Tanzania tuchague lugha ya Kiswahili au ya Kiingereza - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Education, Science & Technology Forums > Jukwaa la Lugha


Jukwaa la Lugha Swahili, English languages special forum.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 3rd June 2009, 03:14 AM   #1
Tanzania tuchague lugha ya Kiswahili au ya Kiingereza
Haki Haki is offline 3rd June 2009, 03:14 AM

Tanzania ni taifa kubwa katika A.Mashariki. Cha kushangaza ni kwamba hatuna ONE OFFICIAL language. Tunatumia Kiswahili mitaani, kwenye mikutano,nk. lakini tunafundishwa Kiingereza mashuleni na text books zote ni za Kiingereza. Sasa kwanini tusifundishwe au tutumie lugha moja tu? ikiwa Kiswahili au Kiingereza. Kuna ushahidi unaonyesha kwamba: Wanafunzi wengi wanafeli kwa sababu hawaelewi vizuri Kiingereza. Hii yote inasababishwa na mchanganyiko wa lugha. Chukulia mfano mwanafunzi wa High School kutoka Uingereza anayetumia Kiingereza afundishwe Kiswahili ktk masomo yake. Je atapasi vizuri?
Nchi nyingi zilizoendelea zinatumia lugha moja tu kama Uingereza, Marekani, Iran, China, Italy, France, Russia, Israel nk. Kwa mfano Nyerere alitaka Kiswahili kiwe lugha ya Taifa na kitumiwe kwenye text book ktk Universities. Kuna umuhimu mkubwa kwa TZ kutumia lugha moja mashuleni, iwe Kiswahili au Kiingereza.

Haki
Senior Member
Points: 104,467, Level: 100 Points: 104,467, Level: 100 Points: 104,467, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
Join Date: Wed Jan 2009
Posts: 149
Thanks: 13
Thanked 11 Times in 8 Posts
Views: 251
Reply With Quote
  #2  
Old 3rd June 2009, 05:38 AM
Kang's Avatar
Kang Kang is online now
Kang has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 269,767, Level: 100 Points: 269,767, Level: 100 Points: 269,767, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Tue Jun 2008
Posts: 1,357
Thanks: 0
Thanked 114 Times in 78 Posts
Rep Power: 24
Kang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enough
Default Re: Tanzania tuchague lugha ya Kiswahili au ya Kiingereza

Tatizo sio lugha mbili, tatizo kiingereza hakifundishwi vizuri, kama sikosei tulianza kufundishwa kiingereza darasa la tatu, mpaka la saba ni miaka 4, ambayo inatosha kujifunza lugha yoyote . Tena ikiwezekana waanze kufundisha mapema zaidi, hii itaondoa ule woga wa lugha ambao watu wengi wanao.
__________________
“Society is like a stew. If you don't stir it up every once in a while then a layer of scum floats to the top.”
Reply With Quote
  #3  
Old 8th June 2009, 12:53 AM
Shamu Shamu is offline
Shamu has no status.
Senior Member
Points: 88,995, Level: 100 Points: 88,995, Level: 100 Points: 88,995, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Dec 2008
Posts: 208
Thanks: 9
Thanked 9 Times in 5 Posts
Rep Power: 22
Shamu will become famous soon enoughShamu will become famous soon enoughShamu will become famous soon enoughShamu will become famous soon enoughShamu will become famous soon enoughShamu will become famous soon enoughShamu will become famous soon enoughShamu will become famous soon enough
Default Re: Tanzania tuchague lugha ya Kiswahili au ya Kiingereza

Mfumo mbovu wa elimu wa Tanzania umechangia sana kuwafanya wanafunzi wengi kufeli. Kuna professor mmoja alikuwa anazungumzia kwamba, TZ kuna maingeneer wengi waliohitimu elimu ya juu lakini hawajui hata kutengeza filimbi. Huu ni mfano mkubwa kwamba serikali ichague lugha moja tu kama nchi zingine zilizoendelea.
Reply With Quote
  #4  
Old 8th June 2009, 01:05 AM
Arsene Wenger's Avatar
Arsene Wenger Arsene Wenger is offline
Arsene Wenger has no status.
JF Premium Member
Points: 142,389, Level: 100 Points: 142,389, Level: 100 Points: 142,389, Level: 100
Activity: 36% Activity: 36% Activity: 36%
 
Join Date: Tue May 2009
Location: dodoma
Posts: 1,713
Thanks: 275
Thanked 487 Times in 343 Posts
Rep Power: 24
Arsene Wenger will become famous soon enoughArsene Wenger will become famous soon enoughArsene Wenger will become famous soon enoughArsene Wenger will become famous soon enoughArsene Wenger will become famous soon enoughArsene Wenger will become famous soon enoughArsene Wenger will become famous soon enoughArsene Wenger will become famous soon enough
Default Re: Tanzania tuchague lugha ya Kiswahili au ya Kiingereza

masomo yote yawe kwa kiingereza kuanzia darasa la kwanza thats the answer.na pia tuwajali walimu wetu hili itoe changa moto na kuleta upinzani na kuweza kutoa walimu bora.
__________________
"Football is not as predictable or scientific as some people think and sometimes people are wrong on what they say".Arsene Wenger a.k.a "The proffesor"
Reply With Quote
  #5  
Old 8th June 2009, 01:54 AM
rmashauri's Avatar
rmashauri rmashauri is offline
rmashauri Christ's Ambassador
JF Premium Member
Points: 126,096, Level: 100 Points: 126,096, Level: 100 Points: 126,096, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Thu Jan 2009
Posts: 1,360
Thanks: 952
Thanked 1,292 Times in 789 Posts
Rep Power: 24
rmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enough
Default Re: Tanzania tuchague lugha ya Kiswahili au ya Kiingereza

Quote:
View Post
Mfumo mbovu wa elimu wa Tanzania umechangia sana kuwafanya wanafunzi wengi kufeli. Kuna professor mmoja alikuwa anazungumzia kwamba, TZ kuna maingeneer wengi waliohitimu elimu ya juu lakini hawajui hata kutengeza filimbi. Huu ni mfano mkubwa kwamba serikali ichague lugha moja tu kama nchi zingine zilizoendelea.
Suala la ma-engineer kutoweza kutengeneza hata filimbi ni kwamba elimu zetu zimejaa nadharia kwa wingi kuliko vitendo. Na hii inasababishwa na maabara za vyuo vyetu kutokuwa na vifaa vya kuweza kuwafundisha hawa engineers kutengeneza hivyo vitu. Pia hatuna viwanda vya kuwapeleka kupata ujuzi wa kutengeneza hivyo vitu kwahiyo wanaishia kuvisoma kwenye vitabu na kuchora michoro tu basi. Kwahiyo serikali inabidi iamue kuwekeza katika elimu ili kutoa engineers wenye uwezo wa kutengeneza vitu. Na hili linawezekana tatizo ni kutokuweka kipaumbele katika mambo yenye kuleta maendeleo badala yake maslahi binafsi ndo yametawala kwa viongozi wetu. Chukulia kwa mfano pesa za EPA bilioni 133 robo yake tu ingeweza kuleta mabadiliko makubwa mno katika maabara ya vyuo vikuu vyetu na kuongeza ubora wa elimu yetu.
Kutokana na kukosekana kwa vitendo (practicals) wanafunzi wengi wanasoma kufaulu mitihani tu.
Leo hii tunao engineers wengi tu ambao ni walimu shule za sekondari na wengine ni tellers katika mabenki, tatizo ni nini? Jibu: hawana mahali pa kwenda kufanyakazi za u-engineer.
__________________
Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)
Reply With Quote
  #6  
Old 9th June 2009, 01:48 AM
Natty_Bongoman's Avatar
Natty_Bongoman Natty_Bongoman is offline
Natty_Bongoman has no status.
Senior Member
Points: 121,790, Level: 100 Points: 121,790, Level: 100 Points: 121,790, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Fri Oct 2008
Posts: 154
Thanks: 6
Thanked 12 Times in 9 Posts
Rep Power: 22
Natty_Bongoman will become famous soon enoughNatty_Bongoman will become famous soon enoughNatty_Bongoman will become famous soon enoughNatty_Bongoman will become famous soon enoughNatty_Bongoman will become famous soon enoughNatty_Bongoman will become famous soon enoughNatty_Bongoman will become famous soon enoughNatty_Bongoman will become famous soon enough
Default Re: Tanzania tuchague lugha ya Kiswahili au ya Kiingereza

Maoni yangu ni yafuatayo...

1. Primary schools hazitufundishi kiingereza cha kutosha kufanikiwa kuelewa masomo ya shule za sekondari... wengi wanafeli kwa sababu ya kutoelewa masomo ... cramming kukumbuka swali na jibu badala ya kuelewa masomo hufelisha wengi sana, manake swali likibadilishwa lugha kidogo, basi hawajui jibu ni lile walilo cram. Tunajifunza kiswahili tokea tukizaliwa, kwa nini tusifundishwe kutumia kiingereza tokea darasa la kwanza? wengi wataelewa masomo ya sekondari, tukifundishwa ivo. Afu pia, tutaweza kushindana vizuri kimasomo vyuoni popote duniani, na pia kijana alieweza kutengeneza filimbi ya mwanzi atarudi tokea chuoni akijua kutengeneza filimbi babkubwa, ya chuma ama mwanzi.

2. Nchi yetu bado haina uwezo ama vyuo vingi vya kutusomesha vijana wote walio tayari kuingia vyuoni, kwa hiyo, bado tutahitaji kusafiri ng'ambo kusoma... tunahitaji ku-master kiingereza kwa sababu nilizojadili apo juu (#1).

ps: Naipenda lugha yetu, kwa hiyo simaanishi tuitupe... ila kweli, tunazaliwa tukiongea kiswahili, na pia tunaongea kiswahili nje ya madarasa, magazetini, vitabuni, ... na pia shule za sekondari zina darasa la kiswahili kutufundisha kizito...
__________________
READ TO An AFRIKAN CHILD! about - Black's hidden positive contributions to the world. Positive Vibrations Implantations thus Empowerment ~Natty Bongoman
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
au, kiingereza, kiswahili, lugha, tanzania, tuchague


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Majibu rasmi ya Mwanakijiji kwa Waziri Mkuu Halisi Jukwaa la Siasa 244 21st January 2009 07:47 PM
Wasomi wa Tanzania wamegeuka mafisadi Mitomingi Jukwaa la Siasa 10 26th March 2008 09:25 AM
Bunge Laongoza Kuchafua Lugha ya Kiswahili Nshomile Jukwaa la Lugha 2 29th November 2007 01:53 PM
Uchumi wa Tanzania umekuwa-Soma Taarifa ya WB Dotori Jukwaa la Siasa 2 10th November 2007 06:49 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 09:04 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com