Naandika kutoa shukrani zangu kwa uongozi wa Jamii Forum kwa kulikubali ombi langu la kuwa mwanacham. Nitatumia fursa hii kutoa maoni, kujadili na hata kushiriki katika kutoa mafunzo bora ya lugha ya kiswahili.
Ni matumaini yangu kwamba katika ukumbi huu hakutakuwa na kudhauliana au kutoa lugha isiyo nzuri kwa wachangiaji wa mada mbali mbali.
Shukrani
Zanzibar Yetu

Reply With Quote

Follow Us Here