Re: Udini
Safari ya Jk kuisilimisha nchi itaishia pabaya, it is just a matter of time! Learn from Somalia, Nigeria and elsewere! Lisemwalo lipo na kama halipo linakuja. Kila mara watu wanamtahadharisha kupitia vyombo vya habari kuhusu udini ambao aliuanzisha mwenyewe kupitia Ilani ya Uchaguzi, 2005 hasa alipodai kuwa "atatafuta ufumbuzi wa Mahakama za Kadhi" na baadaye kuuendeleza udini huo kwa kuwapika akina Membe (ambaye sio mbaya kama akianza kuvaa kibaraghashia) wachomekee hoja za OIC bungeni ili kutimiza ndoto yake hiyo ya usilimishaji! Kama angekuwa smart basi angetafuta "kufumbua na kuanzisha Mahakama za Kikatoliki, Kiprotestanti, Kihindu, n.k." Yeye alifikiri kuwa amani ya Tanzania imekuwepo kwa sababu, kama alivyowahi kuropoka Prof. Lipumba, eti "watanzania ni watu wa amani!" Mungu ampe maisha marefu ili aje ashuhudie ubaya wa matunda ya juhudi zake!"
"Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu."(Rom. 8:38 - 39).
Follow Us Here