Nataka niote ndoto nzuri leo.. Nifanyejee? - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Education, Science & Technology Forums > Jukwaa la Lugha


Jukwaa la Lugha Swahili, English languages special forum.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 30th April 2009, 11:33 PM  
Nataka niote ndoto nzuri leo.. Nifanyejee?
Swahilian Swahilian is offline 30th April 2009, 11:33 PM

nataka niote bonge la ndotoo! siyo kijindoto cha kitoto' yaani kesho ukiniona aah! jitu hilo we kujigonga tu kwenye ugokoo' ndoto ndefu kama HESHIMA THABITI wa UCONN. Enh! cjui niote mafumbo na vitendawili ili wajue kiswahili hawa! lakini mmh! wakitegua kutalipuka na cjui watahamia wapi? ah! hiyo mbayaa! nataka ilee! ah! ya Obamaa mmh! ni poa ile enh! lakinii? si alishaota LUSAKINGI MATINI, pia yako inanivutia pia si ile ya misosii? ah! nilale tu

Swahilian
Senior Member
Points: 87,221, Level: 100 Points: 87,221, Level: 100 Points: 87,221, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Tue Apr 2009
Location: Dar es salaam
Posts: 185
Thanks: 1
Thanked 13 Times in 8 Posts
Views: 506
Reply With Quote
  #11  
Old 26th June 2009, 03:47 PM
agika agika is offline
agika has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 77,337, Level: 100 Points: 77,337, Level: 100 Points: 77,337, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Fri Jun 2009
Posts: 385
Thanks: 3
Thanked 4 Times in 3 Posts
Rep Power: 21
agika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enough
Default Re: Nataka niote ndoto nzuri leo.. Nifanyejee?

Quote:
View Post
Ndoto yangu sasa inatimia' kwani niliyowaza kila nkilala yanijia' nisomapo mliyoandika nasinzia' mmh! hizi ndoto zitajaza dunia' mwanzo nilidhani zanikimbia' kumbe zetu watanzania' wa kuimba nimekusikia' wa kiuno pia wankumbusha ukiwa nikikumbuka nyasi zilivyoumia' ama kweli ukistaajabu akhera utaona dunia' ndoto ni kama mashua ukipanda au ukiota zitakua' amani kwenu wanandoto dhahania' tuko pamoja kama kiyama na hii dunia' tukutane tena wabia!
nimeyapenda mashairi
Reply With Quote
  #12  
Old 26th June 2009, 04:08 PM
Nasolwa Nasolwa is offline
Nasolwa has no status.
Senior Member
Points: 74,503, Level: 100 Points: 74,503, Level: 100 Points: 74,503, Level: 100
Activity: 7% Activity: 7% Activity: 7%
 
Join Date: Thu Jun 2008
Posts: 206
Thanks: 21
Thanked 28 Times in 22 Posts
Rep Power: 22
Nasolwa will become famous soon enoughNasolwa will become famous soon enoughNasolwa will become famous soon enoughNasolwa will become famous soon enoughNasolwa will become famous soon enoughNasolwa will become famous soon enoughNasolwa will become famous soon enoughNasolwa will become famous soon enough
Default Re: Nataka niote ndoto nzuri leo.. Nifanyejee?

Lala usingizi fofofo bila kufunika macho
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
leo, nataka, ndoto, nifanyejee, niote, nzuri


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
A vote of confidence for Mama Anne-Kilango Malecela Mwafrika wa Kike Jukwaa la Siasa 121 16th December 2009 09:43 AM
Hotuba za Rais kila mwezi JokaKuu Jukwaa la Siasa 681 2nd December 2009 08:38 AM
Dira ya Elimu Tanzania Rev. Kishoka Jukwaa la Elimu (Education Forum) 38 24th September 2008 05:16 AM
Your opinion please! Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 4 11th June 2008 01:29 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 05:15 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com