Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 78
    1. #1
      Kiny's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd September 2012
      Posts : 98
      Rep Power : 357
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Ndugu zangu wote waliopata mkopo na wale waliokosa kwanza kabisa nipende kwa pamoja sote tumshukuru Mwenyezi Mungu kwani ana mipango na sisi wanadamu aijalishi umepata mkopo au la. Basi ndugu zangu bila kuwachosha nilete yangu yalo moyoni na atakayeweza kunipa mawazo, maoni na msaada mwingine naomba atupie hapa. Mimi ni kijana niliyezaliwa katika kijiji kidogo nikiwa mtoto wa 17 kati ya watoto 30 wa baba yangu nikimaanisha kuwa kuna wakubwa zangu wasio na uwezo mzuri kiuchumi 16 na wadogo zangu ambao pengine wananitegemea 12. Kutokana na hali hiyo ya familia niliamua kukimbilia kutafuta elimu ambayo itakuwa ni mkombozi kwangu na hata familia na jamii kwa ujumla. Basi kwa neema ya Mungu nilifanikiwa kufaulu kidato cha nne kwa kupata dalaja la kwanza (16 ) na baadae kujiunga kidato cha tano na cha sita nikafaulu kwa dalaja la kwanza (9) basi kama ilivyo furaha ya wengi hata mimi mwenzenu mimefanikiwa kuchaguliwa Bachelor of science in nursing university of Dodoma na kupata mkopo 4,032,500/= lakini baada ya kusikia kuwa mtu anapopata GPA kali mfano 5 inakuwa ni lahisi kutoka kielimu na pengine kubakizwa chuoni kuwa tutorial lecturer nimekuja kwenu wa jf na great thinkers muweze kunipa/kutupa mawazo au ushauri sisi sote ili kuepukana na supplementary, kuto disco na hatimae kupata GPA kali hili kuweza kukomboa familia kama yangu na zaidi kupata elimu ambayo itakuwa ya manufaa kwa jamii na wala si elimu ya kukariri ukizingatiwa nitadili na afya ya binadamu. ASANTE KWA KUNISIKILIZA , NAKARIBISHA MAWAZO/ Ushauri WENU.
      Last edited by Kiny; 6th October 2012 at 22:52.

    2. Miaka 50

    3. #2
      BIG X's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2011
      Location : WHITE HOUSE
      Posts : 767
      Rep Power : 415
      Likes Received
      197
      Likes Given
      168

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Jilipue wakati wa mitihani!!.
      sasha sarah likes this.
      GOOD JUDGEMENT COMES FROM EXPERIENCE, BUT EXPERIENCE COMES FROM BAD JUDGEMENT.

    4. #3
      SAMRICH1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2011
      Posts : 1,236
      Rep Power : 643
      Likes Received
      206
      Likes Given
      129

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      cha muhimu soma kwa malengo na utambue kilichokuleta chuo na aliekwambia kna kubakzwa chuo si ivo lazima uombe kule si mring kaka
      sasha sarah likes this.

    5. #4
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,201
      Rep Power : 1956
      Likes Received
      3000
      Likes Given
      13648

      Default Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Piga chabo.

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    6. #5
      Awadh Mabaraza's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th August 2012
      Posts : 69
      Rep Power : 355
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Udhuria mapindi, jisomee, fanya kaz zote unazopew na lectr (coz work) afu gonga fresh matest na pepa ya mwisho..
      Bhaaaaaaaaaaaaaac

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Swts's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Location : Atlanta Georgia
      Posts : 1,730
      Rep Power : 714
      Likes Received
      560
      Likes Given
      265

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Kihalali:
      Fanya assignents vizuri.
      Usipitwe na quiz hata yenye max1,uwe unajizoeza kusoma kwa uelewa lecturer anapofundisha somo fulani. Uwe unapunguza mzigo wa notes ambazo hazijasomwa ,kwa kupitia kidogo kidogo na siyo 'fayatingisha' karibu na mtihani. Kikubwa ni uelewa..na kupangilia muda wako na ratiba yako vizuri. Na yote yanawezekana ukimtanguliza mbele 'MUNGU MWAMINIFU',kwa Kila jambo,katika Masomo na Maisha yako.

    9. #7
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,927
      Rep Power : 5064
      Likes Received
      3203
      Likes Given
      2661

      Default

      Quote By Awadh Mabaraza
      Udhuria mapindi, jisomee, fanya kaz zote unazopew na lectr (coz work) afu gonga fresh matest na pepa ya mwisho..
      Bhaaaaaaaaaaaaaac
      1.tafuta madesa
      2.Acha ujivuni(u-much know)
      3.Usharo weka pembeni/mademu weka pembeni
      SMU, Baro, mountain and 1 others like this.

    10. #8
      Kulya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2011
      Posts : 263
      Rep Power : 439
      Likes Received
      89
      Likes Given
      55

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Quote By Kiny
      Ndugu zangu wote waliopata mkopo na wale waliokosa kwanza kabisa nipende kwa pamoja sote tumshukuru Mwenyezi Mungu kwani ana mipango na sisi wanadamu aijalishi umepata mkopo au la. Basi ndugu zangu bila kuwachosha nilete yangu yalo moyoni na atakayeweza kunipa mawazo, maoni na msaada mwingine naomba atupie hapa. Mimi ni kijana niliyezaliwa katika kijiji kidogo nikiwa mtoto wa 17 kati ya watoto 30 wa baba yangu nikimaanisha kuwa kuna wakubwa zangu wasio na uwezo mzuri kiuchumi 16 na wadogo zangu ambao pengine wananitegemea 12. Kutokana na hali hiyo ya familia niliamua kukimbilia kutafuta elimu ambayo itakuwa ni mkombozi kwangu na hata familia na jamii kwa ujumla. Basi kwa neema ya Mungu nilifanikiwa kufaulu kidato cha nne kwa kupata dalaja la kwanza (16 ) na baadae kujiunga kidato cha tano na cha sita nikafaulu kwa dalaja la kwanza (9) basi kama ilivyo furaha ya wengi hata mimi mwenzenu mimefanikiwa kuchaguliwa Bachelor of science in nursing university of Dodoma na kupata mkopo 4,032,500/= lakini baada ya kusikia kuwa mtu anapopata GPA kali mfano 5 inakuwa ni lahisi kutoka kielimu na pengine kubakizwa chuoni kuwa assistance lecturer nimekuja kwenu wa jf na great thinkers muweze kunipa/kutupa mawazo au ushauri sisi sote ili kuepukana na supplementary, kuto disco na hatimae kupata GPA kali hili kuweza kukomboa familia kama yangu na zaidi kupata elimu ambayo itakuwa ya manufaa kwa jamii na wala si elimu ya kukariri ukizingatiwa nitadili na afya ya binadamu. ASANTE KWA KUNISIKILIZA , NAKARIBISHA MAWAZO/ Ushauri WENU.
      Rule 1: Go do what you are supposed to do, not what you want to do.
      Rule 2: Rule 1 shall always prevail, mutatis mutandis!

      Ahsante, masomo mema.
      p_prezdaa and sasha sarah like this.

    11. #9
      Apex's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2012
      Posts : 375
      Rep Power : 418
      Likes Received
      39
      Likes Given
      0

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Bro kwanza hongera kwa kutambua umuhimu wa elimu alihal familia yako kuwa na msingi mbaya wa elimu,kaka pili ni kwamba degree moja hauwez kuwa asst.lecturer coz huyu lzm awe na masters, bt degree ni tutorial,tatu hili upige gpa safi
      1,zingatia vipind vyote
      2,piga qnz zote
      3,soma kwa kuelewa cyo kukariri
      4,achana na maEVA/HAWA
      5,control boom isikuchanganye
      6,mwombe Mungu
      7,jenga mazingira rafik kwa wanachuo wenzako.
      MAKAH, soledad, nover and 1 others like this.

    12. #10
      mpigamsuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 1,109
      Rep Power : 574
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By king kong iii
      1.tafuta madesa
      2.acha ujivuni(u-much know)
      3.usharo weka pembeni/mademu weka pembeni
      umemeliza kila kitu

    13. #11
      NingaR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Location : C:\Windows\SysWOW64
      Posts : 2,491
      Rep Power : 856
      Likes Received
      384
      Likes Given
      76

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Na mimi hapa nimepata kitu, nashukuruni jamani
      nover likes this.

    14. #12
      deni's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th August 2011
      Posts : 82
      Rep Power : 410
      Likes Received
      8
      Likes Given
      5

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Ahsanteni, na mie nimejifunza.

    15. #13
      uttoh2002's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 579
      Rep Power : 484
      Likes Received
      195
      Likes Given
      8

      Default

      Watoto Wengi mliomaliza high school mkienda chuo mnachachawa na mabinti; tofauti na Huko Nyuma uhuru chuoni Ni mkubwa, Mabibi if Ur not smart will make you fail.


      Quote By Kiny
      Ndugu zangu wote waliopata mkopo na wale waliokosa kwanza kabisa nipende kwa pamoja sote tumshukuru Mwenyezi Mungu kwani ana mipango na sisi wanadamu aijalishi umepata mkopo au la. Basi ndugu zangu bila kuwachosha nilete yangu yalo moyoni na atakayeweza kunipa mawazo, maoni na msaada mwingine naomba atupie hapa. Mimi ni kijana niliyezaliwa katika kijiji kidogo nikiwa mtoto wa 17 kati ya watoto 30 wa baba yangu nikimaanisha kuwa kuna wakubwa zangu wasio na uwezo mzuri kiuchumi 16 na wadogo zangu ambao pengine wananitegemea 12. Kutokana na hali hiyo ya familia niliamua kukimbilia kutafuta elimu ambayo itakuwa ni mkombozi kwangu na hata familia na jamii kwa ujumla. Basi kwa neema ya Mungu nilifanikiwa kufaulu kidato cha nne kwa kupata dalaja la kwanza (16 ) na baadae kujiunga kidato cha tano na cha sita nikafaulu kwa dalaja la kwanza (9) basi kama ilivyo furaha ya wengi hata mimi mwenzenu mimefanikiwa kuchaguliwa Bachelor of science in nursing university of Dodoma na kupata mkopo 4,032,500/= lakini baada ya kusikia kuwa mtu anapopata GPA kali mfano 5 inakuwa ni lahisi kutoka kielimu na pengine kubakizwa chuoni kuwa assistance lecturer nimekuja kwenu wa jf na great thinkers muweze kunipa/kutupa mawazo au ushauri sisi sote ili kuepukana na supplementary, kuto disco na hatimae kupata GPA kali hili kuweza kukomboa familia kama yangu na zaidi kupata elimu ambayo itakuwa ya manufaa kwa jamii na wala si elimu ya kukariri ukizingatiwa nitadili na afya ya binadamu. ASANTE KWA KUNISIKILIZA , NAKARIBISHA MAWAZO/ Ushauri WENU.

    16. #14
      Kiny's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd September 2012
      Posts : 98
      Rep Power : 357
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By SAMITI
      umemeliza kila kitu
      nashukuru sana kaka kwa ushauri wako be blessed.

    17. #15
      fidelis zul zorander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2012
      Posts : 450
      Rep Power : 454
      Likes Received
      52
      Likes Given
      9

      Default

      Quote By Swts
      Kihalali:
      Fanya assignents vizuri.
      Usipitwe na quiz hata yenye max1,uwe unajizoeza kusoma kwa uelewa lecturer anapofundisha somo fulani. Uwe unapunguza mzigo wa notes ambazo hazijasomwa ,kwa kupitia kidogo kidogo na siyo 'fayatingisha' karibu na mtihani. Kikubwa ni uelewa..na kupangilia muda wako na ratiba yako vizuri. Na yote yanawezekana ukimtanguliza mbele 'MUNGU MWAMINIFU',kwa Kila jambo,katika Masomo na Maisha yako.
      Huu ushauri mzuri sana ndugu...nimepata kitu na mimi hapo

    18. #16
      Kiny's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd September 2012
      Posts : 98
      Rep Power : 357
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Apex
      Bro kwanza hongera kwa kutambua umuhimu wa elimu alihal familia yako kuwa na msingi mbaya wa elimu,kaka pili ni kwamba degree moja hauwez kuwa asst.lecturer coz huyu lzm awe na masters, bt degree ni tutorial,tatu hili upige gpa safi
      1,zingatia vipind vyote
      2,piga qnz zote
      3,soma kwa kuelewa cyo kukariri
      4,achana na maEVA/HAWA
      5,control boom isikuchanganye
      6,mwombe Mungu
      7,jenga mazingira rafik kwa wanachuo wenzako.
      kaka asante sana iyo tutorial ndo nimechanganya na assistance ki ukweli ushauri wako mzuri sana ingewezekana ningeprint page lakini naomba unisaidia hapo namba 5. Kuhusu boo control maana huku nyumbani familia nzima wanafanya sherehe wakisema boom likiwa linaingia natuma hata laki 250 kwa ajili ya wadogo zangu huku wakisisitiza kuwa health related fields zote huwa wanaongezewa hata motisha je kwa wale wazoefu inawezekana nikajibana vip ili niweze kusatisfy pande zote nyumbani na mi mwenyewe.
      sasha sarah likes this.

    19. #17
      Kiny's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd September 2012
      Posts : 98
      Rep Power : 357
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Awadh Mabaraza
      Udhuria mapindi, jisomee, fanya kaz zote unazopew na lectr (coz work) afu gonga fresh matest na pepa ya mwisho..
      Bhaaaaaaaaaaaaaac
      big up be blessed

    20. #18
      Genius 1's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st August 2012
      Posts : 29
      Rep Power : 348
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      10x 2megain vbayaaa! 2nawsh kufanyia kaz ur advace

    21. #19
      bologna's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th September 2012
      Posts : 221
      Rep Power : 381
      Likes Received
      39
      Likes Given
      91

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Kijana kutoa 250,000 hakuwezi kukufanya ushindwe kusoma chuo. la msingi tambua hali uliokua nayo then usifuate makuu hapo chuoni. Jitambue ww umetoka familia gani. Kumbuka hiyo hela ni ya kusomea sio kununulia i pad kama wengine familia bora wafanyavyo. Kama c mtu wa starehe hiyo pesa itakuwezesha tu kumaliza chuo vizuri. Kuhusu GPA kijana soma sana then uwe unaelewa mambo vizuri. Chuoni sio kama elimu ya F4 na F6 ambako mtihani wa muhimu upo mmoja tu ule wa taifa, then baada ya miaka 4 na 2. Huku kila mwez lazma ukumbane na mtihani kama sio assignment na mengineyo, hivyo vyote hurekodiwa ili upate GPA nzuri.

      Mwisho mwombe sana Mungu akusaidie 7bu walimu wengine wanakuaga na MAPEPO ya kuwapa makarai C wanafunzi. Hivyo kuvunja ndoto za WANAFUNZI ktk GPA. Ni hayo tu, MUNGU AWASAIDIE NYOTE MFAULU.

    22. #20
      Geofrey_1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th February 2012
      Posts : 271
      Rep Power : 481
      Likes Received
      30
      Likes Given
      2

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Quote By King Kong III
      1.tafuta madesa
      2.Acha ujivuni(u-much know)
      3.Usharo weka pembeni/mademu weka pembeni
      bro mm cjaelewa maana ya madesa, naomba nifafanulie vzur
      !!gams "G" baby!!

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...