Nataka niote ndoto nzuri leo.. Nifanyejee? - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Education, Science & Technology Forums > Jukwaa la Lugha


Jukwaa la Lugha Swahili, English languages special forum.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 30th April 2009, 11:33 PM   #1
Nataka niote ndoto nzuri leo.. Nifanyejee?
Swahilian Swahilian is online now 30th April 2009, 11:33 PM

nataka niote bonge la ndotoo! siyo kijindoto cha kitoto' yaani kesho ukiniona aah! jitu hilo we kujigonga tu kwenye ugokoo' ndoto ndefu kama HESHIMA THABITI wa UCONN. Enh! cjui niote mafumbo na vitendawili ili wajue kiswahili hawa! lakini mmh! wakitegua kutalipuka na cjui watahamia wapi? ah! hiyo mbayaa! nataka ilee! ah! ya Obamaa mmh! ni poa ile enh! lakinii? si alishaota LUSAKINGI MATINI, pia yako inanivutia pia si ile ya misosii? ah! nilale tu

Swahilian
Senior Member
Points: 87,221, Level: 100 Points: 87,221, Level: 100 Points: 87,221, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Tue Apr 2009
Location: Dar es salaam
Posts: 185
Thanks: 1
Thanked 13 Times in 8 Posts
Views: 505
Reply With Quote
  #2  
Old 2nd May 2009, 11:34 AM
Shukuru Shukuru is offline
Shukuru is not just a muslim
JF Senior Expert Member
Points: 219,861, Level: 100 Points: 219,861, Level: 100 Points: 219,861, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon Sep 2007
Location: dsm
Posts: 793
Thanks: 57
Thanked 48 Times in 32 Posts
Rep Power: 24
Shukuru will become famous soon enoughShukuru will become famous soon enoughShukuru will become famous soon enoughShukuru will become famous soon enoughShukuru will become famous soon enoughShukuru will become famous soon enoughShukuru will become famous soon enoughShukuru will become famous soon enough
Send a message via AIM to Shukuru
Default Re: Nataka niote ndoto nzuri leo.. Nifanyejee?

leo kutwa nzima practise mambo mazuri na fikiri sana ni namna gani pepo ilivyo.....kutwa nzima.....sio part of the day..kutwa nzima..

then kuota ndoooto ndeeeeeeeefu ni uongo maana ndoto ni dakika moja ikizidi unakufa....sasa sijui tukombee kwa stail gani.
__________________
Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu........."
Reply With Quote
  #3  
Old 2nd May 2009, 11:41 AM
Pundamilia07's Avatar
Pundamilia07 Pundamilia07 is offline
Pundamilia07 pundamilia@rocketmail.com
JF Senior Expert Member
Points: 259,644, Level: 100 Points: 259,644, Level: 100 Points: 259,644, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon Oct 2007
Posts: 1,384
Thanks: 33
Thanked 43 Times in 26 Posts
Rep Power: 25
Pundamilia07 will become famous soon enoughPundamilia07 will become famous soon enoughPundamilia07 will become famous soon enoughPundamilia07 will become famous soon enoughPundamilia07 will become famous soon enoughPundamilia07 will become famous soon enoughPundamilia07 will become famous soon enoughPundamilia07 will become famous soon enough
Default Re: Nataka niote ndoto nzuri leo.. Nifanyejee?

Mimi naona ndoto yako imeshatimia,

Hayo maneno yako hapo juu yanakupa beti kama nne hivi, sasa cha msingi tafuta chorus then jazia instrument, nakuhakikishia utauza kitu hicho. Na hiyo ndiyo itakuwa ndoto ndefu sana na itakutoa vilevile!!!!! Changamkia
__________________
'Tough times never last but tough people do' Dr. Robert Schuller
Reply With Quote
  #4  
Old 2nd May 2009, 11:44 AM
Eeka Mangi Eeka Mangi is offline
Eeka Mangi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 148,411, Level: 100 Points: 148,411, Level: 100 Points: 148,411, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Sun Jul 2008
Posts: 527
Thanks: 26
Thanked 10 Times in 9 Posts
Rep Power: 23
Eeka Mangi will become famous soon enoughEeka Mangi will become famous soon enoughEeka Mangi will become famous soon enoughEeka Mangi will become famous soon enoughEeka Mangi will become famous soon enoughEeka Mangi will become famous soon enoughEeka Mangi will become famous soon enoughEeka Mangi will become famous soon enough
Default Re: Nataka niote ndoto nzuri leo.. Nifanyejee?

Kumbuka siku ya kwanza ulipokubaliwa penzi. Yaani jinsi ulivyoshushwa chap chap, jinsi huyo mpenzi alivyokusumbua,,,,jinsi kiuno kilivyokuuma wakati uanatongoza,,,,yaani kama ulikuwa bush majani mliyoyakata siku hiyo,,,,yaaaaaaaani yaaaaaaani cjui!
Reply With Quote
  #5  
Old 2nd May 2009, 02:15 PM
Swahilian Swahilian is online now
Swahilian Another Moshes (cyclin' pedestrian'
Senior Member
Points: 87,221, Level: 100 Points: 87,221, Level: 100 Points: 87,221, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Apr 2009
Location: Dar es salaam
Posts: 185
Thanks: 1
Thanked 13 Times in 8 Posts
Rep Power: 21
Swahilian will become famous soon enoughSwahilian will become famous soon enoughSwahilian will become famous soon enoughSwahilian will become famous soon enoughSwahilian will become famous soon enoughSwahilian will become famous soon enoughSwahilian will become famous soon enoughSwahilian will become famous soon enough
Thumbs down Re: Nataka niote ndoto nzuri leo.. Nifanyejee?

Ndoto yangu sasa inatimia' kwani niliyowaza kila nkilala yanijia' nisomapo mliyoandika nasinzia' mmh! hizi ndoto zitajaza dunia' mwanzo nilidhani zanikimbia' kumbe zetu watanzania' wa kuimba nimekusikia' wa kiuno pia wankumbusha ukiwa nikikumbuka nyasi zilivyoumia' ama kweli ukistaajabu akhera utaona dunia' ndoto ni kama mashua ukipanda au ukiota zitakua' amani kwenu wanandoto dhahania' tuko pamoja kama kiyama na hii dunia' tukutane tena wabia!
Reply With Quote
  #6  
Old 2nd May 2009, 02:22 PM
De Novo's Avatar
De Novo De Novo is offline
De Novo !
JF Premium Member
Points: 274,840, Level: 100 Points: 274,840, Level: 100 Points: 274,840, Level: 100
Activity: 60% Activity: 60% Activity: 60%
 
Join Date: Sat Apr 2008
Location: Dar - Tz
Posts: 4,223
Thanks: 1,374
Thanked 1,391 Times in 846 Posts
Rep Power: 30
De Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enough
Default Re: Nataka niote ndoto nzuri leo.. Nifanyejee?

Quote:
View Post
nataka niote bonge la ndotoo! siyo kijindoto cha kitoto' yaani kesho ukiniona aah! jitu hilo we kujigonga tu kwenye ugokoo' ndoto ndefu kama HESHIMA THABITI wa UCONN. Enh! cjui niote mafumbo na vitendawili ili wajue kiswahili hawa! lakini mmh! wakitegua kutalipuka na cjui watahamia wapi? ah! hiyo mbayaa! nataka ilee! ah! ya Obamaa mmh! ni poa ile enh! lakinii? si alishaota LUSAKINGI MATINI, pia yako inanivutia pia si ile ya misosii? ah! nilale tu
HIYO MBONA SIMPO... KWANZA LALA NDIO UTAOTA...

LOl
__________________
I am on the move...
Reply With Quote
  #7  
Old 26th June 2009, 10:59 AM
Barubaru Barubaru is offline
Barubaru has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 176,659, Level: 100 Points: 176,659, Level: 100 Points: 176,659, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Apr 2009
Location: Doha, Qatar
Posts: 1,317
Thanks: 256
Thanked 248 Times in 185 Posts
Rep Power: 23
Barubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enough
Default Re: Nataka niote ndoto nzuri leo.. Nifanyejee?

Quote:
ama kweli ukistaajabu akhera utaona dunia' ndoto ni kama mashua ukipanda au ukiota zitakua' amani kwenu wanandoto dhahania' tuko pamoja kama kiyama na hii dunia'
Nimependa usemi wako.

Shukran
Reply With Quote
  #8  
Old 26th June 2009, 11:37 AM
Amosam Amosam is offline
Amosam has no status.
Senior Member
Points: 83,099, Level: 100 Points: 83,099, Level: 100 Points: 83,099, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Thu Jan 2009
Posts: 156
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power: 22
Amosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enough
Default Re: Nataka niote ndoto nzuri leo.. Nifanyejee?

Aliwazalo mjinga ndio litakalotimia!
Reply With Quote
  #9  
Old 26th June 2009, 11:47 AM
Steve Dii's Avatar
Steve Dii Steve Dii is offline
Steve Dii got far too many trumpcards..!!
JF Premium Member
Points: 1,712,998, Level: 100 Points: 1,712,998, Level: 100 Points: 1,712,998, Level: 100
Activity: 14% Activity: 14% Activity: 14%
 
Join Date: Mon Jun 2007
Location: Kihesa - Iringa
Posts: 4,997
Thanks: 662
Thanked 390 Times in 202 Posts
Rep Power: 152
Steve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to behold
Send a message via ICQ to Steve Dii Send a message via AIM to Steve Dii Send a message via MSN to Steve Dii Send a message via Yahoo to Steve Dii Send a message via Skype™ to Steve Dii
Default Re: Nataka niote ndoto nzuri leo.. Nifanyejee?

Quote:
View Post
nataka niote bonge la ndotoo! siyo kijindoto cha kitoto' yaani kesho ukiniona aah! jitu hilo we kujigonga tu kwenye ugokoo' ndoto ndefu kama HESHIMA THABITI wa UCONN. Enh! cjui niote mafumbo na vitendawili ili wajue kiswahili hawa! lakini mmh! wakitegua kutalipuka na cjui watahamia wapi? ah! hiyo mbayaa! nataka ilee! ah! ya Obamaa mmh! ni poa ile enh! lakinii? si alishaota LUSAKINGI MATINI, pia yako inanivutia pia si ile ya misosii? ah! nilale tu
Kajisaidie kabla ya kulala (preferably, haja kubwa)... kisha angalia picha za wale wote wanaosemekana mafisadi wakuu Tanzania. Ukiwa unaangalia kila picha, ifyonze na kujisemea moyoni moyoni kwa kumwambia kila fisadi kuwa "wewe utanyea kwenye debe Keko!" Ukimaliza hapo, wewe msujudu muumba wako kisha nenda kulala!!

Nakuhakikishia utaota mafisadi wote tumewasweka kwenye karandinga na kuwapeleka Keko!!! Now would that be a nightmare or a sweet dream?... Let your intepretations run wild!!
Reply With Quote
  #10  
Old 26th June 2009, 03:08 PM
Sipo's Avatar
Sipo Sipo is offline
Sipo is self-assured
JF Senior Expert Member
Points: 359,135, Level: 100 Points: 359,135, Level: 100 Points: 359,135, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Jul 2008
Location: SIPAJUI
Posts: 2,167
Thanks: 382
Thanked 430 Times in 293 Posts
Rep Power: 26
Sipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enough
Default Re: Nataka niote ndoto nzuri leo.. Nifanyejee?

Natamani kukwambia jambo lakini, roho inasita, nway next time
__________________
"Ficha Upumbavu wako, husifiche hekima yako'' Invisible
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
leo, nataka, ndoto, nifanyejee, niote, nzuri


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
A vote of confidence for Mama Anne-Kilango Malecela Mwafrika wa Kike Jukwaa la Siasa 121 16th December 2009 09:43 AM
Hotuba za Rais kila mwezi JokaKuu Jukwaa la Siasa 681 2nd December 2009 08:38 AM
Dira ya Elimu Tanzania Rev. Kishoka Jukwaa la Elimu (Education Forum) 38 24th September 2008 05:16 AM
Your opinion please! Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 4 11th June 2008 01:29 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 02:13 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com