Samaki aina ya Pomboo - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Education, Science & Technology Forums > Jukwaa la Lugha


Jukwaa la Lugha Swahili, English languages special forum.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 20th April 2009, 06:48 PM   #1
Samaki aina ya Pomboo
njiwa njiwa is offline 20th April 2009, 06:48 PM

habari zenu wanajamii .. mimi huwa najitatiza swala zima la huyu samaki pomboo
sijapa kumuona na pia sijui kizungu aitwaje? je ni kama wale binti wazuri wa kusadikaka katika hadithi zetu samaki nguva?

na je kuna ushahidi kuhusu sama mtu!?

naomba mnitatulie

kuna watu wapenda kubeza wenzao kwa maswali waulizayo.. kama ukiona upuuzi naomba usinijibu..
__________________
hakika mimi namuogopa mungu..

njiwa
Member
Points: 65,547, Level: 100 Points: 65,547, Level: 100 Points: 65,547, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Thu Apr 2009
Location: tanzania
Posts: 16
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Views: 491
Reply With Quote
  #2  
Old 20th April 2009, 06:56 PM
LazyDog's Avatar
LazyDog LazyDog is offline
LazyDog ni kajibwa goigoi
JF Senior Expert Member
Points: 5,227,469, Level: 100 Points: 5,227,469, Level: 100 Points: 5,227,469, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Thu Apr 2008
Location: Entrepreneurship, Leadership, Negotiation
Posts: 2,130
Thanks: 387
Thanked 44 Times in 33 Posts
Rep Power: 2027
LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!
Default Re: najitatiza

Pomboo kwa kizungu anaitwa dolphin. Nilisikia kwenye BBC siku moja nisielewe ni aina gani ya samaki.
Wapi ulisikia likitajwa neno hilo?



Attached Images
File Type: jpg dolphin-cow.jpg (31.0 KB, 91 views)
Reply With Quote
  #3  
Old 20th April 2009, 09:26 PM
Bluray's Avatar
Bluray Bluray is offline
Bluray is the one talked about by the fashion bloggers
JF Senior Expert Member
Points: 224,597, Level: 100 Points: 224,597, Level: 100 Points: 224,597, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Tue Mar 2008
Posts: 3,453
Thanks: 55
Thanked 948 Times in 514 Posts
Rep Power: 29
Bluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enough
Default Re: Samaki aina ya Pomboo

Dolphin si samaki bali ni mamalia. Ni mmoja kati ya viumbe wenye akili sana, Douglas Adams katika hadithi zake za sayansi ya kuyumkinika amesema kuwa hawa Dolphin wana akili kuliko binadamu .
Reply With Quote
  #4  
Old 21st April 2009, 04:56 AM
X-PASTER's Avatar
X-PASTER X-PASTER is offline
X-PASTER NaTurAl BoRn ExTrEmIsT
JF Senior Expert Member
Points: 1,548,444, Level: 100 Points: 1,548,444, Level: 100 Points: 1,548,444, Level: 100
Activity: 49% Activity: 49% Activity: 49%
 
Join Date: Mon Feb 2007
Location: Citizen Of Jannah
Posts: 4,715
Thanks: 905
Thanked 798 Times in 510 Posts
Rep Power: 33
X-PASTER will become famous soon enoughX-PASTER will become famous soon enoughX-PASTER will become famous soon enoughX-PASTER will become famous soon enoughX-PASTER will become famous soon enoughX-PASTER will become famous soon enoughX-PASTER will become famous soon enoughX-PASTER will become famous soon enough
Default Re: Samaki aina ya Pomboo

Quote:
View Post
habari zenu wanajamii .. mimi huwa najitatiza swala zima la huyu samaki pomboo
sijapa kumuona na pia sijui kizungu aitwaje? je ni kama wale binti wazuri wa kusadikaka katika hadithi zetu samaki nguva?

na je kuna ushahidi kuhusu sama mtu!?

naomba mnitatulie

kuna watu wapenda kubeza wenzao kwa maswali waulizayo.. kama ukiona upuuzi naomba usinijibu..
Nguva: Mnyama aelezwaye ``ndivyo sivyo``



Source: Nguva: Mnyama aelezwaye ``ndivyo sivyo``


Mnyama aina ya Nguva ambaye watu wamekuwa wakimwelezea kwa namna tofautitofauti, yuko hatarini kutoweka endapo jitihada za makusudi hazitachukuliwa kama Mwandishi Joseph Mwendapole anavyofafanua.

Watu wengi hawajui uhalisi wa mnyama huo kwani baadhi ya watu wamekuwa wakisema ni upande mmoja samaki na mwingine mwanamke.

Makumbusho ya taifa ambayo ndiyo ina dhamana ya kuhifadhi mambo ya kale imeweka wazi ukweli kuhusu nguva na maisha yake.

Mkurugenzi wa Makumbusho hayo, Bw. Paul Msemwa, anasema mnyama huyo mambo mengi ambayo yamekuwa yakizungumzwa kuhusu mnyama huyo si ya kweli.

Anasema nguva ni mnyama anayezaa na kunyonyesha kama walivyo wanyama wengine.

Anasema wakati akinyonyesha husimama na kukumbatia mtoto wake hali inayoweza kumfanya mtu aliyemuona kudhani kuwa ni mtu.

Anaeleza kuwa watu wengi hawajui ukweli kuhusu nguva na baadhi wamekuwa wakisema kuwa ni nusu mtu.

``Kuna watu wanapotosha wanasema nguva ni nusu mtu kwa maana kuwa chini ni samaki na juu ni mtu lakini si kweli,`` anasema.

Anasema muda mrefu mnyama huyo hukaa baharini na kwamba anapenda mazingira mazuri na tulivu.

Dk. Msemwa anasema mnyama huyo huzaa kila baada ya miaka mitatu au saba na huzaa mtoto mmoja pekee.

Mtoto wa mnyama huyo anapozaliwa huwa na kati ya kilo 153 hadi 200, wakati nguva mkubwa huwa na kati ya kilo 400 hadi 1, 000.

Dk. Msemwa anataja maeneo ambayo wanyama hao hupatikana kuwa ni Somanga karibu na Rufiji, Kilwa, Mafia, Moa Mombasa, Tanga na Bagamoyo.

Anasema endapo mazingira ya bahari yataendelea kuchafuka kuna uwezekano wa kiumbe hicho kutoweka.

Alisema kwa kawaida nguva hupenda maeneo tulivu na yasiyo na vitisho.

``Huu uvuvi haramu wa mabomu na baruti utasababisha wanyama hawa kutoweka kabisa kama jitihada za makusudi hazitachukuliwa,`` anasema.

Anasema mnyama huyo hupendelea zaidi kula majani yaliyo chini ya bahari maarufu kama mwani.

Nguva ana rangi ya kijivu na umbo la mwili wake ni nyofu na uso wa umbo la nguruwe.

Awapo katika maji hutoa kichwa chake juu ya maji kuvuta hewa kwa kutumia mashimo mawili ya pua yaliyopo upande wa juu wa kichwa chake.

Dk. Msemwa anasema nguva jike ana chuchu kifuani na anaponyonyesha mwanaye husimama kwa kutumia mkia wake chini na kumkumbatia mwanaye kama binadamu.

Aidha, anasema tayari wameanza kuwaelimisha wavuvi kuhusu mnyama huyo ili wamwonapo wasimvue.

Anasema kuna wakati wavuvi walikuwa wakiwavua na kuwala kwa kuwa nyama yao ni tamu zaidi ya ile ya ng�ombe.

Anasema kutokana na mazingira kuharibiwa, hivi sasa mnyama huyo ameanza kutoweka sehemu ambazo alikuwa akionekana.

``Alikuwa akionekana Dar es Salaam, Kimbiji, Buyuni, lakini sasa haonekani tena na hali hii inatokana na usumbufu wa wavuvi na mazingira ya bahari kuchafuliwa,`` anasema.

Anasema mnyama huyo ana aibu na anapogundua kuwa maeneo alipo kuna binadamu huhama na kwenda mbali zaidi.

Dk. Msemwa anasema vifo vya nguva vimekuwa vikitokana na ajali za bahati mbaya mfano kunaswa kwenye vyombo vya kuvulia kama vile jarife, mishipi na kuongezeka kwa shughuli za uvuvi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Idara ya Viumbe katika makumbusho hayo, Bi. Adelaide Sailema alisema wameanza kuelimisha wavuvi ili wanapowaona wanyama hao wasiwavue.

Anasema kuna umuhimu wa kuweka maeneo tengefu kwa ajili ya kuwahifadhi wanyama hao.

``Tumeishauri serikali itenge maeneo ambayo mnyama huyo anapatikana ili wasitoweke,`` anasema.

Anafafanua kuwa mtawanyiko wa nguva upo zaidi maeneo ya Somanga, Kilwa, delta ya Rufiji, Mohoro na Mafia kuanzia miaka ya 1960.

Anasema nguva amekuwa akionekana mara nyingi zaidi miaka ya 1950 sehemu za Kilwa Kivinje miaka ya 1960 sehemu za Mkwaja na Matapata miaka ya 1970 sehemu za Kilwa kisiwani, Kilwa Masoko na kaole miaka ya 1980 sehemu za Somanga, Pombwe na Olelo miaka ya 1990 sehemu za Masoko Pwani na miaka ya 2000 sehemu za Somanga, Utigi Ngolwe, Pombwe na Mbonde.

Sehemu zingine zilizoripotiwa kuwa na nguva ni Lamu, pangani, Tanga, Buyuni, Kimbiji, Unguja, Pemba, Mafia na Kisiju.

Dk. Msemwa anasema nguva anahitaji kuhifadhiwa kwa kutovuliwa kwa manufaa ya kizazi kilichopo na kijacho.

Wakati huo huo, anasema ukumbi wa kudumu wa viumbe (biolojia) ni kati ya kumbi nne za kudumu zilizopo Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni.

Anasema ukumbi huo ulianzishwa rasmi mwaka 1980 baada ya kumbi nyingine kuwepo ambazo ni ukumbi wa chimbuko la Mwanadamu, ukumbi wa historia ya Tanzania na ukumbi wa mila na desturi za Mtanzania.

Anasema ukumbi wa viumbe ulipoanzishwa ulilenga zaidi maonyesho ya viumbe bahari na mara nyingi ulijulikana ukumbi wa viumbe bahari (Marine Biology Gallery).

Anasema moja ya maonyesho yaliyopo katika ukumbi huo ni maonyesho ya mnyama Nguva ambaye kwa mara nyingi amekuwa akiamisha maswali na majibu ya aina mbalimbali kutoka katika jamii kama ni nusu samaki na nusu mwanamke.

Anaeleza kuwa kutokana na mahitaji mbalimbali ya jamii yaliyojitokeza, ilionekana kuwa ni sahihi kuwa na viumbe kutoka katika mifumo ikolojia mbalimbali ili kuweza kukidhi haja.

Anasema kwa sasa mikusanyo iliyopo imegawanyika katika sehemu kuu tatu kutokana na mifumo ikolojia ilikotoka mikusanyo hiyo.

Anatoa mfano wa mfumo ikolojia wa bahari
Wenye wanyama wanyonyeshao, samaki, kamba kochi, kasapweza, miamba ya matumbawe, majongoo bahari, konokono na kaa.


Huyu ndiye nguva







Wapo wanaofirkiria kuwa nguva au Mermaid yupo hivi


__________________
“I am the punishment of God... If you had not committed great sins, God would not have sent a punishment like me upon you.”

'O Allah! Keep me alive as long as life is better for me, and let me die if death is better for me.
Reply With Quote
  #5  
Old 21st April 2009, 10:38 AM
Mwanjelwa Mwanjelwa is offline
Mwanjelwa Msema kweli kulingana na muda uliopo.
JF Senior Expert Member
Points: 135,727, Level: 100 Points: 135,727, Level: 100 Points: 135,727, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sun Jul 2007
Location: Chenorbly
Posts: 520
Thanks: 15
Thanked 25 Times in 17 Posts
Rep Power: 24
Mwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enough
Default Re: Samaki aina ya Pomboo

Quote:
View Post
Dolphin si samaki bali ni mamalia. Ni mmoja kati ya viumbe wenye akili sana, Douglas Adams katika hadithi zake za sayansi ya kuyumkinika amesema kuwa hawa Dolphin wana akili kuliko binadamu .
Hizo ni science za kuyumkinika kweli. Ana akili kuliko binadamu?!!
Reply With Quote
  #6  
Old 21st April 2009, 01:09 PM
njiwa njiwa is offline
njiwa having cappuccino
Member
Points: 65,547, Level: 100 Points: 65,547, Level: 100 Points: 65,547, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Apr 2009
Location: tanzania
Posts: 16
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
njiwa will become famous soon enoughnjiwa will become famous soon enoughnjiwa will become famous soon enoughnjiwa will become famous soon enoughnjiwa will become famous soon enoughnjiwa will become famous soon enoughnjiwa will become famous soon enoughnjiwa will become famous soon enough
Default Re: Samaki aina ya Pomboo

kusema ukweli mimi ni mmoja wao niliofikiri nguva ni nusu samaki nusu mtu,
__________________
hakika mimi namuogopa mungu..
Reply With Quote
  #7  
Old 21st April 2009, 01:12 PM
njiwa njiwa is offline
njiwa having cappuccino
Member
Points: 65,547, Level: 100 Points: 65,547, Level: 100 Points: 65,547, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Apr 2009
Location: tanzania
Posts: 16
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
njiwa will become famous soon enoughnjiwa will become famous soon enoughnjiwa will become famous soon enoughnjiwa will become famous soon enoughnjiwa will become famous soon enoughnjiwa will become famous soon enoughnjiwa will become famous soon enoughnjiwa will become famous soon enough
Default Re: najitatiza

nimekulia tanga mjini na nyumbani ni pwani ya moa karibu na mombasa ila kila nikienda nasikia hili neno pomboo.. asante kwa kunijulisha ni dolphin kumbe
__________________
hakika mimi namuogopa mungu..
Reply With Quote
  #8  
Old 26th June 2009, 11:39 AM
Barubaru Barubaru is offline
Barubaru has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 173,495, Level: 100 Points: 173,495, Level: 100 Points: 173,495, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Mon Apr 2009
Location: Doha, Qatar
Posts: 1,315
Thanks: 255
Thanked 247 Times in 185 Posts
Rep Power: 23
Barubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enoughBarubaru will become famous soon enough
Default Re: Samaki aina ya Pomboo

Kweli sayansi ya viumbe wa bahari ni ngumu.
Akhsantum kwa ufafanuzi wenu
Reply With Quote
  #9  
Old 5th July 2009, 08:34 PM
eRRy84's Avatar
eRRy84 eRRy84 is online now
eRRy84 Time The time Before The Time Times You!
JF Senior Expert Member
Points: 358,687, Level: 100 Points: 358,687, Level: 100 Points: 358,687, Level: 100
Activity: 14% Activity: 14% Activity: 14%
 
Join Date: Fri Jun 2009
Location: United States
Posts: 684
Thanks: 964
Thanked 176 Times in 108 Posts
Rep Power: 22
eRRy84 will become famous soon enougheRRy84 will become famous soon enougheRRy84 will become famous soon enougheRRy84 will become famous soon enougheRRy84 will become famous soon enougheRRy84 will become famous soon enougheRRy84 will become famous soon enougheRRy84 will become famous soon enough
Default Re: Samaki aina ya Pomboo

Quote:
View Post
Nguva: Mnyama aelezwaye ``ndivyo sivyo``



Source: Nguva: Mnyama aelezwaye ``ndivyo sivyo``


Mnyama aina ya Nguva ambaye watu wamekuwa wakimwelezea kwa namna tofautitofauti, yuko hatarini kutoweka endapo jitihada za makusudi hazitachukuliwa kama Mwandishi Joseph Mwendapole anavyofafanua.

Watu wengi hawajui uhalisi wa mnyama huo kwani baadhi ya watu wamekuwa wakisema ni upande mmoja samaki na mwingine mwanamke.

Makumbusho ya taifa ambayo ndiyo ina dhamana ya kuhifadhi mambo ya kale imeweka wazi ukweli kuhusu nguva na maisha yake.

Mkurugenzi wa Makumbusho hayo, Bw. Paul Msemwa, anasema mnyama huyo mambo mengi ambayo yamekuwa yakizungumzwa kuhusu mnyama huyo si ya kweli.

Anasema nguva ni mnyama anayezaa na kunyonyesha kama walivyo wanyama wengine.

Anasema wakati akinyonyesha husimama na kukumbatia mtoto wake hali inayoweza kumfanya mtu aliyemuona kudhani kuwa ni mtu.

Anaeleza kuwa watu wengi hawajui ukweli kuhusu nguva na baadhi wamekuwa wakisema kuwa ni nusu mtu.

``Kuna watu wanapotosha wanasema nguva ni nusu mtu kwa maana kuwa chini ni samaki na juu ni mtu lakini si kweli,`` anasema.

Anasema muda mrefu mnyama huyo hukaa baharini na kwamba anapenda mazingira mazuri na tulivu.

Dk. Msemwa anasema mnyama huyo huzaa kila baada ya miaka mitatu au saba na huzaa mtoto mmoja pekee.

Mtoto wa mnyama huyo anapozaliwa huwa na kati ya kilo 153 hadi 200, wakati nguva mkubwa huwa na kati ya kilo 400 hadi 1, 000.

Dk. Msemwa anataja maeneo ambayo wanyama hao hupatikana kuwa ni Somanga karibu na Rufiji, Kilwa, Mafia, Moa Mombasa, Tanga na Bagamoyo.

Anasema endapo mazingira ya bahari yataendelea kuchafuka kuna uwezekano wa kiumbe hicho kutoweka.

Alisema kwa kawaida nguva hupenda maeneo tulivu na yasiyo na vitisho.

``Huu uvuvi haramu wa mabomu na baruti utasababisha wanyama hawa kutoweka kabisa kama jitihada za makusudi hazitachukuliwa,`` anasema.

Anasema mnyama huyo hupendelea zaidi kula majani yaliyo chini ya bahari maarufu kama mwani.

Nguva ana rangi ya kijivu na umbo la mwili wake ni nyofu na uso wa umbo la nguruwe.

Awapo katika maji hutoa kichwa chake juu ya maji kuvuta hewa kwa kutumia mashimo mawili ya pua yaliyopo upande wa juu wa kichwa chake.

Dk. Msemwa anasema nguva jike ana chuchu kifuani na anaponyonyesha mwanaye husimama kwa kutumia mkia wake chini na kumkumbatia mwanaye kama binadamu.

Aidha, anasema tayari wameanza kuwaelimisha wavuvi kuhusu mnyama huyo ili wamwonapo wasimvue.

Anasema kuna wakati wavuvi walikuwa wakiwavua na kuwala kwa kuwa nyama yao ni tamu zaidi ya ile ya ng�ombe.

Anasema kutokana na mazingira kuharibiwa, hivi sasa mnyama huyo ameanza kutoweka sehemu ambazo alikuwa akionekana.

``Alikuwa akionekana Dar es Salaam, Kimbiji, Buyuni, lakini sasa haonekani tena na hali hii inatokana na usumbufu wa wavuvi na mazingira ya bahari kuchafuliwa,`` anasema.

Anasema mnyama huyo ana aibu na anapogundua kuwa maeneo alipo kuna binadamu huhama na kwenda mbali zaidi.

Dk. Msemwa anasema vifo vya nguva vimekuwa vikitokana na ajali za bahati mbaya mfano kunaswa kwenye vyombo vya kuvulia kama vile jarife, mishipi na kuongezeka kwa shughuli za uvuvi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Idara ya Viumbe katika makumbusho hayo, Bi. Adelaide Sailema alisema wameanza kuelimisha wavuvi ili wanapowaona wanyama hao wasiwavue.

Anasema kuna umuhimu wa kuweka maeneo tengefu kwa ajili ya kuwahifadhi wanyama hao.

``Tumeishauri serikali itenge maeneo ambayo mnyama huyo anapatikana ili wasitoweke,`` anasema.

Anafafanua kuwa mtawanyiko wa nguva upo zaidi maeneo ya Somanga, Kilwa, delta ya Rufiji, Mohoro na Mafia kuanzia miaka ya 1960.

Anasema nguva amekuwa akionekana mara nyingi zaidi miaka ya 1950 sehemu za Kilwa Kivinje miaka ya 1960 sehemu za Mkwaja na Matapata miaka ya 1970 sehemu za Kilwa kisiwani, Kilwa Masoko na kaole miaka ya 1980 sehemu za Somanga, Pombwe na Olelo miaka ya 1990 sehemu za Masoko Pwani na miaka ya 2000 sehemu za Somanga, Utigi Ngolwe, Pombwe na Mbonde.

Sehemu zingine zilizoripotiwa kuwa na nguva ni Lamu, pangani, Tanga, Buyuni, Kimbiji, Unguja, Pemba, Mafia na Kisiju.

Dk. Msemwa anasema nguva anahitaji kuhifadhiwa kwa kutovuliwa kwa manufaa ya kizazi kilichopo na kijacho.

Wakati huo huo, anasema ukumbi wa kudumu wa viumbe (biolojia) ni kati ya kumbi nne za kudumu zilizopo Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni.

Anasema ukumbi huo ulianzishwa rasmi mwaka 1980 baada ya kumbi nyingine kuwepo ambazo ni ukumbi wa chimbuko la Mwanadamu, ukumbi wa historia ya Tanzania na ukumbi wa mila na desturi za Mtanzania.

Anasema ukumbi wa viumbe ulipoanzishwa ulilenga zaidi maonyesho ya viumbe bahari na mara nyingi ulijulikana ukumbi wa viumbe bahari (Marine Biology Gallery).

Anasema moja ya maonyesho yaliyopo katika ukumbi huo ni maonyesho ya mnyama Nguva ambaye kwa mara nyingi amekuwa akiamisha maswali na majibu ya aina mbalimbali kutoka katika jamii kama ni nusu samaki na nusu mwanamke.

Anaeleza kuwa kutokana na mahitaji mbalimbali ya jamii yaliyojitokeza, ilionekana kuwa ni sahihi kuwa na viumbe kutoka katika mifumo ikolojia mbalimbali ili kuweza kukidhi haja.

Anasema kwa sasa mikusanyo iliyopo imegawanyika katika sehemu kuu tatu kutokana na mifumo ikolojia ilikotoka mikusanyo hiyo.

Anatoa mfano wa mfumo ikolojia wa bahari
Wenye wanyama wanyonyeshao, samaki, kamba kochi, kasapweza, miamba ya matumbawe, majongoo bahari, konokono na kaa.


Huyu ndiye nguva







Wapo wanaofirkiria kuwa nguva au Mermaid yupo hivi


From Wikipedia, the free encyclopedia
For other uses, see Mermaid (disambiguation).
Mermaid

A Mermaid by John William Waterhouse
Creature
Grouping Mythological
Sub grouping Water spirit
Similar creatures Merman
Siren
Ondine
Data
Mythology World mythology
First reported c. 1000BC
Country Worldwide
Habitat Ocean, sea


Mermaid and merman, 1866. Anonymous Russian folk artist.
A mermaid is a mythological aquatic creature with a human head and torso and the tail of an aquatic animal such as a fish or dolphin. The word is a compound of mere, the Old English word for "sea," and maid, a woman. The male equivalent is a merman, however the term mermaid is sometimes used for males. Various cultures throughout the world have similar figures, typically depicted without clothing.
Much like sirens, mermaids would sometimes sing to people and gods and enchant them, distracting them from their work and causing them to walk off the deck or run their ships aground. Other stories have them squeezing the life out of drowning men while attempting to rescue them. They are also said to take humans down to their underwater kingdoms. In Hans Christian Andersen's The Little Mermaid it is said that they forget that humans cannot breathe underwater, while others say they drown men out of spite.
The sirens of Greek mythology are sometimes portrayed in later folklore as mermaid-like; in fact, some languages use the same word for both bird and fish creatures, such as the Maltese word 'sirena'. Other related types of mythical or legendary creature are water fairies (e.g. various water nymphs) and selkies, animals that can transform themselves from seals to humans.
Reply With Quote
  #10  
Old 5th July 2009, 08:57 PM
LazyDog's Avatar
LazyDog LazyDog is offline
LazyDog ni kajibwa goigoi
JF Senior Expert Member
Points: 5,227,469, Level: 100 Points: 5,227,469, Level: 100 Points: 5,227,469, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Thu Apr 2008
Location: Entrepreneurship, Leadership, Negotiation
Posts: 2,130
Thanks: 387
Thanked 44 Times in 33 Posts
Rep Power: 2027
LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!
Default Re: Samaki aina ya Pomboo

Quote:
View Post
A mermaid is a mythological aquatic creature with a human head and torso and the tail of an aquatic animal such as a fish or dolphin. The word is a compound of mere, the Old English word for "sea," and maid, a woman. The male equivalent is a merman, however the term mermaid is sometimes used for males. Various cultures throughout the world have similar figures, typically depicted without clothing.
Mtu asipoelewa maana ya hilo neno huenda akaelewa vibaya ujumbe ulioko hapo.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
aina, bahari, pomboo, samaki, wanyama


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Majambazi Arusha: Mabomu, Bunduki, Risasi, Bastola - Hii ni Kashfa JWTZ Hasara Jukwaa la Siasa 225 11th December 2009 04:53 PM
Hadithi - shujaa wa mashariki Shy Jukwaa la Lugha 2 3rd October 2008 02:04 PM
Mapambano ya Polisi na MajambaziArusha Yapamba moto! Pinokyo Jukwaa la Siasa 34 10th May 2008 02:07 AM
Samaki huyu analiwaje? (Fumbo) Mzee Mwanakijiji Jukwaa la Lugha 6 9th April 2008 06:55 PM
Jiepusheni na Samaki wakavu Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Elimu (Education Forum) 4 8th July 2007 09:14 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 02:04 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com