Wana Jf mbona hawo akina nani sasa wanaona uchungu eti wizara ya elimu ina bagua dini, walikuwa wapi enzi za akina Bwana mgonja na wengine shule nyingi zilijengwa kwa akina wakiristo, scholoarship kwa akian hao tu hata wizara ya fedha ilitawaliwa na akina hao infact wizara na tasisi zote za serikali zilikuwa chini yao, hata leo temeblea wizara zote ana tasisi zote hususan TRA wenye cheo na nafisi nyeti ni wakina hao, kama muislamu ana nafisa hapo bisi yeye ni mesaja au cleaner.Haya wanajamii je huu ni haki?
shabbirmoawalla
Junior Member
Join Date: Tue Sep 2008
Posts: 2
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Follow Us Here