Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: kama kuoga ni usafi kwa nini taulo huchafuka?

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      gongotamu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 20
      Rep Power : 440
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default kama kuoga ni usafi kwa nini taulo huchafuka?

      habari wana jf. naombeni msaada wa kitaalamu kuhusu usafi wa mwili. huwa najiuliza sana. kama kuoga ni usafi, taulo huchafuliwa na nini? watalaam wa afya watupe majibu ya kitalaam


    2. #2
      X-PASTER's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Firdaws (Paradise)
      Posts : 11,864
      Rep Power : 7692
      Likes Received
      1479
      Likes Given
      0

      Default Re: kama kuoga ni usafi kwa nini taulo huchafuka?

      Hapo ni mambo mawili aidha ujakoga vizuri, au wakati mwingine kile unacho kiona kuwa ni uchafu kwenye taulo lako ni dead skin.
      “I am the punishment of God... If you had not committed great sins, God would not have sent a punishment like me upon you.”

      'O Allah! Keep me alive as long as life is better for me, and let me die if death is better for me.

      (¯`·._.•X-Paster™•._.·´¯)


    3. #3
      Utingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Location : Lyazumbi
      Posts : 4,482
      Rep Power : 1461
      Likes Received
      614
      Likes Given
      416

      Default Re: kama kuoga ni usafi kwa nini taulo huchafuka?

      Quote By X-PASTER View Post
      Hapo ni mambo mawili aidha ujakoga vizuri, au wakati mwingine kile unacho kiona kuwa ni uchafu kwenye taulo lako ni dead skin.
      mkuu ina maana wewe hufui taulo lako? kama unafua uchafu unatoka wapi ilhali umeoga ili uwe safi?

      I think ni kwa sababu tu tumeumbwa kutoka kwa udongo (aacording to the Bible) and our bodies emmits uchafu 24hrs a day.
      Without justice – Government is nothing but a band of robbers

    4. #4
      X-PASTER's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Firdaws (Paradise)
      Posts : 11,864
      Rep Power : 7692
      Likes Received
      1479
      Likes Given
      0

      Default Re: kama kuoga ni usafi kwa nini taulo huchafuka?

      Quote By Utingo View Post
      mkuu ina maana wewe hufui taulo lako? kama unafua uchafu unatoka wapi ilhali umeoga ili uwe safi?

      I think ni kwa sababu tu tumeumbwa kutoka kwa udongo (aacording to the Bible) and our bodies emmits uchafu 24hrs a day.
      Soma vizuri nilicho andika!
      “I am the punishment of God... If you had not committed great sins, God would not have sent a punishment like me upon you.”

      'O Allah! Keep me alive as long as life is better for me, and let me die if death is better for me.

      (¯`·._.•X-Paster™•._.·´¯)


    Similar Topics

    1. kuoga??
      By Jestina in forum JF Chit-Chat
      Replies: 15
      Last Post: 8th November 2011, 22:23
    2. Kuoga
      By papag in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 22
      Last Post: 22nd February 2011, 02:08
    3. Replies: 0
      Last Post: 6th February 2011, 20:09
    4. Tabia Zetu na Usafi: Najisi ni nini?
      By Steve Dii in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 4
      Last Post: 22nd October 2008, 21:22

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...