Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi ni kweli kwamba kiswahili kinaupungufu mkubwa wa msamiati wa maneno ya kisayansi

    Report Post
    Results 1 to 13 of 13
    1. #1
      mpigamsuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 1,109
      Rep Power : 573
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default Hivi ni kweli kwamba kiswahili kinaupungufu mkubwa wa msamiati wa maneno ya kisayansi

      wana jf ninaomba mnipe sababu za msingi kwamba kiswahili kinaupungufu mkubwa msamiati ukilinganisha na kiingereza evdenc

    2. Study Abroad

    3. #2
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,365
      Rep Power : 990
      Likes Received
      308
      Likes Given
      210

      Default Re: Hivi ni kweli kwamba kiswahili kinaupungufu mkubwa wa msamiati wa maneno ya kisayansi

      Mfano

      Chapati

      Pizza

      nk

    4. #3
      Trueboy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th July 2012
      Posts : 34
      Rep Power : 351
      Likes Received
      3
      Likes Given
      3

      Default Re: Hivi ni kweli kwamba kiswahili kinaupungufu mkubwa wa msamiati wa maneno ya kisayansi

      Hilo liko wazi mfano maneno kama PRINTER,CPU,USB,MODEM,MOUSE nk sidhani kama kuna tafsiri ya moja kwa moja kutoka kiingereza kuja kiswahili, Kwa kweli lugha yetu ya kiswahili ina upungufu mkubwa sana wa misamiati ukilinganisha na lugha nyingine za kimataifa kama kiingereza.Pamoja na kutohoa maneno kadha wa kadha kutoka lugha hizo za kigeni ila bado lugha yetu haijitoshelezi kimsamiati,me naona sababu kubwa ni ukosekanaji wa wataalamu wa kutosha,pamoja na kuidharau lugha yetu wenyewe(Kasumba) n.k

    5. #4
      aikaruwa1983's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Location : MABWEPANDE
      Posts : 360
      Rep Power : 479
      Likes Received
      60
      Likes Given
      37

      Default Re: Hivi ni kweli kwamba kiswahili kinaupungufu mkubwa wa msamiati wa maneno ya kisayansi

      mfano wa rangi:

      nye-UPE

      nye-*****
      ONLY THE DEAD HAVE SEEN THE END OF WAR - PLATO

    6. #5
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,562
      Rep Power : 1629
      Likes Received
      379
      Likes Given
      552

      Default Re: Hivi ni kweli kwamba kiswahili kinaupungufu mkubwa wa msamiati wa maneno ya kisayansi

      Kichapishio, UKI(uti wa mgongo wa kinakilishi), waya malaya, kinasa mawimbi mtandao, na kielekezo komandi. Una lingine?

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 1,958
      Rep Power : 927
      Likes Received
      461
      Likes Given
      571

      Default Re: Hivi ni kweli kwamba kiswahili kinaupungufu mkubwa wa msamiati wa maneno ya kisayansi

      Quote By Burn Karudi
      Kichapishio, UKI(uti wa mgongo wa kinakilishi), waya malaya, kinasa mawimbi mtandao, na kielekezo komandi. Una lingine?
      hahahahaha, maaana za kulazimisha!!

    9. #7
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 1,958
      Rep Power : 927
      Likes Received
      461
      Likes Given
      571

      Default Re: Hivi ni kweli kwamba kiswahili kinaupungufu mkubwa wa msamiati wa maneno ya kisayansi

      waliosoma degree za kiswahili ndio wanafosi mambo na kutuletea maana za kulazimisha ambazo hata hazina ladha mdomoni, ni bora kutumia maana ya neno kama lilivyo kwa kiingereza. sababu pia kiswahili ni lugha iliyoundwa na mchanganyiko wa lugha nyingi kiarabu+kingereza+kireno n.k , hivyo bora tukaendelea kutumia neno kama lilivyo na sio kulazimisha maana.

    10. #8
      simplemind's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 2,842
      Rep Power : 1154
      Likes Received
      506
      Likes Given
      0

      Default Re: Hivi ni kweli kwamba kiswahili kinaupungufu mkubwa wa msamiati wa maneno ya kisayansi

      Naomba tafsiri ya Temperature na Heat in swahili.

    11. #9
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,741
      Rep Power : 30189
      Likes Received
      4620
      Likes Given
      3477

      Default Re: Hivi ni kweli kwamba kiswahili kinaupungufu mkubwa wa msamiati wa maneno ya kisayansi

      Kwanza kabisa kila lugha inajitosheleza kimsamiati kwa watumiaji wa lugha husika pasipo kuchanganya na mapokeo kutoka nje ya jamii husika. MF. Hakuna mahali ambapo kiswahili kitakosa neno kwa ajili ya kitu au jambo lolote ambalo asili yake ni ndani ya jamii ya waswahili.Lakini ni dhahiri kuwa kiswahili kitakosa neno la moja kwa moja kwa kitu ambacho kilianzia nje ya jamii ya waswahili then kikaletwa katika jamii ya waswahili hadi pale watumiaji wa lugha hiyo watakapoipatia neno mbadala la kiswahili.

    12. #10
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,562
      Rep Power : 1629
      Likes Received
      379
      Likes Given
      552

      Default Re: Hivi ni kweli kwamba kiswahili kinaupungufu mkubwa wa msamiati wa maneno ya kisayansi

      Quote By simplemind
      Naomba tafsiri ya Temperature na Heat in swahili.
      Temperature = hali joto
      Heat = Joto, chemka

    13. #11
      Trueboy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th July 2012
      Posts : 34
      Rep Power : 351
      Likes Received
      3
      Likes Given
      3

      Default Re: Hivi ni kweli kwamba kiswahili kinaupungufu mkubwa wa msamiati wa maneno ya kisayansi

      Hawa wataalamu wetu wa lugha mambo ya kulazimisha kutafsiri maneno ya lugha za kigeni mwisho watatuletea matusi,mf:dadavuzi mpakato (laptop),mara waya malaya ni bora tutumie tu maneno kama yalivyo.

    14. #12
      Cartoons's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th July 2012
      Posts : 77
      Rep Power : 359
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By simplemind
      Naomba tafsiri ya Temperature na Heat in swahili.
      Temperatture-jotoridi
      heat-joto

    15. #13
      Cartoons's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th July 2012
      Posts : 77
      Rep Power : 359
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: Hivi ni kweli kwamba kiswahili kinaupungufu mkubwa wa msamiati wa maneno ya kisayansi

      Kiswahhili kina misamiati ya kutosha,sema tu ni uzembe wenu wa kutokuwa karibu na kamusi,vitabu vya isimu na fasihi, na wataalam wa kiswahili.
      Ukitaka kuthibitisha huu uzembe fuatilia tofauti kati ya watangazaj wa tz na wale wa Idhaa za kiswahili za BBC,DW,VOA,RFI.

    16. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...