Zabibu langu li tamu,
Pekee lanipa hamu,
Ni tamu tunda adhimu,
La kale kama ya Shamu!
Linaendelea...
__________________ Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"
Nimeona vitu vyake si utani anajitutumua.. we have to keep him if for no other reason..
Ni kweli kabisa we sure do!...inabidi you two muandike lyrics mtauza sana me i will be yur manager...maana i am good kwenye hiyo industry....Cuzin naona Suki yupo naye kwenye line uh.....unamtrain taratibu siyo mchedho.
Heheheheee....ndio bana imenibidi na mimi nitunishe kidogo vimisuli vyangu....lol
Naona mambo yako pumkin siyo mabaya kabisa wee i am impressed kwa kweli! haya mbona hujawahi kuniimbia miye live kihivyo?....you need to do that tonite.
__________________ Nothing shall delay my miracles!...
Heheheheee....ndio bana imenibidi na mimi nitunishe kidogo vimisuli vyangu....lol
u c it pays off to go to that gym! now I know my cuz is good hands..
__________________ Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"
Ni kweli kabisa we sure do!...inabidi you two muandike lyrics mtauza sana me i will be yur manager...maana i am good kwenye hiyo industry....Cuzin naona Suki yupo naye kwenye line uh.....unamtrain taratibu siyo mchedho.
Ila Mundu naye yumo, si unaona vitu vyake hapo juu!
__________________ Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"
__________________ Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"