Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

    Report Post
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast
    Results 61 to 80 of 85
    1. #1
      mwanamabadiliko's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Posts : 190
      Rep Power : 1464
      Likes Received
      31
      Likes Given
      3

      Default First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

      Hi student? Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma TO(TZ ONE- TOP 20), Wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 Gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six. Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita SUPER HUMANS
      genekai likes this.


    2. #61
      pincode's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Posts : 82
      Rep Power : 375
      Likes Received
      17
      Likes Given
      16

      Default Re: First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

      kumbe hata wasomi mnaongea upuuzi???watu walikuwa magenius wa kutisha ss hivi wanywa pombe yule prof wa dit hamna anaemjua??lifes only 4mula what u want;hw u want it n ur determination among all luck(God)anahusika sana tu;

    3. #62
      pincode's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Posts : 82
      Rep Power : 375
      Likes Received
      17
      Likes Given
      16

      Default

      Quote By Amsterdam View Post
      hizi ni mbwembwe tu fainal mtaani
      amsterdam me nalike kwa maneno LIKE
      Amsterdam likes this.

    4. #63
      mwanamabadiliko's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Posts : 190
      Rep Power : 1464
      Likes Received
      31
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By pincode View Post
      kumbe hata wasomi mnaongea upuuzi???watu walikuwa magenius wa kutisha ss hivi wanywa pombe yule prof wa dit hamna anaemjua??lifes only 4mula what u want;hw u want it n ur determination among all luck(God)anahusika sana tu;
      hivi DIT si chuo cha wehu, wote ni vilaza pale DIT, hakuna professor DIT bali kuna wanywa gongo

    5. #64
      King Mutesa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd August 2012
      Posts : 63
      Rep Power : 356
      Likes Received
      6
      Likes Given
      8

      Default Re: First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

      Mtu mzima hatishiwi nyauu..!

    6. #65
      Jemsi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd March 2012
      Posts : 115
      Rep Power : 388
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mwanamabadiliko View Post
      hivi DIT si chuo cha wehu, wote ni vilaza pale DIT, hakuna professor DIT bali kuna wanywa gongo
      mkuu naomba unipe fact kuwa DIT ni chuo cha wehu na hakuna ma proffesor?


    7. #66
      Narubongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 1,886
      Rep Power : 815
      Likes Received
      854
      Likes Given
      680

      Default Re: First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

      Quote By mwanamabadiliko View Post
      Here is the list of 10 greatest secondary schools ever to occur in TANZANIA. This represents the all time best sec school since the death of Tanganyika. 1. MZUMBE 2. MARIAN 3. FEZA 4. KIBAHA 5. FRANSIS ST 6. KIFUNGILO 7. MAUA 8. ILBORU 9. TABORA 10. KILAKALA
      wewe ndio ulikuja na huu upup.u ukashambuliwa vilivyo,
      watoto wa 1990s mna matatizo sana
      "Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)

    8. #67
      Wi-Fi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : 6°49′24″ S 39°16′10″ E
      Posts : 1,180
      Rep Power : 692
      Likes Received
      331
      Likes Given
      196

      Default Re: First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

      Quote By mwanamabadiliko View Post
      hivi DIT si chuo cha wehu, wote ni vilaza pale DIT, hakuna professor DIT bali kuna wanywa gongo
      hapa tu umejivua nguo sokoni! kutumia anonymous name isiwe sababu yakuonesha u-pimbi wako! lunatic
      Most discoveries happened by accident!

    9. #68
      Baro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2012
      Posts : 322
      Rep Power : 429
      Likes Received
      61
      Likes Given
      116

      Default Re: First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

      first class sio maisha ingekuwa hao maTO wanatumia 1st class zao kugundua vitu vipya hapo sawa .........lakn hawana jipya kama kina mark zuckerberg, bill gates , steve job na wengne tungesema ehhhhh... lakn hamna jipya kazi misifa tuuu isiyo na msingi

    10. #69
      Ze Blessed's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th August 2012
      Posts : 119
      Rep Power : 368
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By QUALIFIED View Post
      nilikua sijajua aliyetoa huu uzi kumbe ni mwanamabadiliko
      fact:wakuu jaribuni kumfatilia huyu jamaa humu jf utagundua kitu
      Umeongea la msingi sana jamaa mzinguaji sana huyu.

    11. #70
      Ze Blessed's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th August 2012
      Posts : 119
      Rep Power : 368
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default Re: First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

      Anataka kutuambia ma t.o hawadisco? Tuambie yaliyomkuta Eliasi wa tosamaganga

    12. #71
      HAMY-D's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2011
      Location : NDICHI.
      Posts : 1,280
      Rep Power : 648
      Likes Received
      258
      Likes Given
      10

      Default

      Quote By mwanamabadiliko View Post
      Hi student? Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma TO(TZ ONE- TOP 20), Wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 Gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six. Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita SUPER HUMANS
      Sikuwa na mpango wa kuandika chochote, ila baada ya kuona weledi wako wa kufikiri ni mdogo, nikaona ni vyema kukusaidia angalau hata kidogo.

      Mwaka 2010 udsm best student unamjua? alikuwa ni demu na alipata GPA ya 4.6 overall.

      Wakati mtu huyu huyu form 6 alipata div 1.9 ya divinity. Kiuhalisia alikuwa na div 2.10.

      Alikimbiza watu waliokuwa na historia zao na kubeba mizawadi kibao, watu kama kina Martin Chegere wote walikalishwa.

      Naamini wewe na watu wengine wa namna yako mtakuwa mmejifunza kitu hapa.

    13. #72
      Nyani Ngabu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,521
      Rep Power : 0
      Likes Received
      9766
      Likes Given
      696

      Default Re: First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

      Hii mada inazidi kudhihirisha jinsi ambavyo Watanzania wanahusudisha sana elimu ya kwenye makaratasi na kupata alama za juu bila kuangalia utumikaji wa hiyo elimu katika kutawala mazingira yetu kwa lengo la kuboresha maisha.
      MUSSOLIN likes this.

    14. #73
      Ipycalypse's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Location : Mjini hapa
      Posts : 1,191
      Rep Power : 647
      Likes Received
      249
      Likes Given
      148

      Default Re: First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

      Maxence Melo yawezekana huyu hana hiyo 1st class lakini ametukusanya hapa wote.

    15. #74
      Wi-Fi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : 6°49′24″ S 39°16′10″ E
      Posts : 1,180
      Rep Power : 692
      Likes Received
      331
      Likes Given
      196

      Default Re: First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

      Quote By Baro View Post
      first class sio maisha ingekuwa hao maTO wanatumia 1st class zao kugundua vitu vipya hapo sawa .........lakn hawana jipya kama kina mark zuckerberg, bill gates , steve job na wengne tungesema ehhhhh... lakn hamna jipya kazi misifa tuuu isiyo na msingi
      na hao walidrop out huko chuoni tena Havard kwa Mark and Bill!
      Most discoveries happened by accident!

    16. #75
      andybird314's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 2,816
      Rep Power : 999
      Likes Received
      579
      Likes Given
      299

      Default Re: First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

      hao.ma to wanaishia kuwa waalimu tu

    17. #76
      Lyamber's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th July 2012
      Posts : 800
      Rep Power : 508
      Likes Received
      216
      Likes Given
      27

      Default Re: First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

      nzirinye nakubali kuhusu huyo martin chegele nahic alisoma economics udsm..na pia kuna cster mmjo hiv alimaliza comp engineering 2009..alipata 4.8 na mwingine ni mdada flan amemaliza 2011..comp science kitu km 4.7 lakini imagine Faculty of Law UDSM first class ya mwisho ni 1988 ss jiulize vyuo vya pembeni wanatoka wangapi? haya mambo ya first class ni very rare kwa chuo kama udsm ila hivyo vya pembezoni olmost class zima linapata first class..udsm ni wa kuhesabika tu..mtu ana first class lakini mpatie computer airekebishe hapo kama haja kwambia desa nimelisahau..

    18. #77
      mfobi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th August 2012
      Posts : 23
      Rep Power : 349
      Likes Received
      0
      Likes Given
      3

      Default Re: First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

      jamani huyu dogo atuambie to wa tosa yuko wapi? asijfanye anajua sana wa2?

    19. #78
      mpigamsuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 1,124
      Rep Power : 580
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mwanamabadiliko View Post
      hivi DIT si chuo cha wehu, wote ni vilaza pale DIT, hakuna professor DIT bali kuna wanywa gongo
      1.5 KB
      ALIWAHI KUSEMA ANA PHD YA MATHmatics KUMBE MWAKA WA NNE

    20. #79
      mpigamsuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 1,124
      Rep Power : 580
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mwanamabadiliko View Post
      hivi DIT si chuo cha wehu, wote ni vilaza pale DIT, hakuna professor DIT bali kuna wanywa gongo
      MKUU SI ULISEMA UNA PhD YA MATHEMATICCS?
      USIKUTE HATA HASOMEI DEGREE NI DIPLOMA AU CERTICATE MANAKE NI MUONGO,MPENDA KUJISIFU HAMNA KITU HAPO

    21. #80
      WASAMUNGE's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Posts : 8
      Rep Power : 398
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Re: First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

      uzembe wa kufikiri wa mtu hupimwa kwa maneno yake ya kiubinafisi!!!!! mtoa mada anaonyesha mbinafc wa kifkra!! KUNA CRITERIA GANI ZINGINE ALIZOTUMIA!! KU THIBITISHA!!...... KUNA UTOFAUTI WA VYUO.... SERIOSNES YA CHUO... STANDARD YA CHUO... NA NIN biz niversty au!!! hv did u check GPA za Tumaini wakati kinaanza... thn huyo alienayo ya ju alikuwa TO!!..... DONT GENERALIZE things.. kuna watu wana akili timamu huk JF

    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...