Jukwaa la Historia

  • Sticky
Leo ni miaka 23 tangu Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine atutoke ghafla na kuacha simanzi na wingu la huzuni. Siku ile ya machozi na majonzi imebakia katika kumbukumbu za Watanzania wengi kama...
20 Reactions
684 Replies
156K Views
  • Sticky
Mengi yamesemwa kuhusu Mzee wetu huyu na sisi tuliokuwa shuleni wakati ule tulilishwa kile ambacho naamini ni sumu. Wakubwa tuelimisheni ukweli kuhusu Mzee huyu. Oscar Kambona Kambona, the man...
23 Reactions
1K Replies
284K Views
  • Sticky
Mwalimu (RIP)Baba Wa Taifa Hili, na Mkewe Mama Maria Wakuu Wote Jamii Forums, Heshima mbele! Katika hiki kipindi cha mapumziko nimeona sio vibaya tukijikumbusha historia yetu ya taifa katika...
19 Reactions
2K Replies
490K Views
  • Sticky
Watu wanasahau tu ila Museveni ni mtu mbaya sana! Inadaiwa kuwa sumu iliyopaswa imuue moja kwa moja baada ya kutoka kwenye ziara pale Kilwa Road kwenye sabasaba, hatimaye ikammaliza daktari wa...
88 Reactions
2K Replies
517K Views
  • Sticky
Mwaka 1964 siku thelathini baada ya uhuru wa bandia wa Zanzibar, wanamapinduzi kumi na nne wakiongozwa na mpigania uhuru John Okello aliwaongoza kwenye mapinduzi ya Zanzibar yaliyokuwa na umwagaji...
38 Reactions
897 Replies
227K Views
  • Sticky
Habari za kuaminika zinadai kuwa Kiongozi Mkuu wa Libya Muammar Gaddafi amekalia kuti kavu, habari zinasema kuwa hali iliyofikia hairudi tena nyuma, nae atakurupushwa na kung'olewa kama shina la...
10 Reactions
8K Replies
668K Views
  • Sticky
Hapa Nyerere akiikosoa Uingereza pia Hapa Nyerere akizungumzia Rhodesia Heheheeee Nyerere bana....kanifurahisha hapo aliposema 'jitu zima' hahahahaaaa. Nyerere na Mandela wakizungumza na...
78 Reactions
636 Replies
176K Views
MTAA WA ALI MWINYI TAMBWE Mtaa huu uko Kinondoni Block 41. Nani huyu Ally Mwinyi Tambwe? Ana mchango gani katika historia ya Tanzania? Ally Mwinyi picha yake ya zamani kabisa katika picha zake...
1 Reactions
8 Replies
455 Views
KUMBUKUMBU YA RAMADHANI 7: FUTARI KWA AZIZ ALI MTAA WA MBARUKU NA CONGO 1940s Aziz Ali alikuwa tajiri na akaupamba utajiri wake kwa ukarimu. Yeye alikuwa mjenzi wa majumba na alikuwa akimjengea...
2 Reactions
1 Replies
260 Views
MJADALA WA WACHANGIAJI M1 JF Jukwaa la Historia 2013 Yericko Nyerere (pichani) miaka 11 iliyopita alifungua uzi JF kwa nia ya kupinga historia ya uhuru wa Tanganyika kama nilivyoieleza katika...
6 Reactions
75 Replies
1K Views
TAAZIA: NINAVYOMKUMBUKA DADA YANGU HAKI HANYA (MRS. HAKI KILOMONI) Haki mimi ni dada yangu. Napata akili namuona Haki na marehemu dada yangu Mengi mashoga, wote wanasoma chuo cha Shariff...
0 Reactions
12 Replies
565 Views
ABUU, ISHAKA MARANDE NA YAKUB "GOWON" MBAMBA Mazishi hapa Dar es Salaam yamekuwa mahali pa kuwakutanisha watu ambao hawajaonana miaka mingi sana. Ilikuwa leo mchana Masjid Nur Magomeni...
0 Reactions
9 Replies
222 Views
Tangu nipo shule ya msingi tulikuwa tunaaminishwa kwamba Mwl Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikuwa tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kuwa kuna watu...
129 Reactions
2K Replies
167K Views
Nimesoma maandiko ya ndugu yangu Mohamed Said aliyoyaweka katika kitabu chake akiitacho Historia ya Uhuru upande wa Pili. Katika maandishi yake ameonyesha wazi kulazimisha dunia iamini kuwa...
105 Reactions
18K Replies
1M Views
Hii ni vita iliyojulikana kama July War au 2006 Lebanon war unakuwa hujakosea kabisa, vita hii ilichukua takribani siku 34 tu, ni muda mchache tu, lakini kuna mengi ya kufahamu juu ya hii vita...
43 Reactions
341 Replies
35K Views
Ukishasikiliza mazungumzo ya Mwalimu Nyerere katika hiyo video hapo juu sasa soma Hotuba yake aliyotoa Bungeni tarehe 10 Desemba, wakati Tanganyika inakua jamuhuri mwaka wa 1962. Hotuba ya...
21 Reactions
399 Replies
20K Views
Mwezi Novemba mwaka 2014 Paul Makonda aliongoza kikundi cha kuvuruga mkutano wa Katiba wa Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Katiba pale Ubungo Plaza. Alimkunja na kumburuza kama mhalifu. Hatukusikia...
0 Reactions
1 Replies
104 Views
Soloist International Mbaraka Mwinshehe Mwaruka. 1970 aliporudi kutoka Expo akakuta maneno Dar es Salaam kuwa Morogoro Jazz imependelewa kuchaguliwa kwenda Osaka. Mbaraka akawaambia wenzake kuwa...
5 Reactions
18 Replies
9K Views
ZANZIBAR NA LAMU ZINAVYOFANANA Picha hiyo ya punda kabeba mizigo ni kwa hisani ya Abuu Shani. Picha hii nimeipenda na imenikumbusha mara hyangu ya kwanza kufika Lamu mwaka wa 2007. Nilikwenda...
5 Reactions
16 Replies
581 Views
Utangulizi Aziz Ali alifariki mwaka wa 1950 miezi michache baada ya kutoka kuhiji Makka. Hata kwa mbali katika maisha yake haikumpitikia kuwa mali aliyoacha nyuma itakuja kutumika katika...
15 Reactions
59 Replies
15K Views
Leo katika historia April 7: Undani wa hayati abeid amani karume kuzaliwa mpaka kifo Bwana Abeid Amani Karume muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar alizaliwa katika kitongoji cha Pongwe, Mudiria ya...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Adam Sapi Mkwawa alishika Uspika mara mbili, kwa anayejua kwa nini atusaidie. Erasto Andrew Mbwana Mang'enya alishika miaka 2 tu baadae Adam akaja kushika tena.
1 Reactions
4 Replies
151 Views
SANI ABACHA, MBABE WA MAPINDUZI NIGERIA, UTAWALA WAKE ULIGUBIKWA NA UFISADI, MAUAJI,UKATILI NA UKIUKAJI MKUBWA WA HAKI ZA BINADAMU: LAKINI NI KIPINDI CHAKE NIGERIA ILISHUHUDIA MAGEUZI MAKUBWA YA...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Mwishoni mwa miaka ya 1800 hadi miaka ya 1900, Wamarekani Weupe na Wazungu walitumia Waafrika kuunda "Zoo za Wanadamu" katika miji kama Paris, Hamburg, Antwerp, Barcelona, London, Milan, Warsaw...
0 Reactions
6 Replies
279 Views
Tulipoishia ni pale mzee soni kuona moto ukipamba sana katika nyumba ya justin (Raia)..saidia jman mwanga maji,”lete maji”mungu jamn maindra Justin alishangwaza sana na moto hule umetokea...
0 Reactions
0 Replies
61 Views
Tafsiri ya kitabu The Autobiography of Malcom X. Unaweza kukisoma ndani ya Maktaba app. Muandishi: Malcom X(Alex Haley), 1965. Mtafsiri: Pictus Publishers ltd Email...
10 Reactions
140 Replies
11K Views
Napenda kujua ni kwa namna gani wajerumani walitumia kuyapa majina haya maeneo ya Tanganyika enzi za ukoloni majina ya kijerumani? German placenames Most place names in German East Africa...
9 Reactions
20 Replies
4K Views
Back
Top Bottom