Zero 65,000.. Maghembe unatupeleka wapi? - Page 3 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Education, Science & Technology Forums > Jukwaa la Elimu (Education Forum)


Jukwaa la Elimu (Education Forum) Educational discussions in here... If you have some College/School materials and you wanna give them to your fellows pls do that favour to them. Let them get educated here! Become a Member to enjoy more stuffs


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 8th February 2010, 10:32 PM  
Zero 65,000.. Maghembe unatupeleka wapi?
Einstein Einstein is offline 8th February 2010, 10:32 PM

Nimesikitishwa sana na matokeo ya kidato cha nne. Katika matokeo hayo zaidi ya 82% ya wanafunzi waliofanya mtihani, wamepata division zero au four!!!!!! Tunaenda wapi??? Ni lazima tujiulize credibility ya hawa wanaojiita mawaziri wanafanya nini ofisini??

Nilipata kusoma shule moja ya pale Kilimanjaro(Shule ya ufundi). Nilikuwa nasoma ufundi wa umeme (O'level). Kwa kweli nilikuwa nashangazwa sana na utaratibu wa shule hiyo, katika swala zima la ufundi na baadhi ya masomo mengine. Zamani mtu alikuwa akimaliza shule ya sekondari ya ufundi alikuwa anaweza kujiajiri mwenyewe.. Lakini katika kipindi hicho ufundi huo niliosoma mimi swala la masomo kwa vitendo lilikuwa halitiliwi maanani.. Walim walikuwa wakijisifu kwa matokeo mazuri(Theoretically) ambapo wanafunzi hawa katika real life hawana chochote. Wengi waliosoma shule hizo wanaweza kuwa mashahidi kuwa kwa sasa asilimia kubwa ya wanafunzi wanaomaliza shule za ufundi ni empty kabisa, hawana chochote.

Baada ya hapo nilipata kusoma shule moja, wanayoiita ya vipaji. Kiukweli sielewi maana ya huu msemo. Ila huenda wanamanisha shule ni ya vipaji kwa maana zinachukua wanafunzi waliofaulu sana. Walimu wengi katika shule hizo hawana uwezo, mpango-mkakati wa kumjenga mwanafunzi kuwa CREATIVE. Hawana utaalamu wa kisaikolojia wa kumjenga mwanafunzi ili nae aweze ku-reason mambo.. HAKUNA!!

Wanafunzi wengi wanaofanya vizuri, wanaotoka shule za serikali, wengi wao hujihangaikia wenyewe na kwa kusoma vitabu vya kutosha na twisheni ili waweze kuelewa mambo mbalimbali.. Kuna wakati mpaka wanafunzi wanaelewa mambo mpaka wanamzidi hadi mwalimu anaewafundisha ( Maana walimu wengi hawana vipaji vya kufundisha).

Tanzania ni moja ya nchi isiyojali wasomi kwa kuwaacha wakijihangaikia wenyewe bila angalau ya kuwapa sapoti ya aina yoyote. Kwa mtoto wa maskini, hawezi hata kununua vitabu vizuri wala ya kulipa twisheni, ili aweze kujisomea ili afikie malengo yake.. Na wala haina taim nao, kwa maana, serikali inaona kuwa usomi ni swala lisilo na tija kwa taifa hili, bali siasa za kifisadi ndizo zenye tija..

Naomba mwongozo:Kuna haja gani ya kuwa na majengo kibao ya shule, baadhi yaliyojengwa kwa kunyang'anya kuku na mbuzi wa wananchi, wakati walimu wa kutosha hakuna?? Ni bora kuwe na mwalimu makini anaewafundisha wanafunzi chini ya mti, kuliko kuwa na majengo ambayo wanafunzi wake wanafundishwa na ubao mweusi.

Ndg. Majembe asimame sasa, atueleze kwamba mwaka huu katuzawadia zero 65,700. Anatupeleka wapi?? Mipango iko wapi?? Je, ndo kusema wanaongeza wajinga ili watutawale milele?? KWA NINI SERIKALI YA TANZANIA HAMJALI ELIMU??? Ingekuwa ni nchi zenye adabu, waziri huyu angejiuzulu mara moja, au Rais angempa adabu yake! Ila kwa sababu bongo ni TAMBARARE, anapeta tu na kodi za wananchi na wala hana shida.. Inasikitisha!!

Wenzetu wa amerika na ulaya wanawaza jinsi ya kugundua vitu vizito na vyenye technolojia ya hali ya juu, SISI TUNAKAA KUJADILI JINSI YA KUPUNGUZA ZERO, Mmmh!! Huu ni upuuzi.. Haya mambo ya ajabu kabisa.

Lazima watanzania tukae chini tujifikirie kuwa, Mfumo wetu huu wa elimu utatufikisha?? Wasomi wa Tanzania wanatapatapa tu huko duniani wanatafuta elimu, ingawa cha kusikitisha serikali yao haiwajali! Kama hatutakaa chini na kujipanga upya juu ya swala la elimu, basi hakuna sababu ya akina MKURABITA wala MKUKUTA, Maana yatupasa kuandika maumivu kuwa, sisi ni MASKINI MILELE..

SO SAD!!
Nawakilisha

Einstein
Member
Points: 59,642, Level: 100 Points: 59,642, Level: 100 Points: 59,642, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
Join Date: Sat Dec 2009
Posts: 31
Thanks: 0
Thanked 14 Times in 7 Posts
Views: 623
Reply With Quote
The Following 6 Users Say Thank You to Einstein For This Useful Post:
bht (9th February 2010), carmel (9th February 2010), Joel (9th February 2010), Lekanjobe Kubinika (9th February 2010), Next Level (10th February 2010), PatPending (9th February 2010)
  #21  
Old 10th February 2010, 08:10 AM
Masikini_Jeuri's Avatar
Masikini_Jeuri Masikini_Jeuri is offline
Masikini_Jeuri believes that MEN were wired differently
JF Senior Expert Member
Points: 93,432, Level: 100 Points: 93,432, Level: 100 Points: 93,432, Level: 100
Activity: 53% Activity: 53% Activity: 53%
 
Join Date: Tue Jan 2010
Location: Igangidung'u
Posts: 918
Thanks: 2,093
Thanked 256 Times in 204 Posts
Rep Power: 22
Masikini_Jeuri will become famous soon enoughMasikini_Jeuri will become famous soon enoughMasikini_Jeuri will become famous soon enoughMasikini_Jeuri will become famous soon enoughMasikini_Jeuri will become famous soon enoughMasikini_Jeuri will become famous soon enoughMasikini_Jeuri will become famous soon enoughMasikini_Jeuri will become famous soon enough
Default Re: Zero 65,000.. Maghembe unatupeleka wapi?

65000 ziros!

Hili ni shimo ambalo hatukaa tulizibe tukiendelea na mtindo huu!
__________________
"No matter how far down the wrong road you've gone, TURN BACK."
Reply With Quote
  #22  
Old 10th February 2010, 02:07 PM
Lubaluka Lubaluka is offline
Lubaluka In God We Trust
Member
Points: 61,693, Level: 100 Points: 61,693, Level: 100 Points: 61,693, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon May 2009
Posts: 43
Thanks: 2
Thanked 3 Times in 2 Posts
Rep Power: 0
Lubaluka will become famous soon enoughLubaluka will become famous soon enoughLubaluka will become famous soon enoughLubaluka will become famous soon enoughLubaluka will become famous soon enoughLubaluka will become famous soon enoughLubaluka will become famous soon enoughLubaluka will become famous soon enough
Default Re: Zero 65,000.. Maghembe unatupeleka wapi?

Inakatisha tamaa kwa kweli. Serikali ilitilia nguvu ujenzi wa shule za kata na kusahau walimu wenye taaluma watatoka wapi, sasa mijengo ipo pasipo walimu wenye taaluma. Ni bora kabisa kuwepo na walimu wenye taaluma na kufundishia chini mbuyu kuliko walimu wa UPE kufundishia mijengoni.... tunaenda wapiiiiiiiii TZzzzzzzz !!!!
Reply With Quote
  #23  
Old 10th February 2010, 06:28 PM
Mijicho Mijicho is offline
Mijicho has no status.
Member
Points: 67,155, Level: 100 Points: 67,155, Level: 100 Points: 67,155, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue Jan 2009
Posts: 21
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power: 0
Mijicho will become famous soon enoughMijicho will become famous soon enoughMijicho will become famous soon enoughMijicho will become famous soon enoughMijicho will become famous soon enoughMijicho will become famous soon enoughMijicho will become famous soon enoughMijicho will become famous soon enough
Default Re: Zero 65,000.. Maghembe unatupeleka wapi?

Tatizo ni wale wenye kutoa maamuzi ya msingi kuhusu mwelekeo wa elimu,ni wazi katika karne hii ya sci& tech lazima kuwe na watu wenye mitizamo na muelekeo huo,jinsi ya kufundisha,vifaa vya kufundisha,ni nini unafundisha,watu unaowafundisha,walimu wenyewe,mazingira yao,kipato chao,vyuo etc.Kwa sasa ni kama hamna direction kiukweli.kibinafsi sijawahi sikia katika historia shule kama ilboru inakuwa na zero na div nyingi kama this time
Reply With Quote
  #24  
Old 10th February 2010, 06:35 PM
tgeofrey tgeofrey is offline
tgeofrey Universal Virtual University Founder - World's Supper Solvent Versity
JF Senior Expert Member
Points: 121,004, Level: 100 Points: 121,004, Level: 100 Points: 121,004, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Tue Jan 2008
Posts: 527
Thanks: 43
Thanked 29 Times in 23 Posts
Rep Power: 24
tgeofrey will become famous soon enoughtgeofrey will become famous soon enoughtgeofrey will become famous soon enoughtgeofrey will become famous soon enoughtgeofrey will become famous soon enoughtgeofrey will become famous soon enoughtgeofrey will become famous soon enoughtgeofrey will become famous soon enough
Default Re: Zero 65,000.. Maghembe unatupeleka wapi?

Walimu wananjaa , hawana nyumba za kuishi unategemea nini
Reply With Quote
  #25  
Old 10th February 2010, 07:48 PM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is offline
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,559
Thanks: 386
Thanked 531 Times in 325 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: Zero 65,000.. Maghembe unatupeleka wapi?

.....ukipitia ile website ya NECTA then ukajaribu kuangalia randomly matokeo....unaweza ukalia kama kweli ni mzalindo wa TZ.......! mi nadhani ni more than 82% wamepata div zero na four! hata wachache waliopata div 3 combinations za waliowengi zinagoma?

What are we doing to end this? kwa nini hawa mawaziri bado tunawachekea tuuuuuu.....? can't we do something for our young brothers' future?
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #26  
Old 10th February 2010, 09:23 PM
eddy eddy is offline
eddy has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 82,696, Level: 100 Points: 82,696, Level: 100 Points: 82,696, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Wed Dec 2007
Posts: 348
Thanks: 0
Thanked 5 Times in 5 Posts
Rep Power: 23
eddy will become famous soon enougheddy will become famous soon enougheddy will become famous soon enougheddy will become famous soon enougheddy will become famous soon enougheddy will become famous soon enougheddy will become famous soon enougheddy will become famous soon enough
Default Re: Zero 65,000.. Maghembe unatupeleka wapi?

Sasa ndo tumeelewa kwa nini ex-dc mnali na Makweta walikuwa sahihi!

Wakati fulani waziri makweta alishauri watoto wanaopata div zero wafikishwe mahakamani kwa uzembe na kuisababishia hasara serikali, nadhani niwakati mwafaka kulifanyia kazi hili wazo.

Kwaupande wa walimu nashauri uanzishwe mpango wa "performance contract" mwalimu atakaefelisha afutwe kazi na ikiwezekana apandishwe kizimbani kwa kuisababishia serikali hasara kwani kalipwa mshahara ili afundishe kazi ambayo hakuitimiza. Walimu wengi vijijini wanachukua mikopo NMB na kununua pikipiki then wanaanza kazi ya kubeba abiria na kusahau majukumu yao.

Madc wapewe jukumu la kufatilia mahudhuio ya walimu na wapewe mamlaka ya kuwafuta kazi watumishi wa umma walevi wazururaji na watoro.

Uwekwe mpango wa kutenganisha majukumu ya utawala na taaluma kwani walimu wakuu sasa wamekuwa "supplies officers" kutwa nzima wako na Quotation kwenye mikoba watasimamia taaluma saa ngapi?
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to eddy For This Useful Post:
epigenetics (12th February 2010)
  #27  
Old 12th February 2010, 07:59 PM
mtatifikolo mtatifikolo is offline
mtatifikolo has no status.
Member
Points: 78,960, Level: 100 Points: 78,960, Level: 100 Points: 78,960, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Sat Feb 2008
Location: Arusha
Posts: 36
Thanks: 2
Thanked 11 Times in 7 Posts
Rep Power: 0
mtatifikolo will become famous soon enoughmtatifikolo will become famous soon enoughmtatifikolo will become famous soon enoughmtatifikolo will become famous soon enoughmtatifikolo will become famous soon enoughmtatifikolo will become famous soon enoughmtatifikolo will become famous soon enoughmtatifikolo will become famous soon enough
Default Re: Zero 65,000.. Maghembe unatupeleka wapi?

Hii batch ndio wale wa darasa la saba 2005. Mwaka huo asilimia 62 (kama 400,000) kati ya watihaniwa 700,000 walifaulu. Kwahiyo mwaka huo kuna kama vijana 300,000 walioachwa nyuma (walifeli). Sasa basi, wale 400,000 waliofaulu na kuendelea na O level, ndio matokeo yao tumeyaona majuzi na kati yao wengine ndio wameachwa nyuma. Walioachwa ni 200,000 ambao wamepata daraja la 4 na 0. Ukijumlisha hawa wa kidato cha nne mwaka 2009, na wenzao kiumri ambao walifeli darasa la saba 2005, jumla tuna kama vijana laki 700,000 nchini kwa sasa ambao system ya elimu ya Tanzania imewashinda.

Hypothetically, tunaweza kusema kuna vijana kama Laki Saba wenye umri kati ya 16-19 ambao academically ni failures. This is easily 2% of Tanzania's population.

Sasa, kila mwaka tukiwa tunafelisha wanafunzi, baada ya miaka kumi nchi yetu itakuwa inazidi kuwa ni nchi ya wasio na elimu ya kutosha. Imagine tukiendelea na rate hii hii ya vijana kufeli mitihani, huko mbele tutapata kweli nguvu kazi ya kutusaidia kusonga?
Reply With Quote
The Following 2 Users Say Thank You to mtatifikolo For This Useful Post:
epigenetics (12th February 2010), vitendo (12th February 2010)
  #28  
Old 12th February 2010, 08:32 PM
epigenetics epigenetics is offline
epigenetics has no status.
Senior Member
Points: 154,390, Level: 100 Points: 154,390, Level: 100 Points: 154,390, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sun May 2008
Location: the Hague, Holland
Posts: 122
Thanks: 17
Thanked 20 Times in 10 Posts
Rep Power: 22
epigenetics will become famous soon enoughepigenetics will become famous soon enoughepigenetics will become famous soon enoughepigenetics will become famous soon enoughepigenetics will become famous soon enoughepigenetics will become famous soon enoughepigenetics will become famous soon enoughepigenetics will become famous soon enough
Default Re: Zero 65,000.. Maghembe unatupeleka wapi?

Quote:
View Post
Sasa ndo tumeelewa kwa nini ex-dc mnali na Makweta walikuwa sahihi!
Wakati fulani waziri makweta alishauri watoto wanaopata div zero wafikishwe mahakamani kwa uzembe na kuisababishia hasara serikali, nadhani niwakati mwafaka kulifanyia kazi hili wazo.
Kwaupande wa walimu nashauri uanzishwe mpango wa "performance contract" mwalimu atakaefelisha afutwe kazi na ikiwezekana apandishwe kizimbani kwa kuisababishia serikali hasara kwani kalipwa mshahara ili afundishe kazi ambayo hakuitimiza. Walimu wengi vijijini wanachukua mikopo NMB na kununua pikipiki then wanaanza kazi ya kubeba abiria na kusahau majukumu yao.

Madc wapewe jukumu la kufatilia mahudhuio ya walimu na wapewe mamlaka ya kuwafuta kazi watumishi wa umma walevi wazururaji na watoro.

Uwekwe mpango wa kutenganisha majukumu ya utawala na taaluma kwani walimu wakuu sasa wamekuwa "supplies officers" kutwa nzima wako na Quotation kwenye mikoba watasimamia taaluma saa ngapi?
Hiyo pointi ya wanaofeli kupelekwa mahakamani imenichekesha.

Mi sielewi tatizo ni nini. Mbona fom foo mtihani ni mrahisi? Yaani mtu unashindwa kupata zaidi ya 35% kati ya masomo 7?
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
000, 65, maghembe, unatupeleka, wapi


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Wana JF Hawa Wako Wapi?... Samvulachole Sports & Entertainment Forum 535 14th October 2009 01:55 AM
Kama ungepewa urais ungeanza wapi kunyanyua hali za wananchi? Susuviri Habari na Hoja mchanganyiko 41 10th December 2007 06:53 PM
Tanzania Inakwenda Wapi??????? Domo Kaya Habari na Hoja mchanganyiko 26 5th November 2007 02:12 PM
Kiburi hiki cha wananchi kinatokea wapi? G.MWAKASEGE Jukwaa la Siasa 7 3rd October 2007 03:05 PM
Lowassa Unatupeleka Wapi? Mpaka Kieleweke Habari na Hoja mchanganyiko 24 12th June 2007 09:39 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 01:22 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com