WanaJF naomba kuuliza juu ya hiyo kozi tajwa hapo juu itolewayo na ARDHI UNIVERSITY.Ningependa kwa yeyote mwenye uelewa zaidi na kozi hii anisaidie kujua kwa hapa Tanzania ina inauhitaji wa kiasi gani ktk soko la ajira,faida zake,hasara,mishahara yake nk.Unaweza kum recommend mtu akaisome?

Reply With Quote
Hela silaha... Kisu Mzigo 

Follow Us Here