Mimi Mama wawili (naamini na wengine wengi) nina nia sana ya kujifunza na kuboresha uwezo wangu wa kutumia Lugha ya Kiingereza. Nimeomba ushauri na nimepata jibu kuwa kuna washiriki wengi hapa...
Nimeona kuna haja ya kuanzisha uzi huu ili kusaidia watu kujua virefu vya maneno mafupi tunayokutana nayo. Hii ni baada ya kusoma uzi mmoja na mtu kuuliza nini maana ya LED!
LED - Light Emitting...
Mambo vipi waungwana,naomba kama kuna mtu ana Dictionary ya kiingereza yaani English to Swahili au Swahili to English anisaidie nilikuwa nayo kwenye Computer yangu baada ya kui-format imekuwa kati...
Salaam, Shalom!!
Tukiwa msibani , kumeibuka ubishi hapa, Kuna watu wamegoma kabisa kulitumia Jina "MWENDAZAKE", kama lilivyotumika msiba wa Magu, Jina linalotumika kumtambulisha Mzee wetu...
Usaini mkataba, upewe mengi manoti,
Tupe mgodi wa shaba, wenye ya kudumu hati,
Masharti yote saba, yapite kimkakati,
Saini hu mkataba, upewe mengi manoti.
Utalindwa kisiasa, mkataba kisaini...
Yamebainika mengi sana leo, kwenye kumbukumbu ya kifo cha Rais wa Tanzania awamu ya 5.
Tusirudie yaliyosemwa, bali ninataka kujua asili ya Neno Amirati na labda na aliyelipendekeza kwamba ndio...
Amir, meaning "prince," "commander," and "leader," is a male name of Arabic origin. For followers of Islam, Amir is a significant name that enjoys evergreen popularity across the globe. It
Huu ni uzi maalum kwa ajili ya kurekebisha makosa ya uandishi wa maneno na sarufi katika lugha za Kiswahili na Kiingereza.
Nitaanza na maneno ya kiingereza chart na chat.
Mara nyingi watu...
Lugha ya Ishara ni lugha ya kuona ambayo hutumia mikono, mwili na mienendo ya uso kusiliana. Kuna zaidi ya lugha ya ishara 135 ulimwenguni kote, na karibu asilimia 20 ya idadi ya watu duniani wana...
Yaani hii nchi MTU anayejua kiingereza ndo MTU anayekubalika Kama msomi.
Inafikirisha Sana hili jambo. Tunapima level ya intelligent kwa kuangalia lugha.
NB: Vijana jifunzeni kiingereza ili...
Nimekua nikipata tabu sana kujua maana ya maneno mengi ya kiswahili na nikisearch google siyapati napata mitandao ya nje kama wikipedia wakitafsiri ambayo mara nyingi siwaamini kulingana na aina...
1. Naanza ona mikasa, yawezaleta balaa,
Viongozi wengi tasa, kwa hoja zisizo zaa,
Hasa kwa Wana siasa, wao ni kama tabia,
Wajifanya ni matasa, wafanyacho wakijua.
2. Ni kutafuta majanga, kuvunja...
Habari za wakati huu wadau!
Natambua uwepo wa watu wenye asili ya kabila maarufu pale mkoani mbeya yaani Wanyakyusa.
Kutokana na mihangaiko ya maisha wengi wetu tumejikuta tumekosa fursa ya...
1. Mgeni siku ya kwanza,
mpe mchele na panza,
mtilie kifuuni,
mkaribishe mgeni.
2. Mgeni siku ya pili,
Mpe maziwa na samli,
Mahaba yakizidia,
Mzidishie mgeni.
3. Mgeni siku ya tatu,
Nyumbani...
Adhabu ya kaburi aijua maiti, The touture of the grave is only known by the corpse
Akiba haiozi, A reserve will not decay
Asifuye mvuwa imemnyea. He who praises rain has been rained on.
Akili...
Namkumbuka Rais Mwinyi kwa mengi, moja wapo ni pale alipoanzisha kipindi chake cha kiswahili RTD (Radio Tanzania Dar es salaam). Moja ya somo alilofundisha lilihusu tarakimu. Alisema, "katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.