Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nini maana ya neno DHAIFU??

    Report Post
    Results 1 to 18 of 18
    1. #1
      OGOPASANA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th April 2009
      Posts : 207
      Rep Power : 554
      Likes Received
      65
      Likes Given
      121

      Default Nini maana ya neno DHAIFU??

      Heshima kwenu wakuu, ninawiwa kujua maana ya neno 'dhaifu' kwa wale mnaofahamu.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,414
      Rep Power : 993
      Likes Received
      776
      Likes Given
      261

      Default Re: Nini maana ya neno DHAIFU??

      Dhaifu hasa kwa upande wa kiongozi ni yule mwoga au mzembe wa kutoa maamuzi kwa wakati. Mara nyingi mtu wa aina hii hupenda Ku-blame watu wa chini yake ambao pia ana madaraka na maamuzi yote juu yao. Kama ni ugonjwa, unaweza kusema kwamba huyu mtu anaumwa UMAMWI (Upungufu wa Maamuzi Mwilini)
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    4. #3
      mageuzi1992's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2010
      Posts : 1,856
      Rep Power : 835
      Likes Received
      107
      Likes Given
      67

      Default Re: Nini maana ya neno DHAIFU??

      Maana ''dhaifu'' = Ni kitu kisicho na mashiko, isiyo kuwa na sifa, isiyovutia, enye afya mbovu, iliyokosa unono, namna duni duni, isiyo na uwezo au nguvu, isiyo kakamavu nk

    5. #4
      Dotworld's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 2,619
      Rep Power : 1123
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      1852

      Default Re: Nini maana ya neno DHAIFU??

      Mkuu OGOPASANA

      Naomba nitoe maana kwenda kwa Kingereza.

      Kwa mujibu ta KAMUSI ya TUKI


      dhaifu* kv

      1. faint, weak, feeble, spineless; decrepit.

      2. of poor quality, frail, deficient, base.



      Dduhsi itnuhn kose kiri itda ---> 뜻이 있는 곳에 길이 있다

    6. #5
      Wambugani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2007
      Posts : 1,241
      Rep Power : 834
      Likes Received
      142
      Likes Given
      169

      Default Re: Nini maana ya neno DHAIFU??

      Quote By mageuzi1992
      Maana ''dhaifu'' = Ni kitu kisicho na mashiko, isiyo kuwa na sifa, isiyovutia, enye afya mbovu, iliyokosa unono, namna duni duni, isiyo na uwezo au nguvu, isiyo kakamavu nk
      Ongeza: hafifu, pungufu, legelege, nyonge, -sio na dhamira.
      Wars are caused by undefended wealth - Ernest Hemingway, famous American writer


    7. #6
      Wambugani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2007
      Posts : 1,241
      Rep Power : 834
      Likes Received
      142
      Likes Given
      169

      Default Re: Nini maana ya neno DHAIFU??

      Quote By mageuzi1992
      Maana ''dhaifu'' = Ni kitu kisicho na mashiko, isiyo kuwa na sifa, isiyovutia, enye afya mbovu, iliyokosa unono, namna duni duni, isiyo na uwezo au nguvu, isiyo kakamavu nk
      Ongeza: hafifu, pungufu, legelege, nyonge, -sio na dhamira.
      Wars are caused by undefended wealth - Ernest Hemingway, famous American writer

    8. #7
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,014
      Rep Power : 24158
      Likes Received
      4738
      Likes Given
      2652

      Default Re: Nini maana ya neno DHAIFU??

      Dhaif: A hadith that lacks the attributes of the sahiih and hasan and is therefore not acceptable as daliil.

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    9. #8
      Utingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Location : Lyazumbi
      Posts : 4,435
      Rep Power : 1385
      Likes Received
      596
      Likes Given
      405

      Default Re: Nini maana ya neno DHAIFU??

      Quote By Wambugani
      Ongeza: hafifu, pungufu, legelege, nyonge, -sio na dhamira.
      usisahau pumguwani asiyeweza kujisimamia, akili mbayuwayu
      Patric Richard likes this.
      Without justice – Government is nothing but a band of robbers

    10. #9
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,602
      Rep Power : 1073
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      262

      Default

      Dhaifu maana yake ni Kikwete...

      Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

    11. #10
      AMARIDONG's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2010
      Posts : 2,488
      Rep Power : 950
      Likes Received
      53
      Likes Given
      47

      Default Re: Nini maana ya neno DHAIFU??

      DHAIFU KWA MAANA NYINGINE NI TABASAMU,CHEKA,FURAHI KWA KILA KITU,UHANDSOME BOY,SAFARI NYINGI MAMTONI MPAKA UNAZIMIA KWENYE NDEGE MARA KUMI,KUPIGA PICHA NA BECHAM NA 50 CENTS,PIGA PICHA NA BOYS 2 MEN,HUDHURIA MISIBA MINGI NA ELEKEZA MAHAKAMA HUKUMU YA KUSOMA KWENYE MATOKEO YA UBUNGE KAMA ARUSHA NA SEGEREA,TOA AHADI NYINGI ZISIZOTEKELEZEKA NA KUANGUKA KWENYE MIKUTANO KAMA JANGWANi
      ONLY WISE MAN CAN PLAY THE MELODY OF LIFE

    12. #11
      AMARIDONG's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2010
      Posts : 2,488
      Rep Power : 950
      Likes Received
      53
      Likes Given
      47

      Default Re: Nini maana ya neno DHAIFU??

      Dhaifu pia ni kuanguka anguka kwenye mikutano kama jangwani na kwenye ndege ukiwa unavisit mamtoni
      Dotworld likes this.
      ONLY WISE MAN CAN PLAY THE MELODY OF LIFE

    13. #12
      AMARIDONG's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2010
      Posts : 2,488
      Rep Power : 950
      Likes Received
      53
      Likes Given
      47

      Default Re: Nini maana ya neno DHAIFU??

      Quote By ulukolokwitanga
      dhaifu maana yake ni kikwete...

      Sent from my blackberry 8520 using jamiiforums
      kitufe cha like hakipo ,kula tano kamanda
      ONLY WISE MAN CAN PLAY THE MELODY OF LIFE

    14. #13
      SILENT WHISPER's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2009
      Posts : 2,049
      Rep Power : 918
      Likes Received
      573
      Likes Given
      159

      Default Re: Nini maana ya neno DHAIFU??

      DHAIFU = sio RIZIKI..!
      POLITICIAN, ONE WHO SHAKES YOUR HAND BEFORE ELECTION AND YOUR CONFIDENCE LATER

    15. #14
      tedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,517
      Rep Power : 4643
      Likes Received
      1261
      Likes Given
      880

      Default Re: Nini maana ya neno DHAIFU??

      Ni kumfunga/ kuwafunga watu jela maisha kisa wivu wa mapenzi( babu sea).
      nipeukweli likes this.

    16. #15
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,257
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: Nini maana ya neno DHAIFU??

      poyoyo!

    17. #16
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,421
      Rep Power : 1036
      Likes Received
      1173
      Likes Given
      599

      Default Re: Nini maana ya neno DHAIFU??

      Ngoja nimpigie Mh.Mnyika then nitawajuza...
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    18. #17
      DEMBA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Posts : 142
      Rep Power : 383
      Likes Received
      22
      Likes Given
      9

      Default Re: Nini maana ya neno DHAIFU??

      Quote By Patric Richard
      DHAIFU KWA MAANA NYINGINE NI TABASAMU,CHEKA,FURAHI KWA KILA KITU,UHANDSOME BOY,SAFARI NYINGI MAMTONI MPAKA UNAZIMIA KWENYE NDEGE MARA KUMI,KUPIGA PICHA NA BECHAM NA 50 CENTS,PIGA PICHA NA BOYS 2 MEN,HUDHURIA MISIBA MINGI NA ELEKEZA MAHAKAMA HUKUMU YA KUSOMA KWENYE MATOKEO YA UBUNGE KAMA ARUSHA NA SEGEREA,TOA AHADI NYINGI ZISIZOTEKELEZEKA NA KUANGUKA KWENYE MIKUTANO KAMA JANGWANi
      duuu we ni noma

    19. #18
      mimikabwela's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 26th June 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Nini maana ya neno DHAIFU??

      kabisaaaaaaaa

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...