Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kubaka

    Report Post
    Results 1 to 2 of 2
    1. #1
      MIGNON's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd November 2009
      Posts : 561
      Rep Power : 656
      Likes Received
      171
      Likes Given
      128

      Default Kubaka

      Jana nilkuwa nasikiliza online radio na Kafulila akachafua hali ya hewa kwa kutumia neno kubaka bahati mtandao ukawa dhaifu na sikuweza kuelewa mwisho wa malumbano na kiti.
      Naomba tulijadili hili neno ili kuona kuwa ni sahihi kutumika au ni umbumbu wa busara za kiti.
      Naomba kutoa hoja.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      DEMBA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Posts : 142
      Rep Power : 382
      Likes Received
      22
      Likes Given
      9

      Default Re: Kubaka

      mwisho kafulila alifuta kauli hiyo na akaendelea kuchangia. back 2 mjadala. neno baka katika kiswahili ni ingilia mtu bila ridhaa yake. so mh. aliposema kijijini walikuwa wanabaka panzi alikuwa anataka kuhalalalisha 2 kauli yake. watu wanapaswa kusema wanakamata panzi na si wanabaka panzi.hivyo kwa maoni yangu kafulila alikosea ingawa kiti huwa kinaona makosa ya wapinzani 2.

    4. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...