Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Serikali yarekebisha MIHULA ya Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu

    Report Post
    Results 1 to 15 of 15
    1. #1
      kunguru mjanja's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 22nd August 2012
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      7

      Default Serikali yarekebisha MIHULA ya Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu

      Download waraka huu wa serikali (WARAKA WA ELIMU NA. 5 WA MWAKA 2012 KUHUSU MAREKEBISHO YA MIHULA YA SHULE ZA SEKONDARI NA VYUO VYA UALIMU)
      Attached Files


    2. #2
      Kimbori's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Posts : 1,200
      Rep Power : 610
      Likes Received
      163
      Likes Given
      11

      Default Re: Serikali yarekebisha MIHULA ya Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu

      Ahsante ndugu. Napata swali kidogo, je mabadiliko ya muda wa kufanya mtihani wa Kidato cha sita hautaathiri mihula ya Vyuo Vikuu?
      Ikiwa kwa sasa wanafunzi wa kidato cha Sita wanahitimu mwezi Februari lakini ikifika mwezi wa Septemba TCU na HESLB, kwa kutumia takribani miezi nane hawajafanikiwa kuandaa vyuo na mikopo, itakuwaje watakapopewa miezi minne, (Juni mpaka September)?

    3. #3
      KIDUNDULIMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2010
      Posts : 560
      Rep Power : 560
      Likes Received
      74
      Likes Given
      245

      Default Re: Serikali yarekebisha MIHULA ya Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu

      Quote By Kimbori View Post
      Ahsante ndugu. Napata swali kidogo, je mabadiliko ya muda wa kufanya mtihani wa Kidato cha sita hautaathiri mihula ya Vyuo Vikuu?
      Ikiwa kwa sasa wanafunzi wa kidato cha Sita wanahitimu mwezi Februari lakini ikifika mwezi wa Septemba TCU na HESLB, kwa kutumia takribani miezi nane hawajafanikiwa kuandaa vyuo na mikopo, itakuwaje watakapopewa miezi minne, (Juni mpaka September)?
      ndugu yangu inakoelekea wanaktaka kuwakalisha wwahitimu mwaka mzima nyumbani na pia usisahau kuwa kuna chokochoko za kuanzisha JKT huenda huo muda wa mwaka mumoja wa kusubiri kwenda vyuoni vijana wakautumia JKT
      Daady likes this.

    4. #4
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Serikali yarekebisha MIHULA ya Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu

      Natumia simu nashindwa kuusoma,,,,mtuambie waraka unasema nin?????

    5. #5
      Kimbori's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Posts : 1,200
      Rep Power : 610
      Likes Received
      163
      Likes Given
      11

      Default Re: Serikali yarekebisha MIHULA ya Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu

      KWA UFUPI:
      A: RATIBA ZA MITIHANI
      Kidato cha Nne - Nomemba Wiki ya 1 (badala ya Oktober Wiki ya 2).
      Kidato cha Sita - Mei Wki ya 1 (badala ya Februari Wiki ya 2).
      Ualimu Cheti na Stashahada - Mei Wiki ya 1 (hamna badiliko).

      B: MIHULA YA MASOMO.
      Kidato cha 1 - 4; hakuna mabadiliko kwa mihula yote miwili.
      Kidato cha 5 na 6;
      Muhula wa 1 - Julai Wiki ya 1 mpaka Desemba Wiki ya 1.
      Muhula wa 2 - Januari Wiki ya 1 mpaka Juni Wiki ya 1.
      Ualimu Cheti na Shahada - sawa na mihula ya Kidato cha 5 na 6.
      Tanbihi: Wanafunzi wote watapumzika mwezi Juni na Desemba.
      Waraka huu unaanza kutumika tarehe 01 Januari 2013


    6. #6
      Danp36's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2010
      Location : dar es salaam,mbezi beach,tanzania
      Posts : 230
      Rep Power : 497
      Likes Received
      17
      Likes Given
      13

      Default Re: Serikali yarekebisha MIHULA ya Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu

      Form six sisi inamana tunafanya mtihan may?

    7. #7
      andybird314's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 2,802
      Rep Power : 996
      Likes Received
      578
      Likes Given
      297

      Default Re: Serikali yarekebisha MIHULA ya Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu

      duh hii kali bana

    8. #8
      tatanyengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2011
      Posts : 947
      Rep Power : 605
      Likes Received
      225
      Likes Given
      187

      Default Re: Serikali yarekebisha MIHULA ya Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu

      Zamani kabla ya 2004 mihula ilikuwa hivyo.
      'Our Problems can be solved,our challenges can be met'- Obama

    9. #9
      NKANOELI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th August 2012
      Location : MSAKUZI
      Posts : 90
      Rep Power : 362
      Likes Received
      19
      Likes Given
      145

      Default Re: Serikali yarekebisha MIHULA ya Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu

      Sasa Ina maana tutaongeza ada kwa wale walioko form Six ? maanake shule zilikokotoa kiasi cha kuwaweka wanafunzi mpaka mwezi wa pili .

    10. #10
      Daady's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd July 2010
      Posts : 56
      Rep Power : 463
      Likes Received
      14
      Likes Given
      11

      Default Re: Serikali yarekebisha MIHULA ya Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu

      Quote By KIDUNDULIMA View Post
      ndugu yangu inakoelekea wanaktaka kuwakalisha wwahitimu mwaka mzima nyumbani na pia usisahau kuwa kuna chokochoko za kuanzisha JKT huenda huo muda wa mwaka mumoja wa kusubiri kwenda vyuoni vijana wakautumia JKT

      Nakubaliana na wewe hoja yako sounds like ina akili sana!! Nafikiri huo ndio mkakati...ina maana wanarudia enzi zile za zamani!! Yaani kila waziri akiingia anabadili system anavyotaka!!!

      LAKINI NINA SWALI (la kizushi).. Huyu kamishna wa Elimu Jina lake (Prof. E. P. Bhalalusesa) mbona kama la kutoka kwa ''majirani zetu'' na sio humu ndani kwetu? kuna mwenye data zaidi?

    11. SG8 is offline
      SG8
      #11
      SG8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,585
      Rep Power : 4187
      Likes Received
      780
      Likes Given
      733

      Default Re: Serikali yarekebisha MIHULA ya Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu

      Quote By Danp36 View Post
      Form six sisi inamana tunafanya mtihan may?
      Usidhani ni mbali, ni kesho tu mdogo wangu kimbilia darsani JF utaikuta tu
      Mtumishi Mkuu likes this.
      "Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM"

    12. SG8 is offline
      SG8
      #12
      SG8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,585
      Rep Power : 4187
      Likes Received
      780
      Likes Given
      733

      Default Re: Serikali yarekebisha MIHULA ya Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu

      Quote By Daady View Post
      Nakubaliana na wewe hoja yako sounds like ina akili sana!! Nafikiri huo ndio mkakati...ina maana wanarudia enzi zile za zamani!! Yaani kila waziri akiingia anabadili system anavyotaka!!!

      LAKINI NINA SWALI (la kizushi).. Huyu kamishna wa Elimu Jina lake (Prof. E. P. Bhalalusesa) mbona kama la kutoka kwa ''majirani zetu'' na sio humu ndani kwetu? kuna mwenye data zaidi?
      Jirani zetu wa wapi? Huyu alikuwa Profesa pale UDSM na alikuwa Mkuu wa Kitivo (sasa Skuli) cha Elimu, ni mtanzania kama wewe
      "Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM"

    13. #13
      Narubongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 1,886
      Rep Power : 814
      Likes Received
      850
      Likes Given
      680

      Default Re: Serikali yarekebisha MIHULA ya Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu

      mambo mengine yanakera sana yaani tz baada ya kwenda mbele sisi tunarudi nyuma, kwanza tunamaliza shule tukiwa na umri mkubwa kupita wenzetu halafu bado tena tunaongeza muda wa kupoteza nyumbani...
      Kidato cha Nne anafanya mtihani Nomemba halafu anakuja kuanza form 5 mwezi julai! miezi 9 nyumbani! kwa bahati mbaya akifeli mtihani itabidi aje arudie tena mtihani mwaka unaofuata kwahiyo jumla ameshapoteza miaka 2!
      na mbaya zaidi jkt inarudishwa kwa form 6 sasa sijui hapo itakuwaje iwapo mfumo wa elimu ya juu hautarekebishwa. Ninachosikitika zaidi ni kurudia kumeza matapishi
      "Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)

    14. #14
      KIDUNDULIMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2010
      Posts : 560
      Rep Power : 560
      Likes Received
      74
      Likes Given
      245

      Default Re: Serikali yarekebisha MIHULA ya Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu

      Quote By Daady View Post
      Nakubaliana na wewe hoja yako sounds like ina akili sana!! Nafikiri huo ndio mkakati...ina maana wanarudia enzi zile za zamani!! Yaani kila waziri akiingia anabadili system anavyotaka!!!

      LAKINI NINA SWALI (la kizushi).. Huyu kamishna wa Elimu Jina lake (Prof. E. P. Bhalalusesa) mbona kama la kutoka kwa ''majirani zetu'' na sio humu ndani kwetu? kuna mwenye data zaidi?
      Jina lisikusumbue maana mikapa ya wakoloni ilichorwa na kupita katikati ya koo na kabila bila kijalisha wewe unabaki TZ au Rwanda, Congo au burundi. Mfano Siame, Sinkala, Silungwe wapo Tanzania na zambia kwa sababu tu kabila lao lilitenganishwa na cha ajabu chief wao makao yake makuu yako tanzania wakati anaishi zambia

    15. #15
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,779
      Rep Power : 22095
      Likes Received
      1044
      Likes Given
      857

      Default Re: Serikali yarekebisha MIHULA ya Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu

      Mungai ndie aliyetibua mfumo wetu wa shule sasa naona wameamua kurudisha ule wa zamani
      Naona ktk level ya wizara kuwe na vitu mtu anaweza badilisha vingine iwe kama amri kumi vile hakuna kubadilisha unless wadau wote wameshirikishwa espicially wananchi kupitia wabunge wao

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...