Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 78
    1. #1
      Kiny's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd September 2012
      Posts : 98
      Rep Power : 357
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Ndugu zangu wote waliopata mkopo na wale waliokosa kwanza kabisa nipende kwa pamoja sote tumshukuru Mwenyezi Mungu kwani ana mipango na sisi wanadamu aijalishi umepata mkopo au la. Basi ndugu zangu bila kuwachosha nilete yangu yalo moyoni na atakayeweza kunipa mawazo, maoni na msaada mwingine naomba atupie hapa. Mimi ni kijana niliyezaliwa katika kijiji kidogo nikiwa mtoto wa 17 kati ya watoto 30 wa baba yangu nikimaanisha kuwa kuna wakubwa zangu wasio na uwezo mzuri kiuchumi 16 na wadogo zangu ambao pengine wananitegemea 12. Kutokana na hali hiyo ya familia niliamua kukimbilia kutafuta elimu ambayo itakuwa ni mkombozi kwangu na hata familia na jamii kwa ujumla. Basi kwa neema ya Mungu nilifanikiwa kufaulu kidato cha nne kwa kupata dalaja la kwanza (16 ) na baadae kujiunga kidato cha tano na cha sita nikafaulu kwa dalaja la kwanza (9) basi kama ilivyo furaha ya wengi hata mimi mwenzenu mimefanikiwa kuchaguliwa Bachelor of science in nursing university of Dodoma na kupata mkopo 4,032,500/= lakini baada ya kusikia kuwa mtu anapopata GPA kali mfano 5 inakuwa ni lahisi kutoka kielimu na pengine kubakizwa chuoni kuwa tutorial lecturer nimekuja kwenu wa jf na great thinkers muweze kunipa/kutupa mawazo au ushauri sisi sote ili kuepukana na supplementary, kuto disco na hatimae kupata GPA kali hili kuweza kukomboa familia kama yangu na zaidi kupata elimu ambayo itakuwa ya manufaa kwa jamii na wala si elimu ya kukariri ukizingatiwa nitadili na afya ya binadamu. ASANTE KWA KUNISIKILIZA , NAKARIBISHA MAWAZO/ Ushauri WENU.
      Last edited by Kiny; 6th October 2012 at 22:52.

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      Attache's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 34
      Rep Power : 352
      Likes Received
      8
      Likes Given
      47

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      GPA ya 5??? kwanza chuo cha dodoma sidhani kama kina tendency ya ku-retain best students,but hopefully wataanza kipindi chenu. Muda mzuri wa kusoma ni kuanzia saa kumi usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi hivi sababu akili inakua imetulia bila mawazo wala stress coz ndio kwanza umetoka kuamka, pia mazingira yanakua yametulia kwa ujumla. dawa ni kukazana kusoma,na utajua kuwa unasoma the more unavyohisi kuwa mambo ni mengi. mara nyingi ukiona kitabu hakijabana basi ujue you are NOT doing your best!!the more unavyosoma the more unavyogundua kuwa kuna vitu vingi vya ku-cover and vice versa. ni vizuri kuwa na ndoto za hivyo mapema zitakusaidia ku-perform vizuri. dunia hii ya ushindani inawezafika siku hata kazi sehemu nyingine wakaangalia ufaulu wako kwanza then kuchanganua mengine, may be. panga ratiba from day one.hakikisha unaipitia topic aliyofundisha mwalimu siku hiyo(VIZURI) kwa kupitia notes zake na kusoma other references zinazohusika kila baada ya kipindi. soma kila unapopata muda but zaidi panga ratiba ya kulala mapema(by saa nne or tano) na kuamka saa kumi. hicho ndicho kimenisaidia kupata A average kwenye masters.

    4. #42
      Wi-Fi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : 6°49′24″ S 39°16′10″ E
      Posts : 1,149
      Rep Power : 681
      Likes Received
      323
      Likes Given
      185

      Default

      Quote By Rejao
      1. Ukifika chuo chakwanza tafuta kadi ya CCM...
      2. Soma tu kile unachofundishwa, usijidai kichwa uanze kutafuta sources nyingine za materials. Hata kama mawalimu
      anatumia slides, komaa na hizo hizo.
      3.Solve as many past paperz as possible cuz walimu wengi wa chuo ni wavivu kutunga maswali mapya
      ccm na udom are two sides of a same coin.. bila shaka katiba ya chama ie ccm ipo kwenye silabasi yao hivyo ondoa shaka rejao!

    5. #43
      NEW NOEL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2011
      Posts : 432
      Rep Power : 491
      Likes Received
      105
      Likes Given
      28

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Mdogo wangu kuhusu kucontrol boom hakuna siri yeyote ile. Suala ni kuwa na nidhamu na kutumia pesa. Ndio maana nikakuambia kuwa ukiwa chuoni ili uweze kuishi bila ya kuwa na stress ni kuhakikisha unakuwa na pesa ya kununua chakula na pesa ya kulipia malazi. Alafu pesa ya boom sio kuwa ni nyingi sana.
      sifahamu kama health related fields wanakuwa wanapata motisha. Labda ningekuambia tu usije ukasikiliza watu wanakuambia nini. Alafu mambo mengi kwa sasa serikalini yamebadilika sana,na hii ni kwa sababu serikali haina pesa ya kutosha. Omba Mungu mkopo wako uwahi kufika,kwani mara nyingi uwa watu wengine wanacheleweshewa mikopo. Mimi kuna watu ninawajua mpaka mwaka wa masomo umeisha hawakupata pesa yote ya mkopo waliyostahili kupata.
      Nakuombea kila heri.

    6. #44
      sasha sarah's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th August 2012
      Posts : 22
      Rep Power : 345
      Likes Received
      1
      Likes Given
      97

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      safii;;;asante kwa mtoaji madaa nimejifunza kitu;;;;;damu ya yesu itulinde nakutuongoza tusipende kuiga tabia za watu wengine ambazo sio sahihi;;;;;;;;;;;;;;;;;

    7. #45
      Luno G's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2012
      Posts : 335
      Rep Power : 402
      Likes Received
      60
      Likes Given
      32

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      shiriki migomo kadri uwezavyo

    8. Miaka 50

    9. #46
      nover's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 76
      Rep Power : 374
      Likes Received
      4
      Likes Given
      33

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Quote By Kiny
      kaka asante sana iyo tutorial ndo nimechanganya na assistance ki ukweli ushauri wako mzuri sana ingewezekana ningeprint page lakini naomba unisaidia hapo namba 5. Kuhusu boo control maana huku nyumbani familia nzima wanafanya sherehe wakisema boom likiwa linaingia natuma hata laki 250 kwa ajili ya wadogo zangu huku wakisisitiza kuwa health related fields zote huwa wanaongezewa hata motisha je kwa wale wazoefu inawezekana nikajibana vip ili niweze kusatisfy pande zote nyumbani na mi mwenyewe.
      kaka ubarikiwe sana, inaelekea unajali sana familia yako tofauti na sisi tunaodanganya kua hatujapata mkopo kumbe tuna asilimia 100!!!!

    10. #47
      Baro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2012
      Posts : 316
      Rep Power : 424
      Likes Received
      61
      Likes Given
      114

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      soma sana simbi, pia discusion hudhuria sana kwa hayo utakuwa TA

    11. #48
      Kiny's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd September 2012
      Posts : 98
      Rep Power : 357
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By sasha sarah
      safii;;;asante kwa mtoaji madaa nimejifunza kitu;;;;;damu ya yesu itulinde nakutuongoza tusipende kuiga tabia za watu wengine ambazo sio sahihi;;;;;;;;;;;;;;;;;
      Kweli ndugu tuombe Mungu atusaidie sana tusije tukaiga tembo kunya tukapasuka msamba ila hiyo yesu inaandikwa hivi Yesu au YESU yaani begin with capital letter.
      sasha sarah likes this.

    12. #49
      Kiny's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd September 2012
      Posts : 98
      Rep Power : 357
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By sasha sarah
      safii;;;asante kwa mtoaji madaa nimejifunza kitu;;;;;damu ya yesu itulinde nakutuongoza tusipende kuiga tabia za watu wengine ambazo sio sahihi;;;;;;;;;;;;;;;;;
      Kweli ndugu tuombe Mungu atusaidie sana tusije tukaiga tembo kunya tukapasuka msamba ila hiyo yesu inaandikwa hivi Yesu au YESU yaani begin with capital letter. Ila ubarikiwe sana.

    13. #50
      bibliography's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 270
      Rep Power : 459
      Likes Received
      38
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Attache
      GPA ya 5??? kwanza chuo cha dodoma sidhani kama kina tendency ya ku-retain best students,but hopefully wataanza kipindi chenu. Muda mzuri wa kusoma ni kuanzia saa kumi usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi hivi sababu akili inakua imetulia bila mawazo wala stress coz ndio kwanza umetoka kuamka, pia mazingira yanakua yametulia kwa ujumla. dawa ni kukazana kusoma,na utajua kuwa unasoma the more unavyohisi kuwa mambo ni mengi. mara nyingi ukiona kitabu hakijabana basi ujue you are NOT doing your best!!the more unavyosoma the more unavyogundua kuwa kuna vitu vingi vya ku-cover and vice versa. ni vizuri kuwa na ndoto za hivyo mapema zitakusaidia ku-perform vizuri. dunia hii ya ushindani inawezafika siku hata kazi sehemu nyingine wakaangalia ufaulu wako kwanza then kuchanganua mengine, may be. panga ratiba from day one.hakikisha unaipitia topic aliyofundisha mwalimu siku hiyo(VIZURI) kwa kupitia notes zake na kusoma other references zinazohusika kila baada ya kipindi. soma kila unapopata muda but zaidi panga ratiba ya kulala mapema(by saa nne or tano) na kuamka saa kumi. hicho ndicho kimenisaidia kupata A average kwenye masters.
      kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

    14. #51
      Jemsi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd March 2012
      Posts : 104
      Rep Power : 381
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Ninachoelewa GPA kali ni juhudi na uelewa wa mtu,mengineyo ni extra.

    15. #52
      Kiny's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd September 2012
      Posts : 98
      Rep Power : 357
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By bibliography
      kusoma kuelewa kukesha mbwembwe
      kaka ushauri wako ni mzuuuriiiii saaaaaaana naoma niufuate Ee Mwenyezi Mungu nisaidie ushauri wa huyu kaka unisaidie. AMINA.

    16. #53
      Masiya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 17
      Rep Power : 363
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Elewa masomo yako lakini pia ikibidi elewa walimu wako kitaaluma. Jifunze from other sources hasa mwanzo wa semester na andika summary ya kile usomacho.

    17. #54
      kaka mkweli's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th September 2012
      Posts : 40
      Rep Power : 343
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Quote By NingaR
      Na mimi hapa nimepata kitu, nashukuruni jamani
      kweli tusiposhukuru tutakuwa wachoyo wa fadhila AHSANTE SANA

    18. #55
      Attache's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 34
      Rep Power : 352
      Likes Received
      8
      Likes Given
      47

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Quote By bibliography
      kusoma kuelewa kukesha mbwembwe
      Umekariri kijana.

    19. #56
      kastizo zoo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th September 2012
      Posts : 29
      Rep Power : 342
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Kwnza inabid umtangulize MUNGU mbele ktk masomo yako;piga msul kwa sana na jiepushe na makundi yasiyofaa.Mi ushaur wangu ndo huo!

    20. #57
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3141
      Likes Given
      4053

      Default Re: Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

      Quote By Apex
      Bro kwanza hongera kwa kutambua umuhimu wa elimu alihal familia yako kuwa na msingi mbaya wa elimu,kaka pili ni kwamba degree moja hauwez kuwa asst.lecturer coz huyu lzm awe na masters, bt degree ni tutorial,tatu hili upige gpa safi
      1,zingatia vipind vyote
      2,piga qnz zote
      3,soma kwa kuelewa cyo kukariri
      4,achana na maEVA/HAWA
      5,control boom isikuchanganye
      6,mwombe Mungu
      7,jenga mazingira rafik kwa wanachuo wenzako.
      hapo kwenye rad ndio wengi wanapokosea wanatafuta GPA na sio kuelewa wnachokisoma .

    21. #58
      wakuvuma's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th September 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 346
      Likes Received
      7
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Swts
      Kihalali:
      Fanya assignents vizuri.
      Usipitwe na quiz hata yenye max1,uwe unajizoeza kusoma kwa uelewa lecturer anapofundisha somo fulani. Uwe unapunguza mzigo wa notes ambazo hazijasomwa ,kwa kupitia kidogo kidogo na siyo 'fayatingisha' karibu na mtihani. Kikubwa ni uelewa..na kupangilia muda wako na ratiba yako vizuri. Na yote yanawezekana ukimtanguliza mbele 'MUNGU MWAMINIFU',kwa Kila jambo,katika Masomo na Maisha yako.
      aiseee mkuu nitajarbu kuutumia ushaur wako
      Swts likes this.

    22. #59
      wakuvuma's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th September 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 346
      Likes Received
      7
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Attache
      GPA ya 5??? kwanza chuo cha dodoma sidhani kama kina tendency ya ku-retain best students,but hopefully wataanza kipindi chenu. Muda mzuri wa kusoma ni kuanzia saa kumi usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi hivi sababu akili inakua imetulia bila mawazo wala stress coz ndio kwanza umetoka kuamka, pia mazingira yanakua yametulia kwa ujumla. dawa ni kukazana kusoma,na utajua kuwa unasoma the more unavyohisi kuwa mambo ni mengi. mara nyingi ukiona kitabu hakijabana basi ujue you are NOT doing your best!!the more unavyosoma the more unavyogundua kuwa kuna vitu vingi vya ku-cover and vice versa. ni vizuri kuwa na ndoto za hivyo mapema zitakusaidia ku-perform vizuri. dunia hii ya ushindani inawezafika siku hata kazi sehemu nyingine wakaangalia ufaulu wako kwanza then kuchanganua mengine, may be. panga ratiba from day one.hakikisha unaipitia topic aliyofundisha mwalimu siku hiyo(VIZURI) kwa kupitia notes zake na kusoma other references zinazohusika kila baada ya kipindi. soma kila unapopata muda but zaidi panga ratiba ya kulala mapema(by saa nne or tano) na kuamka saa kumi. hicho ndicho kimenisaidia kupata A average kwenye masters.
      mkuu iv iz master za science ya communication wanataka uwe na GPA gan

    23. #60
      mpigamsuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 1,109
      Rep Power : 573
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By kiny
      kaka ushauri wako ni mzuuuriiiii saaaaaaana naoma niufuate ee mwenyezi mungu nisaidie ushauri wa huyu kaka unisaidie. Amina.
      1.5 kb

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...