Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Misamiati Mipya ya Kiswahili

    Report Post
    Results 1 to 20 of 20
    1. #1
      Bazazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2008
      Location : Mzururaji
      Posts : 1,313
      Rep Power : 811
      Likes Received
      338
      Likes Given
      110

      Default Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Katika gazeti la RAI la Jana (09/08/2012) katika maoni kulikuwa na misamiati mipya ya kiswahili. Misamiati hiyo ni:
      1. ICU (intesive care unit) = SADARUKI.
      2. Serikali ya Mseto (coalition government) = SERIKALI MAHUTUTI.
      3. Viumbe vyenye JINSI zote mbili (Me na Ke) = HUNTHA (wingi ni mahuntha)


      WanaJF nimeona niwaletee misamiati hiyo ili muanze kuitumia kwa nia ya kukienzi Kiswahili chetu. @Erotica kwa vile siku hizi kisu imekuwa njia maarufu ya kujifungua, ukitoa katika chumba cha upasuaji utapelekwa Sadaruki (usiseme ICU).


      Ndimi Bazazi!
      Erotica likes this.
      Bibie! Usijisifu Kuwa Una Mimba: Msifie Aliyekupa Mimba.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Leembaswagger's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st August 2012
      Posts : 38
      Rep Power : 349
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Hilo neno Huntha wametohoa kwenye kiarabu,lilikuwepo siku nyingi,ila waarabu wanaita KHUNTHA

    4. #3
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default Re: Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Hilo huntha [Khuntha] ninalitumia katika mazungumzo ya kawaida

      [Serikali mahututi].....sidhani kama ni Kiswahili sanifu

    5. #4
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,838
      Rep Power : 30208
      Likes Received
      4672
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By Gaijin
      Hilo huntha [Khuntha] ninalitumia katika mazungumzo ya kawaida

      [Serikali mahututi].....sidhani kama ni Kiswahili sanifu
      Serikali mahututi ni hii iliyopo madarakani!

    6. #5
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default Re: Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Quote By Pombekali
      Serikali mahututi ni hii iliyopo madarakani!
      Hilo laweza kuwa kweli.

      Lakini serikali mahututi haiwezi kutumika kama mbadala wa serikali ya mseto kama ilivyoanishwa na mtoa mada

    7. Miaka 50

    8. #6
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,691
      Rep Power : 22521
      Likes Received
      6347
      Likes Given
      2835

      Default Re: Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Quote By Gaijin
      Hilo laweza kuwa kweli.

      Lakini serikali mahututi haiwezi kutumika kama mbadala wa serikali ya mseto kama ilivyoanishwa na mtoa mada
      In the first place, kuna shida gani na neno SERIKALI YA MSETO? mbona ni clear?
      Mi naona kuna maneno yanayohitaji zaidi kiswahili kama CPU, REDIO,GARI, BAISKELI etc!
      Nasikia wenzetu Wanigeria walipooma baiskeli kwa mara ya kwanza waliita "Iron Horse"!.. at least inaleta sense!
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    9. #7
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,021
      Rep Power : 7642
      Likes Received
      990
      Likes Given
      752

      Default Re: Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Quote By Bazazi
      Katika gazeti la RAI la Jana (09/08/2012) katika maoni kulikuwa na misamiati mipya ya kiswahili. Misamiati hiyo ni:
      1. ICU (intesive care unit) = SADARUKI.
      2. Serikali ya Mseto (coalition government) = SERIKALI MAHUTUTI.
      3. Viumbe vyenye JINSI zote mbili (Me na Ke) = HUNTHA (wingi ni mahuntha)

      WanaJF nimeona niwaletee misamiati hiyo ili muanze kuitumia kwa nia ya kukienzi Kiswahili chetu. Erotica kwa vile siku hizi kisu imekuwa njia maarufu ya kujifungua, ukitoa katika chumba cha upasuaji utapelekwa Sadaruki (usiseme ICU).


      Ndimi Bazazi!
      We need the etymology of these new words. Words do not come from ones invention from nowhere

    10. #8
      Facilitator's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Location : Osoit l'embijata
      Posts : 1,441
      Rep Power : 722
      Likes Received
      570
      Likes Given
      1234

      Default Re: Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Nimeipenda hiyo SADARUKI
      I'm only responsible for what I say; NOT for what you understand.

    11. #9
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,210
      Rep Power : 31383
      Likes Received
      9592
      Likes Given
      683

      Default Re: Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Quote By Gaijin
      Hilo laweza kuwa kweli.

      Lakini serikali mahututi haiwezi kutumika kama mbadala wa serikali ya mseto kama ilivyoanishwa na mtoa mada
      Ni serikali 'mahuluti' na siyo mahututi.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    12. #10
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,210
      Rep Power : 31383
      Likes Received
      9592
      Likes Given
      683

      Default Re: Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Halafu 'mahuluti' wala si msamiati mpya. Ni kwamba tu huwa halitumiki sana.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    13. #11
      telitaibi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Posts : 459
      Rep Power : 446
      Likes Received
      83
      Likes Given
      79

      Default Re: Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Quote By aritoine
      Nimeipenda hiyo SADARUKI
      kidogo limefanana na lile jina lano la asili that why

    14. #12
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,914
      Rep Power : 5060
      Likes Received
      3198
      Likes Given
      2653

      Default

      Quote By Nyani Ngabu
      Halafu 'mahuluti' wala si msamiati mpya. Ni kwamba tu huwa halitumiki sana.
      Mzee unatwanga kote kote mie nlijua cha obama tu ndio upo fit kumbe hata kiswazi.

    15. #13
      Boflo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,761
      Rep Power : 5458
      Likes Received
      3665
      Likes Given
      3714

      Default Re: Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Viumbe vyenye JINSI zote mbili (Me na Ke) = HUNTHA (wingi ni mahuntha)
      Kwa hiyo unatujulisha kuwa ww ni Huntha! Unatangaza biashara....

      Kweli ww Bazazi......kuna siku nitaku bazazuwa
      There are some people who could hear you speak a thousand words and still not understand you. And there are others who will understand—without you even speaking a word.

    16. #14
      X-PASTER's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Firdaws (Paradise)
      Posts : 11,859
      Rep Power : 7687
      Likes Received
      1467
      Likes Given
      0

      Default Re: Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Quote By PakaJimmy
      In the first place, kuna shida gani na neno SERIKALI YA MSETO? mbona ni clear?
      Mi naona kuna maneno yanayohitaji zaidi kiswahili kama CPU, REDIO,GARI, BAISKELI etc!
      Nasikia wenzetu Wanigeria walipooma baiskeli kwa mara ya kwanza waliita "Iron Horse"!.. at least inaleta sense!
      iron horse - noun Older Use .a locomotive. (archaic a steam-driven railway locomotive) Origin: 1825–35

      “I am the punishment of God... If you had not committed great sins, God would not have sent a punishment like me upon you.”

      'O Allah! Keep me alive as long as life is better for me, and let me die if death is better for me.

      (¯`·._.•X-Paster™•._.·´¯)


    17. #15
      mashambaJr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Location : Loading....
      Posts : 368
      Rep Power : 425
      Likes Received
      58
      Likes Given
      27

      Default Re: Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Hongera kwa kuendeleza Lugha ya kiswahili,lakini neno SERIKALI MAHUTUTIsioni mantiki ya kutumika kama mbadala ya neno SERIKALI YA MSETO.

    18. #16
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,210
      Rep Power : 31383
      Likes Received
      9592
      Likes Given
      683

      Default Re: Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Quote By mashambaJr
      Hongera kwa kuendeleza Lugha ya kiswahili,lakini neno SERIKALI MAHUTUTIsioni mantiki ya kutumika kama mbadala ya neno SERIKALI YA MSETO.
      Siyo serikali "mahututi". Ni serikali "mahuluti". Kama waliandika serikali 'mahututi' basi walikosea tu tahajia kwa sababu "mahututi" na "mahuluti" tahajia zake zimepishana herufi moja tu.

      Kwa hiyo serikali "mahuluti" ni Kiswahili sanifu kabisa.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    19. #17
      IronBroom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2008
      Location : Huku
      Posts : 513
      Rep Power : 660
      Likes Received
      22
      Likes Given
      20

      Default Re: Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Quote By Nyani Ngabu
      Siyo serikali "mahututi". Ni serikali "mahuluti". Kama waliandika serikali 'mahututi' basi walikosea tu tahajia kwa sababu "mahututi" na "mahuluti" tahajia zake zimepishana herufi moja tu.

      Kwa hiyo serikali "mahuluti" ni Kiswahili sanifu kabisa.
      Mkuu Ngabu, tatizo la hawa wapya ni kutokusoma uzi wote. The #1 post is enough for them. Baada ya hapo anarusha tu bandiko lake.Thanks for correction and elaboration.

    20. #18
      Omonto wa-hene's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 149
      Rep Power : 389
      Likes Received
      39
      Likes Given
      37

      Default Re: Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Quote By Nyani Ngabu
      Siyo serikali "mahututi". Ni serikali "mahuluti". Kama waliandika serikali 'mahututi' basi walikosea tu tahajia kwa sababu "mahututi" na "mahuluti" tahajia zake zimepishana herufi moja tu.

      Kwa hiyo serikali "mahuluti" ni Kiswahili sanifu kabisa.
      Katika maneno hayo mawili, 'mahututi' na 'mahuluti', fonimu 't' na 'l' ni mofimu kwa sababu ndizo zilizosababisha tofauti ya maana. Ni muhimu sana, kwa mantiki hiyo basi, kila mara tunapoandika msamiati tujiridhishe na otografia husika kuepusha uwezekano wa kupotosha wafuatiliaji wa nyuzi zetu. Hata hivyo tunamshukuru mleta uzi na mchango ulioutoa kwa wanajamvi wengine.

    21. #19
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,210
      Rep Power : 31383
      Likes Received
      9592
      Likes Given
      683

      Default Re: Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Quote By Omonto wa-hene
      Katika maneno hayo mawili, 'mahututi' na 'mahuluti', fonimu 't' na 'l' ni mofimu kwa sababu ndizo zilizosababisha tofauti ya maana. Ni muhimu sana, kwa mantiki hiyo basi, kila mara tunapoandika msamiati tujiridhishe na otografia husika kuepusha uwezekano wa kupotosha wafuatiliaji wa nyuzi zetu. Hata hivyo tunamshukuru mleta uzi na mchango ulioutoa kwa wanajamvi wengine.
      Sijakuelewa hata kidogo. Ni nani kapotosha wafuatiliaji wa nyuzi hapa?
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    22. #20
      Omonto wa-hene's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 149
      Rep Power : 389
      Likes Received
      39
      Likes Given
      37

      Default Re: Misamiati Mipya ya Kiswahili

      Quote By Nyani Ngabu
      Sijakuelewa hata kidogo. Ni nani kapotosha wafuatiliaji wa nyuzi hapa?
      Nyani Ngabu nakuhakikishia kuwa sikupata kiwi ya macho kiasi cha kutoelewa mchango wako kuntu juu ya mada iliyoko jamvini. Ukisoma michango ya wachangiaji wengine ni lazima utamaizi nililolisema.

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...