Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Udini Wizara ya Elimu

    Report Post
    Page 4 of 9 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 167
    1. #1
      Gongagonga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd September 2009
      Posts : 26
      Rep Power : 501
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Udini Wizara ya Elimu

      Wizara ya Elimu inayoongozwa na Alhaj Jumanne Maghembe (MB) akisaidiwa na Hajjat Mwantum Mahiza (MB) hivi karibuni kumekuwa na malalamiko ya upendeleo hususan katika ugawaji wa Scholarship za kwenda kusoma nje. Katibu mkuu wa wizara hii ni Alhaj Khamis Dihenga

      Jamaa yangu wa karibu wizarani kanitonya kuwa jamaa wana mkakati wa kusomesha vijana wao wengi iwezekanavyo eti wameonewa sana na sasa ni zamu yao.

      Kimsingi hakuna tatizo waislamu kupata nafasi hizo, lakini hata kama kuna mkristo kazidi sifa bado anakatwa ili nafasi apewe muislamu hapo ndio tatizo langu lilipo.

      Jamani hili taifa lnakwenda wapi sasa haya mambo kwa si ya kuya zarau kuna njama za kuisilimisha nchi hii.

      Mimi namshangaa JK iweje wizara moja aweke waislamu watupu? kuna kitu kinapikwa hapa tuwe macho
      Last edited by Gongagonga; 1st October 2009 at 19:01.


    2. #61
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,866
      Rep Power : 3799
      Likes Received
      1229
      Likes Given
      593

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By Zawadi Ngoda View Post

      Unajua nitakusaidia kitu kimoja, Soma kitabu cha PEACE AND WAR kilichoandikwa na Prof Abraham Stewart. Utaelewa ni wakati gani mwananchi anashindwa kuvumilia na kuamua kutumia vurugu kama njia pekee yakuelekea katika amani ya kweli. Utafiti wake ulizingatia maendeleo ya kutoka katika Amani, Vita mpaka Amani huko Kosovo.

      .
      Hii yaani sasa naona unazidi kudhihirisha dementia..he he he..Vurugu si mlitumia pale Mwembechai na 'haki' yenu mkapatiwa ? Mwe!
      Moola's the motive

    3. #62
      Semilong's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2009
      Posts : 1,614
      Rep Power : 1255
      Likes Received
      92
      Likes Given
      112

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By Zawadi Ngoda View Post
      Well, Mkitaka twende hivyo hakuna matatizo kabisa.

      Nyie chagueni tu Ngoma na mwimbo, nasi tuko tayari kucheza. Isitoshe sisi hatutapoteza sana.

      Kwanini hatutapoteza? Kwa sababuzifuatazo:

      1. Wabunge Tanzania bara- 75% wakristo.

      2.Ajira serikalini - 85% Wakristo

      3.Wanafunzi vyuo vikuu 70% Wakristo.

      Sasa hapo sisi tuna nini? Nyie chezeni mchezo, halafu muone. Mna uchaguzi, Amani au vurugu. Mkitaka amani tukae kwenye meza kujadili na kutatua hayo. Hamtaki amani tumieni magazeti, makanisa na nyaraka.

      Tumechoshwa na kutishwa tishwa kwa maneno huku mkificha takwimu. Kama nyie ni ma-sinia member wekeni mambo wazi. Ninamaanisha takwimu.
      1.wacha kutoa info za upande mmoja
      kwa nini ujasema TZ nzima na umechagua bara peke yake au kwa ajili ZNZ wote ni waisilamu.

      lazima uwelewe kuwa kwamba bara vijijini kuna wakristu wengi kama ilivyo ZNZ waislamu ni karibu wote.
      pia lazima ujue mikoa ya mwambao waislamu ni wengi

      2. kuhusu elimu
      bara kuna shule nyingi ambazo ziliwachwa na wakoloni wazungu ambao wengi wao ni wakristu, makanisa pia yana shule nyingi
      mikoa ya pwani waarabu ambao ni waislamu hawakuacha shule
      kutokana na sababu hizi wazee wakristu wengi wameenda shule kuliko wazee wa waislamu, na kwa ajili TZ watu wana rithi dini hii inafanya watoto wakristu wawe wengi kwenye vyuo.
      hi trends itabadilika baada ya mda mrefu waislamu wakitilia mkazo elimu na si vinginevyo.
      Tatizo ni kubwa sana kwa ajili mpaka sasa hivi waislamu wengi hawatilii mkazo elimu hususan maeneo ya ZNZ na Tanga ambapo mabinti wengi bado wanaolewa mapema na wanaume wanaoa mapema.

      Tatizo hili linatakiwa lishuhulikiwe na sheikh mkuu na aweke pingamizi kwamba mtu haruhusiwi kuwa maalimu mpaka amalize form six na masheikh wote lazima wawe na utaalamu wa ziada (udaktari, uwalimu na nk) kama ilivyo kwa wakatoliki.
      sasa hivi vijana wengi maeneo ya Tanga wakimaliza darasa la saba wanaanza kwenda madrasa sana na mwishowe kuwa maalimu na hata masheikh baadae.
      ukiangalia kwa upande wa wakatoliki mapadri wanasoma mda mrefu sana.
      TATTIZO HILI LITKUWA LA MDA MREFU SANA KAMA KUTAENDELEA KUWA NA MASHEIKH AMBAO HAWAJASOMA.

      "WATZ TUPENDANE. DINI HAZINA MPANGO WOWOTE. KUENDELEA KUABUDU UISLAMU NA UKRISTU NI KUENDELA KUWATUKUZA WAKOLONI, NA NDIO MAANA WAKRISTU WANAWATUKUZA WAZUNGU NA WAISLAMU WANAWATUKUZA WAARABU"
      You can not keep 40m people quite forever....
      one year one month one day they will wake up..........

    4. #63
      Gavana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th July 2008
      Posts : 7,345
      Rep Power : 1905
      Likes Received
      715
      Likes Given
      437

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By Abdulhalim View Post
      Hii yaani sasa naona unazidi kudhihirisha dementia..he he he..Vurugu si mlitumia pale Mwembechai na 'haki' yenu mkapatiwa ? Mwe!

      umeibukia huku????

      Unataka uletewe yaliyotokea Mwembechai??? Fungua Thread yake upewe ukweli usidanganye watu hapa .

      Angalia thread inasemaje , haisemi yaliyotumiwa Mwembechai.

      Jee na hayo yaliyotokea kanisa lako Dodoma jee tuambie ilikuwa nini????

      Lete Data ulizoulizwa huko juu....

      Endelea na hiyo ignore list yako.....
      Last edited by Gavana; 2nd October 2009 at 12:02.

    5. #64
      Mugo"The Great"'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th October 2007
      Posts : 257
      Rep Power : 649
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By Zawadi Ngoda View Post
      Unahitaji kujiweka katika Ignore list. Wafahamu Kwanini unakuja na Jazba? Kwasababu umejigundua kuwa mkosefu pamoja na wakristo wenzako kwa kuwa wadini No 1. Sasa ngoja nikufungue akili.

      .
      Ni nani hao "Wakristo wenzako"?
      Man can believe the impossible, but man can never believe the improbable -Oscar Wilde

    6. #65
      Zawadi Ngoda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Posts : 1,797
      Rep Power : 860
      Likes Received
      101
      Likes Given
      99

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By MwanaFalsafa1 View Post
      Nashukuru baadhi ya members ambao wametumia upeo na akili kuomba data. Ila ina sikitisha baadhi ya watu kukimbilia kutetea upande mmoja kwa sababu tu dini yao imesemwa. Na hii pia inaenda kwa dini zote. Kama kuna udini kwa nini usisemwe kisa tu ni dini ya mtu fulani? Huu woga wa kujadili mambo haya na mgawanyiko unao tokana na hilo ndiyo inafanya watu wanaofanya vitendo hivi waendelee kutenda wakijua lazima wata tetewa kwa nguvu zote. Tutulize vichwa na tuliangalie swala hili logically.

      Udini ni mtu na siyo dini kwa hiyo ukiona mtu wa dini yako kaitwa mdini usiichukulie kama shambulizi binafsi kwa dini yako au kwako bali jua ni tabia ya mtu binafsi ina jadiliwa.
      Hapa umenena, na tungekuwa na utamaduni wa kujadili hoja kwa mtindo huu basi tusingegawanyika hapa JF. JF imeharibika kiasi kwamba hakuna anayetaka kutumia "LOGIC" na kuliangalia suala kwaundani.

      Topic hii ni defu na inahistoria ndefu sana. Nilazima iangaliwe kwa mapana na marefu kabla ya kutoa hitimisho za haraka.

      Ukweli mimi napata kichefu chefu hasa ninaposoma zile hoja za sinia members. Hicho ni cheo kikubwa, haifai mtu kutoa pumba. Turudi kwenye square 1 kama tunahaja hiyo, kama haakuna tutacheza mpira bila Refa.


    7. #66
      RealTz77's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2009
      Location : far from politics
      Posts : 722
      Rep Power : 658
      Likes Received
      16
      Likes Given
      21

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      ni kampeni ndugu zangu,wanayoyasema hawa hayawani shura ya maimaam pia kina maghembe na jk wanayasimamia,wizara imepewa hao watu maksudi ili waweze kuwapandisha waislam kwa maksudi,kama wanampa mtu mwenye sifa sio mabaya,but kama ni kwa kigezo cha dini kwakweli JK mwakani hatumtaki na uwezo huo tunao kwani nia ipo tayari,
      am not 40, am 18 yrs old with 22yrs experience!

    8. #67
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,866
      Rep Power : 3799
      Likes Received
      1229
      Likes Given
      593

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By Zawadi Ngoda View Post

      La mwisho soma vile vile Ripoti ya Wamarekani Kuhusu uwiano wa ajira katika serikali ya Tanzania ulioletw hapa JF na # Najua hutasoma, ngoja ninukuu kidogo shemu muhimu. "Fr. Peter Smith (1992) acknowledges that Muslims lag far behind in education. A similar observation is made by Professor Malekela (1993:26). Malekela (1983) found that 78.5 per cent of secondary students were Christian and only 18.6 per cent Muslim. Likewise the 1994 US Report on Human Rights in Tanzania acknowledges the significant disadvantages facing Muslims in education and employment. It also notes the existence of widespread Muslim resentment in the country. More importantly however, the Report says religious imbalances in Tanzania are a result of historical circumstances rather than deliberate discrimination (US Department of State, 1995).
      Ok,

      Kwanza sijaona neno ajira kwenye hiki kipisi chako cha COPY & PASTE. Nadhani akili yako imechanganyika na samadi.

      Pili, labda utueleze hiki kipisi chako kinarelevance gani na mada tunayoijadili:

      Tatu, kama kingereza kinakupiga hapo nilipo-pigia mstari panasomeka hivi: chenga hapa nukuu yako inakupa jibu kuwa religious imbalances (kama zipo au zilikuwepo) zimetokea kihistoria na hazina mahusiano na makusudio ya mtu yeyote.

      Hii sentensi umeileta wewe mwenyewe, Miss Stupidity, I doubt kama unaelewa manake..lol

      Quote By Zawadi Ngoda View Post

      Available historical evidence, both past and present, would seem to contradict the popular belief that Muslims hate or fear education. It is certainly true that in the past Muslims rejected, as they continue to reject today, the Christian principle of using diakonia (services like education and health) as means of evangelisation. People should enter into Christianity out of conviction and faith in the Word of God, not as a condition of getting food, clothing, medical treatment or education. I believe Christians would have reacted in a similar fashion were they to find themselves in a situation where educational institutions served as instruments of Islamisation. In fact recently Christian Members of Parliament took to task the Minister for National Education and Culture, Professor Juma Kapuya (a Muslim) for enforcing a long-standing government secular which allowed Muslim students to put on head scarfs. He was accused of harbouring a secret agenda of Islamising public schools, although Christian nuns have been doing so since colonial times!"
      Hii sijui ume- copy kutoka wapi maamuma wewe..Hebu tueleze hii inahusiana vipi na mada tunayoiongelea? lol, makubwa haya! Jamani hebu iteni ambulance ya Mirembe tafadhalini...!

      Quote By Zawadi Ngoda View Post
      Ukiona wamarekani wanaanza kuandika hayo ujue wameshaona moshi utokeako. Nyie laleni tu na kutumia kalamu vibaya bila kufahamu ni nani aliyeleta amani hii kwa kuvumilia kuitwa mjinga kwa miaka zaidi ya 40.
      Mh, kwa hiyo Mmerekani leo amekuwa wa maana? Hizo habari za moshi sijui mvuke unapoteza muda wako na kutumalizia bandwidth maana unaongelea vitu visivyokuwepo.

      Quote By Zawadi Ngoda View Post

      Tafadhali isome vizuri hii na uielewe. Usikurupuke!
      Nasoma vitu ikiwa kuna clear advantage ya kuvisoma, otherwise nawaachia watu wenye akili mdebwedo kama wewe.

      Quote By Zawadi Ngoda View Post

      Kikubwa ninachotaka kukueleza ni kwamba, matakwa ya waislam Tanzania hayangoji eti mpaka aje Rais mwiislam. Yeyote atakaye kuwa Rais madai yetu yapo pale pale. Hivyo wale wenye dhana kuwa eti tuchague Rais mkristo ndio hawatatekelezewa mambo yao, Wanajidanganya.
      Matakwa ya kisilamu nilidhani ni kuhakikisha wanakuwa wanyenyekevu na kumcha Mungu ili wairithi akhera, lakini kumbe sivyo. Pole najielekezea mwenyewe kwa kuelewa uislamu kuliko waislamu wenyewe!

      Quote By Zawadi Ngoda View Post

      Kumbuka aliyeionja Demokrasia harudi nyuma kamwe. Demokrasia yetu imewapa tabu sana wakristo waliozoea Unyerere (autocrat regime). Kwanza walifikiri Democrasia itaua uislam kwa kuruhusu picha za Holly wood mchana wa saa5. Hali haikuwa hivyo, na madai mengi ya waislam yamepitia kidemokrasia na kushinda.
      As far as I know most of arranged religions are undemocratic let alone allah!
      Moola's the motive

    9. #68
      Zawadi Ngoda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Posts : 1,797
      Rep Power : 860
      Likes Received
      101
      Likes Given
      99

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By Semilong View Post
      1.wacha kutoa info za upande mmoja
      kwa nini ujasema TZ nzima na umechagua bara peke yake au kwa ajili ZNZ wote ni waisilamu.

      lazima uwelewe kuwa kwamba bara vijijini kuna wakristu wengi kama ilivyo ZNZ waislamu ni karibu wote.
      pia lazima ujue mikoa ya mwambao waislamu ni wengi

      2. kuhusu elimu
      bara kuna shule nyingi ambazo ziliwachwa na wakoloni wazungu ambao wengi wao ni wakristu, makanisa pia yana shule nyingi
      mikoa ya pwani waarabu ambao ni waislamu hawakuacha shule
      kutokana na sababu hizi wazee wakristu wengi wameenda shule kuliko wazee wa waislamu, na kwa ajili TZ watu wana rithi dini hii inafanya watoto wakristu wawe wengi kwenye vyuo.
      hi trends itabadilika baada ya mda mrefu waislamu wakitilia mkazo elimu na si vinginevyo.
      Tatizo ni kubwa sana kwa ajili mpaka sasa hivi waislamu wengi hawatilii mkazo elimu hususan maeneo ya ZNZ na Tanga ambapo mabinti wengi bado wanaolewa mapema na wanaume wanaoa mapema.

      Tatizo hili linatakiwa lishuhulikiwe na sheikh mkuu na aweke pingamizi kwamba mtu haruhusiwi kuwa maalimu mpaka amalize form six na masheikh wote lazima wawe na utaalamu wa ziada (udaktari, uwalimu na nk) kama ilivyo kwa wakatoliki.
      sasa hivi vijana wengi maeneo ya Tanga wakimaliza darasa la saba wanaanza kwenda madrasa sana na mwishowe kuwa maalimu na hata masheikh baadae.
      ukiangalia kwa upande wa wakatoliki mapadri wanasoma mda mrefu sana.
      TATTIZO HILI LITKUWA LA MDA MREFU SANA KAMA KUTAENDELEA KUWA NA MASHEIKH AMBAO HAWAJASOMA.

      "WATZ TUPENDANE. DINI HAZINA MPANGO WOWOTE. KUENDELEA KUABUDU UISLAMU NA UKRISTU NI KUENDELA KUWATUKUZA WAKOLONI, NA NDIO MAANA WAKRISTU WANAWATUKUZA WAZUNGU NA WAISLAMU WANAWATUKUZA WAARABU"
      Kwasababu si wizara zote tulizoungana. Kuna baadhi ya wizara huwezi kuajiriwa Bara na ukahamishiwa ZNZ.

    10. #69
      Peasant's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2007
      Posts : 3,753
      Rep Power : 1349
      Likes Received
      495
      Likes Given
      611

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By MwanaFalsafa1 View Post

      Tanzania takwimu ni tatizo kubwa sana. kwa hiyo kupata uwiano wa Wakristo na Waislamu serikalini ni vigumu sana. Ila kwa bahati mbaya au nzuri kwa huku kwetu ni rahisi sana kujua dini ya mtu kwa kuangalia jina lake. Hapa chini nitaorodhesha wabunge wa Tanzania na majimbo yao. Naomba upige mahesabu uone kama inafika hiyo 75% uliyo itaja hapo juu.


      Tanzanian Members of Parliament, in alphabetical order

      Name Constituency Party Cabinet Position (if any)
      Anna Margareth Abdallah Special Seat (Women) CCM
      Mohamed Rished Abdallah Pangani CCM
      Maida Hamad Abdallah Special Seat (Women) CCM
      Mohammed Abdi Abdulaziz Lindi Mjini CCM
      Bahati Ali Abeid Special Seat (Women) CCM
      Khadija Salum Ally Al-Qassmy Special Seat (Women) CUF
      Fatma Othman Ali Special Seat (Women) CCM
      Ali Haji Ali Zanzibar House of Representatives CCM
      Dr. Ali Tarab Ali Konde CUF
      Aziza Sleyum Ally Special Seat (Women) CCM
      Ame Pandu Ame Nungwi CCM
      Kheri Khatib Ameir Matemwe CCM
      Ameir Ali Ameir Fuoni CCM
      Said Amour Arfi Mpanda Kati CHADEMA
      Rostam Abdulrasul Azizi Igunga CCM
      Idd Mohamed Azzan Kinondoni CCM
      Nuru Awadhi Bafadhili Special Seat (Women) CUF
      Faida Mohamed Bakar Special Seat (Women) CCM
      Abubakar Khamis Bakary Zanzibar House of Representatives CUF
      Prof. Feethan Filipo Banyikwa Ngara CCM
      Elizabeth Nkunda Batenga Special Seat (Women) CCM
      Joel Nkaya Bendera Korogwe Mashariki CCM Deputy Minister of Information, Culture, and Sports
      Gosbert Begumisa Blandes Karagwe CCM
      Felister Aloyce Bura Special Seat (Women) CCM
      Dr. Batilda Salha Burian Special Seat (Women) CCM Minister of state, environment
      Dr. Cyril August Chami Moshi Vijijini CCM Deputy Minister of Trade and Industry
      Hazara Pindi Chana Special Seat (Women) CCM
      Ania Said Chaurembo Special Seat (Women) CUF
      Dr. Raphael Masunga Chegeni Busega CCM
      Andrew John Chenge Bariadi Magharibi CCM
      Gideon Asimulike Cheyo Ileje CCM
      John Momose Cheyo Bariadi Mashariki UDP
      Hezekiah Ndahani Chibulenje Chilonwa CCM Deputy Minister of Infustructure
      Mathias Meinrad Chikawe Nachingwea CCM Minister of Justice and Constitutional Affairs
      Capt. John Zefania Chiligati Manyoni Mashariki CCM Minister of Lands and Human Settlements
      Diana Mkumbo Chilolo Special Seat (Women) CCM
      Samuel Mchele Chitalilo Buchosa CCM
      Christopher Kajoro Chiza Buyungu CCM
      Mohammed Amour Chombon Magomeni CCM
      Dr. Maua Abeid Daftari Special Seat (Women) CCM Deputy Minister Science technology and communication
      Dr. David Mathayo David Same Magharibi CCM Deputy Minister of Agriculture, Food Security, and Cooperatives
      Paschal Constantine Degera Kondoa South CCM
      Mohammed Gulam Dewji Singida Mjini CCM
      Hasnain Gulamabbas Dewji Kilwa Kusini CCM
      Anthony Mwandu Diallo Ilemela CCM
      Meryce Mussa Emmanuel Special Seat (Women) CUF
      Bakari Shamis Faki Ole CUF
      Col. Saleh Ali Farrah Raha Leo CCM
      Fatma Abdulhabib Fereji Zanzibar House of Representatives CUF
      Stephen Jones Galinoma Kalenga CCM
      Dr. Zainab Amir Gama Kibaha CCM
      Josephine Johnson Genzabuke Special Seat (Women) CCM
      Hawa Abdulrahman Ghasia Mtwara Vijijini CCM Minister of Public Service and Management
      Dr. Haji Mwita Haji Muyuni CCM
      Ali Juma Haji Chaani CCM
      Zuleikha Yunus Haji Special Seat (Women) CCM
      Hemed Mohammed Hemed Chonga CUF
      Maria Ibeshi Hewa Special Seat (Women) CCM
      Parmukh Singh Hoogan Kikwajuni CCM
      Ambassador Seif Ali Iddi Kitope CCM Deputy Minister of Foreign Affairs and International Relations
      Yahya Kassim Issa Chwaka CCM
      Issa Kassim Issa Mpendae CCM
      Athumani S. Janguo Kisarawe CCM
      Asha Mshimba Jecha Special Seat (Women) CCM
      Mwadini Abbas Jecha Wete CUF
      Shoka Khamis Juma Micheweni CUF
      Riziki Omar Juma Special Seat (Women) CUF
      Rajab Ahmad Juma Tumbatu CCM
      Gaudentia Mugosi Kabaka Special Seat (Women) CCM Deputy Minister of Education
      Siraju Juma Kaboyonga Tabora Mjini CCM
      Phares Kashemeza Kabuye Biharamulo Magharibi TLP
      Mgeni Jadi Kadika Special Seat (Women) CUF
      Ambassador Hamis Suedi Kagasheki Bukoba Mjini CCM
      Janet Bina Kahama Special Seat (Women) CCM
      Charles Muguta Kajege Mwibara CCM
      Dr. Diodorus Buberwa Kamala Nkenge CCM Minister of East African Cooperation
      Prof. Juma Athuman Kapuya Urambo Magharibi CCM Minister of Labour, Employment and youth development
      Nazir Mustafa Karamagi Bukoba Vijijini CCM
      Teddy Louise Kasella-Bantu Bukene CCM
      Mariam Reuben Kasembe Special Seat (Women) CCM
      Eustace Osler Katagira Kyerwa CCM
      Dr. Shukuru Jumanne Kawambwa Bagamoyo CCM Minister of Infustructure
      Vita Rashid Kawawa Namtumbo CCM
      Gaudence Cassian Kayombo Mbinga Mashariki CCM
      Charles N. Keenja Ubungo CCM
      Yono Stanley Kevela Njombe Magharibi CCM
      Salim Abdallah Khalfan Tumbe CUF
      Khalifa Suleiman Khalifa Gando CUF
      Salim Hemed Khamis Chambani CUF
      Vuai Abdallah Khamis Magogni CCM
      Mwajuma Hassan Khamis Special Seat (Women) CUF
      Abdisalaam Issa Khatib Makunduchi CCM
      Hassan Rajab Khatib Amani CCM
      Muhammed Seif Khatib Uzini CCM Minister of state, union affairs
      Dr. Aisha Omar Kigoda Special Seat (Women) CCM Deputy Minister of Health and Social Welfare
      Dr. Abdallah Omar Kigoda Handeni CCM
      Hassan Chande Kigwalilo Liwale CCM
      Felix Ntibenda Kijiko Muhambwe CCM
      Estherina Julio Kilasi Mbarali CCM
      Juma Hassan Killimbah Iramba Magharibi CCM
      Aloyce Bent Kimaro Vunjo CCM
      Halima Omar Kimbau Special Seat (Women) CCM
      Fuya Godwin Kimbita Hai CCM
      Paul Peter Kimiti Sumbawanga Mjini CCM
      Mkiwa Adam Kimwanga Special Seat (Women) CUF
      Rosemary Kasimbi Kirigini Special Seat (Women) CCM
      Grace Sindato Kiwelu Special Seat (Women) CHADEMA
      Capt. John Damiano Komba Mbinga Magharibi CCM
      Celina Ompeshi Kombani Ulanga Mashariki CCM Minister of Regional Administration and Local Government
      Anna Maulidah Komu Special Seat (Women) CHADEMA
      Suleiman Omar Kumchaya Lulindi CCM
      William Jonathan Kusila Bahi CCM
      Omar Shabani Kwaangw' Babati Mashariki CCM
      Michael Lekule Laizer Longido CCM
      James Daudi Lembeli Kahama CCM
      Castor Raphael Ligallama Kilombero CCM
      Devota Mkuwa Likokola Special Seat (Women) CCM
      Dr. Festus Bulugu Limbu Magu CCM
      Benedict Kiroya Losurutia Kiteto CCM
      Sameer Ismail Lotto Morogoro Kusini-Mashariki CCM
      Edward Ngoyai Lowassa Monduli CCM
      George Malima Lubeleje Mpwapwa CCM
      Emmanuel Jumanne Luhahula Bukombe CCM
      William Vangimembe Lukuvi Ismani CCM
      Riziki Said Lulida Special Seat (Women) CCM
      Anna Richard Lupembe Special Seat (Women) CCM
      John Paul Lwanji Manyoni Magharibi CCM
      Clemence Beatus Lyamba Mikumi CCM
      Susan Anselm Jerome Lyimo Special Seat (Women) CHADEMA
      Ernest Gakeya Mabina Geita CCM
      Joyce Nhamanilo Machimu Special Seat (Women) CCM
      Ephraim Nehemia Madeje Dodoma Mjini CCM
      Prof. Jumanne Abdallah Maghembe Mwanga CCM Minister of Education
      Fatma Mussa Maghimbi Chake Chake CUF
      John Pombe Joseph Magufuli Biharamulo Mashariki CCM Minister of livestock and fisheries
      Dr. Milton Makongoro Mahanga Ukonga CCM Deputy Minister of Labour
      Dr. Binilith Satano Mahenge Makete CCM
      Mwanatumu Bakari Mahiza Special Seat (Women) CCM Deputy Minister of Education
      Ezekiel Magolyo Maige Msalala CCM
      Anne Semamba Makinda Njombe Kusini CCM
      Jackson Muvangila Makwetta Njombe Kaskazini CCM
      Benito William Malangalila Mufindi Kusini CCM
      John Samwel Malecela Mtera CCM
      Anne Kilango Malecela Same Mashariki CCM
      Adam Kighoma Ali Malima Mkuranga CCM
      Halima Mohammed Mamuya Special Seat (Women) CCM
      Ramadhani Athumani Maneno Chalinze CCM
      Stella Martin Manyanya Special Seat (Women) CCM
      Vedastusi Mathayo Manyinyi Musoma Mjini CCM
      Philip Sang'ka Marmo Mbulu CCM Minister of state, parliamentary affairs
      Abdul Jabiri Marombwa Kibiti CCM
      Lawrence Kego Masha Nyamagana CCM Minister of home Affairs
      Wilson Mutagaywa Masilingi Muleba South CCM
      Masolwa Cosmas Masolwa Bububu CCM
      Haroub Said Masoud Koani CCM
      Janeth Mourice Massaburi Special Seat (Women) CCM
      Joyce Martin Masunga Special Seat (Women) CCM
      Zubeir Ali Maulid Kwamtipura CCM
      Lucy Thomas Mayenga Special Seat (Women) CCM
      Kiumbwa Makame Mbaraka Special Seat (Women) CCM
      Salome Joseph Mbatia Special Seat (Women) CCM Deceased
      Monica Ngezi Mbega Iringa Mjini CCM
      Mwanne Ismaily Mchemba Special Seat (Women) CCM
      Halima James Mdee Special Seat (Women) CHADEMA
      Zakia Hamdani Meghji Nominated by the President CCM
      Bernard Kamillius Membe Mtama CCM Minister of foreign affairs
      Mariam Salum Mfaki Special Seat (Women) CCM
      Feteh Saad Mgeni Bumbwini CCM
      Jenista Joakim Mhagama Peramiho CCM
      Laus Omar Mhina Korogwe Vijijini CCM
      Zabein Muhaji Mhita Kondoa Kaskazini CCM
      Fatma Abdallah Mikidadi Special Seat (Women) CCM
      Mohamed Hamisi Missanga Singida Kusini CCM
      Margreth Agness Mkanga Special Seat (Women) CCM
      Dunstan Daniel Mkapa Nanyumbu CCM
      Nimrod Elirehema Mkono Musoma Vijijini CCM
      Capt. George Huruma Mkuchika Newala CCM
      Mustafa Haidi Mkulo Kilosa CCM Minister of Finance
      Rita Louise Mlaki Kawe CCM
      Martha Mosses Mlata Special Seat (Women) CCM
      Dr. Charles Ogessa Mlingwa Shinyanga Mjini CCM
      Lediana Mafuru Mng'ong'o Special Seat (Women) CCM
      Mohamed Habib Juma Mnyaa Mkanyageni CUF
      Ali Ameir Mohamed Donge CCM
      Hamad Rashid Mohamed Wawi CUF
      Mohamed Aboud Mohamed Nominated by the President CCM Deputy Minister of Public Security and Safety
      Salim Yussuf Mohamed Kojani CUF
      Elisa David Mollel Arumeru Magharibi CCM
      Ambassador Gertrude Ibengwe Mongella Ukerewe CCM
      Amina Chifupa Mpakanjia Special Seat (Women) CCM (Deceased)
      Dr. Samson Ferdinand Mpanda Kilwa Kaskazini CCM
      Benson Mwailugula Mpesya Mbeya Mjini CCM
      Luhaga Joelson Mpina Kisesa CCM
      Kilontsi Muhama Mporogomyi Kasulu Magharibi CCM
      Basil Pesambili Mramba Rombo CCM
      Felix Christopher Mrema Arusha CCM
      Raynald Alfons Mrope Masasi CCM
      Dr. Ibrahim Said Msabaha Kibaha Vijijini CCM
      Ruth Blasio Msafiri Muleba Kaskazini CCM
      Manju Salum Omar Msambya Kigoma South CCM
      Dr. James Alex Msekela Tabora Kaskazini CCM
      Ambassador Abdi Hassan Mshangama Lushoto CCM
      Mgana Izumbe Msindai Iramba Mashariki CCM
      Prof. Peter Mahamudu Msolla Kilolo CCM Minister of Communication, Science and Technology
      Mwinchoum Abdulrahman Msomi Kigamboni CCM
      Herbert James Mtangi Muheza CCM
      Abbas Zuberi Mtemvu Temeke CCM
      Prof. Idris Ali Mtulia Rufiji CCM
      Mudhihir Mohamed Mudhihir Mchinga CCM
      Joseph James Mungai Mufindi Kaskazini CCM
      James Philipo Musalika Nyang'hwale CCM
      Bernadeta Kasabago Mushashu Special Seat (Women) CCM
      Dorah Herial Mushi Special Seat (Women) CCM
      Mossy Suleiman Mussa Mfenesini CCM
      Omar Sheha Mussa Chumbuni CCM
      Dr. Harrison George Mwakyembe Kyela CCM
      Prof. David Homeli Mwakyusa Rungwe Magharibi CCM Minister of Health and Social Welfare
      Prof. Raphael Benedict Mwalyosi Ludewa CCM
      Victor Kilasile Mwambalaswa Lupa CCM
      Ludovick John Mwananzila Kalambo CCM
      Mbaruk Kassim Mwandoro Mkinga CCM
      Prof. Mark James Mwandosya Rungwe Mashariki CCM Minister water and irrigation
      Thomas Abson Mwang'onda Nominated by the President CCM
      Shamsa Selengia Mwangunga Special Seat (Women) CCM Minister of Natural Resources
      Aggrey Deaisile Joshua Mwanri Siha CCM
      Johnson Paulo Mathias Mwanyika Attorney General CCM Attorney General
      Harith Bakari Mwapachu Tanga CCM Minister of Public Security and Safety
      Hamza Abdallah Mwenegoha Morogoro Kusini CCM
      Savelina Silvanus Mwijage Special Seat (Women) CUF
      Dr. Hussein Ali Mwinyi Kwahani CCM Minister of Defence
      Omar Ali Mzee Kiwani CUF
      Omar Yussuf Mzee Kiembesamaki CCM Deputy Minister of Finance
      Dr. Chrisant Majiyatanga Mzindakaya Kwela CCM
      Juma Suleiman N'hunga Dole CCM
      Dr. Mary Michael Nagu Hanang CCM Minister of Industries, Trade, and Marketing
      Damas Pascal Babati Magharibi CCM
      Dr. Emmanuel John Nchimbi Songea Mjini CCM Deputy Minister of Defence
      Richard Mganga Ndassa Sumve CCM
      Philemon Ndesamburo Moshi Mjini CHADEMA
      Job Yustino Ndugai Kongwa CCM
      Sigifrid Seleman Ng'itu Ruangwa CCM
      Dr. Juma Alifa Ngasongwa Ulanga Magharibi CCM Minister of Planning, Economy and Empowerment
      William Mganga Ngeleja Sengerema CCM
      Kingunge Ngombale-Mwiru Nominated by the President CCM
      Cynthia Hilda Ngoye Special Seat (Women) CCM
      Hadija Saleh Ngozi Nominated by the President CCM
      Brg. Gen. Hassan Athumani Ngwilizi Mlalo CCM
      Dr. Omari Mzeru Nibuka Morogoro Mjini CCM
      Juma Abdallah Njwayo Tandahimba CCM
      Sijapata Fadhili Nkayamba Special Seat (Women) CCM
      Said Juma Nkumba Sikonge CCM
      Dr. Lucy Sawere Nkya Special Seat (Women) CCM
      Daniel Nicodem Nsanzugwanko Kasulu Mashariki CCM
      Tatu Musa Ntimizi Igalula CCM
      Lazaro Samuel Nyalandu Singida North CCM
      Ponsiano Damiano Nyami Nkasi CCM
      Richard Said Nyaulawa Mbeya Vijijini CCM
      Esther Kabadi Nyawazwa Special Seat (Women) CCM
      Christopher Olonyokie Ole-Sendeka Simanjiro CCM
      Juma Omar Said Mtambwe CUF
      Lucy Fidelis Owenya Special Seat (Women) CHADEMA
      Ussi Ame Pandu Mtoni CCM
      Mizengo Kayanza Peter Pinda Mpanda Mashariki CCM PRIME MINISTER
      Mwaka Abdulrahaman Ramadhan Special Seat (Women) CCM
      Shally Josepha Raymond Special Seat (Women) CCM
      Mhonga Said Ruhwanya Special Seat (Women) CHADEMA
      Kabuzi Faustine Rwilomba Busanda CCM
      Suleiman Ahmed Saddiq Mvomero CCM
      Mwanakhamis Kassim Said Special Seat (Women) CCM
      Mohamed Ali Said Mgogoni CUF
      Magdalena Hamis Sakaya No Constituency CUF
      Bujiku Philip Sakila Kwimba CCM
      Kidawa Hamid Salehe Special Seat (Women) CCM
      Masoud Abdallah Salim Mtambile CUF
      Ali Said Salim Ziwani CUF
      Salum Khamis Salum Meatu CCM
      Ahmed Ally Salum Solwa CCM
      Ibrahim Mohamed Sanya Mji Mkongwe CUF
      Prof. Philemon Mikol Sarungi Rorya CCM
      Ali Khamis Seif Mkoani CUF
      Lucas Lumambo Selelii Nzega CCM
      Haji Juma Sereweji Mwanakwerekwe CCM
      Peter Joseph Serukamba Kigoma Mjini CCM
      Ahmed Mabkhut Shabiby Gairo CCM
      Abdulkarim Esmail Hassan Shah Mafia CCM
      William Hezekia Shellukindo Bumbuli CCM
      Beatrice Matumbo Shellukindo Kilindi CCM
      Jacob Dalali Shibiliti Misungwi CCM
      John Magale Shibuda Maswa CCM
      Dr. Guido Gorogolio Sigonda Songwe CCM
      Sophia Mattayo Simba Nominated by the President CCM Minister of State, good governance
      George Boniface Simbachawene Kibakwe CCM
      Mohamed Said Sinani Mtwara Mjini CCM
      Margaret Simwanza Sitta Special Seat (Women) CCM Minister of gender, women and children affairs
      Samuel John Sitta Urambo Mashariki CCM
      Dr. Luka Jelas Siyame Mbozi Magharibi CCM
      Dr. Wilbrod Peter Slaa Karatu CHADEMA
      Mohammed Rajab Soud Jang'ombe CCM
      Ali Haroon Suleiman Zanzibar House of Representatives CCM
      Jeremiah Solomon Sumari Arumeru Mashariki CCM Deputy Minister of Finance
      Abdallah Salum Sumry Mpanda Magharibi CCM
      Eliatta Nandumpe Switi Special Seat (Women) CCM
      Hafidh Ali Tahir Dimani CCM
      Fatma Abdalla Tamim Zanzibar House of Representatives CCM
      Kaika Saning'o Telele Ngorongoro CCM
      Fred Mpendazoe Tungu Kishapu CCM
      Martha Jachi Umbulla Special Seat (Women) CCM
      Zaynab Matitu Vulu Special Seat (Women) CCM
      Anastazia James Wambura Special Seat (Women) CCM
      Chacha Zakayo Wangwe Tarime CHADEMA
      Dr. James Mnanka Wanyancha Serengeti CCM
      Stephen Masato Wasira Bunda CCM Minister of Agriculture
      Godfrey Weston Zambi Mbozi Mashariki CCM
      Mwanawetu Said Zarafi Special Seat (Women) CUF
      Kabwe Zuberi Zitto Kigoma Kaskazini CHADEMA
      Mzee Ngwali Zubeir Mkwajuni CCM
      Mussa Azan Zungu Ilala CCM

      By the way naomba msaada ya wapi umepata takwimu za ajira serikalini na wanafunzi wa vyuo vikuu.
      Zawadi Ngoda
      Naomba ujibu hili swali la Mwanafalsafa, maana naona umeliruka kama hujaliona!
      "Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it" - Malcolm X

    11. #70
      Mpogoro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th December 2008
      Location : Mahenge
      Posts : 363
      Rep Power : 609
      Likes Received
      7
      Likes Given
      2

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Mambo ya dini huwa hayanisumbui sana ila naamini pia kuwa toka Kikwete aingia madarakani waislamu wamepewa nafasi nyingi za juu kuliko wakristu....yaani appointments nyingi zilizofanywa kwa kipindi cha hivi karibuni ni za waislamu.

      Ila haina tatizo sana kwa kuwa si rahisi kushindana na Kristu...
      Patience has its limits, take it too far and it's cowardice--Holbrook Jackson

    12. #71
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,866
      Rep Power : 3799
      Likes Received
      1229
      Likes Given
      593

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By Zawadi Ngoda View Post
      Hebu wasomaji wa JF, angalieni maana sioni point ya kujibu zaidi ya matusi. Mimi sikulelewa hivyo, isitoshe nimetoka kwenye Ramadhani hivi juzi tu.

      Tafadhali andika tena point, yako nikujibu vinginevyo unapoteza wakati tu.
      Muone dakatari wa akili kwanza akupatie tiba ndipo utanielewa.
      Moola's the motive

    13. #72
      Gavana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th July 2008
      Posts : 7,345
      Rep Power : 1905
      Likes Received
      715
      Likes Given
      437

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By mwanamasala View Post
      Kuna islamisation kidogo kidogo Bongo!

      Siti bint Saad aliimba:
      Siri sifunue kwa wino wa rangi
      fahamu ujue kuna mambo mengi
      wajila mwenyewe kwa ujinga mwingi

      Soma attachment hapa
      Attached Files

    14. #73
      Msindima's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2009
      Location : KIVULULU
      Posts : 1,000
      Rep Power : 725
      Likes Received
      18
      Likes Given
      37

      Default Re: Udini

      Quote By shabbirmoawalla View Post
      Wana Jf mbona hawo akina nani sasa wanaona uchungu eti wizara ya elimu ina bagua dini, walikuwa wapi enzi za akina Bwana mgonja na wengine shule nyingi zilijengwa kwa akina wakiristo, scholoarship kwa akian hao tu hata wizara ya fedha ilitawaliwa na akina hao infact wizara na tasisi zote za serikali zilikuwa chini yao, hata leo temeblea wizara zote ana tasisi zote hususan TRA wenye cheo na nafisi nyeti ni wakina hao, kama muislamu ana nafisa hapo bisi yeye ni mesaja au cleaner.Haya wanajamii je huu ni haki?

      Sijakuelewa bro,lengo lako ni nini hasa katika hii post?

    15. #74
      Ngalikihinja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2009
      Posts : 4,679
      Rep Power : 1502
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      105

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By Peasant View Post
      Byasel,

      Spot on! I hate such sweeping statements. Mfano mtu anakuja na majina ya watu asiowajua na kuclaim kwamba ni waislam au wakristo based on the names! Tuna watu wengi sana wana majina ya kienyeji huko bongo, unawaweka kundi gani hawa? Pia wapo wenye majina ya kizungu na kiarabu ambao hawafuati hizo dini mbili, lakini sweeping statistc itakwambia kwamba kina Mohammed ni Waislam na kina John ni Wakristo (others are so dumb even to qualify them as Catholics!). Kwa logic hii yule Askofu Ramadhan kwanini asiwe muislam? Au kwanini isiwe Alhaj Tariq Aziz?
      Watu wanadhani dini ni jina. Wanasahau kuwa dini ni imani. Kuna watu tumesoma nao wana majina ya kusomea, wengine walibadili dini na wakabaki na majina yao. Kuna mmoja nakumbuka alikuwa anaitwa NTASHIMIKILO NYANGATA......... Unaweza ukabuni dini yake??? Kwa taarifa yanu alikuwa mkristu. Jamani dini si JINA bali IMANI ya mtu binafsi. Generali Ulimwengu ni wa dini gani..???? Asipokueleza yeye mwenyewe utajuwa..????? ACHENI JAZBA, JADILINI KWA HOJA NA SI MAJINA

    16. #75
      RealTz77's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2009
      Location : far from politics
      Posts : 722
      Rep Power : 658
      Likes Received
      16
      Likes Given
      21

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      wenzangu wenye dini na msio na dini,jambo muhimu hapa ni kuenda shule na kujizatiti kufight kiproffesionally,hapa tujione kama watanzania tunaojenga nchi yetu, anyway Sheikh sherriff amechange hope wengi pia watachange!!
      am not 40, am 18 yrs old with 22yrs experience!

    17. #76
      Madikizela's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th July 2009
      Posts : 205
      Rep Power : 548
      Likes Received
      30
      Likes Given
      143

      Default Re: Udini

      Fugwe wewe ni kichwa!!! una ubongo mkali sana

    18. #77
      matambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Location : malenga matitu
      Posts : 731
      Rep Power : 660
      Likes Received
      69
      Likes Given
      14

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      umesahau kuwa naibu mwingine wa wizara hii anaitwa Gaudensia Kabaka

      nafikiri mawazo yako yanaweza kuwa yana ukweli lakini yanaonyesha yanatoka kwa mtu mwenye element za udini,laiti nafasi nyingi za kiserikali katika taasisi zake zote kuanzia wizara mbalimbali,kurugenzi na mamlaka mbalimbali chini ya wizara hizo zingeangaliwa kwa jicho lako hilohilo ulilotumia kuangalia wizara ya elimu ningekuwa miongoni mwa watu ambao wangekupa hongera kwa kufanya utafiti wa mwaka 2009.

      toa boriti kwenye jicho lako ndipo utoe kibanzi kwenye jicho la mwenzio the so called biblia takatifu luka 6:41-42 and mathayo 7:15-23

    19. #78
      Buchanan's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 19th May 2009
      Location : Somewhere!
      Posts : 9,398
      Rep Power : 9005
      Likes Received
      852
      Likes Given
      340

      Default Re: Udini

      Safari ya Jk kuisilimisha nchi itaishia pabaya, it is just a matter of time! Learn from Somalia, Nigeria and elsewere! Lisemwalo lipo na kama halipo linakuja. Kila mara watu wanamtahadharisha kupitia vyombo vya habari kuhusu udini ambao aliuanzisha mwenyewe kupitia Ilani ya Uchaguzi, 2005 hasa alipodai kuwa "atatafuta ufumbuzi wa Mahakama za Kadhi" na baadaye kuuendeleza udini huo kwa kuwapika akina Membe (ambaye sio mbaya kama akianza kuvaa kibaraghashia) wachomekee hoja za OIC bungeni ili kutimiza ndoto yake hiyo ya usilimishaji! Kama angekuwa smart basi angetafuta "kufumbua na kuanzisha Mahakama za Kikatoliki, Kiprotestanti, Kihindu, n.k." Yeye alifikiri kuwa amani ya Tanzania imekuwepo kwa sababu, kama alivyowahi kuropoka Prof. Lipumba, eti "watanzania ni watu wa amani!" Mungu ampe maisha marefu ili aje ashuhudie ubaya wa matunda ya juhudi zake!"
      "Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu."(Rom. 8:38 - 39).

    20. #79
      Ng'azagala's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 7th June 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,007
      Rep Power : 764
      Likes Received
      89
      Likes Given
      320

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By Gongagonga View Post
      Wizara ya Elimu inayoongozwa na Alhaj Jumanne Maghembe (MB) akisaidiwa na Hajjat Mwantum Mahiza (MB) hivi karibuni kumekuwa na malalamiko ya upendeleo hususan katika ugawaji wa Scholarship za kwenda kusoma nje. Katibu mkuu wa wizara hii ni Alhaj Khamis Dihenga

      Jamaa yangu wa karibu wizarani kanitonya kuwa jamaa wana mkakati wa kusomesha vijana wao wengi iwezekanavyo eti wameonewa sana na sasa ni zamu yao.

      Kimsingi hakuna tatizo waislamu kupata nafasi hizo, lakini hata kama kuna mkristo kazidi sifa bado anakatwa ili nafasi apewe muislamu hapo ndio tatizo langu lilipo.

      Jamani hili taifa lnakwenda wapi sasa haya mambo kwa si ya kuya zarau kuna njama za kuisilimisha nchi hii.

      Mimi namshangaa JK iweje wizara moja aweke waislamu watupu? kuna kitu kinapikwa hapa tuwe macho
      Gongagonga na Zawadi, mnajua tofauti ya dini ya mtu na udini?
      maelezo yenu ni sumu mbaya sana katika jamii yetu. huku mitaani wakristu na waislamu tunaishi vizuri sana sijui kwa nini mnaandika ----- usio na utafiti wowote ACHENI JAMANI, UDINI TANZANIA HII HAUPO!!!!!

    21. #80
      Van Walter's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th June 2009
      Posts : 158
      Rep Power : 541
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      mbona mmechelewa sana kujua kuwa serikali inayoongozwa na jk ni ya kidini..mi nlishagundua zamani.

    Page 4 of 9 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Wizara Ya Elimu
      By lowamond in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 4
      Last Post: 15th November 2011, 10:40
    2. Wizara ya Elimu
      By ACTIVCT in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 4
      Last Post: 26th July 2011, 21:37
    3. Wizara ya Elimu fuatilieni hili Elimu inakufa
      By kilimasera in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 6
      Last Post: 13th May 2011, 18:21
    4. Nina wasiwasi na wataalamu tulionao kwenye wizara ya Elimu kuhusu Elimu zao
      By kabila01 in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 5
      Last Post: 3rd June 2009, 17:31

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...