Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Udini Wizara ya Elimu

    Report Post
    Page 2 of 9 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 167
    1. #1
      Gongagonga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd September 2009
      Posts : 26
      Rep Power : 496
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Udini Wizara ya Elimu

      Wizara ya Elimu inayoongozwa na Alhaj Jumanne Maghembe (MB) akisaidiwa na Hajjat Mwantum Mahiza (MB) hivi karibuni kumekuwa na malalamiko ya upendeleo hususan katika ugawaji wa Scholarship za kwenda kusoma nje. Katibu mkuu wa wizara hii ni Alhaj Khamis Dihenga

      Jamaa yangu wa karibu wizarani kanitonya kuwa jamaa wana mkakati wa kusomesha vijana wao wengi iwezekanavyo eti wameonewa sana na sasa ni zamu yao.

      Kimsingi hakuna tatizo waislamu kupata nafasi hizo, lakini hata kama kuna mkristo kazidi sifa bado anakatwa ili nafasi apewe muislamu hapo ndio tatizo langu lilipo.

      Jamani hili taifa lnakwenda wapi sasa haya mambo kwa si ya kuya zarau kuna njama za kuisilimisha nchi hii.

      Mimi namshangaa JK iweje wizara moja aweke waislamu watupu? kuna kitu kinapikwa hapa tuwe macho
      Last edited by Gongagonga; 1st October 2009 at 19:01.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      ituganhila's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th August 2009
      Posts : 17
      Rep Power : 498
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Nadhani tuwe wapole kwanza.alafu tuwe makini.Hao wanao sema kuna udini kwanza wao ndo wanaudini.Maana hao wanao kwenda kusoma nje je wanrudi kutumika misikitini au kwa watanzania? Wanatumikia Taifa.Cha maana nikuzingatia kanuni na taratibu za kazi.Pia kuongea bila takwimu ni ulaghai.Nchi ni ya watanzania na wanatumikia watanzania.Tutafakari kwa kina namna ya kujinasua katika uhujumu uchumi siku hizi tunaita ufisadi. Pia tupeleke watu wengi nje wakasome kwa vitendo na kuleta maendeleo katika nchi yetu.

    4. #22
      Zawadi Ngoda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Posts : 1,789
      Rep Power : 854
      Likes Received
      98
      Likes Given
      98

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By Ntambaswala
      Mkuu kama ulivyosema hiyo ilikuwa ni zamani siku hizi, anafanya huyu bwana peke yake. Huo ni mkakati maalumu ulioratibiwa vizuri sana wala hakuna bahati mbaya. Na wahitimu wote inahakikishwa wanapata kazi serikalini. Fanya utafiti katika miaka mitano iliyopita utaona 90% ya graduates waislamu wa vyuo vikuu wamepata kazi serikalini. Wakikosa huko basi kuna mashirika yafuatayo yatawachukua. Huko sifa ya kwanza lazima uwe mwislamu
      1. NSSF ya Ramadhan Dau
      2. TANESCO ya Idrissa
      3. TTCL ya yule kijana injia alikuwas acting CEO na sasa huyu Mzenji
      Kabla ya kulalamika kwanza tafuta takwimu za uwiano wa waajiriwa waserikali kati ya wakristo na wale wa dini nyingine. Ningekuomba anzia TRA-DAR.

      Kama umkweli na kuelewa usemi wa Biblia usemao: Mtendee mwenzio kama unavyopenda kutendewa mwenyewe Basi utapata machungu.

      Ndugu zangu wakristo tueleweni kwamba amani yeyote ile inapatikana pale ugawanaji wa Raslimali, nguvu kazi na ajira (hasa serikalini) zinapotolewa kwa uwiano sawa.

      Amani ya Tanzania kwa kiasi kikubwa imeletwa na waislam kwa kuvumilia na kutolalamikia hilo. Maana tukiandika takwimu za waajiriwa Serikalini kati ya wakristo na wale wa dini nyingine Mchozi utakutoka.

    5. #23
      Zawadi Ngoda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Posts : 1,789
      Rep Power : 854
      Likes Received
      98
      Likes Given
      98

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By Buchanan
      Huyu JK ni kuhakikisha hapiti mwakani! Kwanza huko Ikulu naona ame-overstay! Wakristo tukimwongezea JK miaka mingine mitano tumeliwa, huyu ni Rais wa waislamu pekee, ndio maana ameyaweka mambo ya kiislamu kwenye Ilani ya Uchaguzi, 2005, ameruhusu mijadala ya Kadhi na OIC bungeni na hatimaye kuamua kuunda Mahakama za Kadhi! Mpaka hapo hamjashtuka tunapelekwa wapi? Oh, wake up pls!
      Well, Mkitaka twende hivyo hakuna matatizo kabisa.

      Nyie chagueni tu Ngoma na mwimbo, nasi tuko tayari kucheza. Isitoshe sisi hatutapoteza sana.

      Kwanini hatutapoteza? Kwa sababuzifuatazo:

      1. Wabunge Tanzania bara- 75% wakristo.

      2.Ajira serikalini - 85% Wakristo

      3.Wanafunzi vyuo vikuu 70% Wakristo.

      Sasa hapo sisi tuna nini? Nyie chezeni mchezo, halafu muone. Mna uchaguzi, Amani au vurugu. Mkitaka amani tukae kwenye meza kujadili na kutatua hayo. Hamtaki amani tumieni magazeti, makanisa na nyaraka.

      Tumechoshwa na kutishwa tishwa kwa maneno huku mkificha takwimu. Kama nyie ni ma-sinia member wekeni mambo wazi. Ninamaanisha takwimu.

    6. #24
      Zawadi Ngoda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Posts : 1,789
      Rep Power : 854
      Likes Received
      98
      Likes Given
      98

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By Abdulhalim
      Nadhani hujaelewa.

      Hapa hoja sio idadi ya watu wa dini moja kuwa ofisi fulani. Concern ya mleta mada ni hoja ya upendeleo wa utoaji huduma kwa watanzania kwa kutazama majina ya kidini. Hili sio jambo la kulifumbia macho ktk ofisi yeyote ya umma, iwe mpewa madaraka ni mkristu au msilamu. Sijui kama hii imeingia kwenye ubongo wako.
      Acha Pumba! Kwani ajira utaipataje kama hukupata ujuzi wake? Katika elimu ndio mchezo mzima unakoanzia, msitufanye kuwa sisi ni majuha. Watu wengine utawaheshimu lakini, ikifika suala la utatuzi lihusulo dini wanatumia mioyo yao badala ya akili.

      Sikia nikwambie, fuatilia Barua ya Mkapa aliyomjibu Sheikh Ponda mwaka 2002 wakati Ponda akija na takwimu kuhusu uwiano wa ajira serikalini kati ya waislam na wakristo. Nitakusaidia jinsi Mkapa alivyojibu: Alikiri kuwepo na tofauti kubwa na kusema, hilo litarekebishwa pole pole kwa kuzingatia kwamba si rahisi kuwapata wataalam haraka haraka. Hapo mimi, wislam na wakristo wote nchini tulimuelewa ispokuwa Abdulhalim.

      Tumieni akili kuelewa matatizo yaliyopo, na sio Roho mtakatifu. Msifikiri hali iliyopo ni ya kudumu, lazima irekebishwe. Hatujali awe Rais Muislam au Mkristo tunachojua ni kudai haki yetu.

    7. #25
      kanda2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2007
      Posts : 1,368
      Rep Power : 891
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By Zawadi Ngoda
      Well, Mkitaka twende hivyo hakuna matatizo kabisa.

      Nyie chagueni tu Ngoma na mwimbo, nasi tuko tayari kucheza. Isitoshe sisi hatutapoteza sana.

      Kwanini hatutapoteza? Kwa sababuzifuatazo:

      1. Wabunge Tanzania bara- 75% wakristo.

      2.Ajira serikalini - 85% Wakristo

      3.Wanafunzi vyuo vikuu 70% Wakristo.

      Sasa hapo sisi tuna nini? Nyie chezeni mchezo, halafu muone. Mna uchaguzi, Amani au vurugu. Mkitaka amani tukae kwenye meza kujadili na kutatua hayo. Hamtaki amani tumieni magazeti, makanisa na nyaraka.

      Tumechoshwa na kutishwa tishwa kwa maneno huku mkificha takwimu. Kama nyie ni ma-sinia member wekeni mambo wazi. Ninamaanisha takwimu.
      Wasikushughulishe hawa watu wamefilisika hawana hoja. nimeuliza Scholarships hizo zimetoka lini na nani na nani wamepewa based on udini wamefeli kabisa.

      Naomba nieleze Udini wa wazi wizara ya Nishati na Madini.ambapo Katibu mkuu na waziri wote wakristu wamefanya utumbo wa hali juu kwenye ajira hivi Karibuni.

      Daily News la 03/06/09 waliita watu kwenye Interview kama kawaida yao wakawakaTA waislam wote, Interview hiyo ilifanyika makao makuu ya wizara ya Nishati na Madini ghorofa ya Sita chumba namba 605. Kuanzia Tarehe 15 hadi 17 june 2009.

      Majina ya walioitwa kwenye Interview kama ifuatavyo.

      1.INFORMATION TECHNOLOGY(IT)SPECIALIST. 15TH JUNE AT 10.00 AM

      1-ABEL MOSES KASEKO BOX 1965 DSM TEL 0713 604242.

      2-RAYMOND MICHAEL BOX 867 SONGEA 0713 228809.

      3-SOAMES SEMBE PHARES 0719 077707.

      KWENYE HIZI NAFASI ZA IT WAISLAM WALIOMBA KUNA MMOJA ANA VYETI VITANO VYA PROFESSIONAL VYA IT PAMOJA NA DIGRII YA UDSM LAKINI HAKUITWA.

      2. DATA ANALYST.15 JUNE AT 01.30 PM.

      1-BERNADA ERNEST 0754 393679.

      2-ANDREW ABRAHAM MWANGAKALA 0774 221100. WAISLAM WAKAACHWA.NAFASI MBILI NA WAMEITA WATU WAWILI KWENYE INTERVIEW.HUU NI MCHEZO WA KUIGIZA HIVI UDINI HUU USIO NA HAYA WALA AIBU UTATUFIKISHA WAPI?

      3-REPORT WRITER 15TH JUNE AT 2.30.

      1-STELLA A.MWENDA BOX 80486 DSM 0767 223 387.

      HAPA KUNA MUISLAM ALIKUWA ANA DIGRII YA HABARI,ANA DIPLOMA YA RELATIONS ANA CHETI CHA SHERIA NA MWANDISHI MWANDAMIZI AKATUPWA. TENA CHA AJABU NAFASI HII WAMEMWITA MTU MMOJA KWENYE NAFASI MOJA INTERVIEW YA NINI? WALIPOKOSA AIBU NDUGU ZETU HAPA WAMEWEKA MTU MMOJA TU. KWANI WAISLAM WALIOOMBA WANGEITWA KWENYE INTERVIEW MTU WAO ASINGEPATA KAZI.HR ZA HAWA WADINI WA KIKRISTU ZINAFANYA KAZI VIPI?

      4.ENVIRONMENTAL SCIENTIST.16 JUNE.AT 01.30.

      1.CASSIAN LUSHINDE,2-MONICA AUGUSTINO,3-NDELE MENGO.

      4-EMANUEL SUMAY 5-ISSAC I. 6.ZABIBU ANDREW.

      5.FINANCIAL ANALYST/AUDITOR.17TH JUNE AT 10.00 AM.

      1-ZEPHANIA HENRY. 2-NURU ABDALLAHMED. 3-BHUINDA M.NASSON.

      6.TAX EXPERT.17 JUNE 2009 AT 01.30

      1-MABULA MABULA 2-ALBERT NGOWI 3-VENANCE BAHATI.

      IMETOLEWA NA PERMANENT SECRETARY
      MINISTRY OF ENERGY AND MINERALS
      BOX 200,
      DAR ES SALAAM.

      NB NILITARAJIA MLETA UZUSHI WA WIZARA YA ELIMU ANGEKUJA NA DATA KAMA HIZI ZANGU NIMEWEKA TAREHE LINI NA WAPI HADI SIMU ZA WAHUSIKA WAPIGIENI. NI KAMA WALIVYOFANYA PUMBA OFISI YA BUNGE KUWAPA AJIRA WATU WA CHUO KIMOJA, DARASA MOJA INTAKE MOJA KWA KIGEZO CHA UKRISTU.

    8. Miaka 50

    9. #26
      kanda2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2007
      Posts : 1,368
      Rep Power : 891
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By jmushi1
      nina swali kutokana na hiyo quote hapo chini,unaposema "walipewa wakristo wakashindwa" je ina maana akipewa muislam "uislam" ndo utamwezesha kuongoza vyema tofauti na "wakristu?" ukweli ni kwamba uwezo wa kuongoza haungalii kama wewe ni dini gani unless unatumia dini kuongoza ama hata ufanisi wa kazi,kuwa well qualified kwa kazi ama uongozi haakuangalii ni dini gani,hio si mojawapo ya qualifications certainly kwenye process ya kupima ufanisi... Mambo mengine umeelezea vyema tu isipokuwa ungekuwa neutral ingekuwa vyema zaidi...kauli kama hizo unazochomekea ndio zinazidisha chuki za kidini.
      nadhani ungemsoma kwanza mtoa mada aliyesema kuwa ana mshangaa jk kuwapa waislam wizara ya elimu kuongoza.nimejibu kwa mujibu wa hoja ilivyoletwa mezani.najua ukweli ni mchungu kuusoma au kuuona.

      Pia nimeweka kopi ya kitabu cha mwembechai kuna data zaidi kuonesha nani anabanwa kwenye ajira na elimu.

    10. #27
      Haika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 1,688
      Rep Power : 914
      Likes Received
      238
      Likes Given
      358

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Kama je walioomba wana vigezo zaidi ya waliokosa?
      una ushahidi?

    11. #28
      Haika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 1,688
      Rep Power : 914
      Likes Received
      238
      Likes Given
      358

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Kama je walioomba wana vigezo zaidi ya waliokosa?
      una ushahidi?
      I hate this!!!
      Najua appointments za JK nyingi ni za waislamu, ila kama utendaji wao ni mbovu inabidi watolewe, na si

    12. #29
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,024
      Rep Power : 9492
      Likes Received
      3145
      Likes Given
      1224

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Udini na Ukabila hautunufaishi chochote kikubwa mnatujengea chuki ambazo hazina maana nchini mtu unavyo itwa kwenye interview vinaangaliwa vitu vingi sio kwamba jamaa eti ana degree kibao alafu wamemwacha yawezekana jamaa mtu kama huyo hawamtaki.
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    13. #30
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1200
      Likes Given
      559

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By Haika
      Kama je walioomba wana vigezo zaidi ya waliokosa?
      una ushahidi?
      I hate this!!!
      Najua appointments za JK nyingi ni za waislamu, ila kama utendaji wao ni mbovu inabidi watolewe, na si
      Mojawapo ya mambo linalopigiwa kelele kwa muda hapa JF (namaanisha Great Thinkers, sio wapumbavu kama akina Miss Ngoda et al) ni suala la vyeo vya kuteuana.

      Hiki ni chanzo kimojawapo cha mitafaruku isiyo na tija kwa taifa. Great thinkers wameshauri mara kadhaa hapa jamvini kuwa vyeo vyote vinavohusu utumishi wa umma viwe compettitive kwa maana kwamba tume huru za ajira zitangaze TOR, wenye kuona wanastahili waombe kisha lets the best man win it, lakini hali imekuwa ni kinyume chake.

      Na kwa bahati mbaya hata vyama vya upinzani vmekaa kimya kuhusu hili na hata vingine kuiga huu mfumo wa kuteuana kwenye ubunge wa viti maalum. Nakumbuka mojawapo ya chiki ktk CHADEMA vs Wangwe ilikuwa kuteua watu bila criteria zinazoeleweka kwenye hivi viti vya ubunge-maalum. Sasa unaweza kuona jinsi tatizo lilivyo kubwa, na hamna mtu anayekemea au kuchukua hatua.
      Moola's the motive

    14. #31
      Lyceum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2009
      Posts : 547
      Rep Power : 599
      Likes Received
      100
      Likes Given
      128

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Duh, kama ni kweli hii ni hatari. Ila tunaomba reliable source ya hiyo information ndugu tusijekuwa wnachama wa lile kundi la walalamikaji wasio na mipaka.

    15. #32
      shabbirmoawalla's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 9th September 2008
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Udini

      Wana Jf mbona hawo akina nani sasa wanaona uchungu eti wizara ya elimu ina bagua dini, walikuwa wapi enzi za akina Bwana mgonja na wengine shule nyingi zilijengwa kwa akina wakiristo, scholoarship kwa akian hao tu hata wizara ya fedha ilitawaliwa na akina hao infact wizara na tasisi zote za serikali zilikuwa chini yao, hata leo temeblea wizara zote ana tasisi zote hususan TRA wenye cheo na nafisi nyeti ni wakina hao, kama muislamu ana nafisa hapo bisi yeye ni mesaja au cleaner.Haya wanajamii je huu ni haki?

    16. #33
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,446
      Rep Power : 9878
      Likes Received
      609
      Likes Given
      445

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By Zawadi Ngoda
      Well, Mkitaka twende hivyo hakuna matatizo kabisa.

      Nyie chagueni tu Ngoma na mwimbo, nasi tuko tayari kucheza. Isitoshe sisi hatutapoteza sana.

      Kwanini hatutapoteza? Kwa sababuzifuatazo:

      1. Wabunge Tanzania bara- 75% wakristo.

      2.Ajira serikalini - 85% Wakristo

      3.Wanafunzi vyuo vikuu 70% Wakristo.

      Sasa hapo sisi tuna nini? Nyie chezeni mchezo, halafu muone. Mna uchaguzi, Amani au vurugu. Mkitaka amani tukae kwenye meza kujadili na kutatua hayo. Hamtaki amani tumieni magazeti, makanisa na nyaraka.

      Tumechoshwa na kutishwa tishwa kwa maneno huku mkificha takwimu. Kama nyie ni ma-sinia member wekeni mambo wazi. Ninamaanisha takwimu.

      Tanzania takwimu ni tatizo kubwa sana. kwa hiyo kupata uwiano wa Wakristo na Waislamu serikalini ni vigumu sana. Ila kwa bahati mbaya au nzuri kwa huku kwetu ni rahisi sana kujua dini ya mtu kwa kuangalia jina lake. Hapa chini nitaorodhesha wabunge wa Tanzania na majimbo yao. Naomba upige mahesabu uone kama inafika hiyo 75% uliyo itaja hapo juu.


      Tanzanian Members of Parliament, in alphabetical order

      Name Constituency Party Cabinet Position (if any)
      Anna Margareth Abdallah Special Seat (Women) CCM
      Mohamed Rished Abdallah Pangani CCM
      Maida Hamad Abdallah Special Seat (Women) CCM
      Mohammed Abdi Abdulaziz Lindi Mjini CCM
      Bahati Ali Abeid Special Seat (Women) CCM
      Khadija Salum Ally Al-Qassmy Special Seat (Women) CUF
      Fatma Othman Ali Special Seat (Women) CCM
      Ali Haji Ali Zanzibar House of Representatives CCM
      Dr. Ali Tarab Ali Konde CUF
      Aziza Sleyum Ally Special Seat (Women) CCM
      Ame Pandu Ame Nungwi CCM
      Kheri Khatib Ameir Matemwe CCM
      Ameir Ali Ameir Fuoni CCM
      Said Amour Arfi Mpanda Kati CHADEMA
      Rostam Abdulrasul Azizi Igunga CCM
      Idd Mohamed Azzan Kinondoni CCM
      Nuru Awadhi Bafadhili Special Seat (Women) CUF
      Faida Mohamed Bakar Special Seat (Women) CCM
      Abubakar Khamis Bakary Zanzibar House of Representatives CUF
      Prof. Feethan Filipo Banyikwa Ngara CCM
      Elizabeth Nkunda Batenga Special Seat (Women) CCM
      Joel Nkaya Bendera Korogwe Mashariki CCM Deputy Minister of Information, Culture, and Sports
      Gosbert Begumisa Blandes Karagwe CCM
      Felister Aloyce Bura Special Seat (Women) CCM
      Dr. Batilda Salha Burian Special Seat (Women) CCM Minister of state, environment
      Dr. Cyril August Chami Moshi Vijijini CCM Deputy Minister of Trade and Industry
      Hazara Pindi Chana Special Seat (Women) CCM
      Ania Said Chaurembo Special Seat (Women) CUF
      Dr. Raphael Masunga Chegeni Busega CCM
      Andrew John Chenge Bariadi Magharibi CCM
      Gideon Asimulike Cheyo Ileje CCM
      John Momose Cheyo Bariadi Mashariki UDP
      Hezekiah Ndahani Chibulenje Chilonwa CCM Deputy Minister of Infustructure
      Mathias Meinrad Chikawe Nachingwea CCM Minister of Justice and Constitutional Affairs
      Capt. John Zefania Chiligati Manyoni Mashariki CCM Minister of Lands and Human Settlements
      Diana Mkumbo Chilolo Special Seat (Women) CCM
      Samuel Mchele Chitalilo Buchosa CCM
      Christopher Kajoro Chiza Buyungu CCM
      Mohammed Amour Chombon Magomeni CCM
      Dr. Maua Abeid Daftari Special Seat (Women) CCM Deputy Minister Science technology and communication
      Dr. David Mathayo David Same Magharibi CCM Deputy Minister of Agriculture, Food Security, and Cooperatives
      Paschal Constantine Degera Kondoa South CCM
      Mohammed Gulam Dewji Singida Mjini CCM
      Hasnain Gulamabbas Dewji Kilwa Kusini CCM
      Anthony Mwandu Diallo Ilemela CCM
      Meryce Mussa Emmanuel Special Seat (Women) CUF
      Bakari Shamis Faki Ole CUF
      Col. Saleh Ali Farrah Raha Leo CCM
      Fatma Abdulhabib Fereji Zanzibar House of Representatives CUF
      Stephen Jones Galinoma Kalenga CCM
      Dr. Zainab Amir Gama Kibaha CCM
      Josephine Johnson Genzabuke Special Seat (Women) CCM
      Hawa Abdulrahman Ghasia Mtwara Vijijini CCM Minister of Public Service and Management
      Dr. Haji Mwita Haji Muyuni CCM
      Ali Juma Haji Chaani CCM
      Zuleikha Yunus Haji Special Seat (Women) CCM
      Hemed Mohammed Hemed Chonga CUF
      Maria Ibeshi Hewa Special Seat (Women) CCM
      Parmukh Singh Hoogan Kikwajuni CCM
      Ambassador Seif Ali Iddi Kitope CCM Deputy Minister of Foreign Affairs and International Relations
      Yahya Kassim Issa Chwaka CCM
      Issa Kassim Issa Mpendae CCM
      Athumani S. Janguo Kisarawe CCM
      Asha Mshimba Jecha Special Seat (Women) CCM
      Mwadini Abbas Jecha Wete CUF
      Shoka Khamis Juma Micheweni CUF
      Riziki Omar Juma Special Seat (Women) CUF
      Rajab Ahmad Juma Tumbatu CCM
      Gaudentia Mugosi Kabaka Special Seat (Women) CCM Deputy Minister of Education
      Siraju Juma Kaboyonga Tabora Mjini CCM
      Phares Kashemeza Kabuye Biharamulo Magharibi TLP
      Mgeni Jadi Kadika Special Seat (Women) CUF
      Ambassador Hamis Suedi Kagasheki Bukoba Mjini CCM
      Janet Bina Kahama Special Seat (Women) CCM
      Charles Muguta Kajege Mwibara CCM
      Dr. Diodorus Buberwa Kamala Nkenge CCM Minister of East African Cooperation
      Prof. Juma Athuman Kapuya Urambo Magharibi CCM Minister of Labour, Employment and youth development
      Nazir Mustafa Karamagi Bukoba Vijijini CCM
      Teddy Louise Kasella-Bantu Bukene CCM
      Mariam Reuben Kasembe Special Seat (Women) CCM
      Eustace Osler Katagira Kyerwa CCM
      Dr. Shukuru Jumanne Kawambwa Bagamoyo CCM Minister of Infustructure
      Vita Rashid Kawawa Namtumbo CCM
      Gaudence Cassian Kayombo Mbinga Mashariki CCM
      Charles N. Keenja Ubungo CCM
      Yono Stanley Kevela Njombe Magharibi CCM
      Salim Abdallah Khalfan Tumbe CUF
      Khalifa Suleiman Khalifa Gando CUF
      Salim Hemed Khamis Chambani CUF
      Vuai Abdallah Khamis Magogni CCM
      Mwajuma Hassan Khamis Special Seat (Women) CUF
      Abdisalaam Issa Khatib Makunduchi CCM
      Hassan Rajab Khatib Amani CCM
      Muhammed Seif Khatib Uzini CCM Minister of state, union affairs
      Dr. Aisha Omar Kigoda Special Seat (Women) CCM Deputy Minister of Health and Social Welfare
      Dr. Abdallah Omar Kigoda Handeni CCM
      Hassan Chande Kigwalilo Liwale CCM
      Felix Ntibenda Kijiko Muhambwe CCM
      Estherina Julio Kilasi Mbarali CCM
      Juma Hassan Killimbah Iramba Magharibi CCM
      Aloyce Bent Kimaro Vunjo CCM
      Halima Omar Kimbau Special Seat (Women) CCM
      Fuya Godwin Kimbita Hai CCM
      Paul Peter Kimiti Sumbawanga Mjini CCM
      Mkiwa Adam Kimwanga Special Seat (Women) CUF
      Rosemary Kasimbi Kirigini Special Seat (Women) CCM
      Grace Sindato Kiwelu Special Seat (Women) CHADEMA
      Capt. John Damiano Komba Mbinga Magharibi CCM
      Celina Ompeshi Kombani Ulanga Mashariki CCM Minister of Regional Administration and Local Government
      Anna Maulidah Komu Special Seat (Women) CHADEMA
      Suleiman Omar Kumchaya Lulindi CCM
      William Jonathan Kusila Bahi CCM
      Omar Shabani Kwaangw' Babati Mashariki CCM
      Michael Lekule Laizer Longido CCM
      James Daudi Lembeli Kahama CCM
      Castor Raphael Ligallama Kilombero CCM
      Devota Mkuwa Likokola Special Seat (Women) CCM
      Dr. Festus Bulugu Limbu Magu CCM
      Benedict Kiroya Losurutia Kiteto CCM
      Sameer Ismail Lotto Morogoro Kusini-Mashariki CCM
      Edward Ngoyai Lowassa Monduli CCM
      George Malima Lubeleje Mpwapwa CCM
      Emmanuel Jumanne Luhahula Bukombe CCM
      William Vangimembe Lukuvi Ismani CCM
      Riziki Said Lulida Special Seat (Women) CCM
      Anna Richard Lupembe Special Seat (Women) CCM
      John Paul Lwanji Manyoni Magharibi CCM
      Clemence Beatus Lyamba Mikumi CCM
      Susan Anselm Jerome Lyimo Special Seat (Women) CHADEMA
      Ernest Gakeya Mabina Geita CCM
      Joyce Nhamanilo Machimu Special Seat (Women) CCM
      Ephraim Nehemia Madeje Dodoma Mjini CCM
      Prof. Jumanne Abdallah Maghembe Mwanga CCM Minister of Education
      Fatma Mussa Maghimbi Chake Chake CUF
      John Pombe Joseph Magufuli Biharamulo Mashariki CCM Minister of livestock and fisheries
      Dr. Milton Makongoro Mahanga Ukonga CCM Deputy Minister of Labour
      Dr. Binilith Satano Mahenge Makete CCM
      Mwanatumu Bakari Mahiza Special Seat (Women) CCM Deputy Minister of Education
      Ezekiel Magolyo Maige Msalala CCM
      Anne Semamba Makinda Njombe Kusini CCM
      Jackson Muvangila Makwetta Njombe Kaskazini CCM
      Benito William Malangalila Mufindi Kusini CCM
      John Samwel Malecela Mtera CCM
      Anne Kilango Malecela Same Mashariki CCM
      Adam Kighoma Ali Malima Mkuranga CCM
      Halima Mohammed Mamuya Special Seat (Women) CCM
      Ramadhani Athumani Maneno Chalinze CCM
      Stella Martin Manyanya Special Seat (Women) CCM
      Vedastusi Mathayo Manyinyi Musoma Mjini CCM
      Philip Sang'ka Marmo Mbulu CCM Minister of state, parliamentary affairs
      Abdul Jabiri Marombwa Kibiti CCM
      Lawrence Kego Masha Nyamagana CCM Minister of home Affairs
      Wilson Mutagaywa Masilingi Muleba South CCM
      Masolwa Cosmas Masolwa Bububu CCM
      Haroub Said Masoud Koani CCM
      Janeth Mourice Massaburi Special Seat (Women) CCM
      Joyce Martin Masunga Special Seat (Women) CCM
      Zubeir Ali Maulid Kwamtipura CCM
      Lucy Thomas Mayenga Special Seat (Women) CCM
      Kiumbwa Makame Mbaraka Special Seat (Women) CCM
      Salome Joseph Mbatia Special Seat (Women) CCM Deceased
      Monica Ngezi Mbega Iringa Mjini CCM
      Mwanne Ismaily Mchemba Special Seat (Women) CCM
      Halima James Mdee Special Seat (Women) CHADEMA
      Zakia Hamdani Meghji Nominated by the President CCM
      Bernard Kamillius Membe Mtama CCM Minister of foreign affairs
      Mariam Salum Mfaki Special Seat (Women) CCM
      Feteh Saad Mgeni Bumbwini CCM
      Jenista Joakim Mhagama Peramiho CCM
      Laus Omar Mhina Korogwe Vijijini CCM
      Zabein Muhaji Mhita Kondoa Kaskazini CCM
      Fatma Abdallah Mikidadi Special Seat (Women) CCM
      Mohamed Hamisi Missanga Singida Kusini CCM
      Margreth Agness Mkanga Special Seat (Women) CCM
      Dunstan Daniel Mkapa Nanyumbu CCM
      Nimrod Elirehema Mkono Musoma Vijijini CCM
      Capt. George Huruma Mkuchika Newala CCM
      Mustafa Haidi Mkulo Kilosa CCM Minister of Finance
      Rita Louise Mlaki Kawe CCM
      Martha Mosses Mlata Special Seat (Women) CCM
      Dr. Charles Ogessa Mlingwa Shinyanga Mjini CCM
      Lediana Mafuru Mng'ong'o Special Seat (Women) CCM
      Mohamed Habib Juma Mnyaa Mkanyageni CUF
      Ali Ameir Mohamed Donge CCM
      Hamad Rashid Mohamed Wawi CUF
      Mohamed Aboud Mohamed Nominated by the President CCM Deputy Minister of Public Security and Safety
      Salim Yussuf Mohamed Kojani CUF
      Elisa David Mollel Arumeru Magharibi CCM
      Ambassador Gertrude Ibengwe Mongella Ukerewe CCM
      Amina Chifupa Mpakanjia Special Seat (Women) CCM (Deceased)
      Dr. Samson Ferdinand Mpanda Kilwa Kaskazini CCM
      Benson Mwailugula Mpesya Mbeya Mjini CCM
      Luhaga Joelson Mpina Kisesa CCM
      Kilontsi Muhama Mporogomyi Kasulu Magharibi CCM
      Basil Pesambili Mramba Rombo CCM
      Felix Christopher Mrema Arusha CCM
      Raynald Alfons Mrope Masasi CCM
      Dr. Ibrahim Said Msabaha Kibaha Vijijini CCM
      Ruth Blasio Msafiri Muleba Kaskazini CCM
      Manju Salum Omar Msambya Kigoma South CCM
      Dr. James Alex Msekela Tabora Kaskazini CCM
      Ambassador Abdi Hassan Mshangama Lushoto CCM
      Mgana Izumbe Msindai Iramba Mashariki CCM
      Prof. Peter Mahamudu Msolla Kilolo CCM Minister of Communication, Science and Technology
      Mwinchoum Abdulrahman Msomi Kigamboni CCM
      Herbert James Mtangi Muheza CCM
      Abbas Zuberi Mtemvu Temeke CCM
      Prof. Idris Ali Mtulia Rufiji CCM
      Mudhihir Mohamed Mudhihir Mchinga CCM
      Joseph James Mungai Mufindi Kaskazini CCM
      James Philipo Musalika Nyang'hwale CCM
      Bernadeta Kasabago Mushashu Special Seat (Women) CCM
      Dorah Herial Mushi Special Seat (Women) CCM
      Mossy Suleiman Mussa Mfenesini CCM
      Omar Sheha Mussa Chumbuni CCM
      Dr. Harrison George Mwakyembe Kyela CCM
      Prof. David Homeli Mwakyusa Rungwe Magharibi CCM Minister of Health and Social Welfare
      Prof. Raphael Benedict Mwalyosi Ludewa CCM
      Victor Kilasile Mwambalaswa Lupa CCM
      Ludovick John Mwananzila Kalambo CCM
      Mbaruk Kassim Mwandoro Mkinga CCM
      Prof. Mark James Mwandosya Rungwe Mashariki CCM Minister water and irrigation
      Thomas Abson Mwang'onda Nominated by the President CCM
      Shamsa Selengia Mwangunga Special Seat (Women) CCM Minister of Natural Resources
      Aggrey Deaisile Joshua Mwanri Siha CCM
      Johnson Paulo Mathias Mwanyika Attorney General CCM Attorney General
      Harith Bakari Mwapachu Tanga CCM Minister of Public Security and Safety
      Hamza Abdallah Mwenegoha Morogoro Kusini CCM
      Savelina Silvanus Mwijage Special Seat (Women) CUF
      Dr. Hussein Ali Mwinyi Kwahani CCM Minister of Defence
      Omar Ali Mzee Kiwani CUF
      Omar Yussuf Mzee Kiembesamaki CCM Deputy Minister of Finance
      Dr. Chrisant Majiyatanga Mzindakaya Kwela CCM
      Juma Suleiman N'hunga Dole CCM
      Dr. Mary Michael Nagu Hanang CCM Minister of Industries, Trade, and Marketing
      Damas Pascal Babati Magharibi CCM
      Dr. Emmanuel John Nchimbi Songea Mjini CCM Deputy Minister of Defence
      Richard Mganga Ndassa Sumve CCM
      Philemon Ndesamburo Moshi Mjini CHADEMA
      Job Yustino Ndugai Kongwa CCM
      Sigifrid Seleman Ng'itu Ruangwa CCM
      Dr. Juma Alifa Ngasongwa Ulanga Magharibi CCM Minister of Planning, Economy and Empowerment
      William Mganga Ngeleja Sengerema CCM
      Kingunge Ngombale-Mwiru Nominated by the President CCM
      Cynthia Hilda Ngoye Special Seat (Women) CCM
      Hadija Saleh Ngozi Nominated by the President CCM
      Brg. Gen. Hassan Athumani Ngwilizi Mlalo CCM
      Dr. Omari Mzeru Nibuka Morogoro Mjini CCM
      Juma Abdallah Njwayo Tandahimba CCM
      Sijapata Fadhili Nkayamba Special Seat (Women) CCM
      Said Juma Nkumba Sikonge CCM
      Dr. Lucy Sawere Nkya Special Seat (Women) CCM
      Daniel Nicodem Nsanzugwanko Kasulu Mashariki CCM
      Tatu Musa Ntimizi Igalula CCM
      Lazaro Samuel Nyalandu Singida North CCM
      Ponsiano Damiano Nyami Nkasi CCM
      Richard Said Nyaulawa Mbeya Vijijini CCM
      Esther Kabadi Nyawazwa Special Seat (Women) CCM
      Christopher Olonyokie Ole-Sendeka Simanjiro CCM
      Juma Omar Said Mtambwe CUF
      Lucy Fidelis Owenya Special Seat (Women) CHADEMA
      Ussi Ame Pandu Mtoni CCM
      Mizengo Kayanza Peter Pinda Mpanda Mashariki CCM PRIME MINISTER
      Mwaka Abdulrahaman Ramadhan Special Seat (Women) CCM
      Shally Josepha Raymond Special Seat (Women) CCM
      Mhonga Said Ruhwanya Special Seat (Women) CHADEMA
      Kabuzi Faustine Rwilomba Busanda CCM
      Suleiman Ahmed Saddiq Mvomero CCM
      Mwanakhamis Kassim Said Special Seat (Women) CCM
      Mohamed Ali Said Mgogoni CUF
      Magdalena Hamis Sakaya No Constituency CUF
      Bujiku Philip Sakila Kwimba CCM
      Kidawa Hamid Salehe Special Seat (Women) CCM
      Masoud Abdallah Salim Mtambile CUF
      Ali Said Salim Ziwani CUF
      Salum Khamis Salum Meatu CCM
      Ahmed Ally Salum Solwa CCM
      Ibrahim Mohamed Sanya Mji Mkongwe CUF
      Prof. Philemon Mikol Sarungi Rorya CCM
      Ali Khamis Seif Mkoani CUF
      Lucas Lumambo Selelii Nzega CCM
      Haji Juma Sereweji Mwanakwerekwe CCM
      Peter Joseph Serukamba Kigoma Mjini CCM
      Ahmed Mabkhut Shabiby Gairo CCM
      Abdulkarim Esmail Hassan Shah Mafia CCM
      William Hezekia Shellukindo Bumbuli CCM
      Beatrice Matumbo Shellukindo Kilindi CCM
      Jacob Dalali Shibiliti Misungwi CCM
      John Magale Shibuda Maswa CCM
      Dr. Guido Gorogolio Sigonda Songwe CCM
      Sophia Mattayo Simba Nominated by the President CCM Minister of State, good governance
      George Boniface Simbachawene Kibakwe CCM
      Mohamed Said Sinani Mtwara Mjini CCM
      Margaret Simwanza Sitta Special Seat (Women) CCM Minister of gender, women and children affairs
      Samuel John Sitta Urambo Mashariki CCM
      Dr. Luka Jelas Siyame Mbozi Magharibi CCM
      Dr. Wilbrod Peter Slaa Karatu CHADEMA
      Mohammed Rajab Soud Jang'ombe CCM
      Ali Haroon Suleiman Zanzibar House of Representatives CCM
      Jeremiah Solomon Sumari Arumeru Mashariki CCM Deputy Minister of Finance
      Abdallah Salum Sumry Mpanda Magharibi CCM
      Eliatta Nandumpe Switi Special Seat (Women) CCM
      Hafidh Ali Tahir Dimani CCM
      Fatma Abdalla Tamim Zanzibar House of Representatives CCM
      Kaika Saning'o Telele Ngorongoro CCM
      Fred Mpendazoe Tungu Kishapu CCM
      Martha Jachi Umbulla Special Seat (Women) CCM
      Zaynab Matitu Vulu Special Seat (Women) CCM
      Anastazia James Wambura Special Seat (Women) CCM
      Chacha Zakayo Wangwe Tarime CHADEMA
      Dr. James Mnanka Wanyancha Serengeti CCM
      Stephen Masato Wasira Bunda CCM Minister of Agriculture
      Godfrey Weston Zambi Mbozi Mashariki CCM
      Mwanawetu Said Zarafi Special Seat (Women) CUF
      Kabwe Zuberi Zitto Kigoma Kaskazini CHADEMA
      Mzee Ngwali Zubeir Mkwajuni CCM
      Mussa Azan Zungu Ilala CCM

      By the way naomba msaada ya wapi umepata takwimu za ajira serikalini na wanafunzi wa vyuo vikuu.

    17. #34
      Fugwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Tabata Dampo
      Posts : 847
      Rep Power : 717
      Likes Received
      95
      Likes Given
      43

      Default Re: Udini

      Dhambi ya ubaguzi ikianza hiishii kubagua waislam na wakristo tu itaendelea katika maeneo mengine. Ukisema Wizara ya fedha walikuwa wakristo tu mimi nasema walikuwa watu kutoka kaskazini (Kilimanjaro, Arusha n.k) ambapo mikoa mingine tulibaguliwa. Sasa angalia dhambi ya ubaguzi ilivyo na inavyo endeleza ubaguzi.

      Jamani tuache ubaguzi, maana tutaanza kuangaliana wewe unatoka wapi, nani mkristo nani mwuislam nani wa kabila gani n.k. haya hayatatusaidia. Anayefanya ubaguzi amulikwe na aondolewe kwenye nafasi aliyonayo. Nakiri ishara za udini zinaanza kujitokeza wazi wazi

    18. #35
      cradibility's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th June 2009
      Posts : 11
      Rep Power : 505
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Mmeishiwa hamna lolote.mbona hamkusema kitu wakati wa mkapa wakati wakuu wa mikoa walikuwa wawili tu waislam.ukiona mtu analalamikia udini yeye ndio mdini zaidi.Hamtaki kuongozwa na muislam kwa sababu mnafundishwa makanisani hivyo.mmezoea kuwaburuza waislam na favour kutoka serikalini sasa zimepunguzwa mnaanza kulalamika.

    19. #36
      Mike 1234's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2009
      Location : Mikocheni
      Posts : 1,341
      Rep Power : 790
      Likes Received
      89
      Likes Given
      35

      Default Re: Udini

      Quote By shabbirmoawalla
      Wana Jf mbona hawo akina nani sasa wanaona uchungu eti wizara ya elimu ina bagua dini, walikuwa wapi enzi za akina Bwana mgonja na wengine shule nyingi zilijengwa kwa akina wakiristo, scholoarship kwa akian hao tu hata wizara ya fedha ilitawaliwa na akina hao infact wizara na tasisi zote za serikali zilikuwa chini yao, hata leo temeblea wizara zote ana tasisi zote hususan TRA wenye cheo na nafisi nyeti ni wakina hao, kama muislamu ana nafisa hapo bisi yeye ni mesaja au cleaner.Haya wanajamii je huu ni haki?
      Kabla hujaandika fikiria kwanza,

    20. #37
      K4jolly's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2009
      Posts : 361
      Rep Power : 581
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Udini

      Quote By shabbirmoawalla
      Wana Jf mbona hawo akina nani sasa wanaona uchungu eti wizara ya elimu ina bagua dini, walikuwa wapi enzi za akina Bwana mgonja na wengine shule nyingi zilijengwa kwa akina wakiristo, scholoarship kwa akian hao tu hata wizara ya fedha ilitawaliwa na akina hao infact wizara na tasisi zote za serikali zilikuwa chini yao, hata leo temeblea wizara zote ana tasisi zote hususan TRA wenye cheo na nafisi nyeti ni wakina hao, kama muislamu ana nafisa hapo bisi yeye ni mesaja au cleaner.Haya wanajamii je huu ni haki?
      shabbirmoawalla


      Junior Member
      Join Date: Tue Sep 2008
      Posts: 2
      Thanks: 0
      Thanked 0 Times in 0 Posts

      Du! Yaani umejiunga juzi umekuja special kwa ajili hii.

      Juzi juzi nilikuwa napitia humu nikakutana na Member (Kanakansungu)
      akielezea kuwa ameachana JF imepoteza mwelekeo.

      Sasa nadhani humu kuna watu wanajiunga kuja kuvuruga kama kule kwenye vita vya ufisadi.

      Moderator take care kijiwe hiki kimevamia safari naona itakuwa fupi!

    21. #38
      Ngalikihinja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2009
      Posts : 4,415
      Rep Power : 1446
      Likes Received
      988
      Likes Given
      96

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By kanda2
      Wasikushughulishe hawa watu wamefilisika hawana hoja. nimeuliza Scholarships hizo zimetoka lini na nani na nani wamepewa based on udini wamefeli kabisa.

      Naomba nieleze Udini wa wazi wizara ya Nishati na Madini.ambapo Katibu mkuu na waziri wote wakristu wamefanya utumbo wa hali juu kwenye ajira hivi Karibuni.

      Daily News la 03/06/09 waliita watu kwenye Interview kama kawaida yao wakawakaTA waislam wote, Interview hiyo ilifanyika makao makuu ya wizara ya Nishati na Madini ghorofa ya Sita chumba namba 605. Kuanzia Tarehe 15 hadi 17 june 2009.

      Majina ya walioitwa kwenye Interview kama ifuatavyo.

      1.INFORMATION TECHNOLOGY(IT)SPECIALIST. 15TH JUNE AT 10.00 AM

      1-ABEL MOSES KASEKO BOX 1965 DSM TEL 0713 604242.

      2-RAYMOND MICHAEL BOX 867 SONGEA 0713 228809.

      3-SOAMES SEMBE PHARES 0719 077707.

      KWENYE HIZI NAFASI ZA IT WAISLAM WALIOMBA KUNA MMOJA ANA VYETI VITANO VYA PROFESSIONAL VYA IT PAMOJA NA DIGRII YA UDSM LAKINI HAKUITWA.

      2. DATA ANALYST.15 JUNE AT 01.30 PM.

      1-BERNADA ERNEST 0754 393679.

      2-ANDREW ABRAHAM MWANGAKALA 0774 221100. WAISLAM WAKAACHWA.NAFASI MBILI NA WAMEITA WATU WAWILI KWENYE INTERVIEW.HUU NI MCHEZO WA KUIGIZA HIVI UDINI HUU USIO NA HAYA WALA AIBU UTATUFIKISHA WAPI?

      3-REPORT WRITER 15TH JUNE AT 2.30.

      1-STELLA A.MWENDA BOX 80486 DSM 0767 223 387.

      HAPA KUNA MUISLAM ALIKUWA ANA DIGRII YA HABARI,ANA DIPLOMA YA RELATIONS ANA CHETI CHA SHERIA NA MWANDISHI MWANDAMIZI AKATUPWA. TENA CHA AJABU NAFASI HII WAMEMWITA MTU MMOJA KWENYE NAFASI MOJA INTERVIEW YA NINI? WALIPOKOSA AIBU NDUGU ZETU HAPA WAMEWEKA MTU MMOJA TU. KWANI WAISLAM WALIOOMBA WANGEITWA KWENYE INTERVIEW MTU WAO ASINGEPATA KAZI.HR ZA HAWA WADINI WA KIKRISTU ZINAFANYA KAZI VIPI?

      4.ENVIRONMENTAL SCIENTIST.16 JUNE.AT 01.30.

      1.CASSIAN LUSHINDE,2-MONICA AUGUSTINO,3-NDELE MENGO.

      4-EMANUEL SUMAY 5-ISSAC I. 6.ZABIBU ANDREW.

      5.FINANCIAL ANALYST/AUDITOR.17TH JUNE AT 10.00 AM.

      1-ZEPHANIA HENRY. 2-NURU ABDALLAHMED. 3-BHUINDA M.NASSON.

      6.TAX EXPERT.17 JUNE 2009 AT 01.30

      1-MABULA MABULA 2-ALBERT NGOWI 3-VENANCE BAHATI.

      IMETOLEWA NA PERMANENT SECRETARY
      MINISTRY OF ENERGY AND MINERALS
      BOX 200,
      DAR ES SALAAM.

      NB NILITARAJIA MLETA UZUSHI WA WIZARA YA ELIMU ANGEKUJA NA DATA KAMA HIZI ZANGU NIMEWEKA TAREHE LINI NA WAPI HADI SIMU ZA WAHUSIKA WAPIGIENI. NI KAMA WALIVYOFANYA PUMBA OFISI YA BUNGE KUWAPA AJIRA WATU WA CHUO KIMOJA, DARASA MOJA INTAKE MOJA KWA KIGEZO CHA UKRISTU.
      Ungeweka basi na majina ya waislamu waliokatwa na namba zao za simu kama ulivyofanya kwa hao wengine. Halafu idadi ya digrii ulizonazo siyo kigezo muhimu sana. Kama ingekuwa hivyo basi kazi zote angechukuwa TUNTEMEKE SANGA, si mnakumbuka alikuwa na digrii saba..??????!!!! Vile vile hayo majina unaweza ukawa umeyapika tuu. Ushahidi mzuri ni scaned copy ya original tangazo, kwa jinsi ulivyofanya hapo "is not a proof beyond reasonable dought". Inawezekana umefanya usekretari wako wa kutaipu na kutuwekea hapa JF.
      Last edited by Ngalikihinja; 2nd October 2009 at 09:37. Reason: Adding more facts

    22. #39
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,959
      Rep Power : 3699
      Likes Received
      3576
      Likes Given
      5754

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      eeeh hizi habari nzito
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    23. #40
      Ngalikihinja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2009
      Posts : 4,415
      Rep Power : 1446
      Likes Received
      988
      Likes Given
      96

      Default Re: Udini Wizara ya Elimu

      Quote By cradibility
      Mmeishiwa hamna lolote.mbona hamkusema kitu wakati wa mkapa wakati wakuu wa mikoa walikuwa wawili tu waislam.ukiona mtu analalamikia udini yeye ndio mdini zaidi.Hamtaki kuongozwa na muislam kwa sababu mnafundishwa makanisani hivyo.mmezoea kuwaburuza waislam na favour kutoka serikalini sasa zimepunguzwa mnaanza kulalamika.
      Kuzidi kwa waislamu au wakristu sehemu fulani ya kazi is not an issue. Nadhani mtoa mada anakerwa na jinsi mtu anavyoipata hiyo skolashipu. Dini should not be one of the factors.

      Namuunga mkono. Ingekuwa tunachagua shehe au askofu, ok, vigezo ni dini ya mtu. Lakini kama tunachagua mtu wa kuziba nafasi yoyote ile nje ya nafasi ya kidini, basi dini isihusishwe kwa namna yoyote ile. Mkakati pekee unahitajika katika kiziba nafasi yoyote ile ni kuhakikisha unakuwa na vigezo vinavyohitajika katika nafasi hiyo.

    Similar Topics

    1. Wizara Ya Elimu
      By lowamond in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 4
      Last Post: 15th November 2011, 10:40
    2. Wizara ya Elimu
      By ACTIVCT in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 4
      Last Post: 26th July 2011, 21:37
    3. Wizara ya Elimu fuatilieni hili Elimu inakufa
      By kilimasera in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 6
      Last Post: 13th May 2011, 18:21
    4. Nina wasiwasi na wataalamu tulionao kwenye wizara ya Elimu kuhusu Elimu zao
      By kabila01 in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 5
      Last Post: 3rd June 2009, 17:31

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...