Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wanafunzi Wavamia Tume ya Vyuo Vikuu - TCU

    Report Post
    Results 1 to 3 of 3
    1. #1
      SuperNgekewa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Posts : 50
      Rep Power : 469
      Likes Received
      3
      Likes Given
      13

      Default Wanafunzi Wavamia Tume ya Vyuo Vikuu - TCU

      WANAFUNZI WAVAMIA TUME YA VYUO VIKUU




      Baadhi wa wanafunzi wakiwa nje ya jengo hilo.

      KUNDI la wanafunzi waliofanya vizuri katika mtihani wa kujiunga na vyuo mbalimbali vya serikali na kupata alama za juu leo wamefurika nje ya Jengo la Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) lililopo Mikocheni jijini Dar es Salaam wakipinga uamuzi wa wenzao waliopata alama ndogo kupatiwa nafasi za kujiunga na vyuo vya serikali na wao kukosa nafasi na kudai uamuzi huo ni wa kuwaonea.



      Askari wa jengo hilo akiinyoosha mkono kuwataka wanafunzi hao kukaa mbali na eneo hilo, amri waliyokataa kuitii.



      Muuza “lamba-lamba” (ice cream) akiwa kwenye mkusanyiko huo kukata kiu ya ‘madenti’ hao.



      PICHA: RICHARD BUKOS NA ISSA MNALLY
      Last edited by SuperNgekewa; 29th September 2010 at 16:40. Reason: Spelling

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      imma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd July 2009
      Posts : 421
      Rep Power : 585
      Likes Received
      15
      Likes Given
      13

      Default Re: Wanafunzi Wavamia Tume ya Vyuo Vikuu - TCU

      TCU sio Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania, Bali ni Ka tume ka VYOO VIKUU TANZANIA. Hawana Hadhi ya kusimamia VYUO Vyetu.

      A question that sometimes drives me hazy: am I or are the others crazy?

    4. #3
      pierre's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Posts : 211
      Rep Power : 485
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Wanafunzi Wavamia Tume ya Vyuo Vikuu - TCU

      Ndio muelewe jinsi jamaa wanavyochakachua hata usaili.Huu ndio mfumo tuliouchagua sisi wenyewe msilalamike.Wakati jamaa walipokupa 5,000/= na tshirt ulifikiri nini.Hao ni wazee wetu waliposhindwa kujua na njaa yao wakauza haki yao.Wanafunzi msiondoke mpaka kieleweke

    5. Miaka 50

    Similar Topics

    1. Wanafunzi vyuo vikuu waongezeka kwa 200%
      By Mwanajamii in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 6
      Last Post: 8th November 2011, 06:25
    2. Replies: 26
      Last Post: 1st September 2011, 23:59
    3. Serikali yaunda tume ya vyuo vikuu • Itachunguza utata wa mikopo ya wanafunzi
      By Rutashubanyuma in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 1
      Last Post: 8th February 2011, 07:31
    4. wanafunzi wa vyuo vikuu (wanawake)
      By Kimbweka in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 40
      Last Post: 20th December 2010, 14:47
    5. Wanafunzi Wavamia Tume ya Vyuo Vikuu - TCU
      By SuperNgekewa in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 2
      Last Post: 29th September 2010, 18:12

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...