Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 63
    1. #1
      Mzalendowetu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd May 2012
      Posts : 36
      Rep Power : 359
      Likes Received
      15
      Likes Given
      0

      Default Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Tangu kuanzishwa kwake, nimekuwa mfuasi mzuri wa kipindi cha MKASI kinachorushwa na kituo cha East Africa TV. Jumatatu akiwa anamhoji msanii Diamond, Salama Jabir alimuuliza msanii huyo, KWA MARA YA MWISHO UME-SEX LINI? Ikiwa hiyo haitoshi, akamuuliza HUWA UNATUMIA CONDOM AINA GANI? Pia, akamwamwambia NASIKIA UMEBARIKIWA KAMA PUNDA,,,,,NDIO MAANA WANAWAKE WENGI WANAKUFUATA,,,,,
      Nilijiuliza maswali yafuatayo:
      1. Inakuwaje Salama aulize maswali hayo bila kutumia tafsida?
      2. Kipindi hiki ambacho hurushwa wakati wa prime time, muda ambao familia nyingi huwa (sitting room) nyumbani,
      inakuwaje baba, mama na mtoto ambao walisikia kwa pamoja maswali hayo?
      3. Lengo la Salama lilikuwa ni nini?
      4. Kwanini tunakubali mila na desturi zetu kuziharibu namna hii kwa kuiga uzungu?

      Tunakupenda, tunapenda ubunifu wako, tunathamini kipaji chako,,,,lakini tunakuomba ubadilike
      HYGEIA, Thanda, Madame B and 3 others like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      LE GAGNANT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 1,228
      Rep Power : 709
      Likes Received
      222
      Likes Given
      184

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Diamond mwenyewe alimjibuje?
      SI VYOTE VING'AAVYO NI DHAHABU

    4. #42
      COURTESY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Location : MABWEPANDE
      Posts : 1,708
      Rep Power : 742
      Likes Received
      511
      Likes Given
      672

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Quote By Daudi mchambuzi
      salama jabir ndo nani??
      Condom!

    5. #43
      SURUMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 1,456
      Rep Power : 704
      Likes Received
      342
      Likes Given
      337

      Default

      Quote By Mzalendowetu
      Tangu kuanzishwa kwake, nimekuwa mfuasi mzuri wa kipindi cha MKASI kinachorushwa na kituo cha East Africa TV. Jumatatu akiwa anamhoji msanii Diamond, Salama Jabir alimuuliza msanii huyo, KWA MARA YA MWISHO UME-SEX LINI? Ikiwa hiyo haitoshi, akamuuliza HUWA UNATUMIA CONDOM AINA GANI? Pia, akamwamwambia NASIKIA UMEBARIKIWA KAMA PUNDA,,,,,NDIO MAANA WANAWAKE WENGI WANAKUFUATA,,,,,
      Nilijiuliza maswali yafuatayo:
      1. Inakuwaje Salama aulize maswali hayo bila kutumia tafsida?
      2. Kipindi hiki ambacho hurushwa wakati wa prime time, muda ambao familia nyingi huwa (sitting room) nyumbani,
      inakuwaje baba, mama na mtoto ambao walisikia kwa pamoja maswali hayo?
      3. Lengo la Salama lilikuwa ni nini?
      4. Kwanini tunakubali mila na desturi zetu kuziharibu namna hii kwa kuiga uzungu?

      Tunakupenda, tunapenda ubunifu wako, tunathamini kipaji chako,,,,lakini tunakuomba ubadilike
      Tanzania tuliharibu pale hawa jamaa wa wizara ya Michezo (sikumbuki jina la mbele maana kila mwaka RAHISI anabadili) tulipo ondoa uwezo wa Kitengo kilichokuwa kikisimamia katika Maadili katika kazi za wasanii wetu. Mfano: wimbo wa BOMOA (sikumbuki band); Kwa Soksi (Remmy Ongala) ilipigwa marufuku....Huo ni wakati maadili yanafuatwa-hata kama kuna sehemu waliharibu_WALioKUWA NA NIA NJEMA na MEMA yalizidi UPUMBAVU!

      Kwa sasa ni uwanja “huru“ unatukana unajiimbia choxhote bora kiuzike! NDICHO KIPIMO CHA KUOZAA JAMII YETU WATANZANIA!

    6. #44
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,764
      Rep Power : 26860
      Likes Received
      4283
      Likes Given
      4588

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Quote By Sunshow
      Hivi watu wazima wanatizama EATV! Nilidhani ni channel ya vijana pekee.
      Kama ni ya vijana pekee it is even worse maana this conversation is not suitable for the youth.
      Kuna namna unaweza kuzungumza kuhusu sex, condom na maumbile
      in a way that is educative na ikawa sawa hata kwa watoto kusikiliza,
      na kuelimika. ila hilo la kuuliza kama "wanawake wanampenda sababu
      kajaliwa kama punda" is sending a very wrong message to our youth
      who would think that a large penis is the key to love or to great sex.
      Pia kwa watoto wanao muona diamond kama icon fulani, a role model,
      wanaweza wakadhani having sex as many/few time as Diamond ndio ujanja.
      Maybe that should have been cut wakati wanaandaa kipindi.
      Mama wawilii likes this.
      Great spirits have always encountered violent opposition from mediocre minds
      Albert Einstein


    7. #45
      Korogwe Vijijini's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th July 2012
      Posts : 13
      Rep Power : 345
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Angekuwa ni mwanadada mwingine tofauti na salama ningesema anamtaka domo

    8. Miaka 50

    9. #46
      BabaDesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2007
      Posts : 2,371
      Rep Power : 1082
      Likes Received
      249
      Likes Given
      1376

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Quote By Articulator
      kwanza nikufahamishe kuwa, kuna kitu kinaitwa watershed ambacho nadhani hapa kwetu hakizingatiwi labda kwasababu za uzembe au kutokujali kwa watendaji wa vituo husika vya television.Lakini hapohapo kwenye watershed,kila inchi ina muda ambao vipindi ambavyo vina "adult content" vinaruhusiwa kurushwa hewani ikieleweka bayana kwamba watoto hawato ruhusiwa kuangalia television katika kipindi hicho. Tafsiri fupi ya watershed ni hiyo hapo chini!

      In television, the term watershed (alternatively referred to as safe harbor in the United States, and as adult time in Venezuela) denotes the time period in a television schedule during which programs with adult content can air.
      Much as how a watershed in British and Australian usage refers to "the ridge or crest line dividing two drainage areas", a television watershed also serves as a dividing line – it divides the time between where content for families and/or children has to be aired, and where content aimed towards an adult audience can be aired (there is no obligation to). Examples of adult content include, but are not limited to, graphic violence, horror, strong language, nudity, sexual intercourse or reference, drug use, and/or sexually suggestive themes. In most countries, the same set of rules also apply to commercial advertisements (whether it be the way the commercial was produced or an advertisement for an adult product, such as condoms).
      Due to cultural differences around the world, watershed times can vary (for instance, in New Zealand, the watershed time is at 20:30, and in Italy, the watershed time is at 22:30). Some countries also have multiple watershed layers, where less inappropriate content than others may be allowed at an earlier time but may still be restricted. In addition, some countries may be more lenient towards subscription or pay-per-view channels than towards free-to-air channels.

      ...Angalau wewe umetoa jibu lililokwenda shule kuliko mengi ya yaliyotangulia, kama sio Yote...!!
      Articulator likes this.
      Sema Kwa Sauti, Mimi Ni Mweusi Na Najivunia Kuwa Hivyo!

    10. #47
      taffu69's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2007
      Posts : 1,137
      Rep Power : 852
      Likes Received
      205
      Likes Given
      122

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Quote By Daudi mchambuzi
      salama jabir ndo nani??

    11. #48
      Mouhat's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 13th August 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Nadhani kila mtu an uhuru wa kuongea, Salma Jabir ni Salma Jabir kwake poa kwa wengine sio poa tunawasaidiaje?

    12. #49
      Jaslaws's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st May 2011
      Location : dar es salaam
      Posts : 816
      Rep Power : 566
      Likes Received
      142
      Likes Given
      18

      Default

      Quote By ha ha ha
      Kumbe mamba aliulizwa hivyo..
      mamba ndo diamond?

    13. #50
      Kennedy Mpanduji's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 11th July 2012
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Salama inabd ajipange,

    14. #51
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,175
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Quote By taffu69
      huyu kaka ni mcheza show wa bendi gani??

    15. #52
      taffu69's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2007
      Posts : 1,137
      Rep Power : 852
      Likes Received
      205
      Likes Given
      122

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Quote By Daudi mchambuzi
      huyu kaka ni mcheza show wa bendi gani??
      Huyo ndiye Salama Jabir mkuu!

    16. #53
      Bravo Engliash's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th July 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 345
      Likes Received
      1
      Likes Given
      11

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      kweli Mzalendo inabd atumie tafsida kupunguza ukali wa maneno.....muda uwa kpnd mara mara nyingi watoto wanakuwa bado hawajalala....Siyo Diamond tu kwan hata Kanumba alimuuza maswali km hao.....kujfanya uzungu na kuendekeza ni ujinga kwan ni utumwa na umaskini wa fikra/mawazo..!! ....

    17. #54
      Al Zagawi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2009
      Location : Tabora
      Posts : 832
      Rep Power : 684
      Likes Received
      160
      Likes Given
      51

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Quote By Sunshow
      Hivi watu wazima wanatizama EATV! Nilidhani ni channel ya vijana pekee.
      yaah, ni muhimu ili kujua vijana wetu wanalishwa nini na hii media dhaifu!!!
      ...........Uwanja wa siasa katika nchi karibu zote za Kiafrika, ni uwanja uliotekwa na majambazi ambao wanafanya wanachotaka, vile wanavyotaka..........Jenerali Ulimwengu, Raia Mwema Namba 278.

    18. #55
      Az 89's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2011
      Posts : 844
      Rep Power : 546
      Likes Received
      156
      Likes Given
      32

      Default

      Quote By SAMITI
      salma jabir bongolalaa huyoo by mpigamsuli
      mpiga msuli ban at work

    19. #56
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,307
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Quote By unknown animal
      mkasi ndo kipindi gani,kinaonyeshwa na aljazeera au
      Hahahahaha lol.
      Life without problems never make a strong and good person!

    20. #57
      Az 89's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2011
      Posts : 844
      Rep Power : 546
      Likes Received
      156
      Likes Given
      32

      Default

      Quote By Matola
      Naomba niwe mkweli tu kwenye hili, clouds tv kwangu ni scrambled channel, Tbc hii channel niliispare kwa ajili ya tamthilia ya La Revenge tu, Mkasi hicho kipindi huwa kinanikuta accidetaly tu tena kikiwa katikati, sijawai kuona la maana zaidi ya kuoshana miguu na kukata kucha, nilisikitika sana kumuona Aden Rage naye akiwa ni miongoni mwa washiriki wa ujinga huo.

      But all in all Salama ana kipaji kizuri sana ila nadhani apunguze bangi na akubali kama yeye ni mtoto wa kike. Atajifanya msela sana na kauzu zaidi ya dagaa lakini mwisho wa sikuu akikojowa ni lazima achuchumae.
      umeharibu mwishoni nilijua mstaarabu kumbe akili na wewe unaficha kwenye viatu

    21. MI6
      #58
      MI6's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th July 2012
      Posts : 138
      Rep Power : 371
      Likes Received
      16
      Likes Given
      10

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Mlimo ko uli
      Hakukua na neno baya sana kati ya hayo, issue ni kwanini alimuuliza? Salama huw anamhoji mgeni kulingana na stori iliyoko mtaani na inavuma. Hivyo hakuwa amefanya vibaya sana kulingana na aina ya wateja wa kipindi chake.

    22. #59
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,119
      Rep Power : 5022
      Likes Received
      2371
      Likes Given
      2204

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Salama yuko talented. She is to be admired. Yuko creative, confident and straight forward.
      Sehemu niliyoiona mimi alisema "mara ya mwisho kujamiiana ni lini" Diamond akajibu "last night". Akamuuliza "mara ya mwisho kulia" akajibu "last night" Salama akasema duh so last night ilikuwa busy night.
      Kama alisema kusex, bado pia ni tafsida, ingawa hilo mimi sijaona wala kusikia. Neno ambalo lisingekuwa tafsida ni kuto#*^$na. Yeye hajatumia hilo.
      I think tuwe tunawapongeza na kushow appreciation kwa wenzetu wenye vipaji vya usanii when they are alive kuliko kusubiri mpaka wafe tujazane msururu kwenye mazishi kuwaaga.
      "To greed, all nature is insufficient"

    23. #60
      Whisper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2009
      Posts : 411
      Rep Power : 589
      Likes Received
      161
      Likes Given
      59

      Default Re: Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

      Sasa ukimwangalia Salama na Diamond akili zao si ni sawa tu.

    24. Study Abroad
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...