Napatwa utata pale mtu anapoulizwa jina lake au kuagizwa aandike jina lake, kisha anajibu au kuandika, mimi ni fulani fulani fulani ( John Alfa Mohamedi).
Ni sahihi mtu kujibu au kuandika majina matatu wakati kaulizwa JINA lake?
Jina lako nani? Mimi? Ndio wewe! Jina langu asumani, jina la babayako? Samani, ahaa! Hayo ndo majina yako enh? Ndiyo. Akhsante sana.(hapa kuna utambulisho ulio wazi, na sidhani iwapo aulizwaye atapata utata, labda vikitumika vilugha vitumikavyo kila siku) na sioni haja ya mtu kusifu utajaji/utambulishaji fulani, bora ktk mazungumzo ni kuelewana tu na hakuna lugha ikosayo utata au ukakasi katika baadhi ya masuala yahusuyo mahusiano ya kimaongezi.
Jina ni moja, lakini linaweza kuwa na maneno zaidi ya moja. Jina ni kitambulisho. Mtu mmoja anakuwa na jina moja. Augustine Moshi ni jina langu, na sio majina yangu.
Kwa wale Wakristo, nisemehe hivi: Yesu aliwaamuru wafuasi wake waende duniani kote wakiwabatiza watu kwa JINA la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Sio kwa MAJINA ya ......, kwani Mungu ni mmoja na jina lake ni Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Ni jina moja tu.
Kwa hivyo basi, anayechanganikiwa hapa ni yule anayedhani jina lazima liwe neno moja.
Jina ni moja, lakini linaweza kuwa na maneno zaidi ya moja. Jina ni kitambulisho. Mtu mmoja anakuwa na jina moja. Augustine Moshi ni jina langu, na sio majina yangu.
Kwa wale Wakristo, nisemehe hivi: Yesu aliwaamuru wafuasi wake waende duniani kote wakiwabatiza watu kwa JINA la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Sio kwa MAJINA ya ......, kwani Mungu ni mmoja na jina lake ni Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Ni jina moja tu.
Kwa hivyo basi, anayechanganikiwa hapa ni yule anayedhani jina lazima liwe neno moja.
Jina ni moja, lakini linaweza kuwa na maneno zaidi ya moja. Jina ni kitambulisho. Mtu mmoja anakuwa na jina moja. Augustine Moshi ni jina langu, na sio majina yangu.
Kwa wale Wakristo, nisemehe hivi: Yesu aliwaamuru wafuasi wake waende duniani kote wakiwabatiza watu kwa JINA la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Sio kwa MAJINA ya ......, kwani Mungu ni mmoja na jina lake ni Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Ni jina moja tu.
Kwa hivyo basi, anayechanganikiwa hapa ni yule anayedhani jina lazima liwe neno moja.
AUGUSTINE, NA KYACHAKICHE,
Hapo siko pamoja nanyi.
Kusema kuwa Augustine Moshi ni jina lako, ni kama unalazimisha wewe binafsi kumiliki jina la ukoo wako.
Wewe ni Augustine, na Moshi ni jina la ukoo wako.
Wakuu tazameni ukweli huo.
The Following 2 Users Say Thank You to Exaud J. Makyao For This Useful Post:
Emma M. (6th December 2009), Idda (9th December 2009)
AUGUSTINE, NA KYACHAKICHE,
Hapo siko pamoja nanyi.
Kusema kuwa Augustine Moshi ni jina lako, ni kama unalazimisha wewe binafsi kumiliki jina la ukoo wako.
Wewe ni Augustine, na Moshi ni jina la ukoo wako.
Wakuu tazameni ukweli huo.
Nadhani hajalazimisha hilo ndio jina lake, labda swali lilitakiwa kuuliza JINA LAKO KAMILI na si jina lako. Mtu hatambuliwa kwa jina moja, inatakiwa majina yake kamili.
Nadhani hajalazimisha hilo ndio jina lake, labda swali lilitakiwa kuuliza JINA LAKO KAMILI na si jina lako. Mtu hatambuliwa kwa jina moja, inatakiwa majina yake kamili.
KIJUNJWE,
Asante kwa mchango wako.
Hapa umeleta changamoto mpya,"JINA LAKO KAMILI" na "MAJINA YAKO KAMILI".
Utata huo ndo ulionipelekea kuona kuwa kuna haja ya kufikiri kama ni sahihi kumuuliza mtu jina lake halafu jibu lake liwe mlolongo wa majina.
Sasa naona umezidi kuchochea utata huu.
The Following 2 Users Say Thank You to Exaud J. Makyao For This Useful Post:
Emma M. (6th December 2009), Idda (9th December 2009)
KIJUNJWE,
Asante kwa mchango wako.
Hapa umeleta changamoto mpya,"JINA LAKO KAMILI" na "MAJINA YAKO KAMILI".
Utata huo ndo ulionipelekea kuona kuwa kuna haja ya kufikiri kama ni sahihi kumuuliza mtu jina lake halafu jibu lake liwe mlolongo wa majina.
Sasa naona umezidi kuchochea utata huu.
Kaka Exaud, kwa jinsi ninavyo elewa mimi, haya mambo ya jina na mtu akakutajia majina mawili mpaka matatu, ni matokeo ya mazoea ya kitamaduni tulio rithi toka kwenye tanaduni zetu. Na vile vile inategemea na mazingira uliokuwepo wakati unaulizwa swali.
Mfano: Ukiwa benki au unajihandikisha kwenye taasisi yoyote ile utakapo ulizwa jina lako hapo automatic utataja majina zaidi ya moja.
Na vile vile inasaidia sana kuondoa utata katika utambulisho.
Kuna kina Exaud wengi sana hapo bongo. Lakini utakapo taja majina yako mf, Exaud J. Makyao...! Moja kwa moja itajulikana ni yupo anaye ongelewa.
__________________
“I am the punishment of God... If you had not committed great sins, God would not have sent a punishment like me upon you.”
'O Allah! Keep me alive as long as life is better for me, and let me die if death is better for me.
Mtu jina lake ndilo linalomtambulisha yeye mmoja pekee katika kundi. Mathalan, mtu akisema jina lake John au Kidawa au Ali anakuwa hajajitambulisha kikakamilifu kwa kuwa ametumia jina la kawaida. Kuna akina John au Kidawa au Ali kibao. Na akitumia jina la ukoo pekee, kwa mfano Mazengo au Ng'wanakilala au Magohagasenga, hao nao wako kibao katika ukoo. Lakini mtu akijitambulisha kama John Robert Mazengo, hilo kiutambulisho linakuwa jina la mtu mmoja lililokamili na kiutaratibu linahesabiwa jina moja na kiihesabu yanakuwa majina matatu yanayomtambulisha mtu mmoja.
Mtu jina lake ndilo linalomtambulisha yeye mmoja pekee katika kundi. Mathalan, mtu akisema jina lake John au Kidawa au Ali anakuwa hajajitambulisha kikakamilifu kwa kuwa ametumia jina la kawaida. Kuna akina John au Kidawa au Ali kibao. Na akitumia jina la ukoo pekee, kwa mfano Mazengo au Ng'wanakilala au Magohagasenga, hao nao wako kibao katika ukoo. Lakini mtu akijitambulisha kama John Robert Mazengo, hilo kiutambulisho linakuwa jina la mtu mmoja lililokamili na kiutaratibu linahesabiwa jina moja na kiihesabu yanakuwa majina matatu yanayomtambulisha mtu mmoja.
Kupanga ni kuchagua!
KWAMINCHI,
Kwa hayo mawazo yako, basi mtu anapaswa kujibu orodha ya majina kadhaa, atakiwapo kujitambulisha na siyo aulizwapo JINA LAKO NANI.
The Following 2 Users Say Thank You to Exaud J. Makyao For This Useful Post:
Emma M. (6th December 2009), Idda (9th December 2009)
Napatwa utata pale mtu anapoulizwa jina lake au kuagizwa aandike jina lake, kisha anajibu au kuandika, mimi ni fulani fulani fulani ( John Alfa Mohamedi).
Ni sahihi mtu kujibu au kuandika majina matatu wakati kaulizwa JINA lake?
Mkuu, kutokana na mazoea tu na kuepuka ile ya kuulizwa mara mbili mbili. Unaweza kuulizwa jina lako nani, ukajibu mimi naitwa Exaud. Then anakuuliza tena, Exaud bin nani? jibu linakuwa Makyao. So, kuepuka hiyo, watu wamezoea kutoa majina yote ili kuepuka swali la pili.
Ni sawa na mtu anayeenda bar kukata kiu na maswali yanaweza kuwa hivi:
Mteja: Naomba Bia
Muuzaji: Bia gani?
Mteja: Kili
Muuzaji: Ya moto au baridi?
Mteja: Baridi
Muuzaji: Utatumia glass?
Mteja: Oh, yes please!
Ingekuwa rahisi sana kama mteja angefika na kusema, hey, nipatie Kili bariiidi kabisa, na glass!
__________________ To get something you never had, you have to do something you never did