Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: RE:Bsc PROPERTY AND FACILITIES MANAGEMENT.

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Da vincci's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th August 2009
      Posts : 58
      Rep Power : 509
      Likes Received
      7
      Likes Given
      11

      Default RE:Bsc PROPERTY AND FACILITIES MANAGEMENT.

      WanaJF naomba kuuliza juu ya hiyo kozi tajwa hapo juu itolewayo na ARDHI UNIVERSITY.Ningependa kwa yeyote mwenye uelewa zaidi na kozi hii anisaidie kujua kwa hapa Tanzania ina inauhitaji wa kiasi gani ktk soko la ajira,faida zake,hasara,mishahara yake nk.Unaweza kum recommend mtu akaisome?

    2. Miaka 50

    3. #2
      Eng. SALUFU CA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th May 2010
      Location : KIBAMBA KWA MANGI
      Posts : 146
      Rep Power : 488
      Likes Received
      12
      Likes Given
      28

      Default Re: Bsc PROPERTY AND FACILITIES MANAGEMENT.

      fahamu vizuri juu ya hiyo BSc. Ila mimi nimesoma MSc in FAcilities Management itolewayo na Leeds University, it is a good and useful course and pays, kwa hiyo kama umepata iko sawa cha muhimu ni kukaza buti sio unatoka na Gentleman degree halafu unalaumu hamna kazi.

    4. #3
      Mfamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2007
      Posts : 2,884
      Rep Power : 1161
      Likes Received
      286
      Likes Given
      158

      Default Re: Bsc PROPERTY AND FACILITIES MANAGEMENT.

      1. Property management course inadeal na landed property. Yaani majengo. Ukifaulu unaweza kuajiriwa kama Estates Manager A.k.a property manager. Unaweza kuajiriwa kwenye makampuni au mashirika yenye nyumba mfano NHC , PPF, NBC, hata muhimbili hospital.Au unaweza kufungua kampuni yako ukawa unatoa huduma hiyo kwa contract.(Outsourcing concept). hii ina maana kuwa shirika au kampuni inaingia mkataba na wewe umanage majengo yao . To manage property involves several duties few of them are , maintenance, leasing ie. looking for tenants, renting out the properties, collecting rent and solving tenants endless problems etc etc . In short its a too involving job where you interact with varying calibers of people as tenants and varying management teams of various organization you may be working with. Eventually you find yourself dealing with buildings, and lives of people meaning shelter as a necessary human requirement with business in mind (profit)

      2.Katika property management kuna mambo ambayo ukiacha majengo utakutana nayo na ili uweze kukabilina nayo unapaswa kujua facilites management . Hii ni mwendelezo wa property management kwa maana ya majengo ukijumlisha soft servises kama vile mazingira, utilities like power and water, procurement of various goods and services, management of human resources in the organizations departmental and property department in particular, managing contracts, eg cleaning contracts etc etc .Ndio maana inaitwa Property and facilities management.

      3. Course hii inamjenga mwanafunzi katika nyanja nyingi sana .Economics, laws, valuation, environmental, ITC , etc. Zaidi sana inamjenga mtu kuwa mjasiriamali wa ukweli maana yote utakayofanya ni bussiness orieted kwa maana ya kufanya shirika au kampuni itengeneze faida na iendelee kuwepo.

      4. Kama kuna course nzuri hii ni mojawapo .wala usihofu kurecommend kwa yoyote. Ila masomo yake sio marahisi hata kidogo na nafasi za chuo ni chache maana hutolewa na chuo kimoja tuu Tanzania nacho ni Ardhi .Ukitaka maelezo zaidi ni PM au nenda ARU, Lands Department kama uko Dar.

    5. #4
      Mkeshahoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2009
      Posts : 2,251
      Rep Power : 983
      Likes Received
      200
      Likes Given
      786

      Default Re: Bsc PROPERTY AND FACILITIES MANAGEMENT.

      kwa Ulimwengu huu tuliopo hakuna kozi ya ARU isiyolipa!!
      Dive Head first!!
      Hela silaha... Kisu Mzigo

    6. #5
      Da vincci's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th August 2009
      Posts : 58
      Rep Power : 509
      Likes Received
      7
      Likes Given
      11

      Default Re: Bsc PROPERTY AND FACILITIES MANAGEMENT.

      Kila napokua JF najihisi kama nipo nyumbani..i dont know what to say zaidi ya thank u very much indeed..yani haswa umenijibu na kunisaidia vya kutosha..God bless u brother..am goin to take it..

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Mfamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2007
      Posts : 2,884
      Rep Power : 1161
      Likes Received
      286
      Likes Given
      158

      Default Re: Bsc PROPERTY AND FACILITIES MANAGEMENT.

      Quote By Da vincci
      Kila napokua JF najihisi kama nipo nyumbani..i dont know what to say zaidi ya thank u very much indeed..yani haswa umenijibu na kunisaidia vya kutosha..God bless u brother..am goin to take it..
      Any thing you did not understand come back to me. Jifunze kupm mdogo wangu

    9. #7
      Da vincci's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th August 2009
      Posts : 58
      Rep Power : 509
      Likes Received
      7
      Likes Given
      11

      Default Re: Bsc PROPERTY AND FACILITIES MANAGEMENT.

      Quote By Mfamaji
      Any thing you did not understand come back to me. Jifunze kupm mdogo wangu
      Thanx bro but sijakuelewa kupm ni nini?

    Similar Topics

    1. Natafuta kazi/internship property and facilities management
      By Rakeem in forum Nafasi za Kazi na Tenda
      Replies: 1
      Last Post: 24th August 2011, 00:55
    2. Replies: 7
      Last Post: 19th July 2011, 17:03
    3. Inquiry on jamii facilities
      By Lawkeys in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 3rd June 2011, 09:21
    4. Replies: 0
      Last Post: 7th January 2008, 00:06
    5. Muhimbili in acute shortage of staff, facilities
      By Kichuguu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 26
      Last Post: 17th December 2006, 09:13

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...