Nimekuwa nikifuatilia matangazo ya TBC1 wamekuwa wapenzi sana wa wa kutumia neno habari mpasuko. Sijui wamepata wapi kiswahili hiki? Nionavyo kuna makosa. Ilipaswa watumie 'Habari motomoto'. Hawapaswi kutumia tafsiri sisi kwa neno hilo.
Nimekuwa nikifuatilia matangazo ya TBC1 wamekuwa wapenzi sana wa wa kutumia neno habari mpasuko. Sijui wamepata wapi kiswahili hiki? Nionavyo kuna makosa. Ilipaswa watumie 'Habari motomoto'. Hawapaswi kutumia tafsiri sisi kwa neno hilo.
bora wangesema habari zilizovunjika
Dah! Mhhhh!!!!???
Mimi nadhani wangetumia neno "Habari mpya!!" tatizo lao wameona wanatafsiri neno moja moja.
I'M NOT SAYING ISLAM ARE STUPID..I'M JUST SAYING SOME OF THEM DON'T HAVE LUCK WHEN IT COMES TO THINKING!!
breaking news ni "HABARI TIKISO".mia
Mimi nafikiri wangesema habari mpya kwani breaking news ni ile ambayo haikupangiliwa ila imetokea kama tukio la ghafla na lina umuhimu kwa jamii
MFUNGWA HACHAGUI GEREZA
nafikiri tafsiri sahihi ni habari zilizojiri/iliyojiri
Habari qabambe!
habari zilizo vunjikavunjika!
kuna media moja hupenda kusema "Habari zilizotufikia hivi punde" binafsi ningesema habari zilizotufikia ghafla!
Tafsiri nzuri mimi naona ni 'habari zinazoingia sasa hivi'. Kusema habari mpasuko ni kutafsiri neno kwa neno kitu ambacho wakati mwingine hupotosha maana.
Nina mashaka na hao wataalamu wao wa lugha hapo TBC. Siyo kila kitu lazima kitafsiriwe neno kwa neno.
Miafrika Ndivyo Tulivyo.
Follow Us Here