Habari wasomi wote wa jf.
Nachukua kozi ya uhasibu. Natakiwa kuchagua masomo mawili kati ya haya.
1.organizational behaviour
2.money and capital markets.
3. Public sector accounting and reporting.
Mnanishaurije?
Natanguliza shukrani.
Habari wasomi wote wa jf.
Nachukua kozi ya uhasibu. Natakiwa kuchagua masomo mawili kati ya haya.
1.organizational behaviour
2.money and capital markets.
3. Public sector accounting and reporting.
Mnanishaurije?
Natanguliza shukrani.
Kama unachukua a/ccountancy.bac chagua org behavior§capital m§money mark.inakupa uzoefu wa ziada kuliko kuzama kwanye vitu vinavyo relate kama co subjects kama acc
Follow Us Here