Tafadhar wana Jf naombeni msaada nahitaji kufahamu uwezo wa shule ya Sangu katika kutoa taaluma bora. Nina mdogo wangu ambaye anatalajia kujiunga na masomo ya kidato cha tano mwakani. Nilimuuliza angependa kusoma shule ipi A'level akanitajia Shule hiyo.

Reply With Quote









Follow Us Here