Kama kuna anayejua mchanganuo wa loan allocation ya 5,312,500 anisaidie nijue nadaiwa kiasi gani cha kuongezea.
1. What is the percent allocation by that amount.
2. Administrative costs-465,000 Tsh zinakuwa included katika loan mwanafunzi aliyopata. Msaada tafadhali.

Reply With Quote


Follow Us Here