Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ikulu hawajui Kiswahili fasaha?

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,617
      Rep Power : 2004
      Likes Received
      1643
      Likes Given
      1615

      Default Ikulu hawajui Kiswahili fasaha?

      Jana wkati taarifa ya uteuzi ya wabunge watatu iliyotoka Ikulu,
      kuna kitu kimenishangaza.
      Hivi lugha iliyotumika hapo chini ni sahihi? au Ikulu hawajui kiswahili?




      MWISHO
      Imetolewa na Premi Kibanga,
      Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi,
      Ikulu.
      Dodoma
      17 Novemba, 2010

      Hapo kwenye red ndipo ningeomba kuelimishwa.
      Hapo mwandishi anakusudia kutueleza kuwa yeye ni raisi msaidizi au ni mwandishi wa raisi msaidizi (means yupo rais msaidizi) kama alikusudia kutueleza yeye ni mwandishi msaidizi wa raisi alipaswa kuandika hivyo alivyoandika??
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    2. Miaka 50

    3. #2
      Shadow's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2008
      Posts : 2,003
      Rep Power : 962
      Likes Received
      147
      Likes Given
      102

      Default Re: Ikulu hawajui Kiswahili fasaha?

      Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi


      anamaanisha kwamba yeye ni mwandishi wa Rais Msaidizi .... Who knows kila kitu kinawezekana Tanzania!
      Hasta ala victoria, siempré

      "Forever, Until Victory"

    4. #3
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default Ikulu hawajui Kiswahili fasaha?

      Kiswahili fasaha ni janga la taifa. Kuanzia ikulu, ofisi za serikali hadi vyama vya upinzani.

      Ilani ya uchaguzi ya Chadema ilikuwa na makosa ya Kiswahili yaliyokithiri.

      Sikuisoma ya Cuf lakini naamini hali ilikuwa vivyo. Ya Ccm ndo hayo tunayaona

    5. #4
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,617
      Rep Power : 2004
      Likes Received
      1643
      Likes Given
      1615

      Default Re: Ikulu hawajui Kiswahili fasaha?

      Quote By Shadow


      kitu kinawezekana Tanzania!
      Inasikitisha mno.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    6. #5
      Eng. SALUFU CA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th May 2010
      Location : KIBAMBA KWA MANGI
      Posts : 146
      Rep Power : 488
      Likes Received
      12
      Likes Given
      28

      Default Re: Ikulu hawajui Kiswahili fasaha?

      Sasa unategemea nini kwa wtoto wanaokua sasa, hapohapo watu wataka kiswahili hikihiki kitumike hadi chuoni kufundishia, safari bado ni ndefu, kaaaaazi kwelikweli.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Kituko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2009
      Posts : 3,707
      Rep Power : 1286
      Likes Received
      490
      Likes Given
      173

      Default Re: Ikulu hawajui Kiswahili fasaha?

      ni balaa kabisa maana naona hapo huyo jamaa (Premi Kibanga) yeye ni kama raisi Msaidizi, hii inanikumbusha hizi sentesi

      1) Mke wa kwanza wa Raisi
      2) Mke wa Raisi wa Kwanza

    9. #7
      Nanren's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2009
      Posts : 1,047
      Rep Power : 720
      Likes Received
      363
      Likes Given
      562

      Default Re: Ikulu hawajui Kiswahili fasaha?

      Quote By Ndibalema
      Jana wkati taarifa ya uteuzi ya wabunge watatu iliyotoka Ikulu,
      kuna kitu kimenishangaza.
      Hivi lugha iliyotumika hapo chini ni sahihi? au Ikulu hawajui kiswahili?




      MWISHO
      Imetolewa na Premi Kibanga,
      Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi,
      Ikulu.
      Dodoma
      17 Novemba, 2010

      Hapo kwenye red ndipo ningeomba kuelimishwa.
      Hapo mwandishi anakusudia kutueleza kuwa yeye ni raisi msaidizi au ni mwandishi wa raisi msaidizi (means yupo rais msaidizi) kama alikusudia kutueleza yeye ni mwandishi msaidizi wa raisi alipaswa kuandika hivyo alivyoandika??


      Inachekesha. Lakini nafikiri si tatizo la kutojua kiswahili. Ila ni tatizo la Kiswahili chenyewe. Ni kigumu lakini tunafikiri ni rahisi mpaka tunafanya tafsiri wenyewe kutoka kwenye maneno ya kiingereza. BAKITA nao ndio wamezubaa tu. Kimsingi, hicho cheo cha "Mwandishi wa Rais Msaidizi" ni tafsiri kutoka kwenye Scheme of service ambako kuna (sina uhakika) State House Press Secretary, Assistant Press Secretary, n.k. Sasa wakitengeneza scheme of service ya kiswahili, wanaweka maneno wanayofikiri yanasikika vizuri. Ndio tunaishia na kuwa na Mwandishi wa habari wa Rais Msaidizi. Hiyo ipo kwenye idara nyingi za serikali.

    10. #8
      Chifunanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : the future
      Posts : 288
      Rep Power : 20497
      Likes Received
      26
      Likes Given
      7

      Default Re: Ikulu hawajui Kiswahili fasaha?

      Quote By Gaijin
      Kiswahili fasaha ni janga la taifa. Kuanzia ikulu, ofisi za serikali hadi vyama vya upinzani.

      Ilani ya uchaguzi ya Chadema ilikuwa na makosa ya Kiswahili yaliyokithiri.

      Sikuisoma ya Cuf lakini naamini hali ilikuwa vivyo. Ya Ccm ndo hayo tunayaona
      Gaijin hayo sio makosa ya CCM ni makosa ya Serikali........au kuna kitu sikifahamu unataka kuniambia?
      the more i learn the less i know

    11. #9
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default Re: Ikulu hawajui Kiswahili fasaha?

      Quote By chifunanga
      Gaijin hayo sio makosa ya CCM ni makosa ya Serikali........au kuna kitu sikifahamu unataka kuniambia?
      Ccm ndo ilotuwekea wazembe serikalini bila ya kujali uwajibikaji. Uzembe wa aina hii kwa nchi za wenzetu hamna kwa sababu Chama kinachoongoza serikali hakiwezi kuruhu watu wafanye makosa ya kizembe aina hii.

      Tena Ikulu!

    12. #10
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,617
      Rep Power : 2004
      Likes Received
      1643
      Likes Given
      1615

      Default

      Quote By Gaijin
      Ccm ndo ilotuwekea wazembe serikalini bila ya kujali uwajibikaji. Uzembe wa aina hii kwa nchi za wenzetu hamna kwa sababu Chama kinachoongoza serikali hakiwezi kuruhu watu wafanye makosa ya kizembe aina hii.

      Tena Ikulu!
      Ndio yale yale ya rais kupewa chek ambayo tarakimu ni 2,000,000 lakini maneno ni milioni tatu na rais akakenyua tu.

    13. #11
      Speaker's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2010
      Posts : 6,172
      Rep Power : 4560
      Likes Received
      1997
      Likes Given
      5029

      Default Re: Ikulu hawajui Kiswahili fasaha?

      mh,nadhani alichanganya!
      Mjinga mpe cheo...

    Similar Topics

    1. Nini tofauti ya Kiswahili SANIFU na FASAHA?
      By Konzogwe in forum Jukwaa la Lugha
      Replies: 8
      Last Post: 25th November 2012, 11:12
    2. wahaya mjifunze kiswahili fasaha
      By Raia Fulani in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 16
      Last Post: 21st November 2012, 22:37
    3. Neno 'shangingi' ni kiswahili fasaha?
      By SirBonge in forum Jukwaa la Lugha
      Replies: 6
      Last Post: 3rd July 2011, 15:27
    4. majina ya rangi uzijuazo kwa Kiswahili fasaha
      By Masikini_Jeuri in forum Jukwaa la Lugha
      Replies: 20
      Last Post: 21st May 2010, 22:18
    5. Matumizi fasaha ya maneno ya kiswahili
      By Babu Swahili in forum Jukwaa la Lugha
      Replies: 51
      Last Post: 16th February 2009, 16:49

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...