Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 63
    1. #1
      Mzalendowetu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd May 2012
      Posts : 41
      Rep Power : 365
      Likes Received
      19
      Likes Given
      0

      Default Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Tangu kuanzishwa kwake, nimekuwa mfuasi mzuri wa kipindi cha MKASI kinachorushwa na kituo cha East Africa TV. Jumatatu akiwa anamhoji msanii Diamond, Salama Jabir alimuuliza msanii huyo, KWA MARA YA MWISHO UME-SEX LINI? Ikiwa hiyo haitoshi, akamuuliza HUWA UNATUMIA CONDOM AINA GANI? Pia, akamwamwambia NASIKIA UMEBARIKIWA KAMA PUNDA,,,,,NDIO MAANA WANAWAKE WENGI WANAKUFUATA,,,,,
      Nilijiuliza maswali yafuatayo:
      1. Inakuwaje Salama aulize maswali hayo bila kutumia tafsida?
      2. Kipindi hiki ambacho hurushwa wakati wa prime time, muda ambao familia nyingi huwa (sitting room) nyumbani,
      inakuwaje baba, mama na mtoto ambao walisikia kwa pamoja maswali hayo?
      3. Lengo la Salama lilikuwa ni nini?
      4. Kwanini tunakubali mila na desturi zetu kuziharibu namna hii kwa kuiga uzungu?

      Tunakupenda, tunapenda ubunifu wako, tunathamini kipaji chako,,,,lakini tunakuomba ubadilike
      HYGEIA, Thanda, Madame B and 3 others like this.


    2. #2
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,755
      Rep Power : 3270
      Likes Received
      993
      Likes Given
      787

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      afadhali sijawahi kukiangalia hicho kipindi
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    3. #3
      ITEGAMATWI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Posts : 1,814
      Rep Power : 809
      Likes Received
      480
      Likes Given
      915

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Yule dume jike mzoeeni tu ndivyo alivyo!

    4. #4
      Az 89's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2011
      Posts : 880
      Rep Power : 559
      Likes Received
      164
      Likes Given
      33

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      No 1 youth's channel...we kaangalie TBCCM
      Mabagala likes this.

    5. #5
      Sunshow's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Posts : 697
      Rep Power : 523
      Likes Received
      97
      Likes Given
      2

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Hivi watu wazima wanatizama EATV! Nilidhani ni channel ya vijana pekee.


    6. #6
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,802
      Rep Power : 13851
      Likes Received
      432
      Likes Given
      571

      Default

      Quote By Mzalendowetu View Post
      NASIKIA UMEBARIKIWA KAMA PUNDA,,,,,NDIO MAANA WANAWAKE WENGI WANAKUFUATA
      Watanzania bana kwa kulalamika, sasa unataka tafsida gani zaidi ya hapa? Usitake kuipa TV kazi ya kulea wanao.
      hacena and OTIS like this.

    7. #7
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,391
      Rep Power : 5160
      Likes Received
      3344
      Likes Given
      2738

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Du Diamond ana mguu wa mtoto? Khaaaaaaaaa kwahyo kizazi cha wema kashakiua!!

    8. #8
      Ndinani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Posts : 2,974
      Rep Power : 1540
      Likes Received
      755
      Likes Given
      238

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Quote By ITEGAMATWI View Post
      Yule dume jike mzoeeni tu ndivyo alivyo!
      Is she not a tomboy?

    9. #9
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,776
      Rep Power : 5975
      Likes Received
      1506
      Likes Given
      283

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Mkuu majibu yalikuwaje sasa? Ni kweli mchizi kabarikiwa kama punda ndo maana anawala?
      Haya sio maswali ya kuuliza primetime wahamishie kipindi usiku sana au wawawekee parental guidance nyie watazamaji wao.

    10. #10
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,385
      Rep Power : 2664
      Likes Received
      3054
      Likes Given
      13993

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      salama jabir ndo nani??
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    11. #11
      ha ha ha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2011
      Location : Hapahapa
      Posts : 456
      Rep Power : 470
      Likes Received
      45
      Likes Given
      71

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Kumbe mamba aliulizwa hivyo..

    12. #12
      Sunshow's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Posts : 697
      Rep Power : 523
      Likes Received
      97
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Daudi mchambuzi View Post
      salama jabir ndo nani??
      Mhhhh wewe nae!!

    13. #13
      mpigamsuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 1,124
      Rep Power : 580
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      salma jabir bongolalaa huyoo by mpigamsuli

    14. #14
      mopaozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Posts : 2,564
      Rep Power : 785
      Likes Received
      274
      Likes Given
      51

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      MUANZISHA MADA atakuwa katumwa na wapinzani tu huyu

    15. #15
      unknown animal's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2012
      Location : iringa
      Posts : 317
      Rep Power : 412
      Likes Received
      46
      Likes Given
      137

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      mkasi ndo kipindi gani,kinaonyeshwa na aljazeera au

    16. #16
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 16,647
      Rep Power : 31606
      Likes Received
      8434
      Likes Given
      8791

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      eenh majibu yalikuwaje...faster nipate kichwa cha habari kwenye gazeti langu la udaku
      "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"



    17. #17
      OTIS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,918
      Rep Power : 776
      Likes Received
      477
      Likes Given
      202

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Kipindi chenyewe kwanza chaitwa mkasi,wewe ulitarajia wanazungumzia mapishi?
      Kama unakiona ni tatizo acha kutazama,kaangalie ATN.
      ONLY THE ILLUMINATI SUCCEED
      (OTIS)

    18. #18
      Liz Senior's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2007
      Posts : 469
      Rep Power : 715
      Likes Received
      41
      Likes Given
      24

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Quote By Mzalendowetu View Post
      Tangu kuanzishwa kwake, nimekuwa mfuasi mzuri wa kipindi cha MKASI kinachorushwa na kituo cha East Africa TV. Jumatatu akiwa anamhoji msanii Diamond, Salama Jabir alimuuliza msanii huyo, KWA MARA YA MWISHO UME-SEX LINI? Ikiwa hiyo haitoshi, akamuuliza HUWA UNATUMIA CONDOM AINA GANI? Pia, akamwamwambia NASIKIA UMEBARIKIWA KAMA PUNDA,,,,,NDIO MAANA WANAWAKE WENGI WANAKUFUATA,,,,,
      Nilijiuliza maswali yafuatayo:
      1. Inakuwaje Salama aulizwe maswali hayo bila kutumia tafsida?
      2. Kipindi hiki ambacho hurushwa wakati wa prime time, muda ambao familia nyingi huwa (sitting room) nyumbani,
      inakuwaje baba, mama na mtoto ambao walisikia kwa pamoja maswali hayo?
      3. Lengo la Salama lilikuwa ni nini?
      4. Kwanini tunakubali mila na desturi zetu kuziharibu namna hii kwa kuiga uzungu?

      Tunakupenda, tunapenda ubunifu wako, tunathamini kipaji chako,,,,lakini tunakuomba ubadilike
      aaah! we nawe! Ukasikiliza maswali yote hayo matatu at that prime time wala hukuhama channel? hebu tupishe huko! Sasa mtawafundishaje watoto wenu kuhusu maswala ya condom msipoziita condom! Kha! Halafu mnadai mashule watoto wafundishwe kujifahamu! Kuna vipindi kwa watu maalumu! Wee unapaswa kuwafundisha wanao kujua wapi pa kuangalia
      Knowledge does not lead to change—understanding does

    19. #19
      mpigamsuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 1,124
      Rep Power : 580
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Liz Senior View Post
      aaah! we nawe! Ukasikiliza maswali yote hayo matatu at that prime time wala hukuhama channel? hebu tupishe huko! Sasa mtawafundishaje watoto wenu kuhusu maswala ya condom msipoziita condom! Kha! Halafu mnadai mashule watoto wafundishwe kujifahamu! Kuna vipindi kwa watu maalumu! Wee unapaswa kuwafundisha wanao kujua wapi pa kuangalia
      bongoo ...........a by
      mpigamsuli

    20. #20
      Articulator's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 50
      Rep Power : 402
      Likes Received
      6
      Likes Given
      7

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      kwanza nikufahamishe kuwa, kuna kitu kinaitwa watershed ambacho nadhani hapa kwetu hakizingatiwi labda kwasababu za uzembe au kutokujali kwa watendaji wa vituo husika vya television.Lakini hapohapo kwenye watershed,kila inchi ina muda ambao vipindi ambavyo vina "adult content" vinaruhusiwa kurushwa hewani ikieleweka bayana kwamba watoto hawato ruhusiwa kuangalia television katika kipindi hicho. Tafsiri fupi ya watershed ni hiyo hapo chini!

      In television, the term watershed (alternatively referred to as safe harbor in the United States, and as adult time in Venezuela) denotes the time period in a television schedule during which programs with adult content can air.
      Much as how a watershed in British and Australian usage refers to "the ridge or crest line dividing two drainage areas", a television watershed also serves as a dividing line – it divides the time between where content for families and/or children has to be aired, and where content aimed towards an adult audience can be aired (there is no obligation to). Examples of adult content include, but are not limited to, graphic violence, horror, strong language, nudity, sexual intercourse or reference, drug use, and/or sexually suggestive themes. In most countries, the same set of rules also apply to commercial advertisements (whether it be the way the commercial was produced or an advertisement for an adult product, such as condoms).
      Due to cultural differences around the world, watershed times can vary (for instance, in New Zealand, the watershed time is at 20:30, and in Italy, the watershed time is at 22:30). Some countries also have multiple watershed layers, where less inappropriate content than others may be allowed at an earlier time but may still be restricted. In addition, some countries may be more lenient towards subscription or pay-per-view channels than towards free-to-air channels.

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...