Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tutarajie nini matokeo kidato cha nne 2013?

    Report Post
    Page 3 of 8 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 160
    1. #1
      mirisho pm's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2012
      Posts : 142
      Rep Power : 387
      Likes Received
      33
      Likes Given
      32

      Default Tutarajie nini matokeo kidato cha nne 2013?

      Muda wowote kuanzia hivi sasa matokeo ya kidato cha nne kwa watahiniwa wa 2012 yanaweza kutangazwa rasmi. Kama kawaida wadau wengi wa maendeleo hususan sekta ya elimu wanatarajia mengi, hata vimbwanga na takwimu za hapa na pale mradi siku zinapita, ilhali kuna tatizo la msingi kwenye elimu yetu ya sekondari, mara nyingi baada ya matokeo tumepata zaid kujua wanaoendelea na masomo ya form v na vi na vyuo vya ufundi.

      Swali langu linakuja je hawa malaki watakaopata sufuri??? narudia tena sufur? au four ya sawa na sufur?? tunawasaidiaje kama taifa? maamuz ya leo matokeo ya kesho.

      Mfano: Waliofaulu kwenda kidato cha kwanza mwaka huu 2013, zaid ya 50% wamepata daraja D. sasa kwel tunaweza kuendeleza elimu yetu kwa kufurahisha wanasiasa pekee? na takwimu za danganya toto? ubaguzi wa elimu waz waz? tufanye ki2, tuache kulalamika.. wewe unaona tukifanyie nini kizaz hiki? au tukiache tu kipotelee huko??

      Tushirikishane..UDONGO UWAHI UNGALI MAJI !
      bily likes this.

    2. Miaka 50

    3. #41
      AKLAN MWASHA's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 13th May 2011
      Posts : 9
      Rep Power : 407
      Likes Received
      1
      Likes Given
      7

      Default Re: kidato cha nne 2012 matokeo....

      Matokeo mara nyingi ni kabla ya kuanza mitihani ya form six. check out

    4. #42
      Naturalist's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 23rd August 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 340
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By AKLAN MWASHA
      Matokeo mara nyingi ni kabla ya kuanza mitihani ya form six. check out
      ooh its true! So it wil b b4 11th of feb

    5. #43
      MFYU's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Location : DAR
      Posts : 239
      Rep Power : 394
      Likes Received
      22
      Likes Given
      41

      Default Re: kidato cha nne 2012 matokeo....

      ha ha ha ha ha yan apa wamejaa watoto,kwi kwi kwi kwi kwi! Matokeo ni wiki ya 1st Feb,b4 ACSEE..WIKI YA TAREHE 4 feb

    6. #44
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,397
      Rep Power : 645
      Likes Received
      399
      Likes Given
      93

      Default Re: kidato cha nne 2012 matokeo....

      Kuwa mpole tunajumlisha

    7. #45
      shax willy's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: kidato cha nne 2012 matokeo....

      wanajichelewesha2 one yangu palepale

    8. FemaTV & Radio

    9. #46
      kimarojoseph's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 10th October 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 334
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Thumbs up Re: kidato cha nne 2012 matokeo....

      TULIZA MTORI NYAMA ZIKO CHINI MATOKEO 4M 4 YANAJUMLISHWA VIZURI NDANI YA WIKI HII YATATOKA.NO PROBLEM>KAJIPANGE TU 1,2,3, NA 4ZA POINT 26,27 WAMECHAGULIWA.NI KAMA ILIVYOFANYIKA SHULE ZA MSINGI ..>MMES OYEEEEEEEE!> HII NDIO TANNNNNNNNNZANIA


    10. #47
      Jembe na Nyundo's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 26th August 2011
      Posts : 9
      Rep Power : 392
      Likes Received
      1
      Likes Given
      4

      Default Re: kidato cha nne 2012 matokeo....

      Quote By NIWEMUGIZI2013
      Hata mimi ni mhitimu lkn mtaani watu bp iko beyond normal
      bp inatoka wapi? kwani c unaelewa ulichokipanda? Kama ulipanda njugu mawe usitarajie karanga, ni njugu mawe tu...wote mnaopandwa na bp kwa ajili ya matokeo mnategemea miujiza tu, mnajua mlifanya utumbo kwenye mitihani hivyo mnasubiri miujiza. Nakushauri usijisababishie matatizo zaidi kiafya, nenda dukani ununue jembe ujiandae kwenda shambani ukalime. Ni kazi nzuri tu

    11. #48
      Mchimbwi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th January 2013
      Posts : 25
      Rep Power : 325
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: kidato cha nne 2012 matokeo....

      Kijana ondoa wasi,tulia tuli kama maji ya mtungini kwani nasi wakitukoroga tu tunafanya kama UDOM!

    12. #49
      Blaros kida's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th January 2013
      Posts : 30
      Rep Power : 323
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: kidato cha nne 2012 matokeo....

      Aaa i wish mwaka huu form four ni mavuno tu.

    13. #50
      mayounger's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th August 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 352
      Likes Received
      3
      Likes Given
      6

      Default

      wayaachie tu manake.....

    14. #51
      MARO BM's Avatar
      Member Array
      Join Date : 31st December 2011
      Posts : 87
      Rep Power : 390
      Likes Received
      2
      Likes Given
      37

      Default Re: kidato cha nne 2012 matokeo....

      Quote By TONY MTAKAYOTE
      eti wana jf matokeo ya waliomaliza pepa la kidato cha nne necta mwaka jana yanatoka lini....?
      NIMESIKIA WENGINE WANASEMA MWEZ WA NNE ,WENGINE MWEZI WAPILI , Nipate uhakika kutoka kwenu....
      Uliza mliomaliza nao form 4,humu ni Graduate tu wamo na hawafuatilii hizo mambo

    15. #52
      Dean's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st January 2013
      Posts : 171
      Rep Power : 355
      Likes Received
      20
      Likes Given
      5

      Cool Re: kidato cha nne 2012 matokeo....

      Quote By MARO BM
      Uliza mliomaliza nao form 4,humu ni Graduate tu wamo na hawafuatilii hizo mambo
      hizi degree za kujisifu nazo

    16. #53
      mayounger's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th August 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 352
      Likes Received
      3
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By MARO BM
      Uliza mliomaliza nao form 4,humu ni Graduate tu wamo na hawafuatilii hizo mambo
      wapi wewee

    17. #54
      Mwanahawa Ibrahim's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 31st January 2013
      Location : dar es salaam
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Tutarajie nini matokeo kidato cha nne 2013?

      Jaman hayo matokeo yatoke tuu maana wanafunzi presha zinazidi kila kukicha...!!

    18. #55
      Sopee's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 21st December 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 323
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By MARO BM
      Uliza mliomaliza nao form 4,humu ni Graduate tu wamo na hawafuatilii hizo mambo
      Ati eeh...na ww ni graduate wa nn..!!??

    19. #56
      STEPHEN JIBE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd January 2013
      Posts : 36
      Rep Power : 325
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: kidato cha nne 2012 matokeo....

      Matokeo yanatoka feb 8-11
      hzo ndo tar za matokeo miaka yote

    20. #57
      Advicer's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st November 2010
      Posts : 242
      Rep Power : 861
      Likes Received
      34
      Likes Given
      4

      Default Re: kidato cha nne 2012 matokeo....

      Yanatoka tar 8 coz watu wanatakiwa fanya application kwenye vyuo vya afya kabla ya april bt mwaka huu bwana..ngoja tusubiri tu mtoa mada matokeo yasipokua poa sana tujulishane

    21. #58
      dudy boy's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 9th January 2013
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: kidato cha nne 2012 matokeo....

      hata wachelewe vipi kama ugolo ni ugolo madogo msubiriiiiiii........

    22. #59
      Dogo Pora's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th July 2012
      Posts : 65
      Rep Power : 356
      Likes Received
      3
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Dean
      hizi degree za kujisifu nazo
      tokeo kabla ya mtihani kidato cha sita, msikonde tulieni maana kama ni wewe ni T.O ni T.O tu......

    23. #60
      THE GREAT CAMP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 533
      Rep Power : 453
      Likes Received
      112
      Likes Given
      163

      Default Re: kidato cha nne 2012 matokeo....

      Quote By Dean
      hizi degree za kujisifu nazo
      Siyo degree za kujisifu, utakapo fanikiwa kupata degree ndiyo utamuelewa MARO BM alichokuwa anamaanisha. Kwasasa ni ngumu sana kwako kumuelewa. Hii maada ungeipeleka Facebook ingefaa sana maana kule kuna wanao fanana na wewe wengi sana.

    Page 3 of 8 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...