezani tu kutumia rasilimali za nchi
      2. Kwa degree fulani ninahisi kuwa inapunguza matendo maovu. Kwa mfano, angalia matukio ya treason katika nchi yeyote.
      3. Kumuua mtu sio kumpumzisha, ama sivyo kwa nini wewe hujiui hapo? The uncertainty in death is what keeps ppl alive...
      Change begins with YOU

    8. Miaka 50

    9. #66
      Keren_Happuch's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Location : at home
      Posts : 1,867
      Rep Power : 6397
      Likes Received
      879
      Likes Given
      1385

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      Quote By Chapakazi
      Hapo pekundu napingana na wewe. Hukumu ya kifo ipo kwenye biblia. Kasome sheria za
      Musa.
      Baada ya Yesu kuja, hukumu ya kifo ilibatilishwa. Sasa hivi ni mpende adui yako na usilipe ovu kwa ovu...........
      "Whoever claims to love God yet hates a brother or sister is a liar"

    10. #67
      Chapakazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2009
      Location : Kathmandu
      Posts : 2,910
      Rep Power : 1096
      Likes Received
      256
      Likes Given
      272

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      Quote By Keren_Happuch
      Baada ya Yesu kuja, hukumu ya kifo ilibatilishwa. Sasa hivi ni mpende adui yako na usilipe ovu kwa ovu...........
      Hukumu ya kifo inakuwa administered by the state na sio individual. Na sio kwa sababu ya kulipa bali ni adhabu ya kosa.
      Na pia sio necessarily awe adui wako.
      Change begins with YOU

    11. #68
      VoiceOfReason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 5,239
      Rep Power : 1894
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      603

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      Quote By Chapakazi
      Hukumu ya kifo ni muhimu sana katika jamii.
      1. Huwezi kuua kwa kukusudia (premeditated murder) alafu uishie gerezani tu kutumia rasilimali za nchi


      Sio kweli unaweza ukamfanya mfungwa productive alafu inasemekana kunyongwa ni cost zaidi kuliko kifungo cha maisha

      The death penalty is much more expensive than life without parole because the Constitution requires a long and complex judicial process for capital cases. This process is needed in order to ensure that innocent men and woman are not executed for crimes they did not commit, and even with these protections the risk of executing an innocent person can not be completely eliminated. Source Death Penalty*:*The High Cost of the Death Penalty
      2. Kwa degree fulani ninahisi kuwa inapunguza matendo maovu. Kwa mfano, angalia matukio ya treason katika nchi yeyote.
      Sio kweli
      It is not a deterrent; crime rates have not gone down.
      In fact, the murder rate in the US is 6 times that of Britain and 5 times that of Australia. Neither country has the DP. Texas has twice the murder rate of Wisconsin, a state that doesn't have the DP. Texas and Oklahoma have historically executed the most number of DR inmates, yet in 2003 their state murder rates increased, and both have murder rates higher than the national average.

      3. Kumuua mtu sio kumpumzisha, ama sivyo kwa nini wewe hujiui hapo? The uncertainty in death is what keeps ppl alive...
      Wangapi wanajiua kwa kukimbia maisha magumu lakini sijaona mtu anavolunteer kifungo cha maisha na kazi ngumu
      Even a Genius Asks Questions....

    12. #69
      VoiceOfReason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 5,239
      Rep Power : 1894
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      603

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      Quote By Chapakazi
      Hukumu ya kifo inakuwa administered by the state na sio individual. Na sio kwa sababu ya kulipa bali ni adhabu ya kosa.
      Na pia sio necessarily awe adui wako.
      Adhabu ya kosa ndio lakini je ni adhabu tosha?, je ni adhabu tosha kwa mtu aliyeua watu 10; je ni adhabu kubwa kuliko adhabu nyingine (suffering involved)
      Even a Genius Asks Questions....

    13. SMU
      #70
      SMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2008
      Location : Mavurunza
      Posts : 4,531
      Rep Power : 3810
      Likes Received
      1311
      Likes Given
      1916

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      Quote By VoiceOfReason
      Adhabu ya kosa ndio lakini je ni adhabu tosha?, je ni adhabu tosha kwa mtu aliyeua watu 10; je ni adhabu kubwa kuliko adhabu nyingine (suffering involved)
      Kuuwawa kwa kunyongwa sio 'adhabu' ndogo kivile....ni ya muda mfupi lakini katika hali ya kawaida hakuna mtu angependa 'kunyongwa'.
      Naona umeongeza apsect nyingine ya utoshelevu wa adhabu ya kifo....hii pia ina ugumu wake kwa sababu uwezo wa binaadamu una kikomo. Lakini wanaopinga adhabu ya kifo wanaipinga kwa sababu wanahisi ni ndogo na hivyo wangetaka adhabu kubwa zaidi au ni suala la morality zaidi? Ukitizama sana hakuna kosa kubwa kama kuuwa (kwa makusudi) na kimantiki hakuwezi kuwa na adhabu kubwa zaidi ya kuuwawa (isomeke: kunyang'anywa haki ya kuishi). Ukisema adhabu ya kifo ni ndogo (is not the maximum), kimantiki unasema pia kuuwa kwa makusudi sio kosa kubwa zaidi kuliko makosa mengine yote.
      "Rather than love, than money, than fame, give me truth" ----Thoreau

    14. #71
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,173
      Rep Power : 31375
      Likes Received
      9577
      Likes Given
      683

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      A cold blooded murderer who has brutally killed my daughter or my father and has shown no compunction whatsoever deserves nothing but death. He or she doesn't deserve even one bit to be alive.

      My loved one(s) will never be back. So why should he or she continue to be living and breathing free air? No way! The only semblance of closure (to me) would be to take away his or her life also.

      I can't day in and day out sleep and wake up knowing that he or she is alive somewhere. I could care less how hard a life he has. Just knowing that he or she still is walking on the surface of the earth is enough to nauseate me.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    15. #72
      Michelle Hilton's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 140
      Rep Power : 428
      Likes Received
      16
      Likes Given
      9

      Default

      Quote By Nyani Ngabu
      Unajuaje kama hizo adhabu nyingine zitamfanya ajutie maovu yake? Atakuambia kuwa najuta kumuua fulani na fulani? Au?
      Cku zote mtu huonekana anapojutia na izo adhabu c za muda mfupi km kwa mtu alieua for da rest of his life awe anatumikia hizo adhabu

    16. #73
      VoiceOfReason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 5,239
      Rep Power : 1894
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      603

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      Quote By SMU
      Kuuwawa kwa kunyongwa sio 'adhabu' ndogo kivile....ni ya muda mfupi lakini katika hali ya kawaida hakuna mtu angependa 'kunyongwa'.
      MKuu I can argue kwamba Kunyongwa sio the ultimate suffering lakini kuna mateso hapa ulimwenguni ambayo ni more suffering mfano torture (yaani mtu unaomba ufe) pili kunyongwa/kujinyonga ingekuwa mbaya kivile sidhani kama kuna watu wangejinyonga (hii inaonyesha kwamba unaweza ukapata matatizo hapa ulimwenguni hadi ukaona kufa ni kuzuri)


      Naona umeongeza apsect nyingine ya utoshelevu wa adhabu ya kifo....hii pia ina ugumu wake kwa sababu uwezo wa binaadamu una kikomo. Lakini wanaopinga adhabu ya kifo wanaipinga kwa sababu wanahisi ni ndogo na hivyo wangetaka adhabu kubwa zaidi au ni suala la morality zaidi? Ukitizama sana hakuna kosa kubwa kama kuuwa (kwa makusudi) na kimantiki hakuwezi kuwa na adhabu kubwa zaidi ya kuuwawa (isomeke: kunyang'anywa haki ya kuishi). Ukisema adhabu ya kifo ni ndogo (is not the maximum), kimantiki unasema pia kuuwa kwa makusudi sio kosa kubwa zaidi kuliko makosa mengine yote.
      Ndio wapo wale wanaopinga adhabu ya kifo sababu ya morals..., pia na mimi naona adhabu ya kifo huenda ikawa ni getting off lightly kwa watuhumiwa.., ofcourse I can argue kwamba kuna makosa makubwa zaidi ya kuua kwa kukusudia (unaweza ukamtenda mtu (abuse) ukaacha kovu kubwa maishani mwake yaani ikawa ni bora ungemuua) unadhani yule anayeabuse watoto ni kosa dogo kuliko aliyeua? Its all subjective lakini tuangalie faida za kunyonga:-

      Crime Hindrance: Sio kweli according to research haisaidii refer to post yangu no. 68
      Cost Effective: Hapana according to research inaonekana it costs more kunyonga kuliko life improsonment refer post no. 68
      Is it the Highest Punishment in terms of suffering: Hapana ingekuwa hivyo watu wangekuwa hawajinyongi voluntarily
      Even a Genius Asks Questions....

    17. #74
      Chapakazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2009
      Location : Kathmandu
      Posts : 2,910
      Rep Power : 1096
      Likes Received
      256
      Likes Given
      272

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      Quote By VoiceOfReason


      Sio kweli unaweza ukamfanya mfungwa productive alafu inasemekana kunyongwa ni cost zaidi kuliko kifungo cha maisha




      Sio kweli
      It is not a deterrent; crime rates have not gone down.
      In fact, the murder rate in the US is 6 times that of Britain and 5 times that of Australia. Neither country has the DP. Texas has twice the murder rate of Wisconsin, a state that doesn't have the DP. Texas and Oklahoma have historically executed the most number of DR inmates, yet in 2003 their state murder rates increased, and both have murder rates higher than the national average.


      Wangapi wanajiua kwa kukimbia maisha magumu lakini sijaona mtu anavolunteer kifungo cha maisha na kazi ngumu
      Ivi unajua jela za nchi zilizoendelea zinafanyaje kazi? Wafungwa wanapigishwa kazi ngumu? Unajua watu wana-access ya education, tv, nk eti kwa ajili ya ku-rehabilitate?
      Cost ya risasi ni kubwa zaidi ya kumlisha mtu kwa miaka 30 three meals a day? Embu fafanua hiyo point maana it doesnt make sense at the moment.
      Pili, sijasema kuwa inapunguza murder rates, bali premeditate murders rates. Adhabu ya kifo huwa kwa charge/offence ya namna hiyo. Mimi nikijua leo nikimuua jirani yangu nitauawa, wewe unaona sio a deterrent?
      Alafu una-compare nchi yenye watu mil 400 na nchi zenye watu less than 70m? Kwenye a larger population it is obvious kutakuwa na disputes zaidi between individuals. Nipe link to those statistics. Saa nyingine tunapewa statistic bila ku-question meaning yake.
      Tatu, watu wanaojiua wanajipumzisha? Watu wanajiua kukimbia matatizo lakini sio kujipumzisha. Death is still an uncertainty.
      afrodenzi likes this.
      Change begins with YOU

    18. #75
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,173
      Rep Power : 31375
      Likes Received
      9577
      Likes Given
      683

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      Halafu kama adhabu ya kifo haipunguzi au kuzuia mauaji, je kifungo cha maisha na kazi ngumu ndivyo vinazuia?
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    19. #76
      VoiceOfReason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 5,239
      Rep Power : 1894
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      603

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      Quote By Chapakazi
      Ivi unajua jela za nchi zilizoendelea zinafanyaje kazi? Wafungwa wanapigishwa kazi ngumu? Unajua watu wana-access ya education, tv, nk eti kwa ajili ya ku-rehabilitate?
      Cost ya risasi ni kubwa zaidi ya kumlisha mtu kwa miaka 30 three meals a day? Embu fafanua hiyo point maana it doesnt make sense at the moment.


      Mkuu hapa ni judicial cost mpaka mtu akija kunyongwa ni long process ambayo ina-involve legalities (advocates e.t.c) ili kuhakikisha kwamba kweli huyu mtu anapaswa kunyongwa na raisi kutia saini ambayo ni very costfully sio kwamba ukihukumiwa kunyongwa leo kesho unapigwa risasi

      Pili, sijasema kuwa inapunguza murder rates, bali premeditate murders rates. Adhabu ya kifo huwa kwa charge/offence ya namna hiyo. Mimi nikijua leo nikimuua jirani yangu nitauawa, wewe unaona sio a deterrent?
      Alafu una-compare nchi yenye watu mil 400 na nchi zenye watu less than 70m? Kwenye a larger population it is obvious kutakuwa na disputes zaidi between individuals. Nipe link to those statistics. Saa nyingine tunapewa statistic bila ku-question meaning yake.
      Mkuu hivi kwanini mtu huwa anamuua mwenzake?, hivi huwa anaua sababu anajua kwamba nitafungwa tu miaka michache?, au mtu huwa anaua either kwa hasira, au ni physco au katika ujambazi wake kwa kuogopa kutambuliwa hence kufungwa ndio anaua ili asishikwe na kufungwa ? (nini motive ya kuua?)

      Mkuu hivi ujaona hapo kuna comparison ya state btn Texas na Wisconsin alafu nilitoa comparions btn Hong Kong na Singapore ambao wote wana sama culture na same demographics

      The deterrence issue

      Supporters of the death penalty often cite deterrence as a reason to keep or reinstate the punishment.[citation needed] However, a study comparing Hong Kong, a city-state without the death penalty, and Singapore, a city-state that uses the death penalty frequently and swiftly, and has a similar culture and murder rate to Hong Kong, found no evidence that Singapore's death penalty deterred crime relative to Hong Kong. [84]
      http://en.wikipedia.org/wiki/Capital_Punishment
      Tatu, watu wanaojiua wanajipumzisha? Watu wanajiua kukimbia matatizo lakini sio kujipumzisha. Death is still an uncertainty.
      Mkuu wanajiua kukimbia matatizo which shows kwamba death sio "the ultimate tatizo" Hence kumbe tunaweza kutoa adhabu ambazo ni kubwa zaidi ya death..., Mfano mwingine wanacheshi/spies walikuwa wanapewa cyanide tablets hili wakishikwa waweze kujiua mapema ili wasije kuteswa na kutoa siri (which means death is not a ultimate punishment) wangapi watu wajitoa mhanga kwa kujilipua (which means people are not that afraid of death anyway)
      Even a Genius Asks Questions....

    20. #77
      VoiceOfReason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 5,239
      Rep Power : 1894
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      603

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      Quote By Nyani Ngabu
      Halafu kama adhabu ya kifo haipunguzi au kuzuia mauaji, je kifungo cha maisha na kazi ngumu ndivyo vinazuia?
      Mkuu there are five purposes of punishment:-


      1. Incapacitation: A felon in prison cannot commit crimes while imprisoned. An executed felon cannot commit a crime ever again.

      2. Deterrence: The threat of punishment deters people from engaging in illegal acts.

      3. Restitution: The felon is required to take some action to at least partially return the victim to the status quo ante.

      4. Retribution: The felon harmed society; therefore society (or the direct victims) is entitled to inflict harm in return.

      5. Rehabilitation: The punishment changes the felon in order to make him a better citizen afterwards. (The punishment can include mandatory vocational training, counseling, drug treatment, etc.)

      Kwahiyo mkuu hapa argument ni kwamba Je kunyongwa kunafanya watu waache kufanya crime kushinda adhabu nyingine na jibu ni kwamba (The Jury is Still Out)..... Hakuna evidence kwamba this is the case
      Even a Genius Asks Questions....

    21. #78
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,173
      Rep Power : 31375
      Likes Received
      9577
      Likes Given
      683

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      Quote By VoiceOfReason
      Kwahiyo mkuu hapa argument ni kwamba Je kunyongwa kunafanya watu waache kufanya crime kushinda adhabu nyingine na jibu ni kwamba (The Jury is Still Out)..... Hakuna evidence kwamba this is the case
      That I agree and I do so without qualification(s). Hakuna adhabu inayofanya watu waache maovu kabisa. Iwe ovu lolote lile. Maovu ni sehemu ya maisha ya mwanadamu na jamii. Kama wewe unajua kuna adhabu ambayo hufanya watu waache ovu fulani naomba nitajie.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    22. #79
      VoiceOfReason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 5,239
      Rep Power : 1894
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      603

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      Quote By Nyani Ngabu
      That I agree and I do so without qualification(s). Hakuna adhabu inayofanya watu waache maovu kabisa. Iwe ovu lolote lile. Maovu ni sehemu ya maisha ya mwanadamu na jamii. Kama wewe unajua kuna adhabu ambayo hufanya watu waache ovu fulani naomba nitajie.
      Yes Mkuu kwahiyo if that the case tuache kutumia hii issue ya determent ya crime ku-justify death penalty.

      Maybe kuna effective way ya kuwafanya wafungwa wawe productive..., yaani kama ina-cost x amount ya kumfunga mtu basi tuhakikishe anazalisha 3x akiwa jela.., huku anapata kibano cha kufa mtu, ili hata akitoka itabidi afikilie mara mbili kabla ya kurudi tena na in case ya watu ambao ni menace to society tuhakikishe they will never taste freedom ever again
      Even a Genius Asks Questions....

    23. #80
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14596
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default Re: Hukumu ya Kifo : Is it Okay to Kill People who Kill People?

      NO...., it‘s NOT
      VoiceOfReason likes this.

    Page 4 of 11 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    Similar Topics

    1. PRESIDENTIAL IMMUNITY: Imepitwa na wakati Afrika
      By Iga in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 4
      Last Post: 27th April 2012, 21:54
    2. Kulingana na sheria ya ndoa kesi ya Dr. Slaa kupora mke imepitwa na wakati!
      By Rutashubanyuma in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 54
      Last Post: 15th January 2011, 20:53
    3. Alama ya Nyundo imepitwa na wakati kwenye nembo ya CCM
      By The Dreamer in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 1
      Last Post: 27th October 2010, 09:37
    4. Sheria Ya Ndoa Jeshini Imepitwa Na Wakati?
      By kingwendu in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 4
      Last Post: 18th December 2009, 16:47
    5. The Nile treaty....imepitwa na wakati!!!
      By Shishi in forum International Forum
      Replies: 1
      Last Post: 29th July 2009, 10:55

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...