Wakuu,
Napendekeza shule zetu za kidato cha tano na cha sita kila moja iwe na combination moja tu. Maana yangu ni kuwa kama shule ni ya PCM basi wanafunzi wote katika shule husika wanasoma PCM. Hii itatusaidia kuwa na shule maalum kwa kila combination.
Nawasilisha.

Reply With Quote


Follow Us Here