Wadau, ni shule gani za elimu ya msingi nzuri kitaaluma na kimaadili, hasa za English Medium? Wapi naweza kupata takwimu ya matokeo ya darasa la 7?
Wadau, ni shule gani za elimu ya msingi nzuri kitaaluma na kimaadili, hasa za English Medium? Wapi naweza kupata takwimu ya matokeo ya darasa la 7?
Filbert Bayi Schools - Kimara / Kibaha DSM
" ... wao wana pesa, sisi tuna Mungu ... " (Godbless Lema, MB)
Liberman Pre & Primary (School Mbezi Beach)
canossa primary school tegeta, ni safi kwa maadili pia ada ni reasonable na walikuwa kwenye top 10 darasa la saba na form 4 walikuwa wa pili DSM.
Feza boys nayo ni nzuri kwa maadili.
some people dream of success, while others wake up and work hard at it.
Follow Us Here