| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 251
|
||||||||||||
|
#2
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Tatizo sio lugha mbili, tatizo kiingereza hakifundishwi vizuri, kama sikosei tulianza kufundishwa kiingereza darasa la tatu, mpaka la saba ni miaka 4, ambayo inatosha kujifunza lugha yoyote . Tena ikiwezekana waanze kufundisha mapema zaidi, hii itaondoa ule woga wa lugha ambao watu wengi wanao.
__________________
“Society is like a stew. If you don't stir it up every once in a while then a layer of scum floats to the top.” |
|
#3
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Mfumo mbovu wa elimu wa Tanzania umechangia sana kuwafanya wanafunzi wengi kufeli. Kuna professor mmoja alikuwa anazungumzia kwamba, TZ kuna maingeneer wengi waliohitimu elimu ya juu lakini hawajui hata kutengeza filimbi. Huu ni mfano mkubwa kwamba serikali ichague lugha moja tu kama nchi zingine zilizoendelea.
|
|
#4
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
masomo yote yawe kwa kiingereza kuanzia darasa la kwanza thats the answer.na pia tuwajali walimu wetu hili itoe changa moto na kuleta upinzani na kuweza kutoa walimu bora.
__________________
"Football is not as predictable or scientific as some people think and sometimes people are wrong on what they say".Arsene Wenger a.k.a "The proffesor" |
|
#5
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Kutokana na kukosekana kwa vitendo (practicals) wanafunzi wengi wanasoma kufaulu mitihani tu. Leo hii tunao engineers wengi tu ambao ni walimu shule za sekondari na wengine ni tellers katika mabenki, tatizo ni nini? Jibu: hawana mahali pa kwenda kufanyakazi za u-engineer.
__________________
Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34) |
|
#6
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Maoni yangu ni yafuatayo...
1. Primary schools hazitufundishi kiingereza cha kutosha kufanikiwa kuelewa masomo ya shule za sekondari... wengi wanafeli kwa sababu ya kutoelewa masomo ... cramming kukumbuka swali na jibu badala ya kuelewa masomo hufelisha wengi sana, manake swali likibadilishwa lugha kidogo, basi hawajui jibu ni lile walilo cram. Tunajifunza kiswahili tokea tukizaliwa, kwa nini tusifundishwe kutumia kiingereza tokea darasa la kwanza? wengi wataelewa masomo ya sekondari, tukifundishwa ivo. Afu pia, tutaweza kushindana vizuri kimasomo vyuoni popote duniani, na pia kijana alieweza kutengeneza filimbi ya mwanzi atarudi tokea chuoni akijua kutengeneza filimbi babkubwa, ya chuma ama mwanzi. 2. Nchi yetu bado haina uwezo ama vyuo vingi vya kutusomesha vijana wote walio tayari kuingia vyuoni, kwa hiyo, bado tutahitaji kusafiri ng'ambo kusoma... tunahitaji ku-master kiingereza kwa sababu nilizojadili apo juu (#1). ps: Naipenda lugha yetu, kwa hiyo simaanishi tuitupe... ila kweli, tunazaliwa tukiongea kiswahili, na pia tunaongea kiswahili nje ya madarasa, magazetini, vitabuni, ... na pia shule za sekondari zina darasa la kiswahili kutufundisha kizito...
__________________
READ TO An AFRIKAN CHILD! about - Black's hidden positive contributions to the world. Positive Vibrations Implantations thus Empowerment ~Natty Bongoman
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 09:04 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||