| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 904
|
||||||||||||
|
#2
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Shikamoo mwanafalsafa!
__________________
"Don't walk as if you rule the word, walk as you don't care who rules the word" That is called attitude. |
|
#3
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Hapo umechukua uhalisia wa neno, lakini katika kiswahili neno hili linatumika kama salamu, tazama mfano mwingine:
mambo: haina maana ya salamu lakini watu wanatumia kama salamu. upo hapo?
__________________
The best way to get out of dificulty is through it |
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Kumbe wanaokataa kupokea "shikamoo" hawajui tu. Waelimishwe wajue kwamba kwa leo tena kwa Kiswahili lina maana nzuri tu japo kiasili likuwa na maana hasi ya kudhalilisha. |
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Ndio maana linatumika kumsalimia mtu aliyekuzidi umri, kwa ajili ya heshima uliyonayo kwake.......
|
|
#6
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Ndio maana mtoto hawezi kumsalimia mtoto mwenzake "Shikamoo" au watu wenye umri unaolingana hawasalimiani shikamoo.....
SALAMU YA SHIKAMOO NI KWA AJILI YA KUMSALIMIA MTU ALIYEKUZIDI UMRI TUU............. |
|
#7
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Nafikiri matumizi yake kwa sasa ni tofauti na zamani. Kama ndiyo hivyo hata maana yake pia itakuwa imebadirika na kuchukuliwa kama linavyotumika kwa sasa yaani salamu za mdogo kwenda kwa mkubwa.
|
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
__________________
"Football is not as predictable or scientific as some people think and sometimes people are wrong on what they say".Arsene Wenger a.k.a "The proffesor" |
|
#9
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Sawa ni salamu ya mdogo kwa mkubwa lakini inakuwaje pale inapotokea unashindwa kukadiria kwa haraka umri wa unayemsalimia na umri wako? Unapompa mtu shikamoo kumbe ulitakiwa wewe kupewa hiyo shikamoo, hapa huwa haileti picha nzuri kwakweli
|
|
#10
|
|||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||
Nawapa shikamoo walionizidi miaka mitano au zaidi. Sio rahisi nikaenda fyongo
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 03:27 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | |||||||||||||||||||||||