Prof mukandara makamu mkuu wa udsm amekiri kuwa kiwango cha elimu ktk chuo hicho kimeshuka kutokana na maandalizi duni ya wanafunzi wanaodahiliwa!huku jk atamba kujenga vyuo vikuu kila kanda jee hili suala la elimu bora hawaoni kuwa ni tatizo?
Prof mukandara makamu mkuu wa udsm amekiri kuwa kiwango cha elimu ktk chuo hicho kimeshuka kutokana na maandalizi duni ya wanafunzi wanaodahiliwa!huku jk atamba kujenga vyuo vikuu kila kanda jee hili suala la elimu bora hawaoni kuwa ni tatizo?
Source please.
Watetezi wa UDSM wako wapi?
Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.
This does not need a source pls!
Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala
Follow Us Here