Kichaga kama Kifaransa vile... Kwa uvivu wa kuita majina ya Watu hadi liishe huwa ni ngumu sana... huyo Clement huitwa Cle me..
Hii Bonsavoo inaendana na Bonjour..
ai see Clement Hebu Msalimie Mama yako...
Kichaga kama Kifaransa vile... Kwa uvivu wa kuita majina ya Watu hadi liishe huwa ni ngumu sana... huyo Clement huitwa Cle me..
Hii Bonsavoo inaendana na Bonjour..
ai see Clement Hebu Msalimie Mama yako...
Hii ni Zibaki meku, cle mee anatuma hela mboga nyumbani ati!
Shimbony Shavoo!!!
Ma maee,mjo mbaa .nia jee chal ii
aika mekuu,jamani hapo ndio nyumbani,km kuna demu wa kichaga humu ani pm,natangaza ndoa!ila masharti asitokee kishmundu!
.
Bob Malya ............. Bob Marley
Peter Tesha ............. Peter Tosh
.
Life was Simple When Apples and Blackberries were Just Fruits
Tilima Kidonko
sio bo nsavoo....
ni mbony tsapho Cleme..........
Life is too short to waste time hating anyone.........
Nimekaa Marangu Mabibi wanaharibu Majina kama Kawa Manka Huotwa Mankia n.k
mob umenikumbusha zamani ...
Life was Simple When Apples and Blackberries were Just Fruits
Follow Us Here