Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nini hasa maana ya utu?

    Report Post
    Page 10 of 15 FirstFirst ... 89101112 ... LastLast
    Results 181 to 200 of 294
    1. EMT
      #1
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 8,890
      Rep Power : 61724
      Likes Received
      7165
      Likes Given
      6430

      Default Nini hasa maana ya utu?

      WanaJF,

      Jana kuna MwanaJF alianzisha thread akilalamika kuwa mbunge wake wa Arumeru Mashariki ni mgonjwa sana na hivyo hawana mwakilishi jimboni kwao. Alitaka kujua serikali inaonaje kama Wana-Arumeru wakifanya uchaguzi mwingine ili wapate muwakilishi mwingine. Kwenye ile thread wapo waliosema kuwa “wakati mwingine tuweke utu mbele, thamani ya mtu ni utu, ubinaadamu ndio unatangulia na mengine yote yanafuatia..” Wengine wakasema kuwa “suala sio kubeza ugonjwa wa mbunge bali ni uwakilishi wa wanajimbo la Arumeru Mashariki full stop.”

      Pia jana hiyo hiyo, Faiza Foxy alipewa ban ya miaka miwili kwa kwa kutenda “kosa dhidi ya UTU” ikiwa na maana ya “Kukejeli na kubeza marehemu na sababu zilizopelekea kifo chake ni kosa tena kukosa Heshima.”

      Swali langu ni nini hasa maana ya utu? Ni utu kuendelea kumwacha madarakani kiongozi ambaye ni mgongwa sana to the extent kuwa hawezi hata kuwawakilisha tena waliomchagua? Je, mtu unaweza kula ban hapa JF kwa kutokuwa na utu? Ni vigezo gani tunavyotumia kujua kama mtu hana utu au amefanya jambo ambalo halina utu?

      Nim-quote Gaijin: “Utu ndio kitu gani? Utu unau define vipi? Kwa standards za nani? Tunaweza kusemaje nani ana utu zaidi kuliko mwingine kwa kufanya vitendo gani?”
      “Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.

    2. FemaTV & Radio

    3. EMT
      #181
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 8,890
      Rep Power : 61724
      Likes Received
      7165
      Likes Given
      6430

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Sorry guys, I haven't ignored you. I have been offline for the last few days due a reason beyond my control. Asanteni nyote kwa kuendeleza mjadala. Mtaani nilijikuta niko kwenye dabate na wanamtaa wakibishana kuwa kitendo cha wabunge wa Chadema kutoka nje ya bunge wakati wa majadiliano ya ule mswada wa Katiba, kulikuwa sio kitendo cha utu.

      Niliwauliza baadhi ya maswali aliyouliza Gaijin kwenye hii thread lakini sikupata jibu. Walionyesha kuutambua utu lakini ku-udefine walishindwa. Wapo waliosema kuwa mtu ni utu. Wengine walisema kazi ni utu na kwa vile wabunge wa Chadema walisepa kazi yao, then walikosa utu. Wengine walisema Chadema wameonyesha utu kwa Watanzania, lakini CCM hawakufanya hivyo kwa vile waliweka mbele interests za chama chao badala ya watu ambao ndio utu.
      Gaijin, Azimio Jipya and AshaDii like this.
      “Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.

    4. #182
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,199
      Rep Power : 31380
      Likes Received
      9591
      Likes Given
      683

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Quote By Azimio Jipya
      ..

      FLY,

      Nilitumia matamshi yako kusisitiza dhana kuwa kila mwanadamu ana UTU. Kila mwanadamu anaujua UTU kama ulivyouelezea kwenye matamshi yako. Na ninaamini kuwa kila mwanadamu anauwezo kuusaliti UTU wake kama anataka... na Yule aliyeamua kuweka kando Utu wake , yule aliyeamua kuusaliti UTU wake .. Atatafsriwa kwenye Matendo yake, fikra zake na matamshi yake ..Kama MTU asiye na UTU. .. na Labda kufananishwa na Mnyama.

      Nilipo hoji nani haelewi ulichosema .. nilikuwa namaanisha kuwa hakuna Mtu mwenye UTU ambaye haoni na kuelewa kama ulivyojieleleza dhana nzima ya UTU.... kwani huo ndio ukweli. Ambaye haoni hivyo ni nani? Na kwa nini asione hivyo? Kwa mtizamo wangu, Jibu langu ni kuwa ni kwa sababu ..ameusaliti Utu wake tayari ..kwani ... Ulichoandika kinasimami ni asili ya kila mwanadamu mweneye UTU. Na Kuelewa ulichoandika kingekuwa kitu cha kawaida tu!!





      Aisee umefafanua hadi nimefurahi!

      Na hivi utu kwa Kiingereza si ndo humanity, humane, na kukosa utu ndo inhumane?
      Azimio Jipya likes this.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    5. #183
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,196
      Rep Power : 5100
      Likes Received
      2778
      Likes Given
      231

      Default

      Quote By Nyani Ngabu
      Aisee umefafanua hadi nimefurahi!

      Na hivi utu kwa Kiingereza si ndo humanity, humane, na kukosa utu ndo inhumane?
      kwa mtu akikukosea utu ni ameku inhumane kwa kiingereza..

    6. #184
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,199
      Rep Power : 31380
      Likes Received
      9591
      Likes Given
      683

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Quote By ndetichia
      kwa mtu akikukosea utu ni ameku inhumane kwa kiingereza..
      Inategemea na kakukosea kivipi..
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    7. EMT
      #185
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 8,890
      Rep Power : 61724
      Likes Received
      7165
      Likes Given
      6430

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Quote By Nyani Ngabu
      Aisee umefafanua hadi nimefurahi!

      Na hivi utu kwa Kiingereza si ndo humanity, humane, na kukosa utu ndo inhumane?
      Huko nyuma Mkuu Paulss alitafsiri "utu" kama "humaniniy". Nae Mkuu Cathode Rays alitafsiri "utu" kama "dignity".
      “Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.

    8. Miaka 50

    9. #186
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,199
      Rep Power : 31380
      Likes Received
      9591
      Likes Given
      683

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Quote By EMT
      Huko nyuma Mkuu Paulss alitafsiri "utu" kama "humaniniy". Nae Mkuu Cathode Rays alitafsiri "utu" kama "dignity".
      Dignity na utu? Daah

      Dignity si inahusiana na heshima na taadhima? Au nimekosea?
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    10. EMT
      #187
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 8,890
      Rep Power : 61724
      Likes Received
      7165
      Likes Given
      6430

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Quote By Nyani Ngabu
      Dignity na utu? Daah

      Dignity si inahusiana na heshima na taadhima? Au nimekosea?
      Mie nadhani humanity ni ubinadamu.
      Wengine wanasema ubinadamu ndio utu wenyewe.
      Kwa mfano, crimes againist humany ina maana makosa ya jinai dhidi ya utu?
      Dignity sio hadhi?
      “Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.

    11. #188
      Azimio Jipya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Location : Universal Space Station
      Posts : 3,281
      Rep Power : 5414
      Likes Received
      1006
      Likes Given
      1731

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Quote By EMT
      Sorry guys, I haven't ignored you. I have been offline for the last few days due a reason beyond my control. Asanteni nyote kwa kuendeleza mjadala. Mtaani nilijikuta niko kwenye dabate na wanamtaa wakibishana kuwa kitendo cha wabunge wa Chadema kutoka nje ya bunge wakati wa majadiliano ya ule mswada wa Katiba, kulikuwa sio kitendo cha utu.

      Niliwauliza baadhi ya maswali aliyouliza Gaijin kwenye hii thread lakini sikupata jibu. Walionyesha kuutambua utu lakini ku-udefine walishindwa. Wapo waliosema kuwa mtu ni utu. Wengine walisema kazi ni utu na kwa vile wabunge wa Chadema walisepa kazi yao, then walikosa utu. Wengine walisema Chadema wameonyesha utu kwa Watanzania, lakini CCM hawakufanya hivyo kwa vile waliweka mbele interests za chama chao badala ya watu ambao ndio utu.
      Kweli Mkuu you left suddenly ... and we needed someone to chair KIGODA CHA UTU!! .. Glad you have come back!!
      Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
      "Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.


    12. #189
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,199
      Rep Power : 31380
      Likes Received
      9591
      Likes Given
      683

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Quote By EMT
      Mie nadhani humanity ni ubinadamu.
      Wengine wanasema ubinadamu ndio utu wenyewe.
      Kwa mfano, crimes againist humany ina maana makosa ya jinai dhidi ya utu?
      Dignity sio hadhi?
      Hmm...mengine yatakuwa lost in translation hapa lol..

      Ukianza kutafsiri neno kwa neno toka Kiingereza kwenda Kiswahili unaweza usipate maana sahihi. Na nadhani ndicho ulichofanya kwenye hiyo tafsiri yako ya crimes against humanity. Angalia hata muundo wake ulivyo.

      Hadhi siyo status? Kwangu hadhi inakaribiana zaidi na status kuliko dignity.
      Companero likes this.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    13. #190
      Azimio Jipya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Location : Universal Space Station
      Posts : 3,281
      Rep Power : 5414
      Likes Received
      1006
      Likes Given
      1731

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Quote By EMT
      Sorry guys, I haven't ignored you. I have been offline for the last few days due a reason beyond my control. Asanteni nyote kwa kuendeleza mjadala. Mtaani nilijikuta niko kwenye dabate na wanamtaa wakibishana kuwa kitendo cha wabunge wa Chadema kutoka nje ya bunge wakati wa majadiliano ya ule mswada wa Katiba, kulikuwa sio kitendo cha utu.

      Niliwauliza baadhi ya maswali aliyouliza Gaijin kwenye hii thread lakini sikupata jibu. Walionyesha kuutambua utu lakini ku-udefine walishindwa. Wapo waliosema kuwa mtu ni utu. Wengine walisema kazi ni utu na kwa vile wabunge wa Chadema walisepa kazi yao, then walikosa utu. Wengine walisema Chadema wameonyesha utu kwa Watanzania, lakini CCM hawakufanya hivyo kwa vile waliweka mbele interests za chama chao badala ya watu ambao ndio utu.
      EMT

      Kuhusu Mjadala wa dhana ya UTU kwa Kuchambua Tukio hali la kijamii kama la CDM kutoka nje ya Mjengo ... Navutiwa na mjadala huo sana na nafikiri kwa namna hiyo ni kutendea haki ... Mjadala unao endelea hapa wa UTU NI NINI! Nasema hivyo kama contrast ya Kuchambua dhana ya UTU kwa kama CONCEPT! Utakumbuka huko nyuma nilipendekeza .. tusione aibu ... na tuwe wazi kabisa ..Kila mchangiaji ajitambulishe kuwa yeye yuko kambi gani.

      1. Kutaka kujua UTU kama CONCEPT .. Mifano ni hizo definition nyingi kuanzia post ya kwanza hadi tutakapofikia Post ya Mwisho ..Na Gaijin ... atasikilizaaa atachangia na mwisho atauliza ..UTU NI NINI?

      au

      2. Kutaka kujua TUKIO fulani limejengwa na UTU au halikujengwa na UTU ... mfano ni kama huo wa CDM kutoka mjengoni.

      Tujadili tukio hilo ili kufafanua dhana ya UTU ...

      Na Kama Utaona inafaa Unaweza kutuogoza siku zijazo tukachambua kwa undani Dhana ya UTU Kupitia Watu mashuhuri na matukio muhimu ya kijamii. Kwa mfano

      1. Katia ya Id Amin na Nyerere ..nani alikuwa na sifa ya Utu zaidi ya mwingine ...Na kwanini?
      2. Kwa Hivi sasa Ni Kiogozi gani wa Tanzania anaweza kuchukuliwa kutekeleza kwa dhati Dhana ya UTU .. Kisiasa na Kiuchumi
      3. Ni Kweli hawa ni mifano mizuri ya Utu? Nelson Mandela, Mahatma Ghandi, Osama Bin Laden, Jakaya Mrisho Kikwete, Edward Ngoyai Lowasa
      4. Matukio haya ya Kitaifa yamesimamia dhana ya Utu na Ubinadamu: Siasa ni Kilimo, Fagio la chuma, Azimo la Arusha, Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania, Vua Gamba, Tuweke Mwenge wa uhuru Kilimanajaro, CDM kukutanan na Rais wa Jamhuri Ya Muugano wa Tanzania Kuhusu Katiba.
      5. Tujadili Kati ya JAMBO FORUMS na JAMII FORUMS ... Ipi .. Imejikita Kwenye Dhana ya UTU zaidi na kwa nini?
      Last edited by Azimio Jipya; 24th November 2011 at 04:48.
      EMT and Roulette like this.
      Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
      "Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.


    14. #191
      Azimio Jipya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Location : Universal Space Station
      Posts : 3,281
      Rep Power : 5414
      Likes Received
      1006
      Likes Given
      1731

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Mtizamo wangu kuhusu CDM kutoka Mjengoni!

      Kwa hakika kabisa lazima kutakuwa na MITIZAMO ya aina mbili!

      Wale amabo hawana tatizo na Utu wao , watautabua na kuuenzi hivyo watautumia kuchambulia matukio ya maisha. Wata dhubutu kuona ukweli kuhusu tukio lile kwa misingi ya Utu na matokeo yake katika kustawisha jamii.

      Kundi la Pili, kama alivyosema RussianRoulette (kama nilimuelewa vizuri) .. Kundi hili linaamua kuuweka Utu wao kando na sio kwamba haliujui Utu ..lakini kwa sababu ambazo labda zitakuwa wazi baadae wanaamua kuusali Utu ambao ndiyo asli yao inayowataofautisha na wanyama na vitu vingine vyote..hawa wataliona tukio lile kwa namna yao!!

      Kwa sasa naishia HAPA!!
      Last edited by Azimio Jipya; 24th November 2011 at 15:47.
      EMT likes this.
      Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
      "Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.


    15. #192
      Companero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2008
      Posts : 4,753
      Rep Power : 6503
      Likes Received
      955
      Likes Given
      1106

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Aisee Erasto Mpemba amepatikana, atakuwa mzungumzaji kwenye TedxDar - cheki profile yake hapa: TEDxDar
      "Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon

    16. #193
      Companero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2008
      Posts : 4,753
      Rep Power : 6503
      Likes Received
      955
      Likes Given
      1106

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Quote By Nyani Ngabu
      Hmm...mengine yatakuwa lost in translation hapa lol..

      Ukianza kutafsiri neno kwa neno toka Kiingereza kwenda Kiswahili unaweza usipate maana sahihi. Na nadhani ndicho ulichofanya kwenye hiyo tafsiri yako ya crimes against humanity. Angalia hata muundo wake ulivyo.

      Hadhi siyo status? Kwangu hadhi inakaribiana zaidi na status kuliko dignity.
      Aisee Erasto Mpemba amepatikana, atakuwa mzungumzaji kwenye TedxDar - cheki profile yake hapa: TEDxDar
      "Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon

    17. #194
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,199
      Rep Power : 31380
      Likes Received
      9591
      Likes Given
      683

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Quote By Companero
      Aisee Erasto Mpemba amepatikana, atakuwa mzungumzaji kwenye TedxDar - cheki profile yake hapa: TEDxDar
      Kavumbua nini safari hii?
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    18. #195
      Companero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2008
      Posts : 4,753
      Rep Power : 6503
      Likes Received
      955
      Likes Given
      1106

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Quote By Nyani Ngabu
      Kavumbua nini safari hii?
      Acha uvivu wa kufikiri, kasome tafiti zake utaona kavumbua nini
      "Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon

    19. #196
      AshaDii's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 15,651
      Rep Power : 71472
      Likes Received
      15839
      Likes Given
      16418

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Quote By Gaijin
      Mimi sina tafsiri wala definition ya utu. Siijui. Na siondoi uwezekano wa kuwa huo utu wenyewe sina au ulishapotea kitambo.

      Ninachosema mimi ni kuwa hakuna universal definition ya utu. Kila mtu anaejua tafsiri au definition ya utu, anayo yake kwa sababu ya athari ya vitu vilivyomzunguka katika maisha yake.

      Chukulia mfano huu: Mnyama akiuguwa akawa anateseka na hakuna uwezekano wa kupona, ni utu kumuuwa haraka iwezekanavyo lakini tunaambiwa si utu kumuuwa binaadamu anaeteseka kwa maradhi licha ya kuwa hakuna uwezekano wa kupona. Tunaambiwa kuwa ni utu zaidi kumuacha akiteseka kwa vile utu wetu unataka tuweke matarajio kuwa atapona

      Utu ni nini?


      Kama ulivosema hakuna Universal definition ya Utu.... Ndio maana hata huko nyumba nimezungumzia hili (kua kila mwanadamu hu-define utu) tegemea na mazingira alotoka.

      Nimependa mfano wako na umenikumbusha kisa kimoja Uingereza ambao kuna mgonjwa alikua na hali mbaya na anaishi ICU kwa mipira tu; as in wakitoa hizo life supporters mara moja anakata roho. Kukawa na ugomvi mkubwa kati ya wazazi wa mgonjwa na mume (or is it mke... nimesahau). One group ikitaka awe released whereas another group ikitaka aendelee hivo hivo. The Irony is kila mmoja anatetea hoja yake on the basis of which was more humane.... Awe released ama aendelee....
      "Emancipate yourselves from Mental Slavery,
      NON but Ourselves can Free our Minds"
      - Bob Marley (Redemption Song)

    20. #197
      AshaDii's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 15,651
      Rep Power : 71472
      Likes Received
      15839
      Likes Given
      16418

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Quote By Cathode Rays
      Hello AD, samahani kwa kuchelewa kurespond nilikuwa safarini these last two days and it was for some busy thing hata laptop sikuweza kuigusa

      All in all, unaweza kunisaidia kulifafanua hili swali vizuri kujua ni nini unataka kufahamu?

      Thanks

      Usijali kwa kuchelewa Cathode Rays... na naona ni zamu yangu ya kuomba huo msamaha wa kuchelewa....

      Well simply nilitaka hili swali ulo pose ujibu as in according to your understanding and Point of view... basing on red...


      The question still is how common and standards are these "common standards of achivements" ???
      Cathode Rays likes this.
      "Emancipate yourselves from Mental Slavery,
      NON but Ourselves can Free our Minds"
      - Bob Marley (Redemption Song)

    21. #198
      Cathode Rays's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Location : Singita-Usanda
      Posts : 491
      Rep Power : 483
      Likes Received
      364
      Likes Given
      221

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Quote By Nyani Ngabu
      Dignity na utu? Daah

      Dignity si inahusiana na heshima na taadhima? Au nimekosea?
      Mkuu NN huwezi kuvitenga hivi vitu viwili......hudhani kuwa heshima na taadhima huthibitika zaidi palipo na utu?

      Can any body respect you whole being au wewe unaweza kumpa mtu ile heshima ama taadhima anayostahili kama huna au huyo mtu hana utu!....close to impossible
      "Football.....bloody hell" - SAF, 2009.....You will be sorely missed

    22. #199
      Cathode Rays's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Location : Singita-Usanda
      Posts : 491
      Rep Power : 483
      Likes Received
      364
      Likes Given
      221

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Quote By AshaDii
      Usijali kwa kuchelewa Cathode Rays... na naona ni zamu yangu ya kuomba huo msamaha wa kuchelewa....

      Well simply nilitaka hili swali ulo pose ujibu as in according to your understanding and Point of view... basing on red...
      AD ahsante kwa ufafanuzi na nashukuru kwa kunishtua kupita huku maana siku hizi nimekuwa kama matairi ya gari...kila siku barabarani safari

      Anyway, nilichokuwa namaanisha ni ule ule mkanganyiko wa kitafsiri tuliotoka nao huko tulikotoka....kinachoonekana kama haki ya mtu au tuseme utu kwako sio lazima kiwe utu kwangu....

      Kabla sijajibu kwa undani naomba nikumbuke moja kati ya nadharia nilizofundishwa kwenye somo la Social Development.....Ni ile nadharia ya Rationality kwenye Social Development (sio lazima sana kuwa sawa na theory ya rationality kwenye uchumi)...... Wanaounga mkono nadharia hii wanasema for development to be development it must be a rational process kwa maana ya mambo makuu mawili. Mosi, mtu mmoja asiendelee kwa mgongo wa mtu mwingine (hapa ndipo inapokuja concept ya inequality gap kwa tajiri kunufaika zaidi kwenye mgongo wa masikini say kwa kumfanyisha kazi za kujinufaisha wakati akimnyonya). Pili, Tunaotafuta maendeleo leo, tusiyatafute kwa kuathiri maisha ya vizazi vijavyo (hapa ndipo inapozaliwa concept ya sustainable development)..........Hata hivyo wanaopinga nadharia hii wanasema hakuna kitu kama rationality kwa sababu kila mtu anawaza tofauti na "what seems to be rational to you must not necessarily be rational to others"....hivyo ni kama kitu ambacho hakipo kabisa.

      Kwa nini nimetumia mfano huu, ni kurudi kule kule tolikotoka.......kutafuta tafsiri moja ya jambo kama UTU ni gumu na kuna uwezekano wa kukesha na kukesha na kukesha na watu bado wasikubaliane kwenye baadhi ya maeneo kama jambo fulani linamaanisha kuwa huyo mtu ana utu au kakosa utu

      Na nikirudi kwenye swali lako naomba nitumie mfano wa Article 18 ya UDHR inayosema

      ......Article 18...everyone has the right to freedom of thought, conscience and religion; this right includes freedom to change his religion or belief, and freedom, either alone or in community with others and in public or private, to manifest his religion or belief in teaching, practice, worship and observance

      Kuna wakati nilibahatika kufuatilia mjadala wa Mashehe (kama sijakosea) huko Iraq na baadhi ya nchi nyingine za kiarabu zikizungumzia hii Article na Apostasy (mtu kubadili dini)...Na katika huo mjadala ilikuwa wazi kabisa kuwa stahiki ya mtu mtu aliebadili dini (Apostasy) anastahili kufa?..................Can we then say this "common standard Number 18" ya UDHR is common and standard to all? Je Muslim world wanaweza kuipokea kama standard of Achievements? Je huyu aliyebadili dini atahesabika kama aliefanya tendo la UTU kwa jamii aliyopo (kwake mwenyewe linaeza kuwa hivyo).....

      Nakumbuka wale ndugu walisema (bila shaka kumbukumbu zangu ni sahihi) kuwa hizi UDHR lengo lake ni kupeleka "u-magharibi" na Ukristo kwenye Muslim World!....And it is the same thing tunachoongelea mfano kwenye Ushoga kuwa hawa ndugu zetu wa magharibi, kwa kutumia mgongo wa "haki za binadamu", wanataka kutulizimisha kufuata "u-magharibi" wao na kukubaliana na suala la ushoga....

      Kwa hiyo utagundua jambo kama hili ni gumu...Yes they call them Common Standards lakini utaona kwa case kama hii they are not common and standards to others while to others, Yes they are

      What might be rational to you might not necessarily be rational to others

      Unconclusively
      , Utu unaweza kutuchukua miaka 100 kutafuta common definition but "it just take a second to live it"
      Last edited by Cathode Rays; 4th December 2011 at 21:54.
      Azimio Jipya likes this.
      "Football.....bloody hell" - SAF, 2009.....You will be sorely missed

    23. #200
      Azimio Jipya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Location : Universal Space Station
      Posts : 3,281
      Rep Power : 5414
      Likes Received
      1006
      Likes Given
      1731

      Default Re: Nini hasa maana ya utu?

      Quote By Cathode Rays
      ... Unconclusively, Utu unaweza kutuchukua miaka 100 kutafuta common definition but "it just take a second to live it"

      Nakubali!
      The best statement ever!!

      @ Gaijin.... Nataka nisikie Gaijin ansemaje ... Akikubali hata kwa 2% .. I count the discussion closed!!
      Gaijin likes this.
      Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
      "Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.


    Page 10 of 15 FirstFirst ... 89101112 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Nini maana hasa ya neno upendo
      By Bazazi in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 2
      Last Post: 5th September 2011, 15:46
    2. ni nini maana hasa ya kuwa na serikali tatu??
      By mwanakazi in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 2
      Last Post: 6th May 2011, 08:09
    3. CCM kujivua ghamba ni nini maana yake hasa?
      By Byendangwero in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 6
      Last Post: 11th April 2011, 11:25

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...