Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: "Token Muslims" v/s "Tokeni Waislamu"tatizo ni "shule" au ni "Lugha"

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      Mbunge wa CCM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 477
      Rep Power : 579
      Likes Received
      7
      Likes Given
      2

      Default "Token Muslims" v/s "Tokeni Waislamu"tatizo ni "shule" au ni "Lugha"

      leo nimesikitka sana na mwanJF mmoja aliyemshambulia mwenzake kuwa hana "shule" pale alipochukulia sehemu ya mchango wake kwenye thread ya kamati kuu ya CHADEMA iliyosema...."Token Muslims....." kuwa ni "......Tokeni Waislamu....." nami niliweka maoni yangu pale nikimkosoa vikali yule aliyemshambulia mwenzake. lakini nimeona niwatendee haki watanzania wenzangu kuanzisha thread inayojitegemea tupate kuichangia kwa mapana yake matatizo ya "shule" yetu watanzania.

      mwenzetu kashutumiwa "shule" yake kwa sababu ya "lugha" tu. cha kujiuliza ni nani hana shule hapo. ni yule aliyechanganya kiingereza katikati ya kiswahili huku akiiwa na misamiati ya kutosha kabisa ya kiswahili ya kutumia, au ni yule aliyeona kuwa kwa kuwa ile mada ni ya kiswahili, basi pengine neno "token" lilipaswa kuwa "tokeni" na pengine limekosewa kutokana na makosa yauchapaj tu?

      masikini watanzania, lugha ya taifa tunayo tumeng'ang'ani ya wenzetu na kuiabudu. atika safari zangu za kimaisha nimewahi kufika china mara kadhaa na kukuta huko maprofesa wengi tu huko wa fani mbalimbali ambao hata kiingeeza cha kuombea maji hawana! nani atasema kuwwa hawa wana tatizo la shule? je, wana tatizo la lugha? au wana tatizo gani sasa?

      tatizo lao (kama ni tatizo kweli), basi si jingine bali ni kuelimika. ukielimika kikelikweli utagundua kuwa lugha ni chombo tu cha mawasiliano na ikiwa peke yake haimaanishi "kwenda shule" ndio maana kuna waingereza kwa kuzaliwa ambao hawajui kusoma na kuandika! utasema "wana shule" hawa eti kwa kuwa tu wanaongea kiingereza vizur kuliko maprofesa wa china?

      mwisho natoa pole kwa mana JF anayetumia jina "injinia" kwa kushambuliwa ikali kutokana na "shule" ya aliyemshambulia.

      matifa yetu yako nyuma sana kwa maendeleo huku eti kuna watu wanjisifu kuwa na "shule" za uhakika, cheki maprofesa na madaktari wa falsafa walivyorundikana kwenye baraza la mawaziri, waulize wamechangia nini kuboresha serikali? hje, ni kwa sababu wana shida ya "shule" kama "injinia" hapana.

      tujadili "shule" zetu tafadhari

    2. Miaka 50

    3. #2
      Bluray's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2008
      Posts : 3,450
      Rep Power : 1273
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: "Token Muslims" v/s "Tokeni Waislamu"tatizo ni "shule" au ni "Lugha"

      How do you say "token Muslims" in Swahili?
      The Singularity is Near.

    4. #3
      Absolute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2007
      Location : Kijijini
      Posts : 443
      Rep Power : 719
      Likes Received
      50
      Likes Given
      28

      Default Re: "Token Muslims" v/s "Tokeni Waislamu"tatizo ni "shule" au ni "Lugha"

      Dah
      Anyway mie nahisi tatizo ni sisi wenyewe kutojiamini kwa mfano wachina wanaongea kikwao na majority hawajui kiingereza na pia mbona kuna viongozi wengi tuu duniani ambao hawajui kiingereza mpaka wanawekewa wakalimani? Mie nashauri ingekuwa bora tuka2mia kiswahili kama instructing language katika mashule (Tujivunie na tujiamini kwa kile tulichonacho).

      Na ni kweli kabisa kuwa kujua kiingereza sio tija ila inatokana na mazingira andalizi yaliyowekwa, kwa mfano hapo kenya mnasema eti wako juu kielimu hakuna chochote ila tuu ni kwasababu walikuwa british colonialists waliweka msisitizo sana ktk lugha ya kiingereza tofauti na huku Tz ambapo ilitumika kiswahili kama unifying language..
      1PETRO2:1-ACHENI UOVU WOTE;UONGO,UNAFIKI,WIVU NA MANENO YA KASHFA

    5. #4
      Mbunge wa CCM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 477
      Rep Power : 579
      Likes Received
      7
      Likes Given
      2

      Default Re: "Token Muslims" v/s "Tokeni Waislamu"tatizo ni "shule" au ni "Lugha"

      Quote By Bluray
      How do you say "token Muslims" in Swahili?
      unataka neno "token" tu kwa kuwa imejitokeza hapa?

      kama hutaki kutunia lugha yako katika maisha ya awaida, huwezi kuijua lugha yako kikamilifu. muhimu jiamini na lugha yako na uiheshimu,mengine utayafahamu tu.

      iwe aibu kutumia neno la kigeni na la kwetu lipo

      ukombozi wa kweli hauji kwa kuomba samamki bali kwa kujifunza kuvua! upo mkuu?

    6. #5
      Mbunge wa CCM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 477
      Rep Power : 579
      Likes Received
      7
      Likes Given
      2

      Default Re: "Token Muslims" v/s "Tokeni Waislamu"tatizo ni "shule" au ni "Lugha"

      Quote By Absolute
      Dah
      Anyway mie nahisi tatizo ni sisi wenyewe kutojiamini kwa mfano wachina wanaongea kikwao na majority hawajui kiingereza ............ Mie nashauri ingekuwa bora tuka2mia kiswahili kama instructing language katika mashule (Tujivunie na tujiamini kwa kile tulichonacho).
      ..
      asante mkuu kwa kuliona hili. hivi kama hujui vizuri lugha, unaweza kupata vizuri elimu?

      pamoja na kujidanganya na tu-viingereza vya akina blueray tunawza tukasema tunawazidi nini wachina kwa mfano?

      ukipita mitaa ya miji ya china hata majina ya biashara, mabango nk, vyote ni kwa kichina na maisha yanaenda bila wasiwasi! wanatumia kichina hichohicho hadi sasa wanashindana na mataifa ya magharibi kwa sayayansi, technolojia, viwanda, biashara nk

      huku kwetu wataalamu wetu ni wa kuandika makaratasi tu!

      kikwazo ni lugha, tuamke

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Suki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2007
      Posts : 375
      Rep Power : 667
      Likes Received
      14
      Likes Given
      2

      Default Re: "Token Muslims" v/s "Tokeni Waislamu"tatizo ni "shule" au ni "Lugha"

      Blah blah blah!
      All come bearing gifts...

    9. #7
      Mbunge wa CCM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 477
      Rep Power : 579
      Likes Received
      7
      Likes Given
      2

      Default Re: "Token Muslims" v/s "Tokeni Waislamu"tatizo ni "shule" au ni "Lugha"

      Quote By Suki
      Blah blah blah!
      blah blah blah gani? fafanua, au umefika ukomo wa kufikiri? unafanya nini hap JF a home of great thinkers?

    10. #8
      Sanda Matuta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th May 2007
      Location : Mlingotini
      Posts : 1,051
      Rep Power : 894
      Likes Received
      69
      Likes Given
      101

      Default Re: "Token Muslims" v/s "Tokeni Waislamu"tatizo ni "shule" au ni "Lugha"

      Quote By Suki
      Blah blah blah!
      Nini maana ya Blah blah blah....!kwa kiswahili


      (natania mkuu wangu ha ha ha ha.......)
      God inspired me,Do not seek any perfect trust of the people and do not depend on them for they will perish you.......'' Bahaeddin al Balkh (Maarif I/360)

    11. #9
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6848

      Default Re: "Token Muslims" v/s "Tokeni Waislamu"tatizo ni "shule" au ni "Lugha"

      Quote By Absolute
      Dah
      Anyway mie nahisi tatizo ni sisi wenyewe kutojiamini kwa mfano wachina wanaongea kikwao na majority hawajui kiingereza na pia mbona kuna viongozi wengi tuu duniani ambao hawajui kiingereza mpaka wanawekewa wakalimani? Mie nashauri ingekuwa bora tuka2mia kiswahili kama instructing language katika mashule (Tujivunie na tujiamini kwa kile tulichonacho).

      Na ni kweli kabisa kuwa kujua kiingereza sio tija ila inatokana na mazingira andalizi yaliyowekwa, kwa mfano hapo kenya mnasema eti wako juu kielimu hakuna chochote ila tuu ni kwasababu walikuwa british colonialists waliweka msisitizo sana ktk lugha ya kiingereza tofauti na huku Tz ambapo ilitumika kiswahili kama unifying language..
      Umenichanganya maana nilidhani unasisitiza utumiaji wa kiswahili, lakini naona sijui hicho ichenye wino mwekundu ni kiswahili kipi?
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    12. #10
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6848

      Default Re: "Token Muslims" v/s "Tokeni Waislamu"tatizo ni "shule" au ni "Lugha"

      Quote By Mgombea Ubunge
      unataka neno "token" tu kwa kuwa imejitokeza hapa?

      kama hutaki kutunia lugha yako katika maisha ya awaida, huwezi kuijua lugha yako kikamilifu. muhimu jiamini na lugha yako na uiheshimu,mengine utayafahamu tu.

      iwe aibu kutumia neno la kigeni na la kwetu lipo

      ukombozi wa kweli hauji kwa kuomba samamki bali kwa kujifunza kuvua! upo mkuu?
      Mjibu Bluray swali lake! hata mimi sielewi na nategemea nitafaidika na hilo jibu, Tone muslims maana yake nini??
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    13. #11
      Mbunge wa CCM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 477
      Rep Power : 579
      Likes Received
      7
      Likes Given
      2

      Default Re: "Token Muslims" v/s "Tokeni Waislamu"tatizo ni "shule" au ni "Lugha"

      Quote By MTM
      Mjibu Bluray swali lake! hata mimi sielewi na nategemea nitafaidika na hilo jibu, Tone muslims maana yake nini??
      anzeni kutumia na kukiheshimu kiswahili mtaelewa. great thinkers mnaomba samaki badala ya kujifunza kuvua wenyewe!

      mmmhhh haya!

      kwa kuku saidia, kwa kukusaidia kidogo, hapohapo kwenye tarakilishi yaku fungua tovuti yenye kamusi utaona, na nashauri usome na maneno mengine li uwe na misamiati ya kutosha ya lugha yako

    14. #12
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6848

      Default Re: "Token Muslims" v/s "Tokeni Waislamu"tatizo ni "shule" au ni "Lugha"

      Quote By Mgombea Ubunge
      anzeni kutumia na kukiheshimu kiswahili mtaelewa. great thinkers mnaomba samaki badala ya kujifunza kuvua wenyewe!

      mmmhhh haya!

      kwa kuku saidia, kwa kukusaidia kidogo, hapohapo kwenye tarakilishi yaku fungua tovuti yenye kamusi utaona, na nashauri usome na maneno mengine li uwe na misamiati ya kutosha ya lugha yako
      Kweli kuchamba kwingi kutoka na m@v!... hakuna aliyeomba samaki wala mshipi, Umeulizwa swali dogo unaleta dibaji, walk the talk or cut it out....
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    15. #13
      Suki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2007
      Posts : 375
      Rep Power : 667
      Likes Received
      14
      Likes Given
      2

      Default Re: "Token Muslims" v/s "Tokeni Waislamu"tatizo ni "shule" au ni "Lugha"

      Quote By Mgombea Ubunge
      blah blah blah gani? fafanua, au umefika ukomo wa kufikiri? unafanya nini hap JF a home of great thinkers?
      Hizi mavitu zinaongelewa every now and then.
      Kama kuna ambaye bado hajachagua upande,kivyake!
      All come bearing gifts...

    16. #14
      Suki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2007
      Posts : 375
      Rep Power : 667
      Likes Received
      14
      Likes Given
      2

      Default Re: "Token Muslims" v/s "Tokeni Waislamu"tatizo ni "shule" au ni "Lugha"

      Quote By Sanda Matuta
      Nini maana ya Blah blah blah....!kwa kiswahili


      (natania mkuu wangu ha ha ha ha.......)
      Roger that.
      Ila blah blah ni longolongo,I would think.
      All come bearing gifts...

    Similar Topics

    1. Replies: 0
      Last Post: 26th November 2011, 21:13
    2. Replies: 3
      Last Post: 17th March 2011, 09:20
    3. J2ME, "Swing package", "Android technology" & "Ruby on Rails"
      By Einstein in forum Tech, Gadgets & Science Forum
      Replies: 2
      Last Post: 13th March 2011, 22:16
    4. Replies: 0
      Last Post: 9th February 2011, 04:50
    5. Eti soko la """kitimoto ""kuanza kupungua kuanzia kesho""
      By Pdidy in forum Celebrities Forum
      Replies: 2
      Last Post: 11th August 2010, 11:27

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...